A new wave of Coronavirus infection in Tanzania has sparked alarm and new stance that forced the Tanzania Catholic Episcopal Conference (TEC) to issue an official statement to its...
Religion
Afya
Religion
Kanisa Katoliki Tanzania lavunja ukimya rasmi kuhusu Corona. TEC yatoa tamko kutahadharisha waamini
WIMBI jipya la maambukizi ya ugonjwa wa Corona nchini Tanzania limeibua msimamo mpya wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), na sasa limetoa tamko rasmi kwa waamini wake. Katika...
Afya
Politics
Religion
Askofu Mkatoliki ampinga Magufuli kuhusu uwepo wa Corona Tanzania. Asambaza waraka mzito kwa waamini
ASKOFU Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Arusha, Mhashamu Isaac Amani, ambaye huko nyuma amewahi kuonekana kama ni swahiba na mtetezi wa Rais John Magufuli, ameelemewa na uzito wa ushabiki...
TANZANIA’s Media Services Act (2016) is, according to journalists and rights groups, violating the rights to freedom of expression. In addition to the act, amid COVID-19 crisis, the Tanzanian...
Politics
Religion
Anna Mghwira ajiingiza katika mgogoro na Kanisa Katoliki akitaka lipindishe taratibu za mazishi
MKUU wa Mkoa Kilimanjaro, Anna Mghwira (62), amejiingiza katika mgogoro wa kiimani na Kanisa Katoliki baada ya kuingilia taratibu za mazishi, akitumia mamlaka ya kisiasa kuamuru kanisa lipinde kanuni...
Kongamano la baadhi ya viongozi wa dini na serikali limeisha. Tumesikia kauli zao. Lakini kuna mambo yafuatayo ambayo hawakutuambia. Sasa, sisi tunawambia, na tunawasihi hawa “viongozi wa dini” wayaweke...
Katika Misa ya Pasaka iliyoadhimishwa kitaifa leo kwenye Jimbo Katoliki la Kayanga, mkoani Kagera, Askofu Almachius Rweyongeza amezungumzia masuala muhimu kijamii na kitaifa. Hizi ni dondoo kuu za mahubiri...
Katika ibada ya Ijumaa Kuu iliyoadhimishwa kitaifa katika Dayosisi ya Karagwe (KKKT), mkoani Kagera leo Aprili 19, 2019, Askofu Benson Bagonza, katika mahubiri mafupi na mazito, ametoa tafakuri juu...
MAZUNGUMZO kati ya Rais John Magufuli na viongozi wa dini ya Kikristo, ambayo makanisa na Ikulu wamekuwa wanayafanya kuwa siri, yamevuja na kuibua masuala yapatayo sita. Rais Magufuli alikutana...
PAMOJA na sababu nyingine zilizomfukuzisha Mwigulu Nchemba uwaziri wa mambo ya ndani, kubwa inayosemekana kumkasirisha zaidi Rais John Magufuli ni barua ya waziri kutengua zuio la idara ya uhamiaji...