A shooting incident left four security personnel dead, as six others were injured along the Ali Hasan Mwinyi Road, just outside the offices of the French Embassy in Dar...
Politics
THE rapid spread of the more-transmissible Delta variant of the coronavirus is extremely serious and surging across Tanzania, the East African country that once denied the existence of COVID-19. In late...
KUMEKUWEPO na mjadala mkali kuhusu chanjo ya Corona, hawa wakiipinga na wengine wakiitetea. Katika mnyukano wa maoni kuhusu chanjo hii, Askofu Josephat (Rashid) Gwajima na Waziri wa Afya Dorothy...
People and Events
Politics
World
Tanzania’s military troops recapture Mozambique’s Mocimboa da Praia⁸
TANZANIA’S military troops deployed to Mozambique – alongside other armed forces to help figh Islamic fanatics, have succeeded to recapture a strategic area of Mocimboa da Praia. It has...
WAKATI wowote kuanzia kesho, kiongozi na mmiliki wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Askofu Josephat Gwajima, ataamriwa kuthibitisha msimamo wake kwamba chanjo dhidi ya COVID-19 ni sumu na zinaua;...
RAIS Samia Suluhu aliwahi kusema kuwa yeye na hayati John Magufuli ni kitu kimoja. Wapo walioyabeba maneno hayo kama yalivyo. Wapo walioyatafakari na kuyachambua. Ukitazama baadhi ya mambo mazuri...
Justice
People and Events
Politics
Mahakama zaamuru Musiba awalipe Prof. Tibaijuka, Fatma Karume bilioni 8 kwa kuwakashifu.
MAHAKAMA nchini Tanzania zimemuamuru Cyprian Musiba, ambaye amekuwa anajiita “mwanaharakati huru,” kulipa fidia ya Shilingi bilioni 7.58 baada ya kumkuta na hatia ya kukashfu, kudhalilisha na kusema uongo dhidi...
SERIKALI ya Kenya imeamuru watumishi wote wa umma nchini humo kuchanjwa kwa lazima dhidi ya COVID-19. Taarifa iliyosainiwa na Mkuu wa Utumishi wa Umma, Joseph Kinyua, iliyotolewa leo kwa...
Justice
Politics
Mahabusu wasimulia mateso ya kunguni, uchafu wa haja ndogo na kunyimwa dawa wakiwa vituo vya polisi Dar
MAHABUSI za vituo vya Jeshi la Polisi nchini Tanzania zimegeuzwa “jehanamu” za polisi kutesea mahabusu kinyume cha sheria, imefahamika. Baadhi ya mahabusu walioshikiliwa katika mahabusi hizo wameeleza kuwa vituo...
JESHI la Polisi nchini Tanzania limeingia katika hatua mpya ya uonevu na udhalilishaji wa raia, baada ya akina mama waliokuwa wameshikiliwa na polisi kwa siku kadhaa kinyume cha sheria...