BAADHI ya Watanzania maarufu wakiwamo waandishi wa habari, wanamichezo, wanasiasa na wafanyabiashara ambao tayari wamechanjwa dhidi ya maambukizi ya COVID-19, wamehimiza serikali ya Tanzania ifanye haraka kuleta chanjo nchini...
Politics
ZANZIBAR imeanza kutoa chanjo dhidi ya COVID-19 kwa wananchi wake na jana watumishi wenye hatari zaidi ya kuambukizwa walidungwa kinga hiyo. Zanzibar ilipokea shehena ya kwanza ya chanjo hiyo...
VITABU vipya vya “Historia ya Tanzania” vilivyokuwa vimechapwa kwa agizo la Rais John Magufuli havitatumika tena. Badala yake, vitaandaliwa vingine – endapo kutakuwa na umuhimu huo, SAUTI KUBWA imeelezwa....
Afya
People and Events
Politics
Diallo aitibua CCM kuhusu ushindi wa uchaguzi mkuu 2015, afya ya mgombea urais
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mwanza nchini Tanzania, Dk. Anthony Ngw’andu Diallo, amekosoa vikali utendaji wa kiongozi wa nchi hiyo aliyepita, hayati John Magufuli, kwa sababu...
Afya
Politics
Mlipuko mpya wa Corona walazimisha Tanzania kutangaza tena takwimu baada ya kimya cha miezi 14
SASA ni dhahiri kwamba maambukizi ya virusi vya Corona nchini Tanzania ni makubwa kuliko inavyoweza kufichwa, kwani kumebainika kuwepo ongezeko la vifo, hasa maeneo ya mijini kutokana na chazo...
Afya
Politics
Tanzania reports over 280 new Corona cases for the first time after 14 months of silence, denial
AMIDST the exponentially growing risk of COVID-19 cases in Tanzania, the government has released figures on Coronavirus today, confirming 408 patients in hospital beds since a third wave of...
SIKU moja baada ya Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa Mwanza, Dk. Anthony Diallo, kudokeza kuwa chama chao kimewahi kuteua mgombea urais mwenye historia ya ugonjwa wa kichaa,...
KATIKA ukurasa wake wa Facebook, Askofu Benson Bagonza wa KKKT Dayosisi ya Karagwe ameandika chapisho akalipa kichwa “INAFIKIRISHA! INASUTA! TUSUTIKE!” Linatoa uchambuzi mfupi na maono yake baada ya kumsikiliza...
UTATA mkubwa umegubika kifo cha mkazi wa Jiji la Dodoma, Josephat Hans, ambaye anadaiwa kutoweka – kwa miaka miwili sasa – akiwa mikononi mwa Jeshi la Polisi ambalo lilimkamata...
Corruption
People and Events
Politics
Why Bukoba’s educated masses should avoid docility, complacency to avert the regime’s vicious sting
This article was written and shared by Deogratias Rweyongeza (PhD) to a specific online community known as Friends of Bukoba (FoB) of which he is a co-founder. It underscores...