THE borrowing spree of Tanzania under President John Magufuli is weighing down the East African country by swelling public debt and could possibly be engulfed in a “responsibility crisis.”...
Politics
TANZANIA imepoteza wapiganaji wake – wenye vyeo vya juu jeshini – mabrigedia jenerali watano – ndani ya wiki mbili kutokana na kile kinachoelezwa na serikali kuwa ni changamoto ya...
Afya
Politics
Religion
“Uasi wa maaskofu” wasaidia kubadili tabia za Watanzania katika kujikinga na Corona
KATIKA wiki mbili hizi, tayari kuna kila dalili kwamba Watanzania wengi, hasa wakazi wa Dar es Salaam, wamezinduka na kuanza kuzingatia njia za kujikinga na maambukizi ya janga la...
Katika uchambuzi huu, Raia Mzalendo anazungumzia baadhi ya matukio na vituko alivyoshuhudia kutoka kwa wawekezaji wa Kichina ambao kwa mtazamo wake ni mabeberu wa zama mpya na wahujumu mambo...
TANZANIA and Burundi are seemingly the only African countries not listed in the first interim distribution of the COVID-19 vaccines to be released by the COVAX Facility – a...
Afya
Politics
John Magufuli: A science teacher who decries science in fighting Coronavirus. What has gone wrong?
DETRIMENTAL? Devastating? Disastrous? Careless? Bullying? Narcissistic? Sadistic? Which word exactly fits the description of the character and statements of Tanzania’s President John Magufuli in his handling of the COVID-19...
IMEDHIHIRIKA sasa kwamba Rais John Magufuli amekuwa anapotosha Watanzania katika mambo mengi ya msingi. Upotoshaji wake unakera sana kwenye sekta za afya, uchumi, utawala wa sheria, haki za binadamu,...
A new wave of Coronavirus infection in Tanzania has sparked alarm and new stance that forced the Tanzania Catholic Episcopal Conference (TEC) to issue an official statement to its...
NAOMBA kuchangia mjadala kuhusu hatua ya Rais John Magufuli kuhamishia Ikulu nyumbani kwake Chato- kinyemela. Ni makosa makubwa. Ni matumizi mabaya ya madaraka kwa kiongozi wa nchi kuhamishia Ikulu...
Afya
Religion
Kanisa Katoliki Tanzania lavunja ukimya rasmi kuhusu Corona. TEC yatoa tamko kutahadharisha waamini
WIMBI jipya la maambukizi ya ugonjwa wa Corona nchini Tanzania limeibua msimamo mpya wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), na sasa limetoa tamko rasmi kwa waamini wake. Katika...