TANZANIA’S leading private carrier, Precision Air, which has been unable to raise cash from the air markets for three consecutive years, faces the risk of running out of liquidity...
Politics
Business
Economy
Politics
Uncategorised
China lobbies to revive Bagamoyo Port construction previously halted by Magufuli
CHINA is lobbying to revive the construction of the Bagamoyo Port, a project that was previous ridiculed and halted by President John Magufuli, SAUTI KUBWA has learnt. Almost agreed...
Business
Corruption
Politics
Ubeberu wa China kumfanya Magufuli “alambe matapishi” yake kuhusu Bandari ya Bagamoyo
CHINA imemweka mtegoni Rais John Magufuli. Taarifa zinasema yupo njiani “kulamba matapishi” yake na kuridhia ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo, ambayo aliigomea na kutengua makubaliano ya uendelezwaji wake kwa...
Media
Politics
Serikali yampa Musiba “talaka mbili” kwa kukosea kazi aliyopewa dhidi ya wakosoaji wa Rais Magufuli
VYOMBO vya habari vilivyoanzishwa na dola kimkakati kwa ajili ya kushambulia, kutukana, kudhalilisha na kudhihaki wakosoaji wa Rais John Magufuli, viko mbioni kufungwa baada ya “kumaliza kazi,” SAUTI KUBWA...
Politics
Religion
Anna Mghwira ajiingiza katika mgogoro na Kanisa Katoliki akitaka lipindishe taratibu za mazishi
MKUU wa Mkoa Kilimanjaro, Anna Mghwira (62), amejiingiza katika mgogoro wa kiimani na Kanisa Katoliki baada ya kuingilia taratibu za mazishi, akitumia mamlaka ya kisiasa kuamuru kanisa lipinde kanuni...
MORE and more print media in Tanzania are facing tough economic times, with major media outlets expecting to either close business or jump to digital production as readers’ purchasing...
Corruption
Justice
People and Events
Politics
Vita dhidi ya ufisadi: Magufuli awakingia kifua vigogo, maswahiba
VITA dhidi ya ufisadi ambayo Rais John Magufuli amekuwa anajitapa nayo, imeingia dosari baada ya kubainika kuwa ukali wake unaelekezwa kwa baadhi ya watu huku akikwepa kugusa wengine. Baadhi...
Business
Economy
Politics
Tanzania’s Precision Air to close business citing Corona effects, passenger scarcity
PRECISION Air, Tanzania’s leading private carrier, is facing prospects of shutting down business operations in the first quarter of 2021 if the prevailing economic crisis doesn’t change, SAUTI KUBWA...
WAKATI Tanzania ikidai kuwa haina ugonjwa wa Corona, imegundulika kuwa wananchi wa mikoa ya Kagera na Dar es Salaam ni miongoni mwa wengi walio hatarini kuambukizana ugonjwa huo iwapo...
IMETHIBITISHWA kuwa Balozi Dk. Pius Ng’wandu sasa atazikwa kesho, Jumatano, nyumbani kwake Makabe, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam. Uamuzi huo umetokana na wosia alioacha Dk. Ng’wandu,...
