SERIKALI ya Zimbabwe imeruhusu wananchi wake kulima bangi kwa ajili ya matumizi ya kitabibu. Kwa mujibu wa gazeti la The Independent la Zimbabwe, nchi hiyo inakuwa ya pili barani...
Author: Ansbert Ngurumo
Hakuna shaka kwamba mateso na mauaji ya raia yanayotokea ni utekelezaji wa amri ya Rais John Magufuli.
HATA Rais Jakaya Kikwete anajilaumu kuhusu Rais John Magufuli. Rais Mstaafu Benjamin Mkapa naye vile ile; alimjua kwa upande mmoja kama “askari wake wa mwavuli.” Katika mengine wanayojuana, waliamua...
TAYARI kuna jambo moja kubwa ambalo Rais John Magufuli amefanana na Mobutu Seseseko, dikteta wa zamani wa Zaire, ambayo sasa inaitwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo. Katika utawala wake...
Na Mwandishi Wetu NGUVU iliyosababisha usaliti wa Askofu Dk. Alex Malasusa wa Dayosisi ya Mashariki na Pwani (DMP), ambaye ametengwa na Baraza la Kuu la maaskofu wa Kanisa la...
Ndugu zangu watanzania nawasilimu sana! Ikumbukwe kwamba mpaka hapa ulimwengu ulipofikia ni juhudi za mwanadamu kuhakikisha dunia inakuwa ndogo hata kwa kiwango cha kijiji. Dhumuni likiwa ni kurahisisha mawasiliano...
NILISIKILIZA kauli ya Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Ashatu Kijaji, wakati alipokuwa akieleza Bungeni “zilipo Shs. trilioni 1.5,” nikajiuliza, kwanini serikali hii inataka kutuchanganya kwa hesabu...
HOFU ya kiza cha ujinga inazingira serikali ya Tanzania, na sasa watawala wanapanga kufunga – Facebook, WhatsApp, Twitter na hata Instagram. Kupitia mitandao hiyo, si wanafunzi tu wanaopata uelewa...
RIPOTI ya mwaka 2018 inayotolewa na taasisi ya Waandishi wa Habari Wasio na Mipaka (RSF), kuhusu uhuru wa vyombo vya habari katika mwaka uliopita, inaonyesha kwamba ndani ya mwaka...