MWIGULU Nchemba, Mbunge wa Iramba Magharibi, ameondolewa katika wadhifa wa waziri wa mambo ya ndani kwa sababu “ameshindana na rais” katika kutekeleza baadhi ya “maagizo kutoka juu,” SAUTI KUBWA...
        
    Author: Ansbert Ngurumo
                            Politics
                            
            
                 
        
        
        Tundu Lissu anyamazisha wapika propaganda wa Lumumba wanaotunga maneno kuhusu tukio la kuumizwa kwake
            WAPIKA propaganda wa CCM wamekuwa wanahangaika na tukio la Tundu Lissu kupigwa risasi tarehe 7 Septemba 2017; wakitaka kulnda uhalifu aliofanyiwa kama ambavyo serikali imelinda askari polisi waliomuua Akwilina...
        
    
                            Politics
                            
            
                 
        
        
        Waning civic space in Tanzania prompts strong report on rights abuses. Magufuli’s autocratic regime under fire.
            THERE are apparent worries over a waning civic space in Tanzania. The president is spreading fear everywhere as means of asserting his control over everybody and every institution. With...
        
    
            BARAZA la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) limefanya mabadiliko ya uongozi na kupata viongozi watatu wapya – rais, makamu wa rais na katibu mkuu. Katika mabadiliko hayo, Mhashamu Askofu Gervas...
        
    
            MSETO newspaper, a weekly publication banned by the government of Tanzania in 2016, has won a court case after serving 22 months of a 36-months “sentence.” Subsequently, the East...
        
    
            BABA Mtakatifu Francis amemteua Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Mwanza Yuda Thaddeus Ruwaichi kuwa mrithi mtarajiwa wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, ambalo limekuwa linaongozwa na Mwadhama...
        
    
            RAIS John Magufuli amemteua Ludovick Utoh kuwa mwenyekiti wa taasisi ya uhamasishaji uwazi na uwajibikaji katika raslimali za madini, mafuta, na gesi asilia. Utoh ni mstaafu ambaye alikuwa mdhibiti...
        
    
            Kamati ya Bajeti imesema Stempu za Kielectroniki (Electronic Tax Stamp-ETS) NI KASHFA KUBWA: Kampuni iliyopatikana kinyemela kulipwa TZS67 bilioni kwa mwaka. Hii hapa kauli ya kamati kama ilivyowasilishwa na...
        
    
            WAISLAMU nchini Tanzania wameandika na kusambaza waraka wa Idd wakiwaomba wananchi kutafakari mustakabali wa nchi katika kipindi hiki kigumu kinachosababishwa na serikali kutojali haki za raia na kuendekeza siasa...
        
    
            FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chadema, ambaye pia ni Kiongozi wa Upinzani Bungeni (KUB), amesema serikali imepeleka bungeni bajeti hewa. Mbali na kuzungumzia bajeti ya mwaka huu, Mbowe amechambua pia...
        
     
            
        
 
                 
                 
                 
                 
                 
                 
                 
                