NAOMBA kuchangia mjadala kuhusu hatua ya Rais John Magufuli kuhamishia Ikulu nyumbani kwake Chato- kinyemela. Ni makosa makubwa. Ni matumizi mabaya ya madaraka kwa kiongozi wa nchi kuhamishia Ikulu...
Tag: John Magufuli
Corruption
People and Events
Politics
Ni gharama kuwa na Ikulu tatu, ni hatari kuwa na Ikulu tatu, ni mgogoro kuwa na Ikulu tatu
BABA wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alihama Ikulu ya Magogoni akaenda kuishi Msasani, lakini kazi aliendelea kufanyia Ikulu, katika ofisi ya rais, Magogoni. Kwa kauli zake za mara...
Afya
Education
Politics
Serikali yalazimisha Shule ya Kimataifa Moshi ikanushe taarifa kuhusu tishio la Corona
SERIKALI ya Tanzania, kupitia vyombo vya usalama, imelazimisha uongozi wa Shule ya Kimataifa ya Moshi (ISM) kukanusha taarifa ya kufungwa kwa shule hiyo kutokana na kukumbwa na ugonjwa wa...
Corruption
Economy
Politics
Katika hili la kiwanda cha maziwa, Magufuli atakabwa na mgogoro wa maslahi. Apewa ng’ombe, bado “mke wa Kinyarwanda.”
WIKI hii Rais John Pombe Magufuli (JPM) yuko Mkoani Kagera. Alianzia Bukoba na sasa yuko mapumzikoni “nyumbani” kwake kwingine, Karagwe. Ziara hii imeibua mengi na itaendelea kuibua mengine, hata...
Election
Politics
World
Trump aaga Tanzania kwa “bakora la viza.” Azuia vigogo kusafiri Marekani kwa tuhuma za kuvuruga uchaguzi na uvunjaji haki za binadamu
TANZANIA imekuwa nchi ya mwisho kuonja makali ya Rais Donald Trump ambaye anaondoka madarakani rasmi kesho Januari 20. Siku moja kabla hajaondoka amewekea viongozi waaandamizi wa Tanzania vikwazo vya...
Corruption
Justice
Politics
Serikali ya Magufuli yatumia “kesi mbaya” kuchuma mapesa kwa kutesa wafanyabiashara, waandishi wa habari, wanaharakati
HATUA ya Serikali ya Rais John Magufuli kukamata na kutesa raia, kuwafungulia kesi mbaya na hatimaye kuwanyang’anya fedha, imeelezwa kuwa ni mkakati wa kujinufaisha kwa pesa za haraka haraka,...
Business
Corruption
Politics
Ubeberu wa China kumfanya Magufuli “alambe matapishi” yake kuhusu Bandari ya Bagamoyo
CHINA imemweka mtegoni Rais John Magufuli. Taarifa zinasema yupo njiani “kulamba matapishi” yake na kuridhia ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo, ambayo aliigomea na kutengua makubaliano ya uendelezwaji wake kwa...
Media
Politics
Serikali yampa Musiba “talaka mbili” kwa kukosea kazi aliyopewa dhidi ya wakosoaji wa Rais Magufuli
VYOMBO vya habari vilivyoanzishwa na dola kimkakati kwa ajili ya kushambulia, kutukana, kudhalilisha na kudhihaki wakosoaji wa Rais John Magufuli, viko mbioni kufungwa baada ya “kumaliza kazi,” SAUTI KUBWA...
WAKATI Tanzania ikidai kuwa haina ugonjwa wa Corona, imegundulika kuwa wananchi wa mikoa ya Kagera na Dar es Salaam ni miongoni mwa wengi walio hatarini kuambukizana ugonjwa huo iwapo...
Education
Politics
District commissioner’s brutal corporal punishment further taints Magufuli’s administration
PRESIDENT John Magufuli’s leadership style of condoning oppression and his disregard for rule of law are blamed for inculcating a sense of narcissism among his aides, becoming the face...
