Kesi ya Mbowe: Shahidi awakomalia mawakili wa Jamhuri

Kama ilivyowasilishwa na ripota raia BJ kutoka mahakamani tarehe 01 Desemba 2021.

Mahakama inaanza Sasa

Jaji ameshaingia Mahakamani Saa 4 na Dakika 02

WAKILI WA SERIKALI Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji Ikupendeze naitwa Robert Kidando Wakili wa Serikali Mwandamizi nipo pamoja na,

Pius Hilla
Abdallah Chavula
Jenitreza Kitali
Esther Martin
Nassoro Katuga Wote Mawakili wa Serikali Waandamizi
Tulimanywa Majige ni Wakili wa Serikali

Kesi namba 16 ya Mwaka 2021 Khalfani Bwire, Adam Kasekwa, Mohammed Ling’wenya na Freeman Mbowe inatajwa hapa

WAKILI PETER KIBATALA: Mheshimiwa Jaji Ikupendeza Naitwa Peter Kibatala
Naomba Kuwatambulisha,

Nashon Nkungu
Paul Kaunda
Fredrick Kihwelo
Dickson Matata
Seleman Matauka
Evaresta Kisanga
Maria Mushi

JAJI: anaita Washitakiwa Wote wanne na wote wanaitika wapo Mahakamani hapa

WAKILI PETER KIBATALA: Tupo tayari Mheshimiwa Jaji

WAKILI WA SERIKALI Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji Shauri limekuja kwa ajili ya Kusikilizwa na Session inayo endelea ni Cross Examination,

Tupo tayari Kuendelea Na Wakili wa Serikali Abdallah Chavula Yupo Tayari Kuendelea na Maswali ya Cross Examination

JAJI: Shahidi Umeamkaje kwanza

SHAHIDI: Nashuku Mungu nimeamka Vizuri

WAKILI WA SERIKALI Abdallah Chavula: Mheshimiwa Jaji Kabla hatuja endelea Naomba Mahakama Yako inipatie D2 D3, D4 and D5 (Vielelezo)

JAJI: Naomba Nikikumbushe Kwamba Upo Chini ya Kiapo na Utaendelea Kujibu Maswali Chini ya Kiapo

JAJI: Karibu Wakili

WAKILI WA SERIKALI: Shahidi hebu tuambie, Tukumbushe, Kwamba Ulisema Uliulizwa Kutaja na DC Msemwa Tarehe 14 May 2020 Ndiyo..?

WAKILI WA SERIKALI Abdallah Chavula: Unafahamu Kwamba Jeshi la Polisi Limegawanyika Katika Idara Mbalimbali

SHAHIDI: Ndiyo

SHAHIDI: Ndiyo

WAKILI WA SERIKALI: Na Wewe Elimu yako umesoma Mpaka Level Gani

SHAHIDI: Nina Digrii Ya Elimu

WAKILI WA SERIKALI: Unasema Kwamba Ukiona Yule Bwana Siku ile amevaa Baji yake ikiwa na namba H4323

SHAHIDI: Ndiyo

WAKILI WA SERIKALI: Ilikuwa ni Uniform Kama na huyo Bwana..?
Unaelewa Maana ya Neno D/C

SHAHIDI: Ndiyo

WAKILI WA SERIKALI: Unafahamu Idara gani

SHAHIDI: Sijui zote

SHAHIDI: Sifahamu

WAKILI WA SERIKALI: Idara ya Upelelezi Wanavaa Uniform

SHAHIDI: Kuna Idara Ya Ukamataji na Upelelezi

WAKILI WA SERIKALI: na Wale Wa Ukamataji Wanavaa Uniform.?

SHAHIDI: Wengine Wanavaa na Wengine hawavai Wakati wanatukamata

WAKILI WA SERIKALI: Mimi Sasa Ndiyo Nakwambia Hawavai Uniforms

SHAHIDI: Sifahamu

WAKILI PETER KIBATALA OBJECTION huu siyo Wakati wa Submission, Wakili anaanza kutoa yeye Ushahidi

JAJI: Sawa

WAKILI WA SERIKALI: Unasema Siku unaenda Pale Oysterbay Kwamba Ulimkuta DC Msemwa

SHAHIDI: ndiyo

WAKILI WA SERIKALI: Shahidi Naomba Usimame nataka Nikuonyesha kitu

SHAHIDI: Mguu unauma

WAKILI WA SERIKALI: Sawa, Jana Ulisema Kwamba DC Msemwa alikuwa na Umbo Kubwa Kuliko Wewe

SHAHIDI: Nilisema Kwamba DC Msemwa anaweza Kuwa Mpana Kuliko Mimi au anaweza asiwe Mpana Kuliko Mimi

WAKILI WA SERIKALI Jana Ulisema kwamba kwamba Ulifahamu Kwamba DC Msemwa alikuja Kutoa Ushahidi Kupitia Mitandao ya Kijamii
Kwa hiyo Unataka Mahakama Iamini hivyo

SHAHIDI: Ndiyo

SHAHIDI: Ndiyo, ila Vyombo Vya Habari havidanganyi

WAKILI WA SERIKALI: Kwa hiyo Hukumuona Kwa Macho Alitoa Ushahidi

WAKILI WA SERIKALI: Hakuna Mahala Hapa Mahakamani Ulisema Kwamba Ulimtambua DC Msemwa

SHAHIDI: Nilisema Mitandao ya Jamii au Vyombo Vya Habari

SHAHIDI: Sikusema, lakini nilimtambua kwa Majina yak

WAKILI WA SERIKALI: Je Ushahidi huo ulileta hapa Mahakamani?

SHAHIDI: hapana sikuleta

WAKILI WA SERIKALI: Shahidi Nilisikia Umesema Kwamba Siku ya Tarehe 19 May 2020 uliporudishwa Oysterbay Uliwakuta nani na nani

SHAHIDI: Walikwepo Sam na Khadija

WAKILI WA SERIKALI: DC Msemwa Umemtambua kwa Beji yake na Jina lake

SHAHIDI: ndiyo

WAKILI WA SERIKALI: Sasa nitakuwa Sahihi Nikisema Kwamba Tangu Ilipoanza Kutoa Ushahidi, Hakuna Mahala Popote Uliposema Sama na Khadija Hukutaja namba zao za Ajira
Uliiambia Mahakama..?
Vilevile Hukueleza Kwamba Sam na Khadija Ulitambua Vipi Majina yao

SHAHIDI: Hapana

WAKILI WA SERIKALI: Lakini Hukueleza Mahakama Kuhusiana na namba zao za Ajira

SHAHIDI: Ni Kweli Sikueleza

SHAHIDI: Ndiyo

WAKILI WA SERIKALI: Ukiachana na Tarehe hiyo, Ni lini tena pale Oysterbay Ulimkuta Sam na Khadija

SHAHIDI: Tarehe 10 August 2021

WAKILI WA SERIKALI: Nitakuwa Sahihi Kwamba wewe Kwa Tarehe hiyo 10 August 2021 Hakuna Mahala Umeeleza Mahakama Kwamba Uliwatambua Vipi Kwamba Wale ni Khadija na Sam

SHAHIDI: Nilieza Mahakama

WAKILI WA SERIKALI: Lakini Hukueleza Mahakama Kuhusiana na namba zao za Ajira

SHAHIDI: Ndiyo

WAKILI WA SERIKALI: Nitakuwa Sahihi Nikisema Kwamba Siku ambayo DC Msemwa Asipo kuwa zamu ni Askari Wengine Ndiyo waliokuwa wanakuletea Chakula

SHAHIDI: hapana si Kila siku

WAKILI WA SERIKALI: Nitakuwa Sahihi Kwamba Kila Siku Ulipokuwa Kule Chini aliyekuwa anakuletea Chakula kule Chini ni DC Msemwa

SHAHIDI: sahihi

Iambie Mahakama Kwamba Tangu Ufikishwe pale Oysterbay tarehe 14 May 2020 Ulikaa Kwa Muda Gani

SHAHIDI: siku 19

WAKILI WA SERIKALI: Nitakuwa Sahihi Kwamba Wakati Wote ulitoa Ushahidi Hapa Mahakamani, hukutaja Jina la Askari Wengine Waliokuwa wanakuletea Chakula Kule chini

SHAHIDI sahihi

WAKILI WA SERIKALI: Niambie Wale Askari walipokuja Nyumbani Kwako Mwanga Kukukamata Walikupekua Maungon
I Iambie Mahakama tangu unakamatwa Mpaka Unafikishwa Oysterbay ni wakati Gani Ulipekukiwa Mauongoni

SHAHIDI: hawakunipekua

WAKILI WA SERIKALI: Kwa hiyo Wewe Ulipekukiwa Maungoni Mara Moja tuh Polisi Central Moshi

SHAHIDI: ndiyo

WAKILI WA SERIKALI: Lakini Mimi naamini Kwamba Hawa kukuta na Kitu Chochote

SHAHIDI: Ndiyo

WAKILI w6a SERIKALI: Kwa hiyo Ujaieleza
Mahakama Ulipo pekuliwa Pale Central Moshi Walikukuta na nini
Na Hii Inatokana kwa sababu Ulikuwa Nyumbani Kwako Umelala wakakubeba Msobemsobe, Hukubeba Chochote
Na toka Wanakukamata Nyumbani Kwako Haku kuachia Huru Wakati wowote, Mpaka wanakufikisha Moshi

SHAHIDI: kweli
SHAHIDI Ndiyo

WAKILI WA SERIKALI: Licha ya Kwamba Ulikamatwa Hukuwa na Kitu chochote Ulipekukiwa Hukuwa na Kitu chochote, na Mpaka Unafikishwa Central, Lakini Bado Ukiweza Kumuelekeza Msemwa akachukue Ela Kwenye PPR yako Akakuchukukie Chakula

SHAHIDI: Kweli

WAKILI WA SERIKALI: Ni kweli Kwamba Katika Ushahidi Wako wote hapa Mahakamani, Hakuna Sehemu Umesema Kwamba Ulipofika Oysterbay Ulimkabidhi Vitu kadha wa kadha
Jibu swali Hapa Mahakamani Ukiongea Kwamba Ulikabidhi Vitu

SHAHIDI: Sikuongea

WAKILI WA SERIKALI: Katika Ushahidi Ulioutoa Kwamba Ulipofika Oysterbay Polisi walikuandikia PPR ukaenda naye Mahabusu

SHAHIDI: Sasa PPR nilipataje

SHAHIDI: Naomba arudie Swali Lake

JAJI: Mimi Sikumbuki Kama Ulijibu

SHAHIDI: Nimeshalijibu Kupitia Swali lililopita

WAKILI WA SERIKALI: Naomba a ijibu Swali langu Mheshimiwa Jaji

WAKILI WA SERIKALI: Vilevile Hukueleza Mahakama Kwamba Pesa Ulizo ziacha pale Polisi ni TSh ngapi
Katika Ushahidi Ulioutoa Kwamba Ulipofika Oysterbay Polisi walikuandikia PPR ukaenda naye Mahabusu

SHAHIDI: Ndiyo
SHAHIDI: Ndiyo

WAKILI WA SERIKALI: Na Hujaeleza Kwamba Yule DC Msemwa Ulimpa Kiasi gani akakununulie Chakula

WAKILI WA SERIKALI: hiyo ni Nyaraka gani

SHAHIDI: Ni Charge Sheet

WAKILI WA SERIKALI: Unaifahamu Wewe

SHAHIDI:ndiyo

WAKALI WA SERIKALI: Mheshimiwa Jaji naomba Nimuonyeshe Shahidi Exhibit D4
Kwamba Tarehe 19 May 2020 ulipewa hiyo

SHAHIDI: Kwa sababu Siku Nafika Mahakamani Tarehe 19 May 2020 na Kwa sasa Ndiyo nimeitoa Mahakamani

WAKILI WA SERIKALI Kivipi

WAKILI WA SERIKALI: Ni sahihi Nikisema Kwamba hiyo Nyaraka ni Photocopy

SHAHIDI: Ndiyo Nilipewa Alafu ika chukuliwa na Wakili wa Serikali

SHAHIDI: Ndiyo

SHAHIDI: We Uliza Swali, Nishaiona

WAKILI WA SERIKALI: Ifungue yote
Hiyo Nyaraka ni wapi Ina Muhuri Wa Mahakama Kwamba Ni Nyaraka ya kweli kutoka Kwenye Nyaraka halisi
Ni Mahala gani inatambukisha au Kuonyesha kwamba wakati Unaleta Kisutu Kwamba Ulikuwa Unatoka Oysterbay

SHAHIDI Hakuna

SHAHIDI: Haina

WAKILI WA SERIKALI: Iambie Mahakamani
Ni wapi Katika Nyaraka Hiyo Pameandikwa ni Copy kutoka katika Nyaraka halisi

SHAHIDI: Hakuna Nyaraka Inaweza Kuonyesha hivyo na Haiwezi Kuwa nayo

WAKILI WA SERIKALI: Nyaraka hiyo inakuhusisha na Makosa yapi

SHAHIDI: Matumizi Mabaya ya Mtandao

WAKILI WA SERIKALI Mheshimiwa Jaji naomba anisomee, Shahidi amekuwa Mkaidi

SHAHIDI Nimeshaisoma Jana

JAJI: Shahidi Soma, Jana Wakati unasema Hakuwa a nakuuliza Maswali

WAKILI WA SERIKALI: Unaweza kutusomea

Shahidi ANASOMA

[Shahidi Publication of phonograph

WAKILI WA SERIKALI: Soma na Sehemu za Particulars
Soma hizo phonograph sasa

WAKILI NASHON NKUNGU: Mheshimiwa Jaji Shahidi ameshasema, Tukiendelea na Mfumo huo hatutomaliza

SHAHIDI: anasoma

JAJI: Mwanzo wakati anasoma Siku andika, Sasa wakili anataka ataje ili niweze Kuandika.

WAKILI PETER KIBATALA: Mheshimiwa Jaji haina shida Tunamruhusu shahidi asome Kwa Kadri Iwezekanavyo

SHAHIDI: anasoma

WAKILI PETER KIBATALA: Mheshimiwa Jaji ni Busara tena aweze Kusoma

WAKILI WA SERIKALI: Nitakuwa Sahihi Kwamba Wakati Unatoa Kielelezo hapa Mahakamani, Hakuna Mahala Umeiambia Mahakama Kwamba Wakati Yote ya naendelea Kwamba Ulitoa Malalamiko yako Juu ya sahihi wa Mashitaka hayo

SHAHIDI: Naiomba, aunaniambia Nyaraka Wakati sina Nyaraka

WAKILI WA SERIKALI: Kwa Ulivyo Soma Nyaraka hii, D4

SHAHIDI: Ndiyo

WAKILI WA SERIKALI: Ukiingalia Nyaraka Hii haina Mahusiano na Shauri hili ambalo wewe Unalitolea Ushahidi
Nitakuwa Sahihi Nikisema Miongoni Mwa Mambo Uliyo muelekeza Wakili wako Kibatala ayafanye ni Kuomba Mwenendo Wa kesi iliyokuwa inakukabili wewe Mahakama Ya Kisutu

SHAHIDI: Ndiyo

WAKILI WA SERIKALI: Na wewe ulipewa Mwenendo huo

SHAHIDI: Ndiyo nikiongozwa na Wakili Fredrick Kihwelo

WAKILI WA SERIKALI: Uliisoma Yote

SHAHIDI ndiyo baada ya kutoka kisutu

WAKILI WA SERIKALI: Ni sahihi Kwamba Ulivyo Soma Ulielewa Yaliyomo Ndani ya hiyo Nyaraka
Baada ya Kumuhusisha Wakili Fredrick Kihwelo Nitakuwa sahihi Yaliyomo Ndani wewe Unayafahamu Sana
Kwa hiyo Ukisoma Mkiwa Wawili

SHAHIDI: Ndiyo Baada ya Kusoma ana Kuona Sielewi Nikamuimba Wakili Fredrick Kihwelo anifafanulie

WAKILI WA SERIKALI: Umetambua

SHAHIDI Ndiyo

WAKILI WA SERIKALI: Mheshimiwa Jaji naomba ni Muonyeshe D5

WAKILI WA SERIKALI: Ilikuwa Ikimuhusu Nani

SHAHIDI: Lembrus Mchome

WAKILI WA SERIKALI: Umetambua ni nini

SHAHID(: Mwenendo wa kesi

WAKILI WA SERIKALI: Unasema Kwamba Ulipelekwa Mahakamami Siku ya Tarehe 19 May 2020

SHAHIDI: Inaonyesha Kwamba Nilirudishwa Polisi lakini haijataja Ni Kituo Gani Kwa sababu Hakimu hakuwa anajua

WAKILI WA SERIKALI: Ni sahihi Kwamba Inaonyesha Ulirudishwa Kituo gani Cha Polisi

SHAHIDI ndiyo

WAKILI WA SERIKALI: Na Ni sahihi Hakimu aliagiza Kwamba Upelekwe Gereza la Keko

SHAHIDI; ndiyo

WAKILI WA SERIKALI: Hii ilikustaajabisha Sana Kwa sababu Ulitakiwa Upelekwe Gereza la Keko wewe Ukarudishwa Polisi Oysterbay

SHAHIDI: Sikustaajabu Kwa Sababu Ndiyo Ulikuwa Utaratibu Wa wakati huo

WAKILI WA SERIKALI: Uliridhika nao

SHAHIDI: Ndiyo

WAKILI WA SERIKALI: Sasa Shahidi nitakuwa Sahihi Kwamba Ukitizana Kielelezo namba 05 Kwamba Hakuna Sehemu inasema a ulikuwa Kituo Cha Polisi Oysterbay

SHAHIDI: Ndiyo haiwezi Kuwepo Hapo

WAKILI WA SERIKALI: Ni sahihi Kwamba wewe tuh Ndiyo ulikuwa unajua Umehifadhiwa wapi

SHAHIDI ndiyo

WAKILI WA SERIKALI: Lakini Wewe na wakili wako Hakuna Sehemu Mlieleza Mahakama Ya Kisutu Mlikuwa wapi

SHAHIDI: Mimi na Wakili Wangu Ndiyo tulikuwa tunajua

WAKILI WA SERIKALI: Nitakuwa Sahihi Kwamba Wakili wako akijua Umefikishwa Mahakamani Tangu Siku ya Tarehe 19 May 2020
Nitakuwa Sahihi Nikisema Kwamba Ulipata Kuonana Na Wakili wako tarehe 02 June 2020

SHAHIDI: Ndiyo, na Ndiyo ilikuwa Mwanzo wa Kuonana na Wakili Wangu
SHAHIDI: Hakupata Taarifa Siku hiyo, Nilipelekwa kihuni huni Bila Wakili Wangu Kujua

WAKILI WA SERIKALI: Sasa Shahidi Hili Shauri wewe, Kesi hii kwa Ujumla
nitakuwa Sahihi Kwamba Ulianza kuifutilia toka Ilipoanza Kusikilizwa na Mahakama

SHAHIDI: Ndiyo

SHAHIDI Ndiyo

WAKILI WA SERIKALI; Sasa Shahidi Jana Wakati Unahojiwa na Wakili Mwenzangu, Juu ya Ufahamu wako wa S
Kesi Ndogo Ya Hassan Kasekwa, na wewe Ukasema Kweli Ulikuwa na Ufahamu Wa Kesi Ndogo,

Sasa Licha ya Kuwa Ulikuwa unafahamu Kesi Ndogo Ya Adam Kasekwa, hukueleza Mahakama Sababu ya wewe Kutokuja Kutoa Ushahidi, hilo wewe Huku zungumza Katika Ushahidi Wako

WAKILI WA SERIKALI: Mpaka Kufikia Sasa Matukio Yaliyokuwa yanajiri Kipindi cha Nyuma yote Unayafahamu

WAKILI WA SERIKALI: Samahani Mheshimiwa Jaji na wasiliana na Wenzangu Kidogo

WAKILI WA SERIKALI: Mheshimiwa Jaji naomba Kumuonyesha Shahidi D3

WAKILI WA SERIKALI Pius Hilla: Nashukuru Mheshimiwa Jaji

JAJI: Mr Hilla Yake ambayo yameshaukizwa naomba Usiulize

WAKILI WA SERIKALI: Mheshimiwa Jaji naomba nimkaribishe Mwenzangu Pius Hilla naye anamachache

WAKILI WA SERIKALI: Ni kweli hiyo Dispatch Book haina sehemu ya entry ya Msemwa

WAKILI WA SERIKALI Mr Mchome Nyaraka hiyo Niliyo Kuonyesha ni nini

SHAHIDI: Ni Dispatch Book

Shahidi :Ndiyo kwa Sababu ilikuwa inahusu Mahakama Hakimu Mkazi Kisutu

WAKILI WA SERIKALI: Je ina Ushahidi Wowote Kuhusiana na Ushahidi alioongea Msemwa.?

SHAHIDI: Hapana

WAKILI WA SERIKALI: Dispatch hiyo ina Jina lako wewe Kwamba Ulikuwa Oysterbay

WAKILI WA SER6IKALI: Jibu swali

WAKILI WA SERIKALI Abdallah Chavula:Kuna hii tabia Mheshimiwa Jaji tunaomba Mahakama Yako Itoe ufafanuzi, Wakili wa Mshtakiwa hasimami ila Unakuta anasimama Wakili Mwingine

WAKILI NASHON NKUNGU: Mheshimiwa Jaji Lazima tupinge hilo, Kuna tabia Jibu likibiwa hawataki, Tunaomba Jibu liheshimiwe

SHAHIDI: Siyo Kazi ya Dispatch hiyo, kazi yake ni Kupokea Barua

WAKILI PETER KIBATALA: Mheshimiwa Jaji Wa napaswa wa fahamu Kwamba Mohammed Ling’wenya ni Co Accusate wa Kila Wakili

WAKILI FREDRICK KIHWELO: Mheshimiwa Jaji Shahidi amesha Jibu Swali

WAKILI WA SERIKALI: Na wala Ujui Makosa wanayo Daiwa kutendeka Yametokea wapi,

SHAHIDI: Najua Kupitia Vyombo Vya Habari

WAKILI WA SERIKALI: Hujui kupitia Nyaraka zilizopo Mahakamani

WAKILI WA SERIKALI: Ni sahihi Kwamba Kwenye kesi hii Hapa Mahakamani Ujui zaidi ya kwenye Mitandao na Vyombo Vya Habari

SHAHIDI: Ndiyo

WAKILI WA SERIKALI: Ni hayo tuh Mheshimiwa Jaji

JAJI: Asante Shahidi, Hiyo siyo ya kwake ni Ya Mahakama

SHAHIDI: Umesahau Dispatch yako

Kaomba kasahau Kurudisha

Mahakama Kichekoooooo

WAKILI FREDRICK: Jana Uliulizwa Kuhusiana na Tweet zako, Michongo, Je zilikuwa na Maana gani

JAJI: Jana nyie Mliuliza nini

WAKILI WA SERIKALI Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji OBJECTION Jana nili uliza kuhusu Maana,

WAKILI WA SERIKALI Robert Kidando: Kuhusu Maana ya Hizo Tweet

JAJI: Sasa Tatizo lipo wapi

WAKILI WA SERIKALI Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji naomba Kuondoa Hiyo OBJECTION Yetu tumuache ajibu

WAKILI FREDRICK: Jana Uliulizwa Kuhusiana na Tweet zako, Michongo, Je zilikuwa na Maana gani

SHAHIDI: Zilikuwa na Maana Kwamba Kuna Baadhi ya Mashahidi Wanaoletwa mahakani siyo Mashahidi Wa Ukweli

Mashtaka ya Kukumbuka

Na Vilevile Mahakama Itende Haki
[
WAKILI FREDRICK: Uliulizwa Kuhusiana na Uanachama wako na Mapenzi yako kwa Mbowe

SHAHIDI: Mimi nafahamiana na Mbowe na Mbowe ni Mwenyekiti wangu na Ni Mwanachama na Kiongozi wa Chadema lakini Hapa Sijaja Kumtolea Ushahidi Mbowe Nimekuja Kutolea Ushahidi Mohammed Ling’wenya

WAKILI FREDRICK: Uliulizwa Kwamba Ulipoendw Central Moshi Hukukutwa na Chochote, Ulikuwa na unamaanisha nini

SHAHIDI: Kwamba Nilikaguliwa sikuwa na Kitu chochote zaidi ya nguo zangu

JAJI: Wakili Matata Unajambo Lingine
Lakini Kama Ulivyo Sema Kwamba Unataka Haki itendeke basi naamini Umefanya hivyo Sababu ya Haki
Bwana Mchome, Asante Kwa Ushahidi Wako, na Vilevile naomba Radhi tumekukalisha Hapo ukiaa Magonjwa na maumivu

WAKILI PETER KIBATALA: Mheshimiwa Jaji Wenzetu Wana Shahidi Mwingine lakini tunaomba Hisani yako na Understanding ya Wenzetu Tupewe Nusu Saa na tuingie Saa 6 Kamili na Shahidi Mwingine

JAJI: basi Tuna break Kwa muda Wakama Dakika 27 hivi, Tutarudi Mahakamami Saa 6 Kamili

SHAHIDI: Asante Mheshimiwa Jaji

WAKILI WA SERIKALI Robert Kidando:Sawa Mheshimiwa Jaji

Jaji Kaongea Muda tutarudi Saa Saba Kamili

Jaji amerejea Mahakamani Muda huu Saa 7 na Robo

WAKILI WA SERIKALI Robert Kidando:Mheshimiwa Jaji tupo Kama awali isipokuwa Pius Hilla ametajwa na Dharula, Sisi tupo tayari Kuendelea

JAJI: Mlisema mnashahidi Mwingine

Kesi namba 16 ya Mwaka 2021 Khalfani Bwire, Adam Kasekwa, Mohammed Ling’wenya na Freeman Mbowe inatajwa tena Muda huu

WAKILI PETER KIBATALA: Mheshimiwa Jaji Kwa Ruhusa yako sisi tupo tayari na Quorum ipo kama awali

Shahidi anaenda Kwa Ukakamavu sehemu ya Kizimba

JAJI: Majina yako

SHAHIDI: Amiri Samheta
Mhina

JAJI: Umri wako

SHAHIDI: 32

JAJI: Kabila

SHAHIDI: Mzigua

JAJI: Dini yako

SHAHIDI: Mkristo

Shahidi Naapa Mbele ya Mahakama hii, Kwamba Ushahidi nitakao toa utakuwa wa kweli, kweli tupu Eehee Mwenyezi Mungu Nisaidie

WAKILI DICKSON MATATA: nitamuongoza Mheshimiwa Jaji

DICKSON MATATA: Shahidi kazi yako kwa sasa ni nani?

SHAHIDI: Mkulima

DICKSON MATATA: Unafanyika wapi huo Ukulima?

SHAHIDI. Mkoani Tabora

DICKSON MATATA: Unalima Mazao Gani

SHAHIDI: mahindi

DICKSON MATATA: Kabla ya hapo Ulikuwa wapi

SHAHIDI: Ni Sangasanga, Wengi wamezoea Kuita Ngerengere

Shahidi Askari Wa Special Force Kilichopo Mkoani Morogoro

DICKSON: Morogoro ni Kubwa ni Wapi Kikosi Kinaitwa Je
kazi ya inakuwa nini

SHAHIDI: 92 Special Force battalion

DICKSON: Tutajie Kazi zenu

SHAHIDI: Askari Ambaye yupo tayari Kwa Muda wowote Kuitwa a kwenye Mapigano
Ikitokea Upo Kwenye Ndege unakuwa Paratroopers, Unashuka Kutoka Kwenye Ndege kwa kuruka Kuja Ardhi I Kutekeleza Majukumu Mbakimbali

DICKSON MATATA: Kazi Nyingine
We Ushawahi kwenda wapi

SHAHIDI: Majukumu Mbalimbali kama Vile Operesheni mbalimbali Za Nje ya Nchi Kama Sudan na Congo

SHAHIDI: Nishawahi Kwemda Sudan Kaskazini

WAKILI DICKSON: Ulikwenda Mwaka gani

SHAHIDI: Mwaka 2014

SHAHIDI: Kutunza Amani

WAKILI DICKSON: Ulikwenda Kufanya nini

SHAHIDI: 2007 Nikaenda Jeshi la Wananchi (JWTZ)

WAKILI DICKSON: Kazi ya Jeshi Ulianza Mwaka gani

SHAHIDI: 2011 Nilienda Kupiga Intake ya Special Force inaitwa 01 INTAKE
Kilicho Tolea nilipata Shida ya Afya ya Brain Sarcastic

WAKILI DICKSON: ieleze Mahakama Nini Kilitokea Mpaka Sasa Haupo Jeshini
ambayo ni nini
Ugonjwa huu Unatokana na nini

SHAHIDI: Ni Ugonjwa wa Akili
Siwezi Kusema Sababu za Kidaktari lakini ni Ugonjwa Unatokea nilipokuwa kazini
Kwa Misimu kama Miwili, Ikapelekea Kupelekwa Lugalo na Nikawa nimekaa Kwa Muda kiasi Kumpelekea Kuwa Mtoro Kazini

WAKILI DICKSON: Uliumwa Muda gani
Unakitu Gani unachoweza Kuthibitisha Kwamba Uliumwa na Ulifikishwa Lugalo

SHAHIDI: Siwezi Kusema Nini Kilitokea Kwa sababu baada ya Matibabu nilirudi Kambini na Taarifa zote zilibakia Hospitali Hakuna Taarifa niliyopewa kwa Sababu Taarifa zote zilibakia Palepale Lugalo

WAKILI DICKSON: Kwanini zilibakia Pale Lugalo

SHAHIDI: Baada Ya Mimi Kuumwa na Kupelekea Sababu za utoro,nikifungwa kijeshi, nilipo maliza Kifungu cha Kijeshi nilirudi Kambini Kuendelea Na Majukumu Mengine ya kazi

WAKILI DICKSON: Ieleze Mahakama Kuna Uhusiano Gani ya huo Ugonjwa na wewe Kutokuja Kazini
Ikawaje

SHAHIDI: Nilikutana na Mkuu wa Kikosi ambaye alisema haiwezi Kukaa na Mtu Mwenye Matatizo Kama Yangu hivyo akani alert Muda wowote atanifukuza Kazi

WAKILI DICKSON: Mkuu wako wa Kikosi anaitwa Nani

SHAHIDI: Luteni kanali Hiera

WAKILI DICKSON: ambacho kwa sasa unasema

SHAHIDI: Kashastaafu

WAKILI DICKSON: Baada ya Pale nini Kiliendelea
Baada ya fomu Ilikuwaje

SHAHIDI: Baada ya Kuni alert Atanifukuza alikuja Karani Mkuu wa Kikosi, kanijazisha Fomu ambazo ni Kibali cha kuachishwa Kazi

SHAHIDI Baada ya Kuona Kuna Malipo na Dai Baada ya Kuwa kwenye Kifungu, na Haki zangu ikanilazimu kwenda Makao Makuu ya Jeshi Kwa Malalamiko zaidi

WAKILI DICKSON: Baada ya kwenda Huko

SHAHIDI: Nikijazishwa Fomu za malalamiko na Kutaarifiwa kwamba baada ya wao Kumjukisha Mkuu wa Kikosi Changu Kuhusu Malalamiko nitatarifiwa tena

WAKILI DICKSON: Baada ya Hapo Ukiachishwa Kazi lini

SHAHIDI: Nilikaa Kwa Muda Mrefu Kwa ajili ya Majibu Lakini Hakuna Kilichotokea Wala Sikuoata Mrejesho Kutoka Wizara ya Ulinzi

SHAHIDI: Tarehe 26 April 2020 ndipo nilipoachishwa kazi Ramsi kwa Maana Kutolewa Kwenye Nguvu ya Jeshi

WAKILI DICKSON: Sasa Umesema Kwa Utovu wa Nidhamu, We Unasemaje Kwa Ajili ya utovu wa kinidhamu

SHAHIDI: Kwenye a Malalamiko Niliandika Kwamba nimeonewa na Situation Yangu ilikuwa inatambulika Kidaktari

WAKILI DICKSON: Sasa Baada ya Kupewa Taarifa, Ulipewa nini Kuonyeshwa Kwamba Umefukuzwa Kazi

SHAHIDI: Hakuna Nyaraka Yoyote Niliyopewa, Baada ya Kutoka Upanga (NGOME) kwenda Kupeleka Malalamiko iliniladhimu Kumuona Chief Personnel ambaye ni Ndiye Afisa Muajiri Mkuu wa Jeshi

WAKILI DICKSON: Kwanini Sasa Ulienda Dodoma

SHAHIDI: Nilienda Dodoma Kwa Chief Personnel kwa sababu Ndiye anaye husika na Ajkra Jeshini Niliona Kwa Kwenda Kule Naweza Kupata Majibu ya Malalamiko Yangu

WAKILI DICKSON: Ilikuwaje Ulipofika kwa Chief Personnel

SHAHIDI: Kwa sababu Sikuwa na appointment Naye, ilibidi nifuatw taratibu za Kijeshi Niache Malalamiko Yangu ili yatakapo Mfikia aniite tena

WAKILI DICKSON: Nini Majibu Kutoka Kwa Chief Personnel

SHAHIDI: Mnamo tarehe 19 September 2020 nikiwa Maeneo ya Nyumbani Rafiki yangu alikuwa anaitwa Dida alinipigia Simu Twende Kuna sehemu Kuna Pub Tukaangalie Mpira

SHAHIDI: Pamoja na Kusubiri Kwa Muda wote Hakuna Majibu yalitoka Rasmi Mpaka Kibali Kikiokuja Kutoka Rasmi hiyo Tarehe 26 April 2020

WAKILI DICKSON: shahidi Unakumbuka nini Kuhusu Tarehe 19 September 2020

WAKILI DICKSON: Unaposema Nyumbani ni Nyumbani Wapi

SHAHIDI: nyumbani Tabora
Shahidi Tabora Mjini

WAKILI DICKSON: Unasema Uliligiwa Simu na Rafiki yako Mkaangalie Mpira Je ni Pub gani

SHAHIDI: Tabora Mjini, Sehemu Inaitwa Makokora

SHAHIDI: Inaitwa OXYGEN PUB

WAKILI DICKSON: Ikawaje

SHAHIDI:
Nilipokuwa Najaribu kwenda Kwenye Lile eneo Kuangalia Mpira Ghafla Nilikamatwa na Task Force Police

WAKILI DICKSON: Walikuwa wangapi
Baada ya Kukukamata Pale Oxygen, Kabla ya Kukukamata Walifanya nini

SHAHIDI: Walionikamata Walikuwa wawili lakini baadae niligundua nimezungukwa na Askari Wengi waliokuwa wa nasubiri kuwa na Nita chukua Hatua Gani

WAKILI WA SERIKALI: Robert Kidando OBJECTION hiyo ni Leading Question

WAKILI DICKSON: Kabla ya Kukukamata Walifanya nini

SHAHIDI: Kuna Askari Mmoja alitoa Pistol akasema nahitajika Mkoani Kwa RCO

WAKILI DICKSON: Ikawaje sasa
Ilikuwa ni Gari Gani

SHAHIDI: Baada ya Kuona Naitwa sehemu salama ilinilazidhimu Kukubali Kupanda Hiyo Gari Kuelekea Mkoani. Toyota Land Cruiser, Nyeusi

WAKILI DICKSON: Mlikuwa wangapi Kwenye Gari

SHAHIDI: Jumla ya Watu wanne Wao watatu na Mimi Mmoja, Sababu Ndani ya Hilo Gari palikuwa na Dereva

WAKILI DICKSON: Wewe Ulikaa sehemu gani Kwenye hilo gari

SHAHIDI Mimi nilikaa Mbele Wao wawili Walikuwa wamekaa Nyuma

SHAHIDI: Nilikuwa Mimi na Dereva

WAKILI DICKSON: Hapo Mbele Ulikuwa na nani

WAKILI DICKSON Wakati Unakamatwa ulisema Ulikamatwa na Watu wawili lakini Uligundua Kuwa Kuna Askari Wengine wengi Ulijuaje

SHAHIDI: Nilikuja kugundua baada ya ku fikishwa Kituo cha Polisi baada ya Kuona Palikuwa na Convoy Iliyokuwa Inanifuata

WAKILI DICKSON: Kwa sisi ambao hatujapita Jeshi, Ukisema Convoy Unamanisha Nini

SHAHIDI: Msururubwa Magari ambayo Magari Yenyewe Yalikuwa Mawili

WAKILI DICKSON: Mlipofika Pale Tabora Ilikiwaje

SHAHIDI: Wakati wanasema wa nasubiri Kuniunganisha na Huyo RCO wakinifunga Pingu na Kunipeleka Ndani ya Kituo cha Polisi Nyuma Kabisa
i Kwamba Nisipotii Amri ya kwenda Polisi Watanimaliza Palepale Kwa Kunitishia na Bastola

WAKILI DICKSON: Nakurudisha Nyuma Kidogo Ulisema wakati Unakamatwa Kuna Askari alikuwa anakuongelesha Je Alikwambia Maneno gani
Nini Kingine Walisema

SHAHIDI: waliniambia Unajua Kesho Kuna Nini Hapa Mkoani, Nika Jibu Kwamba Kuna ujio wa Rais anakuja Kufanya kampeni

WAKILI DICKSON: Unamaanisha Rais gani

SHAHIDI: Wakati Ule Hayati Rais Magufuli, akiwa anafanya kampeni

WAKILI DICKSON: Haya Kule Nyuma Polisi Walikuwa wana kwambia nini

SHAHIDI: Walikuwa wananihoji Nina Uhusiano gani na MH. MBOWE huku Wakinipiga Vibaya Mno
Pale Kituoni Mbele Kuna Meza, Sasa wao Walinipeleka Kwa Nyima kabisa ya Kituo cha Polisi Nyuma Kabisa, Ila Unakuwa Kituoni bado

WAKILI DICKSON: Pale Kituo Ni sehemu gani yalitendeka hayo

SHAHIDI: Ipo Kama Unaelekea Shule Ya Msingi Itete, Kama Unaelekea Makao Makuu ya Brigedi

WAKILI DICKSON: Unasema Central Polisi Tuambie Inapakana na nini kama unapajua
Brigedi Ya nini

SHAHIDI: Inaitwa 101 Brigade, Ipo Maeneo ya Mtaa wa Kanyenye

WAKILI DICKSON: Sasa Umepelekwa kwa Nyuma na ukawa Unapigwa, Je Walikuwa wana Kupiga kwa Kutumia nini

SHAHIDI: Walikuwa Wanatumia Fimbo pia walikuwa wananipiga Ngumi za Taya

WAKILI DICKSON: Walikuwa Askari Wa ngapi wanakupiga

SHAHIDI: Palikuwa na Goodluck, Kiongozi Wao anaitwa Afande Jumanne, Minja na Afande AZIZI, Mmoja nilikuwa Simkumbuki

WAKILI DICKSON: Zoezi la Kuku piga Lilichukua Muda gani

SHAHIDI: Muda kama Wa Masaa Matatu, Walipo a naendelea Kukataa Kumfahamu Mheshimiwa Mbowe, Walinipeleka Kituo cha Polisi Cha Reli pale Tabora Maana Hali yangu Ilikuwa mbaya Sana

WAKILI DICKSON: Wakina nani walikupeleka Kule Kituo cha Polisi RELI

SHAHIDI: Wote waliokuwa wananisurubu pale Kituoni Mkoani, Wakanifuata Tarehe 20 September 2020 Saa Nne Asubuhi
Baada ya Kuona Namkataa Mheshimiwa Mbowe, wakianza Kuniuliza Kama Namfahamu Mohammed Abdilah Ling’wenya na Nina Uhusiano Naye gani

WAKILI DICKSON: Ukawajibuje.?
Ukawajibuje.?

SHAHIDI: Nili kiri Kumfahamu Mohammed Ling’wenya Kwakuwa nilisha wahi Kufanya naye kazi Siku za Nyuma na Pia alipokuwa ametoke kazini alikuwa bado ni Rafiki yangu wa Karibu
Waliendelea Kunihoji kuwa Je nafahamu Kwa sasa hivi Mohammed Ling’wenya Yupo wapi, lakini Kwa Kipindi Kile nikiwa Jibu sijui Alipo

WAKILI DICKSON: Baada ya Kukuhoji nini kiliendelea
Baada hivyo nini kiliendelea

SHAHIDI: Baada ya Kujibu sijui alipo, Tarehe hiyo hiyo tulielekea Nzega, Tarehe 20 September 2020

WAKILI DICKSON: tuliondoka Muda gani
Endelea

SHAHIDI: Nikijaribu Kuwa uliza Mahabusu Wenzangu, Maana Kule walinichanganya
Tuliondoka Muda wa Saa 5 Asubuhi, Nikiwa nimefungwa Kitambaa na Kutoka na Hali yangu Ilivyo, Nilikuwa nimefungwa Pingu Muda wote

WAKILI DICKSON: Kituo gani Nzega

SHAHIDI: Kituo cha Polisi Nzega

WAKILI DICKSON: Baada ya pale nini Kiliendelea

SHAHIDI: Waliniacha Palepale na Sikujua wameenda wapi

WAKILI DICKSON: Kwenye Gari Ya Kwenda Nzega Mlikuwa wangapi
Ilikuwa ni Gari gani

SHAHIDI: Nilikuwa na Jumanne, Goodluck Minja, ana AZIZI wengine Magari ya Nyuma sikujua wakina nani Kutokana na Kufungua Kitambaa
Ileile Cruiser Nyeusi waliyo kukamata Nayo Nyumbani bni

WAKILI DICKSON: Wakiwa Wamekufunga Kitambaa, Nini Kilikufanya Ujue Kwamba Ni Jumanne, Goodluck Minja Na Azizi

SHAHIDI: Kule Nyuma Nilipokuwa Nimekaa Nilikuwa nasikia Wakiitana Majina, Jumanne aLikuwa Mbele, Azizi alikuwa Dereva

WAKILI DICKSON: Baada ya Kuku acha pale Kituo cha Polisi Nini Kiliendelea

SHAHIDI: Baada ya Kuniacha na aunitelekeza Walirudi Siku ya Pili, wakiwa na Mtu Mmoja anaitwa MALEMA ambaye na Yeye alishawahi Kuwa Komando

SHAHIDI: Alikuwa Komandoo, Nilifahamu kuwa alikuwa Komandoo Kwa sababu Mazingira Yake ya Kukamatwa Yalikuwa kama Yangu, Ndipo Nikamuuliza wewe nani, akasema anaitwa MALEMA na alishawahi Kuwa Komando

WAKILI DICKSO: N huyo Mtu anaitwa MALEMA alikuwa nani

SHAHIDI: Palepale Polisi Tukiwa Mahabusu

WAKILI DICKSON: Mahojiano yako wewe na MALEMA Uliyafanyia Wapi

WAKILI Nini Kilifuatia

WAKILI DICKSON: Ili Kuokoa Muda wa Mahakama, Kwenye Gari yako Ulikuwa nani

SHAHIDI: Siku inayofuata Asubuhi Yake Tulifunga Safari Kila Mtu na Gari yake Kuja Dar es Salaam

WAKILI DICKSON: Kuanzia Pale Central Police Tabora, Mpaka Nzega Uliwahi Kuandikwa Kwenye Nyaraka ipi

SHAHIDI: Nilikuwa Mimi, Fabde Jumanne,Minja na Yule Dereva Anaitwa Azizi

SHAHIDI: Kufuatia Haki ya Kufungua Kitambaa Cha Macho Hakuna Sehemu ambayo Niliandikwa, Tulipofika Nilikuwa naingizwa Mahabusu Moja Kwa Moja

WAKILI DICKSON: Pale Tabora Kwa Ufahamu Wako Kuna Nyaraka Yoyote Ulipewa Kuandika

SHAHIDI: Hakuna Nyaraka Yoyote Nilipewa Kuandika

WAKILI DICKSON: Pale Nzega Kuna Nyaraka Yoyote Ulipewa kuandika

SHAHIDI: Hakuna Nyaraka Nilipewa Kuandika

WAKILI DICKSON: Pale Nzega Pia hukiandika

WAKILI DICKSON: tuje Kwenye Safari, Hapa Dar es Salaam Mlifika Lini na Mlifikishiwa wapi

SHAHIDI Siku tulivyo Toka Nzege Ndiyo Siku ileile Tulifika Dar es Salaam
[
SHAHIDI: Kwa Mazingira Ya zile Pingu nisingeweza Kuandika

WAKILI DICKSON: Mlifikishiwa Wapi

WAKILI DICKSON: Nzega Mlitoka Saa ngapi

SHAHIDI: Kituo cha Polisi Tazara

SHAHIDI: Nzega Tulitoka Asubuhi Siku ileile Mbayo Walifikia na MALEMA

WAKILI DICKSON: Unasema Mlifikishiwa Tazara, Je Unaweza Kukumbuka Ilikuwa tarehe Ngapi

SHAHIDI: Siku ya 23 September Mwaka 2020

WAKILI DICKSON: Na Mlipofika Tazara Mliandikwa Kwenye Nyaraka Ipi

WAKILI DICKSON: Ni akina nani hao walikufikisha Tazara

SHAHIDI: Ni Wale wale akina Jumanne, Goodluck na Azizi

SHAHIDI: Tulipofika Tazara nilifikishwa Moja Kwa Moja Mahabusu

WAKILI DICKSON: Na Tazara alikaa kwa Siku Ngapi?

SHAHIDI: Nilikaa Kwa Siku 2 na Baada ya Hapo nilifikishwa Mahakamani Siku ya 25 September 2020

WAKILI DICKSON: We Ulijuaje upo Tazara

SHAHIDI: Kwa sababu Mimi Nilikuwa nimetengwa tofauti na Wenzangu Kwa Kila Kitu, Ndipo Mahabusu Mmoja akaniuliza Kwani wewe no nani na Unamakosa gani
Ndipo Nikawa Jibu Sijui nimekamatiwa Nyumbani Tabora
Namimi nikawa uliza Hapa ni Wapi ni Tazara

WAKILI DICKSON: Ukiachana na Mahabusu Kwamba nani Mwingine alikwambia Pale no Tazara

SHAHIDI: Palikuwa na Afande Mmoja aliniuliza Wewe Mbona Umefungwa Pingu, nikamueleza Mkasa wangu na Baadae Nikamuuliza Afande hapa ni wapi akanijibu hapa ni Tazara
Na Kwa Kuwa Nyumbani wala Ndugu walikuwa hawajui nipo wapi Nilimuona Afande simu niweze Kuwajukiaha Ndugu zangu

WAKILI DICKSON: Vipi Kuhusu Swala Zima La Chakula
Akaniambia Kwamba sijui walikuleta huku wamekuleta kwa Makosa gani, siwezi Kuchukua Jukumu la Kukupa simu

SHAHIDI: Kwakuwa nilikuwa nimepigwa sana Chupa za Soda Magotini, Haki yangu Ilikuwa mbaya Sana, Hakuna Chakula Nilipewe
Chakula Nilikuja Kula Siku ya Tarehe 25 September 2020 baada ya Kufika Gerezani Segerea
Nilikuwa nakunywa Maji tuh, Tazara

WAKILI DICKSON: Baada ya Kuku fikisha Tazara wakina Jumanne, Goodluck na Azizi, walirudi tena Lini

SHAHIDI: Walirudi tena Kesho yake tuh, Wakawa and ananiuliza Kwamba Je najua yupo wapi Mohammed Ling’wenya Kwa sasa na Adam Kasekwa

SHAHIDI: Palikuwa na Chumba Juu, palepale Tazara

WAKILI DICKSON: Hayo Mahojiano Mlikuwa mnayafanyia Wapi

WAKILI DICKSON: Na Siku hiyo Walikuwa wangapi na nani na nani

WAKILI DICKSON: Sisi tunataka Tujue kama unapafahamu Tazara, Je Mahabusu palikuwa Je kuwaje

SHAHIDI: Tukiwa katika hicho Chumba Mahita alikuwa anafanyia Mahojiano yule Malema na Mimi nilikuwa na Jumanne na Goodluck, Wakati Yule Mzee Mnene tuliyetoka naye Tabora Sikumuona tena
[
WAKILI DICKSON: Yule Mahabusu aliyekwambia Hapa ni Tazara Unaweza kumkumbuka Kwa Majina

SHAHIDI: Yule Malima alikuwa amewekwa Katika Cell ya peke yake, Kwa sababu Kule
Mahabusu Kuna Vyumba, Ila mimi Nilichanganywa na wengine

SHAHIDI: Hapana Sikumbuki kwa Majina

WAKILI DICKSON: Shahidi Kabla ya Tarehe 19 September 2020 Ulikuwa unafahmiana na Goodluck Minja, Azizi na Jumanne

WAKILI DICKSON: Mahita Pia

SHAHIDI Wote Nilikuwa siwafahamu kabla

WAKILI DICKSON: Hebu eleza Mahakama Uliwa fahamu fahamu vipi

SHAHIDI: Wote Nilikuwa siwafahamu

SHAHIDI: Tulipokuwa Safarini Minja Nilisikia Jina lake, Ila Tulipokuwa Tazara Kwa a Mahojiano wengine Wote Walikuwa Wakiitana Majina yao, Ila yule Mzee Mnene Mnene Siku bahatika Kumfahamu

WAKILI DICKSON: Unasema Kwamba Walikuwa wanakuja Tazara Kunihoji Kwani Walikuja Mara Ngapi

SHAHIDI: Swali kuja Mara Mbili Kabla ya Kunipeleka Mahakamani

SHAHIDI: Muda Mwingi Walikuwa wanakuja Asubuhi

WAKILI DICKSON: Katika hizo Mara Mbili walikuwa wanakuja Muda gani

WAKILI DICKSON: Walikuwa wanaweza kuja kukaa kwa Muda gani

SHAHIDI: Kwakuwa walikuwa wananisisitiza Kwamba Wenzangu Wapo wapi

WAKILI DICKSON: Sikiliza Maswaki yangu, Walikuwa wanakuja Kukaa Masaa Mangapi pale Tazara

SHAHIDI: Masaa Matatu Mpaka Manne I nategemea na Torchure waliokuwa wananipa

WAKILI DICKSON: Nani alikuwa anakuoa Torchure

WAKILI DICKSON: Unasema walikupeleka Mahakamani, Mahakama Gani

SHAHIDI: Mahakama Ya Kisutu

SHAHIDI: Goodluck Minja Ndiyo alikuwa ananipiga Sana

WAKILI DICKSON: Kisutu Ipo wapi

SHAHIDI: Ipo hapa Dar es Salaam

WAKILI DICKSON: Nani alikuja Kuku chukua Kukupeleka Mahakamani

SHAHIDI: Jumanne, Mahita,Goodluck Minja Na Azizi

SHAHIDI: Toyota Land Cruiser Nyeupe

WAKILI DICKSON: Mlitumia Usafiri Upi

WAKILI DICKSON: Wakati Wanakubeba Tangu Tabora Walikwambia Kosa lako no Nini

SHAHIDI: Niliwahoji tangu Natoka Tabora Wakasema Utaenda Kujua Mahakamani

SHAHIDI: Tarehe 25 September 2020 baada ya Kufika Kisutu Nilikutana na Hakimu Na Nikasomewa Mashitaka yanayohusiana na Vitendo Vya Kigaidi

WAKILI DICKSON: Sasa Mlipofika Mahakama Ya Kisutu Ikawaje

WAKILI DICKSON: Huyo Hakimu anaitwa nani

SHAHIDI: Anaitwa Mheshimiwa Simba

WAKILI DICKSON: hiyo kesi ilikuwa kesi namba Ngapi na Mwaka gani

WAKILI DICKSON: Mlikuwa wangapi

SHAHIDI; ilikuwa kesi namba 63 ya Mwaka 2020, ya Ugaidi na Uhujumu Uchumi

SHAHIDI: Kutokana na Maelezo Niliyosomewa niliambiwa Nitaunganishwa na Wenzangu Wanne Jumla tutakuwa Watano

SHAHIDI; Mbao nilikuwa nawafahamu walikuwa ni Khalfani Bwire, Adam Kasekwa, Mohammed Ling’wenya

WAKILI DICKSON; ambao ni akina nani

WAKILI DICKSON: Baada ya Kuku some Mashitaka Hayo Hakimu huyo Simba alikwambia Nini

WAKILI DICKSON: Baada ya Pale nini Kilifuata

SHAHIDI: Nikijaribu Kunyoosha Mkono Mbele ya Hakimu Simba, Pale Kisutu aweze Kunipa Ufafanuzi Kuhusu hayo Mashitaka Ya Ugaidi, lakini akaniambia Kwamba Mahakama halikuwa na Uwezo Wa Kunisilikiza

WAKILI DICKSON: Kule Segerea nini Kiliendelea..

SHAHIDI: Baada ya Pale Nili chukuliwa nikapelekwa Gerezani Segerea

SHAHIDI: Ndipo Nilipokutana na Adam Kasekwa na Mohamed Ling’wenya Ambao Walikuwa wameshapelekwa Magereza muda Mrefu

WAKILI DICKSON: Baada Ya Kukutana naye ilikuwaje

SHAHIDI: Baada ya Kuwa Nimefika Magereza Nilipelekwa Moja Kwa Moja kwenye Sehemu Inaitwa PUNISHMENT CELL

WAKILI DICKSON: Kwanini Walikufikisha Kwenye Punishment Cell
Hatukuwa hi Kuambiwa sababu Za Msingi ambazo Zilipelekea sisi Kufikishiwa Punishment Cell

SHAHIDI: Nahisi Kwasababu Ya Kesi iliyokuwa Inatukabali

WAKILI DICKSON: Unasema Ulionana na Mohammed Ling’wenya Ikawaje Sasa

SHAHIDI: akaanza Kuni eleza Namna walivyoapata Matatizo, KUTOKA Moshi Mpaka Walipo fikishwa Tazara na Baadae Mbweni

WAKILI DICKSON: Ni Lini tena ukirudi Mahakamani

SHAHIDI: Kutoa na Janga la Corona Mahakama Zilizokuwa zina endelea ni Kwa Njia ya Mtandao, Tulikuwa tuna chukuliwa Kwenye Vyumba Vyetu na Kupelekwa Kwenye Mahakama Ya Mtandao

WAKILI DICKSON: Ni Hakimu gani alikuwa anaendesha Kesi yenu

SHAHIDI: Alikuwa ni Hakimu Simba na Pale ambapo Hayupo anaudhuru basi Walikuwa wa nahairisha Mahakimu wengine

WAKILI: Baada ya Kumuomba Sana SmHakimu Simba Na Kumshimikiza Kwamba Tunashida zetu tunaomba Kwenda Mahakamani, na pia tuliomba Kumuona Mkuu wa Gereza
Tukifanikiwa Kumuona Hakimu sba Siku Ya Mwisho kwa Kukubaliwa Kwenda Kwa Hakimu Simba, Tulimuomba Hakimu Simba Swala la Kukaa Kule Punishment Cell Lakini Akajibu Kwamba Hilo swala Lipo Juu Magereza Wenyewe

WAKILI DICKSON: Kutoka na Janga La Corona Ulikaa Muda Gani Segerea Kabla Ya Kurudi tena Mahakamani

WAKILI DICKSON: Ukitumia Muda gani Mpaka Kwenda Kuonana na Hakimu Simba

SHAHIDI: Sikumbuki lakini Najua baada ya Kulalamika sana Na Kumuona Mkuu wa Gereza tukaenda Mahakamani

WAKILI DICKSON: Ulikuja Kwenda lini Tena Mahakamani

SHAHIDI: Tarehe 27 July 2021, Tulifika Mahakamani, Hakimu akasema Kwamba Serikali haina Nia ya Kuendelea na Shauri Letu

Nikatolewa Mimi, Kaaya, pamoja na Khalid

WAKILI DICKSON: Wewe Uliwa fahamu Vipi
Hawa wengine Nilikiri Kwa sababu Adam Kasekwa, Mohammed Ling’wenya na Na Khalfani Bwire Nikifanya nao kazi

SHAHIDI: Baada ya Kuomba Kufikishiwa Mahakamani na Kuonana Na Mkuu wa Gereza Ndipo Nilipo Pata nafasi ya Kuwaona Na Kuwa fahamu
Pia Wale walikuwa Ukonga Mimi Nilikuwa Segerea kwa hiyo Siku Tulipopata Fursa Ndiyo Niliwaona

SHAHIDI: Kesi ya Uhujumu Uchumi namba 63 tulikuwa Sita na Mimi Nikiwa ni Mshitakiwa Wa Sita

WAKILI DICKSON: Sasa Kwa Ujumla Mlikuwa Washtakiwa wangapi

WAKILI DICKSON: Wengine Walikuwa nani na nani

SHAHIDI: Khalfani Bwire
Mohammed Ling’wenya
Adam Kasekwa
Justin Kaaya
Khalidna Mimi Wa sita

WAKILI DICKSON: Sasa hii Tarehe 27 Mlienda Mahakamani, Ila Kuna Kitu Ulizungumzia Kuhusu Tarehe 26

WAKILI DICKSON; Ikawaje

SHAHIDI Tarehe 26 July 2020 Tulipata Taarifa Kwamba Mheshimiwa Mbowe amekamatwa na Yupo Gerezani Ukonga Kupitia Vyombo Vya Habari

SHAHIDI: Tarehe 27 July 2021 tukaitwa Mahakamani na Baada ya Kusomwa Shauri Letu, Sisi tukawa Huru Siku hiyo

WAKILI DICKSON: Shahidi Ilikuwaje Leo Mpaka Ukaja hapa Kutoa Ushahidi

SHAHIDI: Taarifa Nilipata Kutoka Kwa Mama yake Mohammed Abdilah Ling’wenya

WAKILI DICKSON: ambaye anaitwa nani

SHAHIDI: Somebody SALOME

WAKILI DICKSON: Naishi Wapi

SHAHIDI: Anaishi Mombasa Ya Banana Kama Unaenda Ukonga

WAKILI DICKSON: Mbayo Ipo Mkoa Gani

SHAHIDI: Ipo hapa hapa Dar es Salaam

WAKILI DICKSON: akakwambia nini

SHAHIDI Kwamba amewaailiana na Wewe Wakili Matata Kwa Shauri la Kesi Ndogo Ya Mohammed Abdilah Ling’wenya

SHAHIDI: Aliniunganisha na wewe, Tukaonana Jana Na Ukanipa Maelekezo Ya Namna ya Kufanya

WAKILI DICKSON: Baada ya Ku kwambia Mimi Nimemwambia hivyo Ikawaje

[WAKILI DICKSON:. Mheshimiwa Jaji naomba Detention Register Ya Tazara

SHAHIDI: Nilifika Tarehe 23 Mwezi September 2020

WAKILI DICKSON: Shahidi Ikumbushe Mahakama Kwamba Ukifika lini Tazara

WAKILI DICKSON: Sasa Nataka Nikuonyesha Detention Register unionyeshe Siku hiyo ya Tarehe 23 September 2020 kama Jina lako Lipo

JAJI: upande Wa Serikali mnasemaje

WAKILI WA SERIKALI Robert Kidando:Mheshimiwa Jaji, Nikitu gani Kinatangukia Kabla ajamuonyesha Shahidi Kielelezo, Sisi tunaona ajajenga Misingi Bado
Tunaona itakuwa ainakiuka Utaratibu
Misingi hiyo ajajenga, Tunaona akataliwe unless ajenge Misingi
Na Ilitakiwa Misingi yenyewe Ijengwe Kwa Either anakifahamu Kitabu Hicho au Moja kwa Moja Kina Exist

WAKILI DICKSON: Mheshimiwa Jaji Sidhani Kam wakili yupo sahihi, Kielelezo hiki Kipo Mahakamani

JAJI: labda niseme Kwanza Kwamba Hiki ni Kielelezo ambacho Kipo Mahakamani, Mimi sioni shida Kwa Shahidi Kupewa hicho Kielelezo, Shida yangu Ilikuwa ni Juu ya Wakili Kumuonyesha Shahidi Tarehe Hiyo, Je atakuwa amsaidii Shahidi Kutoa Ushahidi

WAKILI WA SERIKALI Robert Kidando: Nadhani siyo Sahihi, Ampatie Kielelezo Ambacho Shahidi ataweza Kuulizwa

WAKILI DICKSON: Matata Shahidi Shika hii Ni Detention Register naomba Utafute Tarehe ambazo wewe Ulipelekwa Tazara

SHAHIDI Sijaona Tarehe 23 September 2020

JAJI: Kielelezo namba Ngapi P3

WAKILI DICKSON: Matata Kwa hiyo Jina lako Limo au Halimo

SHAHIDI: Sijaona Jina langu

Ukimyaa huu ni Kwamba Shahidi anaoekua Kuanzia Ukurasa wa Kwanza

WAKILI DICKSON: angalia pia Tarehe 24 na Tarehe 25 Siku Uliyoenda Mahakamani
Hapa Mahakama Nzima inamshangaa Huyu Komandoo Amiri Muhina Kwa Ujasiri wake, Wa Kuamua Kurudi kuwa shahidi

JAJI: amesema apekue Upya
Wanaita futa Tarehe 23 September 2020 kwenye Detention Register
[Anavyotamba Kizimbani namfananisha na Komandoo Tamimu kabisa kwanza Kwa Urefu wake, Weupe
[ Mahakama bado Imetulia Kimya, Komando Yupo na Detention Register Ya Tazara Bado

JAJI: Sasa Upo Tarehe ngapi

SHAHIDI: Nimefika Kwenye Tarehe 23 September 2020

SHAHIDI: 18 July 2020

WAKILI DICKSON: Hapo Ulipofika Tarehe 23 September 2020 Kuna sehemu yoyote Kuna Jina lako..?

WAKILI DICKSON: Je Kwa Tarehe 24 September 2020

SHAHIDI: Hapana Hakuna
Wala Tarehe 24 September 2020 sijaona Jina langu

WAKILI DICKSON: Na Tarehe 25 September 2020 Kuna Jina lako

SHAHIDI: Hapana Sijaona Jina Langu

WAKILI DICKSON: Sasa Shahidi Unasema Ulipoenda Segerea Ulionana na Ling’wenya akasema amepata Matatizo, Je Alikwambia Matatizo Gani

WAKILI DICKSON: Na wewe Kwa sababu Ulikuwa Umeona naye kwa Mara Ya Kwanza alikuwa na Haki gani

SHAHIDI: Aliniambia Kwamba Walikamatwa Moshi, Wakaletwa Tazara na Baada ya Hapo Waka pelekwa Mbweni na Kisha Wakasomewa Mashitaka Mahakama Hakimu Mkazi Kisutu

SHAHIDI: Ki Afya alikuwa Kawaida

SHAHIDI: Vitu ambavyo ninayo Vinaweza Kuthibitisha ni Nakala ya Commital, Ambayo Inaonyesha a namna Niivyo Kamatwa na Kuletwa Mahakamani Tarehe 25 September 2020 Mpaka Nakuja Kutoka July 27 2020

WAKILI DICKSON: Inavitu gani Kwamba Unaweza Kuthibitisha Ulikamatwa na Kupelekwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu

WAKILI DICKSON: Nakala ya Commital Ipo wapi

SHAHIDI: Nakala ya Commital Unayo wewe, Nilikupatia wewe

WAKILI DICKSON Hiyo Nakala ya Commital ambayo umesema ninayo Mimi, Ipo wapi Sehemu Nyingine
Ukiachana na Kunipatia Mimi, Ni sehemu gani Nyingine ambapo hiyo Commital Ipo

SHAHIDI: Nilikupatia Kama Sehemu ya Kuambatanisha Ushahidi Wangu

WAKILI DICKSON: Ushahidi Mwingine Ulionao Shahidi.? ukiacha hiyo Nakala ya Kumbukumbu, Kuna Kitu gani hasa ambacho Kinaweza Kuthibitisha Kwamba Tarehe 25 September 2020 Ulifikishwa Mahakamami Nakusomewa Mashitaka Ya Ugaidi

SHAHIDI: Ni Charge Sheet

SHAHIDI: Nilikuwa nayo lakini baadae Ikapotea, Nikaenda Kwa Karani wa Mheshimiwa Simba Nikamuimba anipatie Charge Sheet

WAKILI DICKSON: Charge sheet Yako Ilikuwa wapi

WAKILI DICKSON: Ulipofika Kisutu Ilikuwaje

SHAHIDI: Nili panda Kule Mara ya Mwisho Tukiposomewa Mashitaka, Nikamuona Karani wa Mheshimiwa Simba, inaonekana alikuwa na Vikao Vinaendelea

WAKILI DICKSON: Huyo Karani anaitwa nani
Nikamuimba anipatie Nakala

SHAHIDI: Simkumbuki Jina ila Mrefu na Mweupe, na Kwamba Hakimu anavikao lakini Baada ya Kumtajia Kesi namba 63 ya 2020 alinikumbuka

WAKILI DICKSON: alikwambia Hakimu gani anaendelea na Vikao

SHAHIDI: Hakimu Simba, akaniambia niende Leo Asubuhi
Si leo Asubuhi Nilienda Baada Ya Kuthibitisha inamuhuti wa Mahakama, Ni kaja nayo Kutoa Ushahidi

WAKILI DICKSON Ikawaje

WAKILI DICKSON: Wakati Unakuja Huku hiyo Charge Sheet nani alikiwa nayo

WAKILI DICKSON: Kitu gani Kilikufanya Ujue Kuwa Charge Sheet hii ni sawa na Uliyopoteza

SHAHIDI: Nilikuja nayo mimi

SHAHIDI: Kwanza Inajina LA Mahakama, Hakimu Makazi Kisutu
Ina Namba ya Kesi 63/2020
Ina Muhuri Wa Mahakama
Inamajina Ya Washitakiwa Sita tuliokuwa nao

WAKILI DICKSON: Ikumbushe Mahakama Majina yao

SHAHIDI: ni Khalfani Bwire
Adam Kasekwa
Mohammed Ling’wenya
Justin Kaaya
Khalid
Na Mimi Mshitakiwa Wa Sita

SHAHIDI: Ni Muhuri Wa Mahakama uliogongwa Leo

WAKILI DICKSON: Kingine Kilichokufanya Utambue ni Nini

SHAHIDI: Ni Mashitaka tuliokuwa tunakabikiwa nayo Kuanzia Mshitakiwa Wa kwanza Mpaka wa Sita

WAKILI DICKSON: Kingine Kilichokufanya Utambue

SHAHIDI: Kila Mtuhumiwa alikuwa na Mashitaka Yake, Mimi nilikuwa nashitakiwa Kwa Kufanya Mkusanyiko Usio halali

WAKILI DICKSON: Mashitaka Gani hayo
Kuna Kingine,..?

WAKILI DICKSON: Baada ya Kuja nayo Hapa Ilikuwaje Kuwaje, Leo Asubuhi

SHAHIDI: Ni Hizo tuh

SHAHIDI: Tukionana na wewe Wakili nikawa Nimekuonyesha, Kwa sababu Sitakiwi Kuianda nayo Hapa Kizimbani Nilikukabidhi na Kwa sababu Mahakama Ilikuwa inaendelea nikakuachia

WAKILI DICKSON: Umeleta Kwanini Hii Hati Ya Mashitaka kwenye kesi hii

SHAHIDI: Nimeomba Mahakama Ipokee Kama Ushahidi

SHAHIDI: Huo ndiyo Ushahidi Wangu

WAKILI DICKSON: Kwanini
Ulifuata Leo Mahakamani Kisutu Kuleta Hapa

WAKILI DICKSON: Nikikuonyesha Unaweza Kuitambua

SHAHIDI: Ndiyo Yenyewe

WAKILI DICKSON: Kingine Kilichokufanya Utambue

WAKILI DICKSON: Kwanini Unasema Ndiyo Yenyewe

SHAHIDI: Nathibitisha Kwamba Ndiyo Yenyewe, Kuna Jina La Mahakama Ya Kisutu Ndipo tuliopo fanyia Shauri

Lakini pia Kuna Kesi Namba 63 ya Mwaka 2020

WAKILI DICKSON: Kingine

SHAHIDI: Kuna Majina Ya Washitakiwa pamoja na Maeneo wakiyikwepo Kwa Maana Gerezani

Kingine ni Haya Mashauri tuliokuwa tunatuhumiwa nayo

SHAHIDI Ni Huu Muhuri ambao hata Ile Charge Sheet Niliyo kuwa nayo Mwanzo Ulikuwa nayo

WAKILI DICKSON: Ungependa Mahakama I fanyie nini

SHAHIDI: Ningeomba Mahakama Ipokee Kama Ushahidi

NASHON NKUNGU: Mheshimiwa Jaji Sina Pingamizi

WAKILI DICKSON: Shahidi anaomba Nyaraka hii Ipokelewe Kama Ushahidi

PAUL KAUNDA: Mheshimiwa Jaji Nasisi Kwa Upande wetu Hatuna Objection
Sasa ni,zamu ya Mawakili Wa Serikali

KIBATALA: Mheshimiwa Jaji Kwa niaba ya Mshitakiwa Wa Nne hatuna Pingamizi tunaona Ipokelewe

WAKILI WA SERIKALI: Robert Kidando Mheshimiwa Jaji hatuna Pingamizi
Wameizunguka Charge sheet

JAJI: Mahakama Inaipokea Hati hii ya Mashitaka Inayihusu kesi ya Uhujumu Uchumi iliyofunguliwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu
Na Itakuwa ni Kielelezo D6

WAKILI DICKSON: Mheshimiwa Asome Ukurasa wa Mwanzona Mwisho

Shahidi Kamaliza Ukurasa wa Mbele na Nyuma

Shahidi ANASOMA

WAKILI DICKSON: Ni hayo Mheshimiwa Jaji naomba Kuishia Hapo

PAUL KAUNDA: Mheshimiwa Jaji Kwa Upande wetu Hatuna swali Swali la Dodoso

NASHON NKUNGU: Mheshimiwa Jaji Kwa Upande wangu Sina swali la Dodoso Kwa Shahidi

KIBATALA: Mheshimiwa Jaji Kwa niaba ya Mshitakiwa Wa Nne pia Sina Swali

WAKILI WA SERIKALI Robert Kidando:Gabriel unaweza Kututajianamajina yako Vizuri

WAKILI WA SERIKALI: Unasema Wewe Ulikuwa Mwanajeshi

SHAHIDI: Naitwa Gabriel Samheta Mhina

WAKILI WA SERIKALI: Unasema Jeshi la Wananchi Uliingia Mwaka 2007
Sasa Wakati Unaenda Mwaka 2011 hawa Watuhumiwa uliokuja Kukutana nao, Kati ya Khalfani Bwire, Adam Kasekwa na Mohamed Ling’wenya yupi ulimkuta

WAKILI WA SERIKALI Na pale Special Force unasema Ulienda Mwaka 2011

SHAHIDI: Ndiyo

SHAHIDI: Nilimkuta Khalfani Bwire na Mohammed Ling’wenya ila Huyu Dam Kasekwa ni Depoment Wangu
Yeye alikuja Moja Kwa Moja Tofauti na Mimi niliyo toka Kikosini

WAKILI WA SERIKALI: Kwa Hiyo Mnafahamiana Vizuri

SHAHIDI Ndiyo

WAKILI WA SERIKALI: Wewe Jeshini Uliachishwa

WAKILI WA SERIKALI: VIpi kuhusu hao Khalfani Bwire, Adam Kasekwa na Mohamed Ling’wenya Na wao Pia waliachishwa

SHAHIDI Ndiyo

WAKILI WA SERIKALI: Unasema Wewe Uliugua Ugonjwa Uliouita Brain Sarcastic Malaria

SHAHIDI Ndiyo

WAKILI WA SERIKALI: na Ulikaa Muda Mrefu Lugalo

SHAHIDI: Ndiyo
Ndiyo

Wakili WA SERIKALI: Hivi huu Ugonjwa ni Ugonjwa wa Akili

WAKILI WA SERIKALI: Na Ukiumwa Ugonjwa wa akili ni Kitu unacho ambiwa Baadae au Unajua wewe

SHAHIDI: Unaambiwa wewe

SHAHIDI: Ndiyo nilikuwa naambiwa

WAKILI WA SERIKALI: Sasa Huenda Kwamba Ulikuwa unafanya Vitu visivyo Vya Kawaida

WAKILI WA SERIKALI: Ukiachana na hilo la Kutoroka na Kuondoka kabisa Kuna kingime

SHAHIDI: Hakuna

WAKILI WA SERIKALI: Ni kweli Kwamba Ili utoke Kambini kwa Jambo lolote lile lazima upewe Ruhusa

WAKILI WA SERIKALI: Nini Madhara ya Kutoroka kazini, Hatu gani zinaweza Kuchukuliwa

SHAHIDI: Sahihi

SHAHIDI: Ni Kuadhibiwa

WAKILI WA SERIKALI: ila adhabu ya Kifungo Ulichopewa Ilitokana na Utoro.?

SHAHIDI: Sahihi Kabisa

WAKILI WA SERIKALI Lakini Ile adhabu iliyopelekwa Kufungua Kule Jeshini Haikupelekea Kufukuzwa kazi

WAKILI WA SERIKALI: Wakati Unatoa Ushahidi Wako, Naomba utoe Ufafanuzi Kwamba Ni Jinsi Gani Ulipata Taarifa ya Kuachishwa kazi, Ilikuwa Tarehe ngapi

SHAHIDI: Haikwendana Na Kufutwa Jeshini
Tarehe 26 April 2020

WAKILI WA SERIKALI: Taarifa hizo zilikufikiaje wewe

SHAHIDI Nilipewa Taarifa na Rafiki Yangu Aliyekambini 92 Kikosi cha Jeshi

WAKILI WA SERIKALI: Na wakati huo Wewe Ulikuwa wapi Wakayi Unapewa Taarifa
Pale kikosini 92 Kj Ulitoka Lini

SHAHIDI Nyumbani Tabora

WAKILI WA SERIKALI Mwaka..?

SHAHIDI Sina Kumbukumbu Vizuri, lakini Baada ya Kutoka kifungoni Mkuu wa Kikosi alinihaidi Kuwa akai na Mtu Mwenye tatizo kama hilo

SHAHIDI: Ni 2020

WAKILI WA SERIKALI Unataarifa Yoyote Ya Maandishi Inayoonyesha Kwamba ukifukuzwa Kazi Kwa Huo ugonjwa

SHAHIDI: Sina Taarifa Yoyote

WAKILI WA SERIKALI: Wakati Rafiki yako anakupa Taarifa Ya Kuondoshwa Jeshini
Uliwahi Kufuatilia pale 92Kj kuhusu Usahihi wa hiyo Taarifa

SHAHIDI: Sikuwahi Kurudi Kambini,zaidi Nilienda Makao Makuu ya Jeshi

WAKILI WA SERIKALI: chief personnel ilikuwa Umeenda Kumuona kabla au baada ya Taarifa ya Rafiki yako
Je ukirudi tena kwa Chief Personnel

SHAHIDI: ilikuwa kabla

WAKILI WA SERIKALI: Upo Vizuri kwa Kumbukumbu

SHAHIDI: Ndiyo

WAKILI WA SERIKALI Je Ulisema Kwamba Ulirudi tena kwa Chief Personnel

SHAHIDI Ndiyo Nilisema

WAKILI WA SERIKALI Kwa sababu Huna Barua Je Unaweza Kufahamu Ni sababu ipi iliyopelekea Kufukuzwa Kwako kazi Jeshini

SHAHIDI: Nimesema Kwamba ni Utovu wa Nidhamu
[12/1, 16:28] +255 713 622 150: Shahidi Wa Nidhamu

WAKILI WA SERIKALI: Hukusema wakati anakuongoza, Hukusema Kwamba Utovu wa Nidhamu wa Jambo gani
Nadhani Kuna Shida..Msg zinabadilishana Position..ya juu inaenda Chini na Ya Chini juu..Tuvumiliane🙏🙏🙏

WAKILI DICKSON MATATA: Mheshimiwa Jaji Swali hilo Halipo Sawa, Mr Kidando anauliza as if Mimi Siku uliza

WAKILI Dickson Matata Concern Yangu siyo Jibu la shahidi Bali ni swali la Mr. Kidando

JAJI lakini Umesikia Jibu la shahidi anasema Kwamba hakuongozwa

JAJI: Basi Kama Una amino Ulimuongoza Usiwe na Wasi Ipo Kwenye Kumbukumbu

WAKILI WA SERIKALI Robert Kidando:Mheshimiwa Jaji Pia Jibu la Kwamba Sikuongozwa liingie

JAJI: Sawa

WAKILI WA SERIKALI Robert Kidando Kufukuzwa Jeshi Kulikuja baada ya Kifungo
I Na Kifungo Kilitokana na Utoro

SHAHIDI ndiyo
Ndiyo

WAKILI WA SERIKALI: Sasa wewe Unasema Kwamba Ulikamatwa Tabora Tarehe 19 September 2020

SHAHIDI: Ndiyo

WAKILI WA SERIKALI: Wakati wote huo walikuwa Wa nakuuliza Kama Unamfahamu MH Mbowe

SHAHIDI Ndiyo

WAKILI WA SERIKALI Ilikuwa waapi. Ilikuwa Tarehe ngapi

SHAHIDI: Tazara
sikumbuki
Nimetaja

WAKILI WA SERIKALI Ni kweli kwenye Ushahidi wako Hakuna Mahala umetaja hata Askari Mmoja aliyekukamata
Mimi Nakumbuka Ulisema Kwamba Askari Waliokukamata ni Wawili

Shahidi Ndiyo nikataja na Majina

SHAHIDI: Ni sahihi Sikutaja Kwa Sababu Sikuwa namfahamu kama Wengine

WAKILI WA SERIKALI: Pale Tabora Wakati Wanakuja ata ni Kweli Hukutaja Askari aliyekushikia Bastola

WAKILI WA SERIKALI Rafiki yako alivyokupigia Simu ili chukua Muda Gani Kufika pale
Je Rafiki yako Ulionana naye..?

SHAHIDI: Muda Mfupi, Ulichukua Muda

SHAHIDI: Hapana Nilipokaribia tuh Nilikamatwa

WAKILI WA SERIKALI: Je Baada ya Kutoka Jela Umeonana naye

SHAHIDI Hapana tangu nitoke Jela Sijarudi Tabora

SHAHIDI Ndiyo

WAKILI WA SERIKALI Ni sahihi Umesema Kwa Sasa Shughuli zako ni Mkulima.?

Shahidi Ndiyo

WAKILI WA SERIKALI: Kuna Kitabu ulikuwa aunakikagua,

SHAHIDI: Ni Kitabu Kinachotakiwa Kuthibitisha Mtu anapotoka Mahabusu

WAKILI WA SERIKALI: Ni Kitu gani Kile

WAKILI WA SERIKALI: Wewe ulisaini

SHAHIDI: Hapana Mimi nilisha toka mahabusu

WAKILI WA SERIKALI: Kabla ya Kukamatwa au Baada ya Kukamatwa

WAKILI WA SERIKALI: Hiki Kitabu ambacho Umekiita Cha Kuonyesha Mahabusu na Kutoka, we Ulikifahamu lini

SHAHIDI: Muda Mrefu

SHAHIDI: Kabla ya Kukamatwa, Sisi si tupo Kwenye system za kijeshi, Hizo ndiyo Taratibu

WAKILI WA SERIKALI We Umejuaje Kama Kile Kitabu ni Cha Tazara

SHAHIDI: Kwa Kuangalia watu wanaingia na Kutoka

WAKILI WA SERIKALI: Wewe Ulikamatwa Tabora Je ulikiona

SHAHIDI: Sikukiona kwa Sababu Mimi nililitishwa Moja kwa. Moja Mahabusu

WAKILI WA SERIKALI: Je wewe KAMA Mahabusu Kuna Siku Nyingine Ulikiona

SHAHIDI: Mimi Nipo Mahabusu, Nitakiona Vipi Mle ndani

SHAHIDI: Ndiyo

WAKILI WA SERIKALI: Ni kweli Kwamba Umekiona Mara ya Kwanza Leo Mahakamani

SHAHIDI: nimekagua Kurasa ambazo nimeelekezwa

WAKILI WA SERIKALI: Kile Kitabu umekagua Kurasa Ngapi

WAKILI WA SERIKALI: umeongea hapa Mahakamani Kwamba Mahabusu Ulimkuta Mashahidi wangapi

SHAHIDI: Ndiyo nimeongea

WAKILI WA SERIKALI: Je ulitaja Majina yao Mahabusu ukiokutana nao Tazara

SHAHIDI: Mimi nitawajulia wapi.? Nimetolewa Tabora nije kuwajua Mahabusu Wa Dar es Salaam

WAKILI WA SERIKALI: Mheshimiwa Jaji naomba anijibu Swali langu
Je Ulitaja Majina

SHAHIDI: Sikutaja kwa sababu siwafahamu, Ila Nilitaja Idadi

WAKILI WA SERIKALI: Wakati Umepekua Kitabu, Ulikuwa unakagua Jina gani

WAKILI WA SERIKALI: Hicho Kituo cha Tazara ni Mara ya Ngapi Ulikuwa unafika

SHAHIDI: Jina langu Kwasababu Nilikamatwa Peke yangu

WAKILI WA SERIKALI: Hukusema Kwamba wewe Ni Mwenyeji wa Dar es Salaam

SHAHIDI: Nilikuwa Sijawahi Kufika ni Mara Yangu Ya Kwanza

WAKILI WA SERIKALI Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji naomba nikomee hapo, Wakili Abdallah Chavula aendelee

SHAHIDI: Sikusema hivyo

WAKILI WA SERIKALI Abdallah Chavula: Nimesikia wakati Unaelekea Hati ya Mashitaka, Kwamba pembeni kumeandikwa magereza waliokuwa wanakaa

WAKILI WA SERIKALI: Ni Ushahidi Wako Kwamba wewe Tarehe 25 September 2020 Uliposomewa Mashitaka Ulichukukiwa Ukapalekwa Gereza la Segerea

SHAHIDI Sahihi

WAKILI w5a SERIKALI: Ni sahihi Kwamba Ulipofika Mlikaa Sehemu Moja, Ni sahihi

SHAHIDI: Siyo Sahihi hatukukaa sehemu Moja

WAKILI WA SERIKALI: Ni sahihi Wakati Mpo Segerea Mohammed Ling’wenya Alikueleza Yaliyo Msibu Moshi Mpaka Anafika Segerea

SHAHIDI: Sahihi

WAKILI WA SERIKALI: Shahidi Angalia hii Nyaraka, Je Unaitambua

SHAHIDI Ndiyo

WAKILI WA SERIKALI: Kwa Mujibu wa Nyaraka Hii, Gabriel Muhina anasomela Yupo Gereza Gani

SHAHIDI: segerea

WAKILI WA SERIKALI: Mohammed Ling’wenya anasomeka Gereza gani

SHAHIDI: Ukonga

WAKILI WA SERIKALI: Kwa Mujibu wa Nyaraka Hii Adam Kasekwa anasomeka Gereza gani

SHAHIDI: Ukonga

WAKILI WA SERIKALI: Kwa Mujibu wa Nyaraka Hii Khalfani Bwire anasomeka GEREZA gani

SHAHIDI: Ukonga

WAKILI WA SERIKALI:
Ni sahihi Kwamba Ujaeleza Mahakama Nini Kilichotokea Maeneo Yaliyo Tokea Kwamba Kwa nini Kuna tofauti ya Mohammed Ling’wenya Yupo Gereza lingine

SHAHIDI: Kweli

WAKILI WA SERIKALI: Miaka yako ni Mingapi

SHAHIDI: 34

WAKILI WA SERIKALI: Umezakiwa Mwaka Gani

WAKILI WA SERIKALI: Umeanza Darasa la Kwanza Mwaka gani

SHAHIDI 1988

SHAHIDI: 1995

WAKILI WA SERIKALI: Una Elimu ya Kiwango Gani

SHAHIDI: Kidato cha Nne

SHAHIDI: Sahihi

WAKILI WA SERIKALI: Ni sahihi Kwamba Karani wa Kikosi alikuja Kukupa Fomu ya Kujaza Wewe Kuacha kazi

WAKILI WA SERIKALI: Alikuletea Ukiwa sehemu gani

SHAHIDI kambini

WAKILI WA SERIKALI: Ni sahihi Kwamba Ujaeleza Mahakama Wewe Ulipokuwa unasaini Ulisaini Kitu gani

SHAHIDI: Ni kweli sijaieleza Mahakama

WAKILI WA SERIKALI: Ni sahihi Ujaeleza Mahakama
kama Ulipokuwa Jeshini Uliugua Ugonjwa Ukiokufanya Uache kazi

WAKILI WA SERIKALI: Hata Baada ya Kuacha kazi

SHAHIDI: Hilo nimeeleza
SHAHIDI: Hilo sijaieleza

Incharge Wa Magereza, (Mabegani ni Staff Sarjent) Inawezekana Mheshimiwa Jaji

JAJI: Incharge Wa Magereza tunaweza Kupata Dakika 15

JAJI: nakupa Dakika 15 umalizie

WAKILI WA SERIKALI Abdallah: Ni sahihi Kwamba Unataka Mahakama Iamini Ulifungwa ukuwekwa Mahabusu Ukiwa Jeshini baada ya Kutoroka

SHAHIDI: Sijazungumzia Maswala la Mahabusu, Nimesema Nilifungwa

WAKILI WA SERIKALI: Unasema Ulikamatwa Tarehe ngapi

SHAHIDI: Tarehe 19 September 2021

WAKILI WA SERIKALI: Wakati Wote wote ni Siku Ngapi Mpaka unapelekwa Mahakamani ni Siku ngapi

SHAHIDI siku 6

WAKILI WA SERIKALI: na wakati wote huo ulikuwa Chini ya Mateso

WAKILI WA SERIKALI: na Muda wote huo ulikuwa Chini ya Mateso

SHAHIDI Ndiyo

WAKILI WA SERIKALI; Na Muda wote huo Hukuwa unakula kwa sababu Ulikuwa a Umefungwa Pingu

SHAHIDI Ndiyo, Nilikuwa Nashindwa Kula sababu ya Pingu na pia nilikuwa nahofia Nitashindwa kujiosha Baada ya Haja

WAKILI WA SERIKALI: Wakati wote wa Tazara Hukumshudia Mohammed Ling’wenya akiwa Tazara

SHAHIDI: Sijamkuta Mohammed Ling’wenya Tazara

WAKILI WA SERIKALI: Mlikuwa mnakutana naye wapi

SHAHIDI: Wakati wa Video Conference

WAKILI WA SERIKALI: Kwa hiyo Mlikuwa mnakutana Wewe wa Segerea na Ling’wenya Wa Ukonga Wakati wa Video Conference
Umesema Segerea Ulikuwa Wapi

SHAHIDI: Hapana Mohammed Ling’wenya alikwepo Segerea nimeshalisema

SHAHIDI: Punishment Cell

WAKILI WA SERIKALI; Mlikuwa mnaruhusiwa Kukutana

WAKILI WA SERIKALI: Pamoja na Kwamba Kila Mtu anachumba Chake na Mnatako kwa Sababu hizo, Ila Bado Uliona Taarifa Ya Mheshimiwa Mbowe Kukamatwa, Ulijuaje Swala la Mheshimiwa Mbowe kukamatwa

SHAHIDI: Hapana, Tulikuwa tuna kutana Wakati wa Video Conference na Kutembelewa na Wageni wetu

SHAHIDI: Kule Punishment Cell Tunapata Magazeti, Kuna Askari Magereza na Wafungwa wanakuja kutuhudumia

SHAHIDI: Kwani Magazeti siyo Vyombo Vya Habari

WAKILI WA SERIKALI: Kwa hiyo ni Askari Magereza na Wafungwa siyo Vyombo Vya Habari

WAKILI WA SERIKALI Gazeti gani

SHAHIDI: jamuhuri

WAKILI WA SERIKALI: la Tarehe ngapi

WAKILI WA SERIKALI: Mheshimiwa Jaji Sina Swali

SHAHIDI: la Tarehe 27

WAKILI DICKSON MATATA: Shahidi Umeulizwa Swali Kuhusu Kielelezo Hiki D6 Kwamba Huyu alikuwa wapi na huyu Wapi

WAKILI WA SERIKALI Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji hatuja uliza Hivyo
Je eleza Mahakama Kwamba Huku kwenye a Majina Kumeandikwa kwa nini na Huku kwenye a Magereza Kumeandikwa kwa nini

WAKILI WA SERIKALI Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji Tunapinga na hilo

WAKILI DICKSON MATATA: Shahidi Ifafanulie Mahakama Wakati Wakili wa Serikali anakuhoji alikuuliza kama Kumeandikwa kwa pen au lah

WAKILI PETER KIBATALA: Miye sioni Ubaya wa hilo sealing

JAJI: Hebu rudia Swali lako sababu nini kilicho andikwa haikuwepo kwenye Examination inchief na Cross Examination

SHAHIDI: Majina Ya Magereza Waliyopelekwa

WAKILI DICKSON MATATA: Hapa Mbele ya haya Majina Kuna sehemu Zina Majina ya Ukonga, Segerea ni Nini hiki

JAJI: Bwana Mhina Tunakushukuru, Asante nafikiri tumemalizana

WAKILI DICKSON MATATA: Mheshimiwa Jaji ni hayo tuh

WAKILI WA Uterine FREDRICK KIHWELO: Upande wetu Tumemaliza na Huyu ndiye shahidi wetu wa Mwisho Katika Kesi Ndogo

JAJI: Mmefunga Ushahidi

WAKILI FREDRICK KIHWELO: Ndiyo Mheshimiwa Jaji

JAJI: anaandika Kidogo
Na Kwa sababu siyo Majibizano Tunaomba Kila Upande Tarehe hiyo walete Ya Kwake

JAJI: Mahakama Inaridhia Kufungua kwa Utetezi Katika kesi Ndogo kuhusu Mshitakiwa wa tatu katika kesi Ndogo

WAKILI FREDRICK: Kihwelo Mheshimiwa Jaji hatuna na Schedule, Ila tunaomba Proceedings Za Trial Within Trial Kwanza

WAKILI WA SERIKALI Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji naomba tuwasilishe SUBMISSION yetu ya hii Kesho Ndogo Na Kama Utaridhia naomba tulete SUBMISSION kwa Njia ya a Maandishi Siku ya Tarehe 07 December 2021
Tunafanyeje

JAJI: Changa Moto sina hakika kama nimeziprint

WAKILI FREDRICK: Kihwelo Sawa Mheshimiwa Jaji tunakubali Kuendelea hivyo hivyo

JAJI: na Uamuzi lini

WAKILI WA SERIKALI Robert Kidando: Tarehe 14

JAJI: basi tarehe 14 December 2021 ndiyo tutasoma uamuzi
Naombeni Submission Kwa Hardcopy na softy Copy

JAJI: Kwa hiyo tunakubaliana Tarehe 07 Mtaleta Submission lakini Uamuzi wake Mahakama Itatoa Tarehe 14 December 2021
Na Wakati Wote huo Washtakiwa Watakuwa Rumande chini ya Magereza

Nawatakia Maandalizi mema ya Submission

Jaji anatoka

Like
1