Naweza kukushuhudia kuwa kazi ya uvuvi haramu imeweza kuniharakishia maisha kwani nilioa, nikanunua gari na kujenga angalau nyumba ndogo...
Main
Afya
Economy
Justice
Main
People and Events
Politics
Wafugaji na viongozi wao Ngorongoro wapinga kanusho la serikali
Mwenyekiti wa Kijiji Kayapus amesema kuwa athari ya sumu hiyo haikuwa kwa mifugo pekee, bali pia kwa binadamu waliokunywa maziwa na kula nyama ya ng'ombe hao. Wengine walikufa, na...
Afya
Business
Economy
Main
People and Events
Tourism
‘Chumvi ya serikali’ yapukutisha mifugo Ngorongoro
Familia ya David Kondoro ya Kijiji cha Oloirobi Kata ya Ngorongoro ilipoteza ng'ombe 35, kati ya 40. Pichani, familia yake inashuhudia mabaki ya mifupa ya mifugo yao iliyokufa...
Qatar ndiyo walitakiwa kujifunza Tanzania kuhusu kilimo cha mbogamboga na matunda. Eneo lenye maji Tanzania ni ni 6.4% wakati Qatar ni 0.8%. Kilimo cha umwagiliaji nani alitakiwa kuwa mwalimu?
Afya
Business
Corruption
Main
Media
People and Events
Sports
Kubeti: Jinamizi linalotafuna vyeti, ndoa, pesa, ubongo, na uhai
- Dar es Salaam yatia fora kwa watoto kucheza kamari
- Serikali, wazazi, viongozi wa dini wabebeshwa mzigo
- Sheria inasema kamari ni mchezo wa burudani, si ajira
NAIBU Katibu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) upande wa Zanzibar, Salum Mwalimu, amesema Bunge la Jamhuri ya Muungano limepwaya, kwa kukosa wabunge mahiri kutoka Chadema. Amewaomba wananchi...
- Mbowe aahidi neema kwa wachimbaji madini wa Kitanzania
- Heche amshughulikia Waitara, wanaCCM 160 wahamia Chadema
Mwenyekiti na wajumbe wa serikali wahamia Chadema
WAKATI wanasiasa na wanaharakati wakihoji kwanini serikali imeziacha bandari za Zanzibari na kuziingiza bandari za Tanganyika pekee kwenye Mkataba wa Ushirikiano na Serikali ya Dubai, huku waliohusika kusaini mkataba...
- Mbowe aibuka na 'Dira ya Maendeleo Vijijini'
- Lissu akemea mauaji, ukandamizaji raia jirani na hifadhi