Kama ilivyoripotiwa na ripota raia, BJ, leo Ijumaa 24.09.2021. Jaji ameshakaa na kesi inatajwa. Ni namba 16 ya 2021. Naomba utulivu ili tuanze. Jaji: Wakili wa Serikali?Wakili wa Serikali...
Justice
Kutoka kwa ripota raia BJ. LEO Jumatatu Septemba 20, 2021, saa 6:00 mchana. Jaji hajaingia mahakamani. Mawakili wa Serikali hawajaingia mahakamani. Saa 6:02, mawakili wa Serikali hao wanaingia chumba...
Anaripoti BJ mwandishi raia kutoka mahakamani. Tunaiweka bila kuihariri ili kutoharibu asili na vionjo vyake. Fuatana naye: Leo tarehe 17. Septemba 2021, saa 6:00 mchana. Jaji hajaingia mahakamani. Mawakili...
Kama ilivyoripotiwa na mwandishi raia BJ, JUMATANO, SEPTEMBA 15, 2021. Endelea. Mawakili wa Serikali ndio wameingia na magari mawili aina ya Land Cruiser Prado Tx Robert Kidando yupo Nassoro...
Justice
People and Events
Politics
Kwanini ‘Jaji wa Kimkakati’ Elinaza Luvanda anasikiliza kesi ya Mbowe?
JUZI Jaji Elinaza Luvanda alitupilia mbali pingamizi la awali ambalo lilikuwa limewekwa na mawakili wa upande wa utetezi katika kesi inayomkabili Freeman Mbowe, mwenyekiti wa Chadema. Uamuzi wa Jaji...
Justice
People and Events
Politics
Mahakama zaamuru Musiba awalipe Prof. Tibaijuka, Fatma Karume bilioni 8 kwa kuwakashifu.
MAHAKAMA nchini Tanzania zimemuamuru Cyprian Musiba, ambaye amekuwa anajiita “mwanaharakati huru,” kulipa fidia ya Shilingi bilioni 7.58 baada ya kumkuta na hatia ya kukashfu, kudhalilisha na kusema uongo dhidi...
Justice
Politics
Mahabusu wasimulia mateso ya kunguni, uchafu wa haja ndogo na kunyimwa dawa wakiwa vituo vya polisi Dar
MAHABUSI za vituo vya Jeshi la Polisi nchini Tanzania zimegeuzwa “jehanamu” za polisi kutesea mahabusu kinyume cha sheria, imefahamika. Baadhi ya mahabusu walioshikiliwa katika mahabusi hizo wameeleza kuwa vituo...
JESHI la Polisi nchini Tanzania limeingia katika hatua mpya ya uonevu na udhalilishaji wa raia, baada ya akina mama waliokuwa wameshikiliwa na polisi kwa siku kadhaa kinyume cha sheria...
NDANI ya siku tatu, Jeshi la Polisi limekamata na kunyima dhamana wanachama wa Chadema zaidi ya 40 katika Jiji la Dar es Salaam, SAUTI KUBWA imeelezwa. Leo pekee, polisi...
Justice
People and Events
Politics
Kesi ya Mbowe yashindikana kusikilizwa kwa masafa. Polisi wadhulumu wafuasi wa Chadema mahakamani
JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam leo limelazimika kutumia nguvu kutawanya wafuasi na mashabiki wa Chadema waliokuwa wamekusanyika nje ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kufuatilia...
