SERIKALI ya Tanzania imetakiwa kuacha “kumtesa” na kumwachia haraka mwanaharakati Zara Kay, raia wa Australia, aliyekamatwa, kuhojiwa na vyombo vya usalama jijini Dar es Salaam tangu Desemba 28, mwaka...
Tag: Tanzania
Afya
Education
Politics
Serikali yalazimisha Shule ya Kimataifa Moshi ikanushe taarifa kuhusu tishio la Corona
SERIKALI ya Tanzania, kupitia vyombo vya usalama, imelazimisha uongozi wa Shule ya Kimataifa ya Moshi (ISM) kukanusha taarifa ya kufungwa kwa shule hiyo kutokana na kukumbwa na ugonjwa wa...
Afya
Politics
Religion
Askofu Mkatoliki ampinga Magufuli kuhusu uwepo wa Corona Tanzania. Asambaza waraka mzito kwa waamini
ASKOFU Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Arusha, Mhashamu Isaac Amani, ambaye huko nyuma amewahi kuonekana kama ni swahiba na mtetezi wa Rais John Magufuli, ameelemewa na uzito wa ushabiki...
MADHARA ya serikali kukanusha uwepo wa maambukizi ya ugonjwa wa Corona nchini Tanzania sasa yameanza kuonekana baada ya Uingereza kupiga marufuku wasafiri wote watokao Tanzania wanaotaka kuingia nchini humo....
Corruption
Economy
Politics
Katika hili la kiwanda cha maziwa, Magufuli atakabwa na mgogoro wa maslahi. Apewa ng’ombe, bado “mke wa Kinyarwanda.”
WIKI hii Rais John Pombe Magufuli (JPM) yuko Mkoani Kagera. Alianzia Bukoba na sasa yuko mapumzikoni “nyumbani” kwake kwingine, Karagwe. Ziara hii imeibua mengi na itaendelea kuibua mengine, hata...
Election
Politics
World
Trump aaga Tanzania kwa “bakora la viza.” Azuia vigogo kusafiri Marekani kwa tuhuma za kuvuruga uchaguzi na uvunjaji haki za binadamu
TANZANIA imekuwa nchi ya mwisho kuonja makali ya Rais Donald Trump ambaye anaondoka madarakani rasmi kesho Januari 20. Siku moja kabla hajaondoka amewekea viongozi waaandamizi wa Tanzania vikwazo vya...
Election
Politics
World
US imposes travel sanctions against top Tanzanian officials implicated in human rights violations during 2020 general election
ON the eve of the inauguration of Joe Biden as the new President of the United States of America (USA), senior officials of the Tanzanian government have been banned...
TANZANIA’s Media Services Act (2016) is, according to journalists and rights groups, violating the rights to freedom of expression. In addition to the act, amid COVID-19 crisis, the Tanzanian...
MANY would-be online traders in Tanzania are concerned about the security and safety of personal funds and data, and are therefore hesitant to start trading, but now are advised...
Corruption
Justice
Politics
Serikali ya Magufuli yatumia “kesi mbaya” kuchuma mapesa kwa kutesa wafanyabiashara, waandishi wa habari, wanaharakati
HATUA ya Serikali ya Rais John Magufuli kukamata na kutesa raia, kuwafungulia kesi mbaya na hatimaye kuwanyang’anya fedha, imeelezwa kuwa ni mkakati wa kujinufaisha kwa pesa za haraka haraka,...