TAARIFA kutoka Mtwara zinasema Mahakama Kuu imezuia zinasema serikali kutumia kanuni mpya za mtandaoni ambazo zilipangwa kutumika kuanzia tarehe 4 Mei 2018. Hakama Kuu Kanda ya Mtwara leo imetoa...
Author: Ansbert Ngurumo
MOHAMED Salah, mshambuliaji wa klabu ya Liverpool, ambaye timu yake itakutana na Real Madrid katika mechi ya fainali za klabu bingwa ulaya (UEFA), amesisitiza kwamba si vema watu kutazama...
JUKWAA la wahariri Tanzania (TEF) limemtaka Rais John Magufuli kuchukua hatua dhidi ya “watu wasiojulikana” wanaohatarisha uhuru na amani ya waandishi wa habari na raia wengine. Ujumbe wa wahariri...
ASILIMIA 40 ya shahada zinazotolewa na vyuo vikuu sasa zitatoweka kwa kukosa umuhimu kwenye jamii katika miaka 10 ijayo, utafiti mpya umebaini. Utafiti huo uliofanywa na taasisi ya Ernst...
TANZANIA na Israel, ambazo zimekuwa na uhusiano wa shaka tangu 1973, sasa zinajenga uhusiano mpya kwa kuanzisha ushirikiano wa kidiplomasia kwa vitendo. Kuazia wiki ijayo, Tanzania inatarajiwa kufungua ubalozi...
SOPHIA Mwakagenda, mbunge wa viti maalumu (CHADEMA) – wa kwanza kushoto pichani – ametwaa tuzo ya heshima ya mwanamke bora katika muongo mmoja wa kusaidia jamii. Sophia amekabidhiwa tuzo...
Na Mwandishi wetu KUTENGWA kwa Askofu Dk. Alex Malasusa wa Dayosisi ya Mashariki na Pwani (DMP) ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) kumeleta fukuto na mjadala mkali...
BAADA ya saa 12 kamili jioni tarehe 30 Aprili, mambo mitaani yamebadilika katika Jiji la Helsinki, Finland. Shamrashamra za Siku ya Wafanyakazi Duniani, ambayo huadhimishwa Mei Mosi kila mwaka,...
MAGOLI matatu ya Lionel Messi yamewezesha Barcelona kubeba kombe la Ligi Kuu ya Hispania kwa mara ya tatu ndani ya miaka minne mfululizo. Ikicheza ugenini, Barcelona ilifunga magoli manne dhidi...
SERIKALI ya Zimbabwe imeruhusu wananchi wake kulima bangi kwa ajili ya matumizi ya kitabibu. Kwa mujibu wa gazeti la The Independent la Zimbabwe, nchi hiyo inakuwa ya pili barani...