IWAPO serikali ya Tanzania itaendeleza propaganda zake dhidi ya chanjo ya Corona, kuna uwezekano mkubwa wa Waislamu wa Tanzania kukosa fursa ya kwenda Hija mwaka huu, SAUTI KUBWA imeelezwa....
Politics
Economy
People and Events
Politics
Kijazi alimnusuru Majaliwa kufukuzwa uwaziri mkuu kwa sababu ya korosho
KAMA si ushauri wa Balozi John Kijazi, aliyekuwa Katibu Mkuu Kiongozi, ambaye aliaga dunia siku chache zilizopita, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alikuwa afukuzwe kazi kutokana na msimamo wake juu...
Afya
People and Events
Politics
Profesa Lumumba asema msimamo wa Magufuli kuhusu Corona ni ushirikina
PROFESA Patrick Lumumba, mwanazuoni wa Kenya ambaye kwa miaka kadhaa amekuwa swahiba na mtetezi mkubwa wa Rais John Magufuli, sasa amemgeuka. Ametofautiana naye katika msimamo juu ya maambukizi ya...
IT is President John Magufuli’s about-turn now, althougt it might be quite late and a lot of lives lost due to negligence and adamance. Tanzania’s President who, in the...
WAHAYA na Wanyambo wana usemi kwamba “mtoto atukanaye wazee hatukani mtu mmoja.” Usemi huu, ambao pia hutumiwa naWasubi na Wazinza (waishio katika maeneo ya Wilaya za Biharamulo na Chato)...
AS Tanzanians, on instruction from their president, keep relying on herbal concoction in the battle against COVID-19, and as President John Magufuli still rejects vaccine from “the white man,”...
NAMFAHAMU Prof Benno Ndulu, Gavana wa Benki Kuu Mstaafu aliyeaga dunia majuzi. Nilikuwa karibu naye kwa miaka kadhaa. Alinisikiliza na nilimsikiliza. Sasa ametutoka. Katika mengi, yeye ni mhanga wa...
MKUU wa Wilaya ya Hai, Lengai ole Sabaya, ambaye amekuwa anatuhumiwa na kuhusishwa na matendo kadhaa ya kijambazi, sasa ametuhumiwa kumshambulia Diwani wa kata ya Sombetini, jiji Arusha, Bakari...
VYUMBA vya kuhifadhia maiti katika hospitali za Muhimbili, Ilala na Mwananyamala jijini Dar es Salaam vimefurika. Taarifa hizo zinahusu pia Hospitali ya Mount Meru jijini Arusha. Uchunguzi wa siku...
MBUNGE wa Nzega Vijijini, Dk. Hamisi Kigwangalla, ambaye ni daktari kitaaluma na waziri wa zamani wa Utalii, amesema kuna umuhimu wa Tanzania kukubali chanjo kama njia ya kupambana na...