Utesaji na kamatakamata ya kionevu vimekuwa vikifanyika katika maeneo zaidi ya moja, mara nyingi vikiacha madhara makubwa kwa wathirika...
Author: Arodia Peter
"Na ndiyo maana tukasema sasa kabla ya kwenda kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka huu na baadaye Uchaguzi Mkuu mwakani, sheria zile ambazo zilikuwa zinatumika kwenye uchaguzi na...
SAUTI KUBWA imeamua kutumia picha ya mtoto huyo, Asiimwe Novati, kwa sababu maalumu ili kusaidia jitihada za uchunguzi na utafutaji.
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imesema mifumo imara waliyoianzisha imesaidia kuongeza mapato ya Serikali kwa kiwango kikubwa. Akizungumza katika semina ya waandishi wa habari za mitandao ya kijamii Dar...
"Nimebahatika kutembelea miji mikubwa na midogo nchini China, ikiwemo Beijing, Shanghai, Xian, Tianjin, na Chongqing sijawahi kuona michezo ya kamari kwani inakatazwa kisheria..."
"Ni kitu ambacho kisichowezekana! Eti uweke Shilingi 200, ushinde milioni 51. Naweza kusema ni kitu kigumu kwa sababu tangu nianze kucheza kamari, sikuwahi kuona hata watu wanaonizunguka wakishinda..."
Vijana walio mtaani, waliohitimu ngazi mbalimbali za elimu, wanafunzi wa vyuo vikuu na hata sekondari wamenasa kwenye michezo hii wakiamini ndiyo njia ya haraka ya kufanikiwa.
"Wanaume ndio washiriki wakubwa wa michezo ya kamari. Inahusishwa na ukatili wa kudhuru mwili, ukatili wa kingono, hisia na ukatili wa kiuchumi, kutokana na madhara ya kiakili wanayoyapata washiriki...
Hii mashine unavyoiona wamiliki ni Wachina, nimeiweka hapa kwa ajili ya wateja wangu wa vinywaji, wakija hapa wengine wanapata kinywaji, wengine wanacheza kamari maisha yanaendelea.
Afya
Business
Corruption
Main
Media
People and Events
Sports
Kubeti: Jinamizi linalotafuna vyeti, ndoa, pesa, ubongo, na uhai
- Dar es Salaam yatia fora kwa watoto kucheza kamari
- Serikali, wazazi, viongozi wa dini wabebeshwa mzigo
- Sheria inasema kamari ni mchezo wa burudani, si ajira