TANZANIA imeingia katika orodha ya nchi zinazotumia ubabe na hila kubaki madarakani ikiwa ni pamoja na kuminya uhuru wa kupashana habari kwa kuzima mtandao wa mawasiliano wa intaneti. Ripoti...
        
    Corruption
            Katika uchambuzi huu, Raia Mzalendo anazungumzia baadhi ya matukio na vituko alivyoshuhudia kutoka kwa wawekezaji wa Kichina ambao kwa mtazamo wake ni mabeberu wa zama mpya na wahujumu mambo...
        
    
            NAOMBA kuchangia mjadala kuhusu hatua ya Rais John Magufuli kuhamishia Ikulu nyumbani kwake Chato- kinyemela. Ni makosa makubwa. Ni matumizi mabaya ya madaraka kwa kiongozi wa nchi kuhamishia Ikulu...
        
    
                            Corruption
                                             People and Events
                             Politics
            
            
                 
        
        
        Ni gharama kuwa na Ikulu tatu, ni hatari kuwa na Ikulu tatu, ni mgogoro kuwa na Ikulu tatu
            BABA wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alihama Ikulu ya Magogoni akaenda kuishi Msasani, lakini kazi aliendelea kufanyia Ikulu, katika ofisi ya rais, Magogoni. Kwa kauli zake za mara...
        
    
                            Corruption
                                             Economy
                             Politics
            
            
                 
        
        
        Katika hili la kiwanda cha maziwa, Magufuli atakabwa na mgogoro wa maslahi. Apewa ng’ombe, bado “mke wa Kinyarwanda.”
            WIKI hii Rais John Pombe Magufuli (JPM) yuko Mkoani Kagera. Alianzia Bukoba na sasa yuko mapumzikoni “nyumbani” kwake kwingine, Karagwe. Ziara hii imeibua mengi na itaendelea kuibua mengine, hata...
        
    
                            Corruption
                                             Justice
                             Politics
            
            
                 
        
        
        Serikali ya Magufuli yatumia “kesi mbaya” kuchuma mapesa kwa kutesa wafanyabiashara, waandishi wa habari, wanaharakati
            HATUA ya Serikali ya Rais John Magufuli kukamata na kutesa raia, kuwafungulia kesi mbaya na hatimaye kuwanyang’anya fedha, imeelezwa kuwa ni mkakati wa kujinufaisha kwa pesa za haraka haraka,...
        
    
                            Business
                                             Corruption
                             Politics
            
            
                 
        
        
        Ubeberu wa China kumfanya Magufuli “alambe matapishi” yake kuhusu Bandari ya Bagamoyo
            CHINA imemweka mtegoni Rais John Magufuli. Taarifa zinasema yupo njiani “kulamba matapishi” yake na kuridhia ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo, ambayo aliigomea na kutengua makubaliano ya uendelezwaji wake kwa...
        
    
                            Corruption
                                             Justice
                             People and Events
                             Politics
            
            
                 
        
        
        Vita dhidi ya ufisadi: Magufuli awakingia kifua vigogo, maswahiba
            VITA dhidi ya ufisadi ambayo Rais John Magufuli amekuwa anajitapa nayo, imeingia dosari baada ya kubainika kuwa ukali wake unaelekezwa kwa baadhi ya watu huku akikwepa kugusa wengine. Baadhi...
        
    
            
        