SAUTI KUBWA imeamua kutumia picha ya mtoto huyo, Asiimwe Novati, kwa sababu maalumu ili kusaidia jitihada za uchunguzi na utafutaji.
Justice
Environment
Justice
Main
Politics
Wananchi KIA waishika pabaya serikali wakipigania ardhi yao, fidia
"Ni jambo la kushangaza leo wanasema sisi ni wavamizi, si kweli. Haya anayosema msemaji wa serikali juu ya ardhi ya vijiji vya KIA ni upotoshaji tu."
Afya
Economy
Justice
Main
People and Events
Politics
Wafugaji na viongozi wao Ngorongoro wapinga kanusho la serikali
Mwenyekiti wa Kijiji Kayapus amesema kuwa athari ya sumu hiyo haikuwa kwa mifugo pekee, bali pia kwa binadamu waliokunywa maziwa na kula nyama ya ng'ombe hao. Wengine walikufa, na...
Justice
Main
People and Events
Politics
STABILIZATION POLICY IS DESTABILIZATION POLICY: IGA-DP WORLD CASE
THE High Court(Mbeya Division) has today ruled in favour of Tanzanian dubs Court deal. A panel of three judges led by Judge Dunstan Ndunguru, in collaboration with judges Mustafa...
MWENYEKITI wa Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, ameitaka serikali ikomeshe mara moja mauaji ya raia yanayofanywa na vyombo vya usalama kwenye maeneo yaliyo jirani...
“MACHOZI ya mamba” yanayomtoka mtukanaji wa vigogo, Cyprian Musiba, aliyewahi kutamba na kujiita mwanaharakati huru katika serikali ya awamu ya tano, yatapotea bure, SAUTI KUBWA imebaini. Taarifa za uhakika...
Justice
People and Events
Security
Familia yatoa kauli kuhusu uchunguzi wa mwili wa mlinzi aliyeuawa na mfanyabiashara wa madini Arusha
SAKATA la mfanyabiashara wa madini, Pendaeli Mollel, anayetuhumiwa kumuua Steven Jimmy (mlinzi) akidai kuwa alimwibia pampu ya maji, limechukua sura mpya baada ya ndugu wa marehemu kudai uchunguzi unaonyesha...
Unaalikwa kupendekeza jina la mtu mmoja kutoka nchini mwako ambaye unatambua kuwa ametoa mchango chanya kwa kutetea, kulinda, kuhamasisha au kupigania uhuru wa kujieleza kwa kazi alizofanya kati ya...
Justice
People and Events
Politics
Tourism
World
EVICTING MAASAI FROM NGORONGORO AUGURS BADLY WITH PRESIDENT SAMIA’S ROYAL TOUR PROMO
The author of this article is an avid human rights activist and researcher. He lives in Arusha. He is pleading to the Federal Communication Commission to halt what he...
Hukumu ya kesi ya Freeman Mbowe na wenzake katika shauri namba 3 ya mwaka 2020 katika mahakama ya Haki ya Afrika Mashariki Kesi imekuja kwa ajili ya hukumu Mawakili...