MTAFITI mmoja wa Kijerumani “amegundua” mti ambao unadhaniwa kuwa mrefu kuliko yote Afrika. Mti huo unapatikana Tanzania. Kwa habari zaidi, soma hapa.https://m.news24.com/Africa/News/top-africa-stories-africas-tallest-tree-mugabe-nigeria-20180614
Author: Ansbert Ngurumo
Askari wa Rwanda walio Mererani hawalindi ukuta wa madini, bali wanalinda nyumba ya Kagame, na siri zake na Magufuli URAFIKI wa karibu kati ya Rais John Magufuli na...
Politics
Ndugai akuza deni la matibabu nje ya nchi. Adaiwa kulamba milioni 500 ndani ya miezi mitano
JOB Ndugai, Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano, na Rais John Magufuli wamenyoshewa kidole, wakihusishwa na ongezeko kubwa la deni la matibabu nje ya nchi. Deni hilo limeongezeka...
Politics
Religion
Magufuli apambana rasmi na maaskofu. Atishia kufuta Wakatoliki na Walutheri Tanzania
SERIKALI ya Rais John Magufuli imeanza rasmi kupambana na viongozi wa dini wanaoikosoa, na sasa imeanza “kushughulikia” makanisa kama njia ya kuadhibu maaskofu walioandika nyaraka za kichungaji katika kipindi...
Sugu awavunja mbavu wabunge kwa kusema Ustadhi Ali Kingi ni rafiki yake wa kitimoto.
TUNDU Lissu, mbunge wa Singida Mashariki ambaye anaendelea na matibabu katika University Hospital Leuven, Ubelgiji, anasema kuwa licha ya mbwembwe za Rais John Magufuli kuhusu “mabadiliko” anayodai kufanya katika...
Magufuli is an Idi Amini and Hitler of Tanzania
