VYOMBO vya dola vimemnyanyasa Askofu Almachius Rweyongeza wa Jimbo Katoliki la Kayanga, mkoani Kagera, kwa siku tatu mfululizo sasa kutokana na deni ambalo anadaiwa na Kampuni ya Ujenzi ya...
Religion
Afya
Politics
Religion
“Uasi wa maaskofu” wasaidia kubadili tabia za Watanzania katika kujikinga na Corona
KATIKA wiki mbili hizi, tayari kuna kila dalili kwamba Watanzania wengi, hasa wakazi wa Dar es Salaam, wamezinduka na kuanza kuzingatia njia za kujikinga na maambukizi ya janga la...
A new wave of Coronavirus infection in Tanzania has sparked alarm and new stance that forced the Tanzania Catholic Episcopal Conference (TEC) to issue an official statement to its...
Afya
Religion
Kanisa Katoliki Tanzania lavunja ukimya rasmi kuhusu Corona. TEC yatoa tamko kutahadharisha waamini
WIMBI jipya la maambukizi ya ugonjwa wa Corona nchini Tanzania limeibua msimamo mpya wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), na sasa limetoa tamko rasmi kwa waamini wake. Katika...
Afya
Politics
Religion
Askofu Mkatoliki ampinga Magufuli kuhusu uwepo wa Corona Tanzania. Asambaza waraka mzito kwa waamini
ASKOFU Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Arusha, Mhashamu Isaac Amani, ambaye huko nyuma amewahi kuonekana kama ni swahiba na mtetezi wa Rais John Magufuli, ameelemewa na uzito wa ushabiki...
TANZANIA’s Media Services Act (2016) is, according to journalists and rights groups, violating the rights to freedom of expression. In addition to the act, amid COVID-19 crisis, the Tanzanian...
Politics
Religion
Anna Mghwira ajiingiza katika mgogoro na Kanisa Katoliki akitaka lipindishe taratibu za mazishi
MKUU wa Mkoa Kilimanjaro, Anna Mghwira (62), amejiingiza katika mgogoro wa kiimani na Kanisa Katoliki baada ya kuingilia taratibu za mazishi, akitumia mamlaka ya kisiasa kuamuru kanisa lipinde kanuni...
Kongamano la baadhi ya viongozi wa dini na serikali limeisha. Tumesikia kauli zao. Lakini kuna mambo yafuatayo ambayo hawakutuambia. Sasa, sisi tunawambia, na tunawasihi hawa “viongozi wa dini” wayaweke...
Katika Misa ya Pasaka iliyoadhimishwa kitaifa leo kwenye Jimbo Katoliki la Kayanga, mkoani Kagera, Askofu Almachius Rweyongeza amezungumzia masuala muhimu kijamii na kitaifa. Hizi ni dondoo kuu za mahubiri...
Katika ibada ya Ijumaa Kuu iliyoadhimishwa kitaifa katika Dayosisi ya Karagwe (KKKT), mkoani Kagera leo Aprili 19, 2019, Askofu Benson Bagonza, katika mahubiri mafupi na mazito, ametoa tafakuri juu...
