Education
SK Media and Journalists For Justice are jointly releasing a report: “Right the Wrongs: Spotlight on the 2020 General Election in Tanzania,” which documents how armoured vehicles patrolled...
VITABU vipya vya “Historia ya Tanzania” vilivyokuwa vimechapwa kwa agizo la Rais John Magufuli havitatumika tena. Badala yake, vitaandaliwa vingine – endapo kutakuwa na umuhimu huo, SAUTI KUBWA imeelezwa....
Education
Politics
Siasa za somo la historia ya Tanzania zaleta ukakasi. Mitaala mipya kuanza Julai 2021
WANAZUONI, walimu na wachambuzi kadhaa wa masuala ya elimu wameonya kuhusu historia ya Tanzania kupotoshwa kwa malengo ya kisiasa. Tayari Serikali ya Tanzania kupitia kwa Waziri wa Elimu, Prof....
Afya
Education
Politics
Serikali yalazimisha Shule ya Kimataifa Moshi ikanushe taarifa kuhusu tishio la Corona
SERIKALI ya Tanzania, kupitia vyombo vya usalama, imelazimisha uongozi wa Shule ya Kimataifa ya Moshi (ISM) kukanusha taarifa ya kufungwa kwa shule hiyo kutokana na kukumbwa na ugonjwa wa...
Education
Politics
District commissioner’s brutal corporal punishment further taints Magufuli’s administration
PRESIDENT John Magufuli’s leadership style of condoning oppression and his disregard for rule of law are blamed for inculcating a sense of narcissism among his aides, becoming the face...
Education
Politics
Sakata la Shule ya St. Jude laibua hoja ya sheria mbaya za kodi na athari zake kwa elimu, afya
SHERIA mbaya ya kodi nchini Tanzania kwa mashirika na taasisi zisizotengeneza faida, huenda ikaendelea kukwamisha ustawi wa jamii kupitia kada za elimu na afya. Taasisi, mashirika ya dini na...
BAD tax laws in Tanzania are adversely affecting non-profit organisations and institutions in a way that is likely to hamper social welfare in education and health sectors. For many...