Right at the start of this year’s World Cup tournament, I am imagining a World Cup final between Messi and Ronaldo. And suddenly, every football memory from the last...
Tag: Lionel Messi
Uncategorised
Hata baada ya kubeba Ballon d’Or mara 7, Messi awazungumzia Maradona, Ronaldo, Neymar kwa unyenyekevu mkubwa
KATIKATI ya wiki hii, tumeshuhudia Lionel Messi akinyakua tuzo ya Ballon D’or (mchezaji bora wa soka duniani) kwa mara ya saba katika sherehe kabambe za tuzo hiyo zilizofanyika jijini...
LIONEL Messi, Kapteni wa Timu ya Taifa ya Argentina anayechezea klabu ya Paris St-Germain (PSG) ya Ufaransa, ametangazwa kuwa mshindi wa Ballon d’Or – tuzo ya mwanasoka bora wa...
BAADA ya Lionel Messi kujiunga na PSG, athari, msukumo na ushawishi alionao katika ulimwengu wa soka barani Ulaya vimejidhihirisha kuwa mkubwa sana kuwahi kutokea kwani tangu nguli huyo alipojiunga...
Jumapili iliyopita, Messi alionekana akimwaga machozi kwenye mkutano wake na waandishi wa habari na kukiri kuwa haikuwa nia yake kuondoka klabuni Barcelona, lakini kwa sababu zilizo nje ya uwezo...
KABLA hatujaanza msimu mwingine wa soka la kulipwa barani Ulaya, kumekuwa na vuta nikivute katika dirisha la usajili hasa hizi dakika za mwisho. Ikiwa zimebaki siku 4 tu ligi...
KLABU ya soka ya Barcelona ‘haiwezi kuwasajili’ rasmi nyota wake wapya kutokana na wakati mgumu wa kifedha inaoupitia. Klabu hiyo ina tatizo kubwa la kifedha na imeripotiwa kuwa mpaka...
CRISTIANO Ronaldo ameisababishia kampuni ya Coca-Cola hasara ya dola za Kimarekani bilioni 4 kutokana na kitendo chake cha kuziweka kando chupa za soda za kampuni hiyo na badala yake...
