Kesi ya Mbowe: Shahidi asema hakuona uhalifu katika mawasiliano ya simu

Kama ilivyowasilishwa na ripota raia, BJ, leo tarehe 19 Januari 2022.

Jaji ameingia Mahakamani Muda huu Saa 4 Kasoro Dakika 2
Kesi namba 16 ya Mwaka 2021 Khalfani Bwire, Adam Kasekwa, Mohammed Ling’wenya na Freeman Mbowe inatajwa
Wakili wa Serikali: Robert Kidando: Ikupendeze Mheshimiwa Jaji naitwa Robert Kidando nipo pamoja na Wakili wa Serikali:
Pius Hilla
Abdallah Chavula
Jenitreza Kitali
Nassoro Katuga
Esther Martin
Tulimanywa Majige
Ignasi Mwinuka
Wakili Peter Kibatala: Mheshimiwa Jaji Ikupendeza naitwa Peter Kibatala: nipo Pamoja na wakili
Nashon Nkungu
Faraji Mangula
John Malya
Fredrick Kihwelo
Sisty Aloyce
Michael Lugina
Maria Mushi
Jaji anaita Majina ya Washitakiwa Kwa Namba
Wote Wanaitika wapo
Wakili wa Serikali: Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji Shauri limekuja kwa ajili ya Kusikilizwa na Shahidi: Wa 10 alikuwa anaendelea na UShahidi: Wake
Jaji anaandika Kidogo
Tupo Tayari Kuendelea
Mahakama Ipo Kimyaaaaaa
Hali ya Hewa ni Mvua Kidogo
Wakili Peter Kibatala: Nasi pia Mheshimiwa Jaji tupo tayari
Ugeni Wa Leo ni Mahakama Kuhudhuriwa Kesi na Askofu Gabriel Shoo
Jaji: Shahidi: Nakukumbusha Upo Chini ya Kiapo Bado na Wakili wa Mshtakiwa Namba Mbili Ilikuwa Unaendelea, Karibu
Malya: Mheshimiwa Jaji naomba nikumbushwe niliishia wapi
Uliishia Wakati anakusomea Kielelezo H
Shahidi: Imeandikwa Tarehe 05 August 2020
Malya: Shahidi: Inaweza Kitusomea hii ni Tarehe Ngapi
Malya: Kuna Entry imeandikwa Owner of Article, Kwenye PF Je imeandikwa Jina gani
Shahidi: Nashindwa Kusemea Sana Mheshimiwa Jaji sababu Siyo Mimi Nilie andaaIla Sijaandaaa Mimi
Jaji: Ujaambiwa Uisemee Umeambiwa Usome
Shahidi: Imeandikwa Mohammed Abdallah Ling’wenya
Malya: Kwa Hiyo nani kaleta Mahakamani
Shahidi: Ni Mimi
Malya: Kwa hiyo tuiondoe.?
Shahidi: Hapana
Shahidi: Mwisho Imeandikwa Doyi
MALYA: Soma Sasa
Shahidi: Kuna Interval Ya Siku 08
Malya: Kutoka Tarehe 05 August 2020 Mpaka Tarehe Uliyo letewa Kwenye Ofisi yako Kuna Interval ya Siku Ngapi
Malya: Na wewe Ulifanyia Kazi Tarehe Ngapi
Shahidi: Mwezi Wa July 2021
Malya: Tarehe Ngapi
Shahidi: Sikumbuki Tarehe
Malya: Kutoka Muda Umeletewa Mpaka Unafanya Uchunguzi Kuna Muda gani
Shahidi: Angalau Miezi 10
Malya: aliyekuletea hiyo Item “H” alikwambia alikamata katika Physical Condition gani
Shahidi: Alikwambia alikuwa Amehifadhi Siku gani
Shahidi: Hakuniambia
Shahidi: Hakuniambia
Malya: alikwambia Kwamba aliondoa au Kutumbukiza Physically Kitu gani
Shahidi: Hakuna Kitu kama hicho Unachosema, kuwa alitoa chochote, Utaratibu Wa Kutunza Kielelezo Unajulikana
Kwa Utaratibu Wa Polisi Kielelezo Umapo Ki Seize unapaswa Umantain Kilivyo
Malya: Je aliye Kuletea alikwambia alifuata Utaratibu au Haku fuata Utaratibu huo
Shahidi: Kwa sababu Ni Askari Polisi ni Imani yangu alifuata
Malya: Mheshimiwa Jaji naomba ajibu Swali Langu
Shahidi: Mheshimiwa Jaji Swali lina Hitaji Maelezo,
Shahidi: Mimi Naamini Kuwa Utaratibu ukifuatwa
Jaji: Nani sasa, Maelezo ya Wakili au Ya Kwako
Jaji: Swali lake Halipo Huko kama Utaratibu ukifuatwa au Lah Bali Je alikueleza
Shahidi: Mheshimiwa Jaji hakunieleza
Malya: Ndiyo Jibu ndiyo Nilikuwa nayafuata
Malya: Kwenye Kielelezo H Kuna Physical Damage inaonekana hapa, Kuna gaps, Je Macho yangu ya naona sawasawa
Malya: Hilo Sijakuuliza, Nauliza Kuna Damage hapa Inaonekana, Je Kinachoonekana ni nini
Shahidi: Condition Siwezi Kuzungumzia hapa
Shahidi: Kinachoonekana ni Simu
Malya: Si Ulizi simu hapa Mahakamani, Usilete Mahakamani Michezo
Malya: Unachokiona ni Kitu gani
Shahidi: Ninachokiona ni Simu Mheshimiwa Jaji
Malya: Ngoja Nichukue Simu F tulinganishe na H, Zote Umeleta Wewe, Swali langu hii yenye haya Ma gaps unahitaji
Shahidi: Mheshimiwa Jaji Hizi ni simu Mbali tofauti, Siyo lazima zifanane
Wakili wa Serikali: Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji Wakili amebakia Muda Mrefu na Majibu yameshatolewa, Swali lake limeshajibiwa
Jaji Muulize swali tena
Malya: Mheshimiwa Jaji Swali langu halijajibiwa bado
Malya: Kwenye Kielelezo H Kuna Magaps, Je kitaalamu Unayahitaje
Shahidi: Miye siwezi Kuongelea chochote
Shahidi: Mheshimiwa Jaji siwezi Kuzungumzia kuhusu tofauti
Malya: Hii difference ya Kuwa hii ina Batani Kwenye simu na hii haina, unasemaje
Shahidi: Ndiyo Ilikuwa na Positive Results
Malya: Kwenye Riport yako Kwenye Kielelezo F Je aina Positive Results..?
Shahidi: ndiyo Kwa Mujibu wa Sheria
Malya: Kama Askari Polisi anataka Kujiridhisha Juu ya Kitu anachotafuta analeta Forensic
Shahidi: Ndiyo
Shahidi: Inaweza Kuwa Simu ya Ofisi
Malya: Unafahamu Simu ni Personal Property ya Mtu..?
Malya: Yapo Mazingira Mtu anaweza Kuwa na Simu Kama Mali yake Binafsi.?
Shahidi: Kama amenunua ni Mali yake Binafsi
Malya: Je Yule ambaye amekamata kama Hajakuta Kitu anatakiwa kumrudishia Simu yake..?
Shahidi: Sifahamu
Shahidi: Simu ya Mtu anaweza Kuweka Taarifa ambazo yeye anahisi anaweza Kuhifadhi
Malya: Unafahamu Kuwa Kwenye Simu ya Mtu Binafsi ambayo kanunua Kwa Pesa Yake, Inaweza Kuwa na Taarifa zake Binafsi
Malya: Taarifa Uliyompelekea huyo aliyekuomba Umfanyie Uchunguzi, Je akipokea Kwa Mkono au Kwa Email..?
Shahidi: Akipokea Kwa Mkono
Malya: Je akisoma hiyo Taarifa Yako ya Uchunguzi
Shahidi: Naamini alisoma
Malya: Mheshimiwa Jaji naomba Kielelezo namba 23 Samahani
Malya: Shahidi: Interest yangu Katika Riport Yako ni Ukurasa Wa Sita Unapozumgumzia Kuhusu Kielelezo A, B, C, D
Malya: Kwa hiyo Katika Si ya Khalfani Bwire hukukuta Jambo Lolote
Shahidi: Ndiyo
Malya: ulifanya Uchunguzi Wako Lini
Shahidi: July 2021
Malya: Ulikuja Kutoa UShahidi: wako lini
Shahidi: Juzi January 2022
Malya: Kuna Interval ya Muda gani kati ya Wewe Kufanyia Uchunguzi Mpaka Kutoa Ushahidi
Shahidi: Usio Pungia Miezi Mitano
Malya: Hiyo Content ambayo ulikuta negative Results upo wapi
Shahidi: Sikuona Haja ya Kuweka Kwa sababu sikukuta Kitu
Malya: Shahidi: Umesha wahi Kupima Malaria
Shahidi: Mheshimiwa Jaji Nilipewa Terms of Reference, Kwa Hiyo Kama Haipo siwezi Kutoa
Shahidi: Hilo swali Limeingiaje hapa
Malya: Kwa Sababu Wewe ni Mtu wa Laboratory na Malaria inapimwa Laboratory
Shahidi: sioni likihusiana
Shahidi: Kama Nilivyosema, Kuna Baadhi ya Simu Zina Taarifa zaidi ya GB 20 uwezi Ku Print zote
Malya: Je ulitoa Taarifa Kwamba hukukuta kwa sababu ni Kubwa
Shahidi: Kwa sababu ni Out of Context
Malya: Ulishajibu Kuwa Hukuona Haja
Jaji: Hapo Ndipo Mr. Malya: Unapotuchanganya, Ni wapi Tutaona Hukuuliza?
Shahidi: Siku Jibu hivyo
Malya: Nilikuwa namkumbusha Majibu Yake
Jaji Basi Kama Unaulizwa Swali Hakuna Haja ya Kuongea Yote hayo
Shahidi: Hapana Siku zungumzia
Malya: Shahidi: Nilisikia Unasema Mnatumia Legitimate Software Ku Updates yenu, Je Ulizungumzia Mnapewaje
Malya: Mheshimiwa Jaji Naomba Barua ya Airtel na Ya Tigo
Shahidi: Barua hii Imeelekezwa Kwa Kamishina wa Uchunguzi wa Kisayansi
Malya: Nakuonyesha Kielelezo P15 na Interest yangu ni Mtu aliyepewa hii Barua
Malya: wewe sasa hivi ni Inspector Wa Polisi, Je Mwaka 2021 uliwahi Kuwa Kamishina wa Polisi
Malya: Kwenye hii Barua wapi Umekuwa Adressed.?
Shahidi: Mimi Sijawahi Kuwa Kamishina
Malya: Naomba na Ya Tigo
Shahidi: imekuwa Adressed Kwa Kamishina wa Uchunguzi Wa Kisayansi
Malya: Umesema Ofisini Kwenu Mkubwa wa Command ni Nani
Shahidi: Anaitwa CP SHABANI
Malya: Kuna Departments Ngapi katika Forensic Beaural
Malya: Kwa Mahesabu yangu ni Nane
Shahidi: Tuna Units Mbalimbali Ka Cyber crime ambayo Natoka Mimi, Toxicology, DNA, Pathology, Fingerprints, Ballistic, Documents, Crime scenes
Malya: Kwa Kiswahili Zinaitwaje
Shahidi: Kamisheni ya Uchunguzi Wa Kisayansi
Malya: ambazo zote hizi Ukubwa Wake Kwa Maana ya Commanding Ofisa wake ni CP SHABANI.?
Shahidi: Ndiyo
Malya: Naomba unisee Adress ambayo Tigo Wameitumia
Shahidi: UCHUNGUZI WA KISAYANSI
S. L. P 9094
DAR ES SALAAM
TANZANIA
Malya: Mheshimiwa Jaji naomba Mwenzangu Wakili Faraji Mangula: aendelee
Mangula: Shahidi: Pole na Kuu wa Kichwa Siku ya Kwanza
Shahidi: Ndiyo
Mangula: Wakati Unaongozwa na Wakili Wa Serikali, Ulielezea Kuwa Baada ya Masomo Ulipata Award gani
Shahidi: Nilisema nilikuwa napata Certificate
Mangula: Wakati Mawakili Wanakuongoza Hapa Mahakamani, Je ulisema Kuwa Ulipata Mafunzo gani Mpaka Ukapanda Cheo
Shahidi: Unakuwa Awarded siyo Kwa Kwenda Kozi
Mangula: Cheo Chako umekipata Wakati awamu ya Tano au ya Sita
Shahidi: Sijaelewa Logic ya Swali lako
Jaji: Swali la nani alikuwa Rais, unataka Kujenga nini
Mangula: Mheshimiwa Jaji Kuna Premise Nataka Kutengeneza
Wakili wa Serikali: Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji Mahakama Ilisha wahi Kutoa Maelekezo Juu ya Kutaja Majina ya Watu ambao Hawapo Mahakamani
Jaji: hiyo Premises ndiyo Utengeneze kupitia Rais aliye Madarakani.?
Jaji: nilitoa Maelezo Kuhusiana na Kutaja Majina ya Watu ambao Hawapo Mahakamani, lakini pia nataka Kujiuliza Kuhusu Kuuliza Maswali ya Rais wa Awamu ya Tano au Lah
Sasa Unachotaka hapo ni nini.?
Mangula: Ngoja Niulize Kwa Namna Nyingine
Mangula: Naomba Kielelezo Namba 23,Shahidi: Naomba Usome Kwa Sauti Kichwa Cha Habari cha Hicho Kielelezo
Shahidi: Kamisheni ya Uchunguzi Wa Kisayansi, ya Makosa ya Kimtandao Chini ya Sheria ya Mtandao namba 14
Malya: Je ni Kifungu Kipi ambacho umekitumia..?
Shahidi: Mimi siyo Mtaalamu Wa Sheria, Ila nilifanya Kwa Sheria ya Mtandao
Mangula: Mwambie Mheshimiwa Jaji Sasa Ni Kifungu Kipi Ulitumia
Shahidi: Mheshimiwa Siku tumia Kifungu

Mangula: Nikikupa hiyo Sheria, Unaweza Kunitajia Kifungu Ulicho tumia
Shahidi: Mimi sina Ufahamu Wa Mambo ya Kisheria
Mangula: Kwa hiyo Nyie Ofisini Kwenye Mnafanya Bila Ufahamu Wa Sheria
Shahidi: Nisha Sema Mheshimiwa Sina Ufahamu Wa Sheria
Mangula: Fungua sasa Ndani, Ieleze Mahakama ni Kielelezo Kipi Ulicho fanyia Kazi Ukagundua Kuna Makosa ya Ugaidi Uliyaona, Ni wapi Umeandika hivyo
Shahidi: Mheshimiwa Jaji Jibu linahitaji Maelezo, Mimi nili letewa Kufanya Uchunguzi
Mangula: Kwa hiyo wewe Ujui Kuwa Kuna Ugaidi au Hakuna Ugaidi kwenye hicho Kielelezo
Shahidi: Sahihi
Mangula: bado unataka Mahakama uchukue Kielelezo Hiki Kama Kielelezo Cha Umuhimu
Shahidi: Nimesema ni Kazi ya Mpelelezi
Shahidi: Ni Sahihi
Mangula: Wewe Umesomeshwa na Serikali Ni sahihi
Mangula: Na Umelipiwa Masomo Kwa Kodi ya Watanzania
Shahidi: Sahihi
Mangula: Na wewe Umesomea Udukuzi
Shahidi: Nimesomea Ethical Hacking
Shahidi: Ndiyo
Mangula: Ulisema Mwanzo Kuwa Vifaa Vyako Vya Uchunguzi Vina Uadilifu
Mangula: Na Kila Unachotaka Kwenye hiyo Simu, Mambo wako Unakuonyesha
Shahidi: Yea
Mangula: Kama Kuna video inakuomyesha.?
Mangula: I nakupa kila Kitu ambacho Kipo Kwenye simu
Shahidi: Inaonyesha Vile Vitu ambavyo Inaweza Ku Extract Kwenye Kielelezo
Mangula: Mheshimiwa Jaji Naomba Extraction Report
Shahidi: Kimyaaaaaaaaaa
Mangula: Katika huo Mambo unaosema Ulikuwa upo Sawa Kukupa Kila Kitu, Ukisoma Kielelezo Cha Kwanza hicho namba 25
Mwambie Mheshimiwa Jaji kwenye hicho Kifaa Ulicho fanyia Uchunguzi Kukikuwa na Content gani
Shahidi: Kukikuwa na Proxy Ya Chat ya What’sup
Mangula: Kukikuwa na Picha Kwa Maana Images
Shahidi: Picha Hakuna, Zipo Profile Picture
Mangula: ambazo ni za nani
Shahidi: Sijui za nani
Mangula: Katika hivyo Vielelezo ambavyo Vimepokelewa Mahakamani, Palikuwa na Mazungmzo ya Simu kati ya Watuhumiwa
Shahidi: Hakuna ila kwenye Kielelezo namba 26 zipo
Shahidi: Kuna Mazungmzo ya Dakika 9
Mangula: apewe Namba 26,,tuchagulie Mazungmzo Marefu Kuliko yote
Mangula: Bila Shaka hapo Ndipo walikuwa wanapanga Ugaidi, Haya Mwambie Mheshimiwa Jaji Wali zungumza nini hawa Watuhumiwa
Shahidi: Kuna Call Logs tuh
Mangula: zile Sauti zipo wapi
Shahidi: Mheshimiwa Jaji Kama Mahakama Yako itaniruhusu Kwa sababu za Ki Usalama nisijibu Hilo swali
Mangula: Swali langu ni Juu ya Watuhumiwa Ukiwa Mchunguzi wa Hizo Simu, Nauliza Mazungmzo ya Watuhumiwa Wale Wanne, Narudia Swali Sauti zao Watuhumiwa Zipo wapi
Mangula: haya Sasa Mwambie Mheshimiwa Jaji, Sauti za Watuhumiwa Zipo wapi
Shahidi: Mheshimiwa Jaji Hazikuwa zinahitajika katika Terms Of Reference
Mangula: Ni sahihi nikisema Kuwa Katika Extraction Uliyo fanya, Kuna Vitu Uliviondoa sababu hazikuhitajika
Shahidi: Linahitaji Maelezo, Mwanzoni Nilisema Kuwa Tunafanya Kwa Hatua tatu, Aquisation, Analysis na Extraction
Mangula: Kwa hiyo ni sahihi Kuwa Kwenye Mtambo Kuna Baadhi Ya Taarifa Hukutoa Sababu Hazikuhitajika
Mangula: Kwa Mujibu Wa Kielelezo Namba 22, Mwambie Mheshimiwa Jaji Vitu gani Viliombwa Kwa ajili ya kufanyia Uchunguzi
Mangula: Hoja ya Barua Ilikuwa unahitaji Ufanyie nini
Shahidi: Pamoja na Taarifa Hii Nakuletea Uchunguzi Niliofanya …. Mimi Inspector Innocent Ndowo
Mangula: Ni wapi Walikutaka Wewe Usitoe Sauti za Watuhumiwa
Mangula: Nikisema Kuwa Wewe Inspector Ndowo na Viongozi Wako wa Polisi Kwa Makusudi Mliamuq akuficha Baadhi ya Taarifa katika
Shahidi: Miye nilifuata Terms of reference
Kesi hii kwa Maslahi yenu Itakuwa sahihi au siyo Sahihi Ukizingatia Kuna Taarifa Hazipo hapa
Shahidi: Siyo Sahihi, Hatufanyi Kazi kwa interest zetu
Mangula: Fungua Kielelezo H, na Umwambie Mheshimiwa Jaji IMEI namba ya hicho Kielelezo Ni namba Ngapi Kwa Mujibu wa PF 145
Shahidi: Kwa Mujibu wa PF Hakuna IMEI namba
Mangula: Soma huo Mstari Wa Pili Kwa Sauti Umeandikwaje
Shahidi: Simu TECHNO IMEI imefutika
Mangula: Wakati Unaongozwa Kwenye UShahidi: Ulisema nani aliye futa hizo IMEI namba
Shahidi: Si Kuulizwa hilo swali
Mangula: Wewe unafahamu aliye futahiyo IMEI namba?
Shahidi: Simfahamu

Mangula: ukiacha Kielelezo namba 35 ambacho kimechezewa na Watu wasio Julikana , Ni Kielelezo Kipi Kingine Mlichochezea
Shahidi: SikuSema
Mangula: Fungua Kielelezo namba 23
Mheshimiwa Jaji Namuonyesha Kielelezo namba 23
Nataka Majibu ya Riport Yako ya Uchunguzi
Mangula: Mwambie Mheshimiwa Jaji ni wapi Katika Riport Yako ya Uchunguzi Umeandika IMEI namba Imefutika
Shahidi: Hakuna Mahala Nilipo andika
Mangula: Nilisikia Unasema Ulichukua simu Ukiweka Katika Mtambo Wa Uchunguzi, Ule Mtambo utakuonyesha Kuwa Simu ni Original au Feki
Mangula: Kitu gani Kina onyesha kuwa Simu ni Feki au Original
Shahidi: Mtambo hauonyeshi Kuwa Simu ni Feki au Original
Shahidi: Kitu nilicho Sema Kuna Kama zile Simu za Kichina, Mtambo una Oparate kwa OS
Mangula: Kwa hiyo nini Kina onyesha ni Feki Au Original
Shahidi: Nilichosema naomba Unisikie Vizuri, Mtambo una Option ya Kufanya Kazi hata Kwa a kutumia Chip
Mangula: Mheshimiwa Jaji naomba Niishie Hapo
Shahidi: Samahani Mheshimiwa Jaji Naomba Kwenda Washroom (Chooni)
Shahidi: anatoka na Kuelekea Katika Vyoo Vya Nje
Mahakama Ipo Kimya inasubiri Arudi
Shahidi: amerejea Kizimbani Kutokea Chooni
Kihwelo Shahidi: Nilisikia Unazungumzia Kuhusu Celebrite Physical analyser Je ni Software Au.?
Wakili Fredrick Kihwelo
Kiwhelo: nani alifanya Development ya Software
Shahidi: Ni software
Shahidi: Celebrite Wenyewe
Kiwhelo: Nilisikia Umesomea Kuhusu Penetration Test
Shahidi: Ndiyo
Kiwhelo: Je Penetration Testing, Ni sawa na Fazzing
Shahidi: Sifahamu
Kiwhelo: Je Wakati Unafundishwa Kuhusu Penetration Testing, Walikufundisha Kuhusu Mashambulizi ya Hali ya Juu ya Kimtandao (High Tech Cyber Attack)
Shahidi: Sijafumdishwa
Kiwhelo: kwakuwa Ujafundisshwa kuhusu Mashambulizi ya Hali ya Juu ya Kimtandao, Ni sahihi Celebrite Ingeweza Kuingiliwa
Shahidi: Haiwezi Kuingiliwa
Kiwhelo: pale Ofisini kwenu ni nani Network Provider
SHAHIDI: ni TTCL
Kiwhelo: Ni sahihi Kuwa Network Services Provider anaweza Kuingilia Data Zako?
Shahidi: Hawezi
Kiwhelo: Nyinyi Kama Jeshi la Polisi Mnatumia Nini Kujilinda na Mashambulizi ya Hali ya Juu ya Kimtandao?
Shahidi: Naomba nisijibu sababu za Kimtandao
Kiwhelo: Nilisikia Kuwa unazungumzia kuhusu DECORDING
Shahidi: Ndiyo
Kiwhelo: Shahidi: Pegasus Technology ni Moja ya Technology mnayotumia?
Shahidi: Mheshimiwa Jaji naomba Nisijibu Sababu za Kiusalama
Kiwhelo: Mheshimiwa Jaji naomba anijibu sababu Baadae Nita taka kujua Intergrity ya Technology Wanayo tumia
Jaji: Ame-raise Swala la Security
Au mnasemaje Upande wa Serikali
Wakili wa Serikali: Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji Shahidi: amesha Sema kuwa hawezi Kusema Sababu za Kiusalama, Sisi tunaona Sababu hizo ni Valid Lakini siyo Kutulazimisha
Jaji: Sasa Kaja na Swala la Security kwa hii Uliyotaja
Kiwhelo: Mheshimiwa Jaji Shahidi: Wakati Shahidi: anataka UShahidi: Wake Jana Alitaja Hapa Kuhusu Microsoft na Celebrite, alitaja hizo Mbili Maana yake ameshataja
Kiwhelo: Basi Ngoja Niendelee na Kingine, Shahidi: Wakati Una Extract Data Kwenye Celebrite Ulihifadhi Kwenye nini
Shahidi: Nili hifadhi Kwenye Computer
Kiwhelo: Vipi kuhusiana na Usalama wa computer yenyewe
Kiwhelo: Turudi Kwenye Riport, Uliandika Taarifa ya Simu Nne..?
Shahidi: Simu zote Nane
Kiwhelo: Siku ya Tarehe 09 July 2020 Uliingia Saa ngapi
Shahidi: Niliingia Saa 1 na Nusu Asubuhi
Kiwhelo: na Ulitoka Muda gani?
Shahidi: Unatoka Muda wowote, Upangiwi kwa Sababu tunafanya Kazi Masaa 24
Kiwhelo: Mwambie Mheshimiwa Jaji Ulikuwa Unaandika Summary kisha Unafuata Extraction?
Shahidi: Siyo Sahihi
Kiwhelo: Soma Hapo Kwenye Riport Yako,
Shahidi: Inaanza na Summary Kisha Extraction
Kiwhelo: Kwa hiyo Imeanza na Summary
Shahidi: Ni Sawa Imeanza na Summary
Kiwhelo: Tuzungumze Kidogo Kuhusu Kampuni ya CELEBRITE Ukasema Kuwa Ni Moja ya Kampuni inayodevelop Software
Je unafahamu Celebrite Ni Kampuni Ya Kijasusi wa Kidigitali ya Nchi Israel
Shahidi: Hapana Sifahamu
Kiwhelo: Je Unafahamu Kuwa Hiyo Kampuni inahusishwa na Unyanyasaji wa Waandishi Wa Habari na Wana Harakati Duniani?
Shahidi: Sifahamu
Kiwhelo: na Je Unafahamu Kuwa Celebrite Mashine Inaweza Kuingiliwa.?
Shahidi: Haiwezi Kuingiliwa
Kiwhelo: Je Nitakuwa Sahihi Nikisema Kuwa Celebrite Mashine Inaweza Kuingiliwa na Kubadili Taarifa Zilizotamgukia na zilizopo
Shahidi: Hapana Siyo Sahihi
Wakili wa Serikali: Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji naomba wakili azuiwe Kusoma hiyo Nyaraka
Kiwhelo: Mheshimiwa Jaji naomba nimkabidhi Shahidi: Nyaraka asome Kuhusiana na Celebrite
Kiwhelo: Mheshimiwa Jaji Kwa ajili ya Muda nitaomba Kuachana na hiyo
Naomba nipatiwe P23 na P35
Naomba Sasa Nimkabidhi Shahidi
Kiwhelo: naomba Unisomee Discription hapo Juu
Shahidi: Imeanza Neno Station, Date 05 August 2020, CF imeandikwa
Simu Imeandikwa Tecno IMEI imefutika, Iliklpatikana Maungoni (Mwilini)
Kiwhelo: Mwambie Mheshimiwa Jaji Wewe Umetoa wapi Namba kwa Mujibu wa IMEI namba ambayo Imefutika
Shahidi: Inawezekana Physically Isionekane ila akuna Namna unaweza Kuona, au Kwenye Barua
Kiwhelo: hiyo Barua Ipo Hapa Mahakamani?
Shahidi: Haipo Mahakamani
Shahidi: Nili zungumza Kwa Ujumla
Kiwhelo: Mheshimiwa Jaji nimeishia Hapo na naomba Kurudisha Vielelezo
Kibatala: Inspector Ndowo Mambo Vipi?
Shahidi: Salama
Kibatala: Siku ya Kwanza Uliomba Kusitisha UShahidi: Kwa sababu uliumwa?
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: na Ulipitia Hospitali.?
Shahidi: Nilienda Ofisini, nikarudisha Vielelezo
Kibatala: Kwa hiyo Baada ya Kutoka Hapa Hukwenda Hospitali Moja kwa Moja
Shahidi: Si kwenda Hospitali Moja Kwa Moja
Kibatala: Ulisema Kichwa Kilikuwa Kinafanya nini Vile?
Shahidi: Kilikuwa Kinaniuma Kadri nilivyokuwa natoa Ushahidi
Kibatala: Na Kwa hiyo Ofisi Yako Ilikuwa wapi Vile?
Shahidi: Posta
Kibatala: na Baada ya Hapo Ukaenda Hospitali Wapi?
Shahidi: Kilwa Road
Kibatala: Twende Kwingine, Shahidi: Je Uliwahi Kufanyiwa Training na Watu wa CELEBRITE
Shahidi: Yes Wawakilishi Wao
Kibatala: Je kwa Kumbukumbu yako Ulitaja Mafunzo Yaliyo endeshwa na Celebrite au Wawakilishi wao
Shahidi: Jibu Lina hitaji Maelezo, Nilitaja Kozi Mbalimbali na Baadhi walitoka Nairobi
Kibatala: Maelezo Ambayo Umeyatoa, Kuna Mahali Umesema Kuna watu Walitoka Nairobi Kuja Kuku train Kuhusu Celebrite.?
Shahidi: Sikutaja Mheshimiwa
Shahidi: Nilipata Kozi Mbalimbali, sikudadavua
Jaji: Swali Lake Ulisema Kuwa Kuna Wataalamu Kutoka Nairobi Kuja Kuku Fundisha Kuhusiana na Celebrite
Kibatala: Katika Maelezo yako, Ulisema Ulienda Training Mahala Mbalimbali, Je Ulisema Kuwa a ulienda Israeli.?
Shahidi: Israel Sikutaja
Kibatala: Unafahamu Kuwa Makao Makuu ya CELEBRITE Yapo Nchini Israel
Shahidi: Nafahamu Yapo Israel
Kibatala: Je Unafahamu Kuwa Israel Kwa Wivu na Technology yao Hawaja Outsource kwa Mtu Kuhusiana na Training wala Technology?
Shahidi: Hapana Sifahamu
Kibatala: Unafahamu Kuwa Nairobi Hakuna Wakala Wa CELEBRITE?
Shahidi: Hapana Sifahamu
Wakili wa Serikali: Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji Wakili anataka Misamiati Migumu ya Technology Shahidi: anaweza asijue ni nini Kinaongelewa
Kibatala: Mheshimiwa Jaji Hakuna Hoja hapo, Mbona Shahidi: anajibu, Eti Shahidi: Ni kweli huelewi?
Shahidi: Ndiyo sielewi
Kibatala: Kwanini sasa Ulikuwa Unajibu?
Kibatala: Shahidi: Je unafahamu kwa sababu ya Wivu Wa Technology, Israel Hawana Mwakilishi wa CELEBRITE Duniani akatika Nchi yoyote?
Kibatala: Unafahamu Kuwa Technology ya Pegasus ni Technology ya Israel Pia
Shahidi: Hapana Sifahamu
Kibatala: una Cornfirm kwetu Bila Kwenda Kwenye Details Kuwa Jeshi la Polisi Mnatumia Pegasus
Shahidi: Naomba Nisijibu Hilo swali kwa sababu za Kiusalama
Kibatala: Ni sahihi Kwamba Celebrite unatumia Software Mbili UFET na physical analyser
Shahidi: Ndiyo ni baadhi ya product za kwake
Kibatala: UFEN kazi yake Inaingia katika Simu au Computer kisha Inatengeneza Back up?
Shahidi: Inategemea na level ya Extraction Unayo fanya
Kibatala: Ni sahihi Kuwa katika kazi Uliyo kuwa unafanya unaunganisha Simu Kwa Kutumia Cable kisha Celebrite inachofanya Kwa a kutumia UFEN Kutengeneza Back up
Shahidi: Sahihi
Kibatala: Ni sahihi Kuwa physical analyser Inafanya kazi Kwa Ku arrange Taarifa In Chronological Order
Shahidi: Sahihi ila inategemea Level
Kibatala: Jaji akimaliza Ku Rekodi Mwambie Kuwa Kazi ya Physical Analyser Kama Software Ni kuyapanga Mafaili Kwa Mchunguzi ili Ku Make Sense na hiyo Process inaitwa PASSING
Shahidi: Naomba nijibu kwa Maelezo Kuwa Physical analyser, Inafanya kazi Tatu ila Kwa Ujumla Ndiyo PASSING
Kibatala: Katika Report Yako Kuna Item Ya PASSING
Shahidi: Kama Software Include hizo Taarifa zake, Basi itaonekana
Kibatala: Basically Physical analyser haina Jipya Zaidi ya kupanga Mafaili
Shahidi: Hapana Physical analyser ni zaidi ya hapo
Kibatala: Tofauti Yake nini, Kama Unaingia Kwenye simu yangu ya Telegram na kisha unapamga Mafaili
Shahidi: Ni zaidi ya hapo kwa sababu ina Uwezo Kuwa Kufanya Back Up Kwa Vitu Vilivyofutwa
Kibatala: Physical ANALYSER inaweza za KubadiliSha Chochote
Shahidi: Hapana
Kibatala: Physical analyser Ina extract
Shahidi: Hapana Physical analyser Hai extract
Kibatala: Tofauti Yake nini, Kama Unaingia Kwenye simu yangu ya Telegram na kisha unapamga Mafaili
Shahidi: Ni zaidi ya hapo kwa sababu ina Uwezo Kuwa Kufanya Back Up Kwa Vitu Vilivyofutwa
Kibatala: Physical ANALYSER inaweza za KubadiliSha Chochote
Shahidi: Hapana
Kibatala: Physical analyser Ina extract
Shahidi: Hapana Physical analyser Hai extract
Kibatala: unapokuwa na Kifaa kama Simu Kutoka Kwa DCI Nini Kilianza Kati ya kutumia UFEN Kufanya Extraction au Physical Analyser Kupamga kazi yako
Shahidi: Nilianza Kutumia UFEN
Kibatala: Wewe Umeletewa 8 applications phones, Je zile Data zilizokuwa katika Hizo phones, Je ni Software gani zilikuwezesha Kuingia Kwenye simu na Kusoma Meseji
Shahidi: Ni Physical analyser
Kibatala: Jana Ulizungumzia Kuwa uwezi Ku impose Vitu Vyako Kutoka Nje,
Shahidi: Ndiyo WRITE BLOCK
Kibatala: Unafahamu Kuhusu Software ya CELEBRITE Kuhusu Soft Write Block
Shahidi: Hiyo sifahamu
Kibatala: Ni kweli au siyo Kweli Kuwa Celebrite Soft Write Block Ndiyo inayomzuia Mtu Kuingilia Mashine ya CELEBRITE?
Shahidi: Hiyo sifahamu
Shahidi: Na Bado Ukitaka Kutuaminisha Kuwa Mashine zenu zima Intergrity
Kibatala: Unakumbuka Andiko lolote la Kitaalamu Lolote Duniani Katika Digital Intelligence World kuwa Mawasiliano hayawezi Kuingiliwa
Shahidi: Hapana Sifahamu, miye nawasiliana Moja kwa Moja na Vender
Kibatala: Lakini Bado Vender hakawambia Kuhusu Soft Write Blocking foftware
Shahidi: Ndiyo Sijataja
Kibatala: Je ulitaja Jana software zaidi ya Mbili?
Shahidi: Sikutaja
Kibatala: Ulizungumzia Forensic Cables,?
Shahidi: Sawasawa
Kibatala: Ni Cables kama za USB tuh au Kuna tofauti?
Shahidi: Ni Tofauti Kabisa
Kibatala: Inasifa gani Kitaalamu ambayo ni zaidi za USB?
Shahidi: Ni Cable Zenye namba pembeni
Kibatala: Je Hapa Umetaja Namba za Cables?
Shahidi: Hapana
Kibatala: Hizi Simu ambazo wewe Ulifanyia Extraction, Makers ni Tofauti?
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: Jana Nilisikia Unasema wewe siyo Mpelelezi ni Mchunguzi
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: Ni wapi au Kwenye Instrument ipi Inatofautisha Mpelelezi na Mchunguzi?
Shahidi: Ukija Ofisini Utajua
Kibatala: Mpaka Nije Ofisini kwenu, Vipi PGO Inatambua?
Shahidi: Sijui
Kibatala: PGO ya 8 Sehemu Ndogo ya 4 inasema Kuwa Ofisi Ya DCI inagawanywa katika Divisheni Nne, Mmoja wapo ndiyo hiyo ya Forensic Beaural
Shahidi: Sijui ni PGO gani
Kibatala: zote mbili
Shahidi: Mimi ninachojua Forensic Beaural ni Imtependent Beaural
Kibatala: na Ndiyo Maana ni Kuuliza Unapata wapi Mgawanyo huo
Shahidi: Ukienda Ofisini Makao Makuu ya Jeshi la Polisi au Dodoma
Kibatala: Mheshimiwa Jaji naomba Kielelezo 6,7,
Kibatala: angalia Maneno ya DSI kwenye hiyo Barua
Unafahamu Kirefu cha hayo Meneno.?
Shahidi: nimesahau Kidogo
Kibatala: Mimi nilikwambia Kwamba Kirefu Cha Hayo Maneno uliyoandika wewe Kwenye Barua Yako ni DIRECTORATE OF CRIMINAL INVESTIGATION?
Shahidi: Siwezi Kujua a Mpaka Nipate Muongozo Wa Wakubwa zangu
Kibatala: Na hapo Juu pia Hayo Maneno ya DFSI kuwa ni DIRECTORATE OF FORENSIC SCIENCE INVESTIGATION
Shahidi: Sifahamu Mpaka Nikumbushwe na Wakubwa zangu
Kibatala: Na Bado wewe Unasema no Inspector wa Jeshi la Polisi?
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: Mheshimiwa Jaji Muda wetu wa Kupumzika Umefika, Labda Nipate Mawazo kutoka Kwa Wenzetu Nina Maswali Mengi bado
Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji Tubreak Dakika 45
Jaji: Turudi Saa ngapi
Wakili Peter Kibatala: Saa Saba na Dakika 45
Jaji: Tuna Break kwa Dakika 45 Tutarudi Saa Saba na Dakika 45

Kesi namba 16 ya Mwaka 2021 Khalfani Bwire, Adam Kasekwa, Mohammed Ling’wenya na Freeman Mbowe inatajwa hapa Mahakamani Muda huu
Jaji ameingia Mahakamani Muda huu Saa 8 na Dakika 5
Wakili wa Serikali: Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji Quorum yetu ipo Vile vile
Jaji ulimuuliza Kuwa Bado yeye ni Inspector akajibu Ndiyo
Wakili Peter Kibatala: Mheshimiwa Jaji Naomba Nikumbushwe Nilipo Ishia
Wakili Peter Kibatala: Mheshimiwa Jaji na sisi Quorum yetu ipo Vile vile
Kibatala: PGO ya 9 inasema Subject to the Direction of the DCI
Je wewe Unapata Mwanga kuwa Ofisi ya Forensic Beaural Bado ni Ofisi inayojitegemea
Kibatala: wacha nibadili swali
Wakili wa Serikali: Pius Hilla Mheshimiwa Jaji tunaomba tujiridhishe
Shahidi: 13 August 2020
Kibatala: Shahidi: ulipokea Barua Kutoka Kwa DCI lini
Shahidi: Sikumbuki
Kibatala: Kwakumbu Kumbu yako Version ya PGO ipi ilikuwa Inafanya Kazi
Kibatala: kwahiyo nikikusomea PGO ya wakati Unapewa Barua, ilikuwa Inatumika ambayo ni Ile inayosema Mpo Chini ya DCI
Shahidi: Naomba Kutoa Maelezo, Mimi siyo Msemaji wa Jeshi la Polisi
Kibatala: Katika PGO ambayo ulikuwa unafanyia Kazi wakati huo 9(c) Je Vifaa Kama Simu Vimetajwa
Shahidi: Mheshimiwa Samahani Wakili mishambia Sifahamu kuhusu PGO lakini naona Mwenzangu kajikuta kwenye PGO tuh
Kibatala: na hilo nalo ni Jibu, Sijui Kwanini upo Hapa
Kibatala: Nivumilie tuh, Miye nisipo Kuuliza Swali Kuna Sehemu Nitaulizwa
Kibatala: Katika Majukumu yako Ulifanya Kazi Baada ya Kupata Barua Kutoka kwa DCI?
Shahidi: Ni sahihi
Kibatala: na Kilicho Pelekea Wewe Kufanya Uchunguzi yalikuwa ni Maombi Kutoka kwa DCI
Shahidi: Sahihi

Kibatala: Je Ofisi ambayo inajitegemea Kimamlaka Je Inaweza Kupokea Terms of reference katika Utendaji wake wa Kazi
Shahidi: Ndiyo sahihi
Kibatala: na Maombi hayo yalikuwa na Terms of Reference
Shahidi: Sitaki Kujiunga katika Maneno yako, lakini Uchunguzi Ulifanyika Ujue Kuna Sababu ulizopewa
Kibatala: Bado Haujajibu swali, Je Ofisi Ambayo inajitegemea Kimamlaka Je Inaweza Kupokea Terms of reference
Shahidi: Barua Zinapokuja, na Hatujui lolote linaloendelea
Shahidi: Kesi husika Inapokuwa kwetu, Kuomba Kufanya Uchunguzi, Lazima. Ije na Barua na Lazima isema Vitu ambavyo inaomba Ichunguze
Kibatala: Swali langu lipo pale pale Kwamba Je Taasisi ambayo inajitegemea inaweza Kupewa Terms of reference
Shahidi: Ndiyo tunavyofanya hivyo hivyo
Jaji: Taasisi ambayo inajitegemea inaweza Kupewa Hadidu za Rejea,
Shahidi: Sijasema Kuku Sanya Ushahidi
Kibatala: Wewe Kwa Ufahamu Wako, Taasisi inayofanya Uchunguzi Inaweza Kuku Sanya Ushahidi
Kibatala: Ulisema Nini
Shahidi: nilisema Kuandaa Ushahidi
Kibatala: Taasisi inayofanya Uchunguzi Inaandaa UShahidi: au Findings
Shahidi: inaandaa Findings kwa ajili ya a Kutumika kwenye Ushahidi
Kibatala: Wewe in Inspector Wa Forensic au Inspector Wa Jeshi la Polisi?
Shahidi: Ni Inspector Wa Jeshi la Polisi
Kibatala: Unapofanya Uchunguzi, unafanya Uchunguzi wa akosa la Jinai au Uchunguzi Wa Vifaa?
Shahidi: Nafanya Uchunguzi wa Vifaa
Kibatala: Kwa hiyo Unafanya Uchunguzi Wa tuhuma Za Jinai au Hufanyi?
Kibatala: Katika kesi hii wewe ulichunguza tuhuma Za Jinai au Lah?
Shahidi: Mheshimiwa Jaji Vifaa Vinavyo kuja Ofisini, is a must Vifaa Vile na Namba ya Kesi husika
Shahidi: Sisi Kazi yetu ni Kuchunguza Vile Vifaa Vilivyotumika katika Jinai
Kibatala: Kwa hiyo Jinai Wanaopeleleza Ni Wa pelelezi
Jaji: amesema anachunguza Vifaa ambavyo Vinahusishwa na Jinai
Kibatala: kwa hiyo wewe Unachaguza tuhuma Za Jinai au Lah?
Shahidi: “Ofisi Inafanya Uchunguzi Wa Tuhuma Za Jinai…..”
Kibatala: Okey any way, Twende Kwenye Barua ya Tigo Soma
Shahidi: Ofisi yangu hai Chunguzi Tuhuma Za Jinai
Kibatala: kwa Mujibu wa Barua hiyo uliyoandika Wewe Mwenyewe Ulikuwa unachunguza Tuhuma Za Jinai
Lakini Ofisi ya DCI Ndiyo ilikuwa inachunhuza Tuhuma Za Jinai
Kibatala: Hii Barua Kaandika nani.? Forensics au Kwa DCI
Shahidi: inatoka Forensics
Shahidi: Ni sehemu ya Riport yangu
Kibatala: hiyo Barua uliyoandika wewe Kwenda Tigo, na Majibu ya Barua ya Tigo na Vielelezo Kutoka Tigo ni sehemu ya Riport Yako au Siyo sehemu Riport yako
Shahidi: Hizo ni Reference namba Kutoka Ofisi ya DCI
Kibatala: Shahidi: hapa Kuna namba zime andikwa CD IR 2020…..wambie Mheshimiwa Jaji Kuwa hizo ni Reference kutoka Forensic au Kutoka Kwa DCI
Shahidi: Hapa Mahakamani Haipo
Kibatala: Ile Originatimg later Kutoka Ofisi ya DCI ipo au Haipo Hapa Mahakamani
Kibatala: ambazo hizo hizo Uliwaandikia Tigo
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: Shahidi: Ni sahihi Umenukuu Sheria ya Makosa ya Mtandao Kifungu cha 34
Shahidi: Ndiyo Niliandika
Kibatala: Tigo walikuwa na nafasi ya Kukataa
Shahidi: Ukisoma Sheria Utajua
Kibatala: Hii Barua Kaandika nani
Shahidi: Mimi Mwenyewe
Kibatala: Je unafahamu hicho Kifungu ni Kifungu Pelelezi?
Shahidi: Sijui
Kibatala: Kama Tigo Wasimgewapa hizo Taarifa Mgewachukilia Hatua?
Shahidi: Kwanini uomgee Kitu ambacho hakijatokea?
Kibatala: Je Mahakama Ikuchukulie wewe ni Afisa Wa Polisi Makini?
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: Barua Kutoka Tigo ambayo Ulitoa kama Kielelezo hapa Mahakamani, Uliwahi Kuiona
Shahidi: Ndiyo Niliwahi Kuiona
Kibatala: Na Ukafanyia Uchunguzi Wako
Shahidi: ndiyo
Kibatala: Hilo ndiyo Jalada Mama Kutoka Ofisi ya DCI
Shahidi: CD/ IR/ 2007/ 2020
Kibatala: Nenda Kielelezo namba P7 some Kumbukumbu namba iliyotajwa hapo
Kibatala: Nenda Barua ya Tigo, Soma Jalada walilo kujibu pale
Shahidi: CD/IR/2097/2021
Kibatala: Kama Usingeona hii namba ya Jalada ungefanyia Uchunguzi.?
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: Inafanana au Inatofautiana
Shahidi: Inatofautiana sababu ya Typing Error
Kibatala: Sijakutuma Utaje Sababu, Wewe Sema Imefanama au haijafanana
Kibatala: Katika Barua Yako inasema 2020 na Barua ya Tigo inasema 2021, Je Ipo wapi Barua ya DCI Kuondoa huu Mtanziko.?
Shahidi: haijafanana
Umetoa Mahakamani Kama Kielelezo
Shahidi: Barua sijaitoa Mahakamani
Kibatala: Hii Barua Kutoka Tigo ya Tarehe 01 July 2021,
ulipokea wewe Binafsi
Shahidi: Hapana
Kibatala: Ulimwambia Jaji Nani akipokea pale Ofisi ya Forensics
Shahidi: Hapana Sikusema
Kibatala: Wewe ni Inspector Wa Jeshi la Polisi Unafahamu Chain of Custody
Shahidi: Sifahamu
Kibatala: Ulimwambia Jaji Ulipoitoa hii Barua
Shahidi: Nisha Jibu
Kibatala: Huyu NAFTALI J MANTAMBA yupo au alikufa
Shahidi: Yupo
Kibatala: yule Kamishina Wenu anaitwa Nani Vile
Kibatala: Je Ulimwambia Jaji Kwamba, Wakati Unaandika Barua, Yeye Kamishina Alikuwa anafahamu au hafahamu
Shahidi: CP SHABANI HITI
Shahidi: Sikumwambia
Kibatala: Je Ulimwambia Jaji Kuwa upo familiar na Sahihi ya Bwana NAFTALI MANTAMBA, JE Ulimwambia Hukumwambia
Shahidi: Hapana Siku Mwambia
Kibatala: Ulimwambia Jaji Wakati Bwana NAFTALI J MANTAMBA Wakati unasaini Barua hii SHABANI HIKI ALIKUWA Magonjwa au Lah
Shahidi: Sikusema Mheshimiwa Jaji
Kibatala: Shahidi: Kuan Kielelezo namba P8, Ambapo Kuna Rekodi ya Mihamala Kutoka Namba Fulani Kwemda Namba fulani Ambapo wewe Uliombea namba 0719931389
Shahidi: Naweza Kuelezea kama Nimavyoona
Kibatala: Kwenye Riport yako Umesemaje
Shahidi: Kwa Mujibu wa Riport ya Tigo
Kibatala: Nini primary Source kati Mhamala Wa Tigo au Riport yako wewe?
Wakili wa Serikali: Robert Kidando; Mheshimiwa Jaji Wakili anataka Misamiati Migumu ya Technology Shahidi: anaweza asijue ni nini Kinaongelewa
Kibatala: Mheshimiwa Jaji Hakuna Hoja hapo, Mbona Shahidi: anajibu, Eti Shahidi: Ni kweli uelewi
Shahidi: Ndiyo sielewi
Kibatala: Kwanini sasa Ulikuwa Unajibu?
Kibatala: Shahidi: Je unafahamu kwa sababu ya Wivu Wa Technology, Israel Hawana Mwakilishi wa CELEBRITE Duniani akatika Nchi yoyote?
Shahidi: Nafahamu Yupo Nairobi
Kibatala: Anaitwa Nani?
Shahidi: SAM
Kibatala: Unafahamu Kuwa Technology ya Pegasus ni Technology ya Israel Pia?
Shahidi: Hapana Sifahamu
Kibatala: una Cornfirm kwetu Bila Kwenda Kwenye Details Kuwa Jeshi la Polisi Mnatumia Pegasus?
Shahidi: Naomba Nisijibu Hilo swali kwa sababu za Kiusalama
Kibatala: Baadae Nita Kutaja ujibu hilo swali, Kwa sasa Ngoja niende kwingine?
Kibatala: Ni sahihi Kwamba Celebrite unatumia Software Mbili UFET na physical analyser?

Shahidi: Ndiyo ni baadhi ya product za kwake
Kibatala: UFENYA kazi yake I naingia katika Simu au Computer kisha Inatengeneza Back up?
Shahidi: Inategemea na level ya Extraction Unayo fanya
Kibatala: Inspector Ndowo Mambo Vipi?
Shahidi: Salama
Kibatala: Siku ya Kwanza Uliomba Kusitisha UShahidi: Kwa sababu uliumwa?
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: na Ulipitia Hospitali.?
Shahidi: Nilienda Ofisini, nikarudisha Vielelezo
Kibatala: Kwa hiyo Baada ya Kutoka Hapa Hukwenda Hospitali Moja kwa Moja?
Shahidi: Si kwenda Hospitali Moja Kwa Moja
Kibatala: Ulisema Kichwa Kilikuwa Kinafanya nini Vile?
Shahidi: Kilikuwa kinauma kardi natoa uShahidi: Kibatala: Na Kwa hiyo Ofisi Yako Ilikuwa wapi Vile?
Shahidi: ipo posta

Kibatala: na Baada ya Hapo Ukaenda Hospitali Wapi?

Shahidi: Kilwa Road
Kibatala: Twende Kwingine,
Shahidi: Je Uliwahi Kufanyiwa Training na Watu wa CELEBRITI
Kibatala: Unakumbuka Kozi Mbalimbali Ulizo taja Siku ya Kwanza Ukiwa unataja Mafunzo mbalimbali uliyopata
Je kwa Kumbukumbu yako Ulitaja Mafunzo Yaliyo endeshwa na Celebrite au Wawakilishi wao?
Shahidi; Yes Wawakilishi Wao
Shahidi: Jibu Lina hitaji Maelezo, Nilitaja Kozi Mbalimbali na Baadhi walitoka Nairobi
Shahidi: Nilipata Kozi Mbalimbali, sikudadavua
Kibatala: Maelezo Ambayo Umeyatoa, Kuna Mahali Umesema Kuna watu Walitoka Nairobi Kuja Kuku train Kuhusu Celebrite.?
Shahidi: Sikutaja Mheshimiwa
Jaji: Swali Lake Ulisema Kuwa Kuna Wataalamu Kutoka Nairobi Kuja Kuku Fundisha Kuhusiana na Celebrite
Kibatala: Katika Maelezo yako, Ulisema Ulienda Training Mahala Mbalimbali, Je Ulisema Kuwa a ulienda Israeli.?
Shahidi: Israel Sikutaja
Kibatala: Unafahamu Kuwa Makao Makuu ya CELEBRITE Yapo Nchini Israel
Shahidi: nafahumu yapo Israel

Kibatala: Je Unafahamu Kuwa Israel Kwa Wivu na Technology yao Hawaja Outsource kwa Mtu Kuhusiana na Training wala Technology
Shahidi: Hapana Sifahamu
Kibatala: Unafahamu Kuwa Nairobi Hakuna Wakala Wa CELEBRITE
Shahidi: Hapana Sifahamu
Kibatala: Je ulitaja Jana software zaidi ya Mbili?
Shahidi: Sikutaja
Kibatala: Ulizungumzia Forensic Cables?
Shahidi: Sawasawa
Kibatala: Ni Cables kama za USB tuh au Kuna tofauti?
Shahidi: :Ni Tofauti Kabisa
Kibatala: Inasifa gani Kitaalamu ambayo ni zaidi za USB?
Shahidi: Ni Cable Zenye namba pembeni
Kibatala: Je Hapa Umetaja Namba za Cables?
Shahidi: :Hapana
Kibatala: Hizi Simu ambazo wewe Ulifanyia Extraction, Makers ni Tofauti?
Shahidi: :Ndiyo
Kibatala: Jana Nilisikia Unasema wewe siyo Mpelelezi ni Mchunguzi?
Shahidi: :Ndiyo
Kibatala: Ni wapi au Kwenye Instrument ipi Inatofautisha Mpelelezi na Mchunguzi?

Shahidi: :Ukija Ofisini Utajua
Kibatala; Mpaka Nije Ofisini kwenu, Vipi PGO Inatambua?
Shahidi: :Sijui
Kibatala: Ni sahihi Kuwa katika kazi Uliyo kuwa unafanya unaunganisha Simu Kwa Kutumia Cable kisha Celebrite inachofanya Kwa a kutumia UFEN Kutengeneza Back up?
Shahidi: Sahihi
Kibatala: Ni sahihi Kuwa physical analyser Inafanya kazi Kwa Ku arrange Taarifa In Chronological Order?
Shahidi: Sahihi ila inategemea Level
Kibatala: Jaji akimaliza Ku Rekodi Mwambie Kuwa Kazi ya Physical Analyser Kama Software Ni kuyapanga Mafaili Kwa Mchunguzi ili Ku Make Sense na hiyo Process inaitwa PASSING?
Shahidi: :Naomba nijibu kwa Maelezo Kuwa Physical analyser, Inafanya kazi Tatu ila Kwa Ujumla Ndiyo PASSING
Kibatala: :Katika Report Yako Kuna Item Ya PASSING?
Shahidi: :Kama Software Include hizo Taarifa zake, Basi itaonekana
Kibatala: Basically Physical analyser haina Jipya Zaidi ya kupanga Mafaili
Shahidi: :Hapana Physical analyser ni zaidi ya hapo

Kibatala: Tofauti Yake nini, Kama Unaingia Kwenye simu yangu ya Telegram na kisha unapamga Mafaili?
Shahidi: Ni zaidi ya hapo kwa sababu ina Uwezo Kuwa Kufanya Back Up Kwa Vitu Vilivyofutwa
Kibatala: Physical ANALYSER inaweza za KubadiliSha Chochote?
Shahidi: Hapana
Kibatala: Physical analyser Ina extract
Shahidi: Hapana Physical analyser Hai extract
Kibatala: unapokuwa na Kifaa kama Simu Kutoka Kwa DCI Nini Kilianza Kati ya kutumia UFEN Kufanya Extraction au Physical Analyser Kupamga kazi yako?
Shahidi: :Nilianza Kutumia UFEN
Kibatala: Wewe Umeletewa 8 applications phones, Je zile Data zilizokuwa katika Hizo phones, Je ni Software gani zilikuwezesha Kuingia Kwenye simu na Kusoma Meseji?
Shahidi: Ni Physical analyser
Kibatala: Sasa Mbona Mwanza Ulikataa, Wacha Ikae Hivyo
Kibatala: Jana Ulizungumzia Kuwa uwezi Ku impose Vitu Vyako Kutoka Nje,
Shahidi: :Ndiyo WRITE BLOCK
Kibatala: Unafahamu Kuhusu Software ya CELEBRITE Kuhusu Soft Write Block?
Shahidi: Hiyo sifahamu

Kibatala: Ni kweli au siyo Kweli Kuwa Celebrite Soft Write Block Ndiyo inayomzuia Mtu Kuingilia Mashine ya CELEBRITE
Shahidi: Hiyo sifahamu
Shahidi: Na Bado Ukitaka Kutuaminisha Kuwa Mashine zenu zima Intergrity
Kibatala; Unakumbuka Andiko lolote la Kitaalamu Lolote Duniani Katika Digital Intelligence World kuwa Mawasiliano hayawezi Kuingiliwa?
Shahidi: Hapana Sifahamu, miye nawasiliana Moja kwa Moja na Vender
Kibatala: Lakini Bado Vender hakawambia Kuhusu Soft Write Blocking foftware
Shahidi: Ndiyo Sijataja

Wakili Peter Kibatala: Saa Saba na Dakika 45
Jaji: Tuna Break kwa Dakika 45 Tutarudi Saa Saba na Dakika 45
Jaji anatoka zake
Kibatala: PGO ya 8 Sehemu Ndogo ya 4 inasema Kuwa Ofisi Ya DCI inagawanywa katika Divisheni Nne, Mmoja wapo ndiyo hiyo ya Forensic Beaural
Shahidi: Sijui ni PGO gani
Kibatala: zote mbili

Shahidi: Mimi ninachojua Forensic Beaural ni Imtependent Beaural
Kibatala: na Ndiyo Maana ni Kuuliza Unapata wapi Mgawanyo huo
Shahidi: Ukienda Ofisini Makao Makuu ya Jeshi la Polisi au Dodoma
Kibatala: Mheshimiwa Jaji naomba Kielelezo 6,7,
Kibatala: angalia Maneno ya DSI kwenye hiyo Barua
Unafahamu Kirefu cha hayo Meneno.?
Shahidi: nimesahau Kidogo
Kibatala: Mimi nilikwambia Kwamba Kirefu Cha Hayo Maneno uliyoandika wewe Kwenye Barua Yako ni DIRECTORATE OF CRIMINAL INVESTIGATION
Shahidi: Siwezi Kujua a Mpaka Nipate Muongozo Wa Wakubwa zangu
Kibatala: Na hapo Juu pia Hayo Maneno ya DFSI kuwa ni DIRECTORATE OF FORENSIC SCIENCE INVESTIGATION
Shahidi: Sifahamu Mpaka Nikumbushwe na Wakubwa zangu
Kibatala: Na Bado wewe Unasema no Inspector wa Jeshi la Polisi
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: Mheshimiwa Jaji Muda wetu wa Kupumzika Umefika, Labda Nipate Mawazo kutoka Kwa Wenzetu Nina Maswali Mengi bado
Wakili wa Serikali: Mheshimiwa Jaji Tubreak Dakika 45
Jaji Turudi Saa ngapi

Jaji: ulimuuliza Kuwa Bado yeye ni Inspector akajibu Ndiyo

Kibatala: PGO ya 9 inasema Subject to the Direction of the DCI
Je wewe Unapata Mwanga kuwa Ofisi ya Forensic Beaural Bado ni Ofisi inayojitegemea?
Wakili wa Serikali: Pius Hilla: Mheshimiwa Jaji tunaomba tujiridhishe
Kibatala: Shahidi: ulipokea Barua Kutoka Kwa DCI lini?
Kibatala: wacha nibadili swali
Shahidi: 13 August 2020
Kibatala: Kwakumbu Kumbu yako Version ya PGO ipi ilikuwa Inafanya Kazi?
Shahidi: Sikumbuki
Kibatala: kwahiyo nikikusomea PGO ya wakati Unapewa Barua, ilikuwa Inatumika ambayo ni Ile inayosema Mpo Chini ya DCI?
Shahidi: Naomba Kutoa Maelezo, Mimi siyo Msemaji wa Jeshi la Polisi
Kibatala: na hilo nalo ni Jibu, Sijui Kwanini upo Hapa
Kibatala: Katika PGO ambayo ulikuwa unafanyia Kazi wakati huo 9(c) Je Vifaa Kama Simu Vimetajwa?
Kesi namba 16 ya Mwaka 2021 Khalfani Bwire, Adam Kasekwa, Mohammed Ling’wenya na Freeman Mbowe inatajwa hapa Mahakamani Muda huu
Jaji ameingia Mahakamani Muda huu Saa 8 na Dakika 7

Wakili wa Serikali: Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji Quorum yetu ipo Vile vile
Wakili Peter Kibatala: Mheshimiwa Jaji na sisi Quorum yetu ipo Vile vile
Wakili Peter Kibatala: Mheshimiwa Jaji Naomba Nikumbushwe Nilipo Ishia
Kibatala: Swali langu lipo pale pale Kwamba Je Taasisi ambayo inajitegemea inaweza Kupewa Terms of reference?
Shahidi: Kesi husika Inapokuwa kwetu, Kuomba Kufanya Uchunguzi, Lazima, Ije na Barua na Lazima isema Vitu ambavyo inaomba Ichunguze
Jaji: Taasisi ambayo inajitegemea inaweza Kupewa Hadidu za Rejea,
Shahidi: Ndiyo tunavyofanya hivyo hivyo
Shahidi: Mheshimiwa Samahani Wakili nimeshamwambi Sifahamu kuhusu PGO lakini naona Mwenzangu kajikuta kwenye PGO tuh
Kibatala: Nivumilie tuh, Miye nisipo Kuuliza Swali Kuna Sehemu Nitaulizwa
Kibatala: Katika Majukumu yako Ulifanya Kazi Baada ya Kupata Barua Kutoka kwa DCI?
Shahidi: Ni sahihi
Kibatala: na Kilicho Pelekea Wewe Kufanya Uchunguzi yalikuwa ni Maombi Kutoka kwa DCI?
Shahidi: Sahihi

Kibatala: na Maombi hayo? yalikuwa na Terms of Reference
Shahidi: Ndiyo sahihi
Kibatala: Je Ofisi ambayo inajitegemea Kimamlaka Je Inaweza Kupokea Terms of reference katika Utendaji wake wa Kazi?
Shahidi: Sitaki Kujiunga katika Maneno yako, lakini Uchunguzi Ulifanyika Ujue Kuna Sababu ulizopewa
Kibatala: Bado Haujajibu swali, Je Ofisi Ambayo inajitegemea Kimamlaka Je Inaweza Kupokea Terms of reference?
Shahidi: Barua Zinapokuja, na Hatujui lolote linaloendelea
Kibatala: :Wewe Kwa Ufahamu Wako, Taasisi inayofanya Uchunguzi Inaweza Kuku Sanya Ushahidi
Ulisema Nini
Shahidi: sijasemaa kukusanya ushahidi
Kibatala: Taasisi inayofanya Uchunguzi Inaandaa UShahidi: au Findings
Shahidi: inaandaa Findings kwa ajili ya a Kutumika kwenye Ushahidi
Shahidi: nilisema Kuandaa Ushahidi
Kibatala: Wewe in Inspector Wa Forensic au Inspector Wa Jeshi la Polisi
Shahidi: ni Inspector wa jeshi la police
Kibatala: Unapofanya Uchunguzi, unafanya Uchunguzi wa akosa la Jinai au Uchunguzi Wa Vifaa?
Shahidi: Nafanya Uchunguzi wa Vifaa

Kibatala: Kwa hiyo Unafanya Uchunguzi Wa tuhuma Za Jinai au Hufanyi?
Shahidi: Sisi Kazi yetu ni Kuchunguza Vile Vifaa Vilivyotumika katika Jinai
Kibatala: Katika kesi hii wewe ulichunguza tuhuma Za Jinai au Lah
Shahidi: Mheshimiwa Jaji Vifaa Vinavyo kuja Ofisini, is a must Vifaa Vile na Namba ya Kesi husika
Kibatala: kwa hiyo wewe Unachaguza tuhuma Za Jinai au Lah
Kwa hiyo Jinai Wanaopeleleza Ni Wa pelelezi
Jaji amesema anachunguza Vifaa ambavyo Vinahusishwa na Jinai
Kibatala: Okey any way, Twende Kwenye Barua ya Tigo Soma
Kibatala: Okey any way, Twende Kwenye Barua ya Tigo Soma
Shahidi: :”Ofisi Inafanya Uchunguzi Wa Tuhuma Za Jinai…..”
Kibatala: kwa Mujibu wa Barua hiyo uliyoandika Wewe Mwenyewe Ulikuwa unachunguza Tuhuma Za Jinai?
Shahidi: Ofisi yangu hai Chunguzi Tuhuma Za Jinai
Lakini Ofisi ya DCI Ndiyo ilikuwa inachunhuza Tuhuma Za Jinai
Kibatala: Hii Barua Kaandika nani.? Forensics au Kwa DCI?
Shahidi: inatoka Forensics
Kibatala:hiyo Barua uliyoandika wewe Kwenda Tigo, na Majibu ya Barua ya Tigo na Vielelezo Kutoka Tigo ni sehemu ya Riport Yako au Siyo sehemu Riport yako
Shahidi: Ni sehemu ya Riport yangu

Kibatala: Ile Originatimg later Kutoka Ofisi ya DCI ipo au Haipo Hapa Mahakamani?
Shahidi: Hapa Mahakamani Haipo
Kibatala: Shahidi: hapa Kuna namba zime andikwa CD IR 2020…..wambie Mheshimiwa Jaji Kuwa hizo ni Reference kutoka Forensic au Kutoka Kwa DCI?
Shahidi: Hizo ni Reference namba Kutoka Ofisi ya DCI
Kibatala: ambazo hizo hizo Uliwaandikia Tigo?
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: Shahidi: Ni sahihi Umenukuu Sheria ya Makosa ya Mtandao Kifungu cha 34?
Shahidi: Ndiyo Niliandika
Kibatala: Tigo walikuwa nafasi ya Kukataa?
Shahidi:
Ukisoma Sheria Utajua
Kibatala: Hii Barua Kaandika nani?
Shahidi: :Mimi Mwenyewe
Kibatala: Je unafahamu hicho Kifungu ni Kifungu Pelelezi?
Shahidi: Sijui
Kibatala: Kama Tigo Wasimgewapa hizo Taarifa Mgewachukilia Hatua?

Shahidi: Kwanini uomgee Kitu ambacho akijatokea
Kibatala: Je Mahakama Ikuchukulie wewe ni Afisa Wa Polisi Makini:?
Shahidi: Ndiyo
Kibatala: Barua Kutoka Tigo ambayo Ulitoa kama Kielelezo hapa Mahakamani, Uliwahi Kuiona?
Shahidi: :Ndiyo Niliwahi Kuiona
Kibatala: Na Ukafanyia Uchunguzi Wako?
Kibatala: Nenda Kielelezo namba P7 some Kumbukumbu namba iliyotajwa hapo
Shahidi: ndiyo
Shahidi: CD/ IR/ 2007/ 2020
Kibatala: Hilo ndiyo Jalada Mama Kutoka Ofisi ya DCI
Shahidi: ndio
Kibatala: Kama Usingeona hii namba ya Jalada ungefanyia Uchunguzi.?
Kibatala: Nenda Barua ya Tigo, Soma Jalada walilo kujibu pale
Shahidi: CD/IR/2097/2021
Kibatala: Inafanana au Inatofautiana?
Shahidi: Inatofautiana sababu ya Typing Error
Kibatala: Sijakutuma Utaje Sababu, Wewe Sema Imefanama au haijafanana
Shahidi: haijafanana
Kibatala: Katika Barua Yako inasema 2020 na Barua ya Tigo inasema 2021, Je Ipo wapi Barua ya DCI Kuondoa huu Mtanziko.?
Umetoa Mahakamani Kama Kielelezo
Shahidi: Barua sijaitoa Mahakamani
Kibatala: Hii Barua Kutoka Tigo ya Tarehe 01 July 2021, ulipokea wewe Binafsi
Shahidi: Hapana
Kibatala: Ulimwambia Jaji Nani akipokea pale Ofisi ya Forensics
Shahidi: Hapana Sikusema
Kibatala: Wewe ni Inspector Wa Jeshi la Polisi Unafahamu Chain of Custody?
Shahidi: Sifahamu
Kibatala: Ulimwambia Jaji Ulipoitoa hii Barua?
Shahidi: Nisha Jibu
Kibatala: Huyu NAFTALI J MANTAMBA yupo au ALIKUFA???
Shahidi: :Yupo
Kibatala: yule Kamishina Wenu anaitwa Nani Vile?
Shahidi: CP SHABANI HITI
Kibatala: Je Ulimwambia Jaji Kwamba, Wakati Unaandika Barua, Yeye Kamishina Alikuwa anafahamu au hafahamu
Shahidi: Sikumwambia

Kibatala: Ulimwambia Jaji Wakati Bwana NAFTALI J MANTAMBA Wakati unasaini Barua hii SHABANI HIKI ALIKUWA Magonjwa au Lah
Shahidi: :Hapana Siku Mwambia
Kibatala: Je Ulimwambia Jaji Kuwa upo familiar na Sahihi ya Bwana NAFTALI MANTAMBA, JE Ulimwambia Hukumwambia
Shahidi: Sikusema Mheshimiwa Jaji
Kibatala: Shahidi: Kuan Kielelezo namba P8, Ambapo Kuna Rekodi ya Mihamala Kutoka Namba Fulani Kwemda Namba fulani Ambapo wewe Uliombea namba 0719931389
Shahidi: Naweza Kuelezea kama Nimavyoona
Kibatala: Kwenye Riport yako Umesemaje
Shahidi: :Kwa Mujibu wa Riport ya Tigo
Kibatala: Nini primary Source kati Mhamala Wa Tigo au Riport yako wewe?
Shahidi: sijaelewa Mimi
Jaji: basi liweke Vizuri Swali hiyo lugha
Kibatala: Ipi ni Primary source kati ya Taarifa ya Tigo na Riport Yako?
Shahidi: :Primary Source ni Riport Kutoka Tigo
Kibatala: Kwa Maana hiyo ufahamu Kiasi cha Fedha TSh 500,000 pesa hiyo ilipotoka?
Shahidi: Sender na Receiver anaonekana

Kibatala: Unafahamu Kitu kinaitwa Collection Akaunti au Wallet?
Shahidi: Hapana Sifahamu
Kibatala: kwa hiyo Kwenye Mhamala Huo wanaoweza Kuzungumzia zaidi ni Airtel?
Shahidi: Airtel ndiyo wanaweza Kuzungumza
Kibatala: Hiyo namba, Ilikuwa ni sehemu ya Terms of reference Uliyopewa na DC?
Shahidi: Ndiyo Kutaka Mihamala Ya Fedha
Kibatala: Katika originating later ilisema Pamoja na Taarifa zingine, ilikupa wigo Mpana?

Shahidi: ndio

Kibatala: Shahidi: Soma P 22 Kama Ulipewa nafasi ya Kuchunguza Ugaidi

Shahidi: Mheshimiwa Barua Iliniambia

Kibatala: Katika Mafunzo yako, Sehemu ya Mafunzo ni Upelelezi au Lah
Shahidi: Kwa Baadhi ya watu Hawafundishwi
Kibatala: Nataka Wewe?
Shahidi: Nilisoma Basic za Upelelezi
Kibatala: Katika Uchunguzi Wako Uliona Mawasiliano yoyote yanamtaja Mtu anaitwa Sabaya?
Shahidi: Terms of reference
Hazikuelekeza Kumtafute
Kibatala: Katika Uchunguzi Wako Uliona Popote Watu wanapanga Kufanya Ugaidi?
Shahidi: Mimi sikuelekezwa Kutafuta hilo
Kibatala: Katika Uchunguzi Wako wote, Uliwahi Kuona au Kusoma Wakati Wa Extraction Watu wakipanga Kulipua Madaraja
Kibatala: Wakati Unafanya Extraction Kuna Mahala Popote uliona Mawasilisho watu wamepamgwa Kuandaa Maamdamamo Nchi Nzima?
Shahidi: Sikuelekezwa
Kibatala: Uliwahi Kuona Mawasiliano Katika Subject Phones wakizungumzia Bunduki aina ya A5340 aina ya Luger
Shahidi: Mheshimiwa Jaji ananiuliza Mambo ambayo sijafanyia Kazi
Kibatala: Nakuuliza kuhusu Mihamala, Je Kuna Telegram text, WhatsApp, au Sms Umeona Meseji kuwa Fedha hizo ni Kwa ajili ya Kutenda Ugaidi?
Shahidi: mi mi mimi nili…unaniuliza vitu sivijui nili…kwanini Mheshimiwa…mimi nimeshasema …Mheshimiwa Mheshimiwa…msg za feza niliona ila inayosema ivo sijasema
Kibatala: nitafutie neno sabaya kwenye hizi msg

Shahidi: Mheshimiwa HAKUNA NENO SABAYA
Kibatala: Tuambie Mhamala Upi Wewe Kama Inspector uliona Watu wanapanga Tendo la Kihalifu?
Shahidi: Hakuna Terms of reference yenye Jambo hilo
Kibatala: Kwa Uchunguzi Wako wewe Ungekuwa Taarifa za Kupanga Uhalifu, ungeacha Kuandika Kwenye Riport yako kwa Sababu haujaambiwa Kwenye Terms of reference?
Shahidi:Mimi ni Askari police kama ningelikuta meseji za kupanga uhalifuningeweka Kwenye Riport yangu
Kibatala: Mheshimiwa Jaji naomba nipewe Kielelezo namba 24,25, 26 na 27
Kibatala: alikuja Kuchukua nani?
Shahidi: Inspector Swila
Kibatala: ulimkabidhi Vipi.?
Shahadi: kwa kusaini
Kibatala: Je Uliandika item Moja Moja akasaini au alichukua Zote
akaondoka
Shahidi: Kwenye
Kitabu Kuna sehemu anajaza Pale, kina Items Zote
Kibatala: Wewe Uliandika wakati Unamkabidhi Kuna entry Maalum
Shahidi: Utaratibu Wa Kwetu Lab Namba, Unapoingia Unasaini
Kibatala: Hizi Simu Nane, ambazo zilizokuwa na Taarifa Ulipokea Tarehe ngapi?

Shahidi: Tarehe 13 August 2020

Kibatala: na Ilipozipokea kwa Utaratibu wenu wa Forensic Ukaandika Kwenye Hicho Kitabu?

Shahidi: Kwenye Kitabu Cha Maabara ulisaini
Shahidi: Utaratibu Ndivyo Ulivyo
Kibatala: Nani alileta Hizo Simu Maabara?
Shahidi: Goodluck
Kibatala: Shahidi: Nakuonyesha Kielelezo namba P25
Kibatala: Unakumbuka Siku Unaandika Covering Later?
Shahidi: ilikuwa Tarehe 09 July 2021
Kibatala: Ilikuwa Saa ngapi?
Shahidi: :Sikumbuki
Kibatala: Kwa Mujibu UShahidi: Wako Wa awali ulisema Vifaa Vilichukuliwa Tarehe ngapi?
Shahidi: Tarehe 10 July 2021
Kibatala: Goodluck alipokabidhi alisaini au Hakusaini
Shahidi: anatakiwa Kusaini Siku anapokuja Kuchukua

Kibatala: na aliyekuja Kuchukua ni nani?
Shahidi: Inspector Swila
Kibatala: Wakati Wa UShahidi: Wako Ulisema Kuwa Ulifanya Kazi hadi Saa Ngapi?
Shahidi: Sikuulizwa
Kibatala: Kwakuwa Hukuulizwa Jaji anajua au Hajui
Shahidi: sijui
Kibatala: Extraction ikifanyika lini.?
Shahidi: Tarehe 07 July 2020
Kibatala: Extraction time ilikuwa Lini?
Shahidi: :Tarehe 09 July 2020
Kibatala: Kuna Tofauti ya Siku Ngapi?
Shahidi: Kama Siku Moja
Kibatala: Ulimwambia Mheshimiwa Jaji Kwamba Kuna Delay ya Siku Moja na Data ikiwa Secured?
Shahidi: Sikueleza hilo
Kibatala: Tafuta Item 89 Mahala imeandikwa ICCID, Je ni Kitu gani
Shahidi: ID ya Kwenye Simu
Kibatala: ID ya Kwenye Simu au ID ya Sim Card

Shahidi: :ID ya sim Card
Kibatala: Je Ipo Katika Riport Yako au Haipo?
Kibatala: Na Kuchukua anakuja Kufuata Mtu yoyote au Aliyekabidhi
Shahidi: aliyekabidhi
Kibatala: Na bado ulipatia Inspector Swila Pomoja na Kuletwa na Goodluck
Kibatala: Register Ya Siku hiyo Ipo wapi?
Shahidi: Ipo Ofisini Maaabara
Kibatala: umemuonyesha Jaji
Shahidi: Hapana
Kibatala: Ulimwambia Mheshimiwa Jaji Kwamba Register Ile aimeungua au Kubwa Saba, Ulimwambia..?
Shahidi: Hapana
Kibatala: Mwambie Mheshimiwa Jaji Riport Creation time ilikuwa Muda gani, Saa Ngapi?
Shahidi: Ilikuwa Tarehe 09 July 2020
Kibatala: ICCID inayofuata ni Ya Mtandao gani?
Shahidi: MTN
Kibatala: Unajua NI Mtandao wa Nchi Gani?
Shahidi: :Sijui
Kibatala: Ujui Kwamba ni Mtandao Wa South Africa?
Shahidi: Hapana Sijui
Kibatala: Ulimtajia Mheshimiwa Jaji, kuhusiana na MTN
Shahidi: Hapana Sija Mwambia
Shahidi: Anatatuta…………!
Kibatala: angalia Ukurasa Wa Pili
Kibatala: Hiyo ICCID Unakubaliana ni ya Zain..?
Shahidi: Nimeona Ndiyo
Kibatala: Katika Kielelezo Cha P 25 ni Kweli imeishia na F Ndogo
Shahidi: Ndiyo ipo
Kibatala: angalia na Kielelezo Kinachofuata, Kipo
Shahidi: Hakipo
Kibatala: alimwambia Mheshimiwa Jaji Kuwa ICCID ni Namba siyo Herufi
Shahidi: Siku Ulizwa
Kibatala: Kwa Mujibu wa ICCID yako hapo, Ni ya Sim Card la Mtandao gani?
Shahidi: Ni Zain
Kibatala: Tangu uanze Kutoa UShahidi: akuna Sehemu umetaja neno Zain?
Kibatala: Je ulitoa ufafanuzi Kuhusu Crossing references namba za Divices Dhidi ya Namba ya Kwenye Simu?
Shahidi: Si Kuulizwa Swali
Kibatala: Kama Hukuulizwa ulitoa Ufafanuzi au Hukutoa

Shahidi: Si Kuulizwa Kama Ningeukizwa Ningetoa
Kibatala: Wakati Unatoa UShahidi: Wako Ulisema UFEN Version auliyotolea UShahidi: Ilikuwa namba Ngapi?
Shahidi: UFED 7:4:4
Kibatala: Soma Ukurasa Wa 26 Chini Kwenye File system One, UFED ngapi?
Shahidi: 7:4:0
Kibatala: Ulizungumzia hiyo jana
Shahidi: Ndiyo Nilitaja Jana
Kibatala: Leo Nimekuuliza Ukataja Version Ngapi?
Shahidi: 7:4:4
Kibatala: na Hizo Version Mbili Ulimfafanulia Mheshimiwa Jaji?
Shahidi: Si Kutoa Ufafanuzi
Shahidi: Hapana Sijaelezea
Kibatala: :Nilikuuliza Kuhusu Forensic Cables, Ukasema Inategemea nini?
Shahidi: :Nilisema Inategemea
Kibatala: Shika Vielelezo Hivi Vinne, Mwambie Mheshimiwa Jaji Ulifanya Kwa Kutumia Device
Shahidi: :Cable namba 100, Techno DA2

Kibatala: Nenda Kielelezo na P25 Ulitumia Forensic Cables zipi na Device Ilikuwa Ipi?
Shahidi: Hapa Mheshimiwa Hakutaja Cable iliyotumika
Kibatala: Kwakuwa hii Taarifa ni Self Generated, Soma Extraction Process Discription pale Imaposema Kuwa Application…………..
Shahidi: ndio nakumbuka
Kibatala:Unakumbuka Nilikuuliza hili swali Mwanzo?
Shahidi: Nakumbuka
Kibatala: Mwambie Mheshimiwa Jaji Kuwa Application ikifanyika Kwa Back Up Android Shahidi: ndio ilifanyika
Kibatala: : Ulitoa Ufafanuzi Kuhusu Down Graded Area ya Version
Shahidi: Hapana Sikutoa Ufafanuzi
Kibatala: Baada ya Kufanyika Down Grading Ilikuweza EFED na Celebrite Physical Analyser, Je ulifafanua Kwa Jaji Kuhusu Storation
Shahidi: Hapana Sijaelezea Kibatala: Twende Kwenye Plug inns, Contacts and References Je Ulifafanua kuhusu hilo
Kibatala: Hizo Simu zinafanama au Tofauti?
Shahidi: Ni aina Tofauti
Kibatala: Je Ulimfafanulia Mheshimiwa Jaji Swala la Utofauti Wa matumzi ya Tofauti ya Cable
Shahidi: hapana sikumfafanulia
Kibatala: aliye leta Maswala la Forensic Cables hapa Mahakamani?
Shahidi: :Ni Mimi
Kibatala: Ethical Hacking Maana yake ni Udukuzi wa kimaadili.?
Shahidi: sifahamu kiswahili chake
Kibatala: Nani anasimamia hiyo Ethical Hacking?
Shahidi: Sifahamu
Kibatala: Katika UShahidi: wako wote zile simu 8,zinatakiwa Kufanya Extraction zikiwa Off au On
Shahidi: Inategemea Mashine
Kibatala: Unaweza Kufanya Extraction Simu Ikiwa Off.?
Shahidi: naweza
Kibatala: Chini ya Kiapo Kwamba Unaweza Kufanya Extraction su zikiwa Off
Shahidi: Ndiyo unaweza
Kibatala: Haya Ulimwambia Mheshimiwa Jaji Kuwa Unaweza Kufanya Extraction Su ikiwa Off
Shahidi: Hapana Siku Mwambia
Kibatala: Katika zile simu Nilisikia Unasema Kuwa Matokeo positive, Maana ya Positive ni nini?
Shahidi: Pale ambapo Nilichoombwa Hakijapatika ni Negative
Kibatala: Kwa UShahidi: Wako zile simu Nne zilikuwa hazina Mawasiliano?
Shahidi:- Hapana Zilikuwa hazina Mawasiliano Zinazo wasiliana na Hizi namba
Kibatala: Nenda Kwenye Terms of Reference, Je Terms of reference Inataja Kwamba Ufanye Uchunguzi Kuanzia Tarehe hii Mpaka Tarehe hii?
Shahidi: Hapana Sija andika Kibatala: Na Mawasiliano Je
Shahidi: Hakuna Muda wa Limit
Kibatala: Mwambie Mheshimiwa Jaji Swala la Kutoa Mihamala Na Mawasiliano Kutoka Tarehe fulani Mpaka Tarehe fulani
Shahidi: Kwenye Barua ambayo Ilikuwa Kwangu, Hapa Haipo
Kibatala: Kwanini tusiseme Wewe ni Miongoni Mwa Kikundi Ndani ya Jeshi la Polisi ambacho Kilihusika na Kupanga Njama za Kumtumhoa Freeman Mbowe Kesi ya Ugaidi?
Ndiyo Maana Mlifanya Uchunguzi Kipindi Fulani hadi fulani?
Shahidi: Hapana Siyo Sahihi
Kibatala: Mheshimiwa Jaji Miye naishia Hapo
Wakili wa Serikali: Pius Hilla:
Shahidi: Umeulizwa Mambo Mengi sasa ni Muda Wa Kufanya Ufafanuzi
Wakili wa Serikali: Jana Wakati Uliulizwa Swali hapa Ukasema, Siyo Kweli Kwamba tulifanya Extraction Tupo wengi, Hebu Tufafanulie Ulikuwa na Maana Gani?
Shahidi: Si Kweli Kwamba tulikuwa wengi, Nilikuwa Nipo Peke Yangu
Wakili wa Serikali: Pia Ulisema Kuwa Wakati wa Uchunguzi Kuna Kuwa na Isolation, Maana Yake ni nini?
Shahidi: Vifaa Vya Uchunguzi Unavitunza Peke yake Kusudi Ku Manta in Intergrity
Wakili wa Serikali: Shahidi: pia Uliulizwa Kuhusiana na Destination, Ukasema Unafanyia Kwenye Computer ipi?
Shahidi: Computer ambayo nilikuwa na fanyia Uchunguzi
Wakili wa Serikali: Pia Uliulizwa Kuhusiana Na Mashine Ukimaliza Extraction Inasema Finish?
Shahidi: Kwamba Kwa level hiyo Ka Umeridhika I nakupa Option Ya Kusema Finish au Kama Unataka Kuendelea Una Endelea Kufanya Extraction
Wakili wa Serikali: Uliulizwa Pia Kuhusiana Na Extraction Data Ukasema Ulikuwa nazo wewe?
Shahidi: Kama Nilivyosema Awali, Kwenye Hizo Mashine tunaingia kwa Akaunti na Username
Wakili wa Serikali: Pius Hilla: Mheshimiwa Basi tutafanya hivyo
Wakili wa Serikali: Shahidi: Uliulizwa na Wakili Msomi Nashon Nkungu Kuhusiana na Analysis, Ulieleza Vitu VITATU ikiwemo , Extraction na Analysis, Maan yake nini
Shahidi:Riport yako ita Include kile ambacho umekipata tyu
Wakili wa Serikali: Uliulizwa Maswali Kwamba Kwakuwa umepata Kozi Kuhusiana Na Terrorism, Wewe Ukasema Unafahamu Kuhusu Terrorism Kwa Perspective Ya Kiuchunguzi, Maana yake nini
Haito Include Kile ambacho haujakipata
Shahidi: Software Yenyewe Ina Components ambazo Zina Jijaza Zenyenwe Kwa Pamoja

Wakili wa Serikali’: Tuache Shahidi: Ajibu Mheshimiwa Jaji kisha tupime Kama Linaendana na Jibu lake
Nashon: OBJECTION Mheshimiwa Jaji naomba Kupinga Jibu na Kinacho endelea, System Kwamba Yenyewe Ina Pick hizo Ingridients na Elements
Jaji: Shahidi: atoe Ufafanuzi Kwa Kujizuia Bila Kuleta Vitu vipya
Wakili wa Serikali: Hebu Tufafanulie Ingridients za Terrorism!
Shahidi:Software ina baadhi ya Features ambazo zinasaidia Kufanya Analysis
Wakili wa Serikali: Uliulizwa Swali, Ukasema Kwenye Analysis, Ukajibu siyo Sahihi Kwenye Analysis
Kibatala: OBJECTION Mheshimiwa Jaji Napinga Namna ya Maswali Kwa Mr. Hilla
Jaji: Kwa Maana anatakiwa Kuweka Swali na Jibu na Vipi Kama Aliweka Jibu Peke yake
Jaji: Nafikiri Sheria inasema kinachofafanuliwa ni Jibu
Kibatala: bado napinga
Kibatala: Uliwahi kuona mawasiliano katika subject phones wakizungumzia bunduki aina ya A5340 aina ya Luger?
Shahidi: Mheshimiwa Jaji ananiuliza mambo ambayo sijafanyia kazi
Kibatala: Tuambie mhamala upi wewe kama Inspector uliona watu wanapanga tendo la kihalifu?

Shahidi: Hakuna
Kibatala: Kwa uchunguzi wako wewe ungekuta taarifa za kupanga uhalifu ungeacha kuandika kwenye riport yako kwa sababu hujaambiwa kwenye _terms of reference?
Shahidi: Mimi ni askari Polisi, kama ningekuta meseji za kupanga uhalifu ningeweka kwenye ripoti yangu.
Kibatala: Mheshimiwa Jaji naomba nipewe Kielelezo namba 24,25, 26 na 27
Kibatala: Shahidi: Nakuonyesha Kielelezo namba P25
Kibatala: Unakumbuka Siku Unaandika Covering Later
Shahidi: ilikuwa Tarehe 09 July 2021
Kibatala: Ilikuwa Saa ngapi
Shahidi: Sikumbuki
Kibatala: Kwa Mujibu UShahidi: Wako Wa awali ulisema Vifaa Vilichukuliwa Tarehe ngapi
Shahidi: Tarehe 10 July 2021
Kibatala: alikuja Kuchukua nani
Shahidi: Inspector Swila
Kibatala: ulimkabidhi Vipi.?
Shahidi: Alifika pale Nikamkabidhi
Kibatala: Je Uliandika item Moja Moja akasaini au alichukua Zote Akaondoka?
Shahidi: Kwenye Kitabu Kuna sehemu anajaza Pale, kina Items Zote
Shahidi: Ndiyo Kina Items Zote
Kibatala: Wewe Uliandika wakati Unamkabidhi
Shahidi: Utaratibu Wa Kwetu Lab Namba, Unapoingia Unasaini
Shahidi: Kuna entry Maalum
Kibatala: Hizi Simu Nane, ambazo zilizokuwa na Taarifa Ulipokea Tarehe ngapi
Shahidi: Tarehe 13 August 2020
Kibatala: na Ilipozipokea kwa Utaratibu wenu wa Forensic Ukaandika Kwenye Hicho Kitabu
Shahidi: Kwenye Kitabu Cha Maabara ulisaini
Shahidi: Utaratibu Ndivyo Ulivyo
Kibatala: Nani alileta Hizo Simu Maabara
Shahidi: Goodluck
Kibatala: Goodluck alipokabidhi alisaini au Hakusaini
Shahidi: anatakiwa Kusaini Siku anapokuja Kuchukua
Kibatala: na aliyekuja Kuchukua ni nani
Shahidi: Inspector Swila
Kibatala: Na Kuchukua anakuja Kufuata Mtu yoyote au Aliyekabidhi
Shahidi: aliyekabidhi
Kibatala: Na bado ulipatia Inspector Swila Pomoja na Kuletwa na Goodluck
Kibatala: Register Ya Siku hiyo Ipo wapi
Shahidi: Ipo Ofisini Maaabara
Kibatala: umemuonyesha Jaji
Shahidi: Hapana
Kibatala: Ulimwambia Mheshimiwa Jaji Kwamba Register Ile aimeungua au Kubwa Saba, Ulimwambia..?
Shahidi: Hapana
Kibatala: Mwambie Mheshimiwa Jaji Riport Creation time ilikuwa Muda gani, Saa Ngapi
Shahidi: Ilikuwa Tarehe 09 July 2020
Kibatala: Wakati Wa UShahidi: Wako Ulisema Kuwa Ulifanya Kazi hadi Saa Ngapi
Shahidi: Sikuulizwa
Kibatala: Kwakuwa Hukuulizwa Jaji anajua au Hajui
Shahidi: Hajui
Kibatala: Extraction ikifanyika lini.?
Shahidi: Tarehe 07 July 2020
Kibatala: Extraction time ilikuwa Lini
Shahidi: Tarehe 09 July 2020
Kibatala: Kuna Tofauti ya Siku Ngapi
Shahidi: Kama Siku Moja
Kibatala: Ulimwambia Mheshimiwa Jaji Kwamba Kuna Delay ya Siku Moja na Data ikiwa Secured
Shahidi: Sikueleza hilo
Kibatala: Tafuta Item 89 Mahala imeandikwa ICCID, Je ni Kitu gani
Shahidi: ID ya Kwenye Simu
Kibatala: ID ya Kwenye Simu au ID ya Sim Card
Shahidi: ID ya sim Card
Kibatala: Je Ipo Katika Riport Yako au Haipo
Shahidi: Anatatuta…………!
Kibatala: angalia Ukurasa Wa Pili
Kibatala: Hiyo ICCID Unakubaliana ni ya Zain..?
Shahidi: Nimeona Ndiyo
Kibatala: Katika Kielelezo Cha P 25 ni Kweli imeishia na F Ndogo
Shahidi: Ndiyo ipo
Kibatala: angalia na Kielelezo Kinachofuata, Kipo
Shahidi: Hakipo
Kibatala: alimwambia Mheshimiwa Jaji Kuwa ICCID ni Namba siyo Herufi
Shahidi: Siku Ulizwa
Kibatala: Kwa Mujibu wa ICCID yako hapo, Ni ya Sim Card la Mtandao gani
Shahidi: Ni Zain
Kibatala: Tangu uamze Kutoa UShahidi: akuna Sehemu umetaja neno Zain
Kibatala: ICCID inayofuata ni Ya Mtandao gani
Shahidi: MTN
Kibatala: Unajua NI Mtandao wa Nchi Gani
Shahidi: Sijui
Kibatala: Ujui Kwamba ni Mtandao Wa South Africa
Shahidi: Hapana Sijui
Kibatala: Ulimtajia Mheshimiwa Jaji, kuhusiana na MTN
Shahidi: Hapana Sija Mwambia
Kibatala: Je ulitoa ufafanuzi Kuhusu Crossing references namba za Divices Dhidi ya Namba ya Kwenye Simu
Shahidi: Si Kuulizwa Swali
Kibatala: Kama Hukuulizwa ulitoa Ufafanuzi au Hukutoa
Shahidi: Si Kuulizwa Kama Ningeukizwa Ningetoa
Kibatala: Wakati Unatoa UShahidi: Wako Ulisema UFEN Version auliyotolea UShahidi: Ilikuwa namba Ngapi
Shahidi: UFED 7:4:4
Kibatala: Soma Ukurasa Wa 26 Chini Kwenye File system One, UFED ngapi
Shahidi: 7:4:0
Kibatala: Ulizungumzia hiyo jana
Shahidi: Ndiyo Nilitaja Jana
Kibatala: Leo Nimekuuliza Ukataja Version Ngapi
Shahidi: 7:4:4
Kibatala: na Hizo Version Mbili Ulimfafanulia Mheshimiwa Jaji
Shahidi: Si Kutoa Ufafanuzi
Kibatala: Kwakuwa hii Taarifa ni Self Generated, Soma Extraction Process Discription pale Imaposema Kuwa Application……………
Unakumbuka Nilikuuliza hili swali Mwanzo
Shahidi: Nakumbuka
Kibatala: Mwambie Mheshimiwa Jaji Kuwa Application ikifanyika Kwa Back Up Android
Shahidi: Ndiyo Ilifanyika
Kibatala: Ulitoa Ufafanuzi Kuhusu Down Graded Area ya Version
Shahidi: Hapana Sikutoa Ufafanuzi
Kibatala: Baada ya Kufanyika Down Grading Ilikuweza EFED na Celebrite Physical Analyser, Je ulifafanua Kwa Jaji Kuhusu Storation
Kibatala: Twende Kwenye Plug inns, Contacts and References Je Ulifafanua kuhusu hilo
Shahidi: Hapana Sijaelezea
Kibatala: Nilikuuliza Kuhusu Forensic Cables, Ukasema Inategemea nini
Shahidi: Nilisema Inategemea
Kibatala: Shika Vielelezo Hivi Vinne, Mwambie Mheshimiwa Jaji Ulifanya Kwa Kutumia Device
Shahidi: Cable namba 100, Techno DA2
Kibatala: Nenda Kielelezo na P25 Ulitumia Forensic Cables zipi na Device Ilikuwa Ipi
Shahidi: Hapa Mheshimiwa Hakutaja Cable iliyotumika
Kibatala: alikuwa Simu gani
Shahidi: Ilikuwa ni simu yenye Techno
Kibatala: Nenda Kwenye Exhibit P26 aina Ya Simu ni Ipi
Shahidi: Techno V6 na Cable iliyotumika ni Namba 100
Kibatala: Nenda P27 ni simu aina Gani?
Shahidi: Nakumbuka Ilikuwa Techno
Kibatala: Aina ya Simu Haitajwi
Kibatala: hapo ambapo aina ya Simu Haitajwi Ulitumia Forensic Cable gani
Shahidi: Haijataja Cable Iliyotumika
Kibatala: Hizo Simu zinafanama au Tofauti
Shahidi: Ni aina Tofauti
Kibatala: Je Ulimfafanulia Mheshimiwa Jaji Swala la Utofauti Wa matumzi ya Tofauti ya Cable
Shahidi: Hapana Siku Mfafanulia
Kibatala: aliye leta Maswala la Forensic Cables hapa Mahakamani
Shahidi: Ni Mimi
Kibatala: Ethical Hacking Maana yake ni Udukuzi wa kimaadili.?
Shahidi: Sijui Kiswahili Chake
Kibatala: Nani anasimamia hiyo Ethical Hacking
Shahidi: Sifahamu
Kibatala: Katika UShahidi: wako wote zile simu 8,zinatakiwa Kufanya Extraction zikiwa Off au On
Shahidi: Inategemea Mashine
Kibatala: Unaweza Kufanya Extraction Simu Ikiwa Off.?
Shahidi: Ndiyo unaweza
Kibatala: Chini ya Kiapo Kwamba Unaweza Kufanya Extraction su zikiwa Off
Shahidi: Ndiyo Umaweza
Kibatala: Haya Ulimwambia Mheshimiwa Jaji Kuwa Unaweza Kufanya Extraction Su ikiwa Off
Shahidi: Hapana Siku Mwambia
Kibatala: Katika zile simu Nilisikia Unasema Kuwa Matokeo positive, Maana ya Positive ni nini
Shahidi: Pale ambapo Nilichoombwa Hakijapatika ni Negative
Kibatala: Kwa UShahidi: Wako zile simu Nne zilikuwa hazina Mawasiliano
Shahidi: Hapana Zilikuwa hazina Mawasiliano Zinazo wasiliana na Hizi namba
Kibatala: Nenda Kwenye Terms of Reference, Je Terms of reference Inataja Kwamba Ufanye Uchunguzi Kuanzia Tarehe hii Mpaka Tarehe hii
Shahidi: Hapana Sija andika
Kibatala: Na Mawasiliano Je
Shahidi: Hakuna Muda wa Limit
Kibatala: Mwambie Mheshimiwa Jaji Swala la Kutoa Mihamala Na Mawasiliano Kutoka Tarehe fulani Mpaka Tarehe fulani
Shahidi: Kwenye Barua ambayo Ilikuwa Kwangu, Hapa Haipo
Kibatala: Kwanini tusiseme Wewe ni Miongoni Mwa Kikundi Ndani ya Jeshi la Polisi ambacho Kilihusikq na Kupanga Njama za Kumtumhoa Freeman Mbowe Kesi ya Ugaidi Ndiyo Maana Mlifanya Uchunguzi Kipindi Fulani hadi fulani
Shahidi: Hapana Siyo Sahihi
Kibatala: Mheshimiwa Jaji Miye naishia Hapo
Wakili wa Serikali: Pius Hilla Shahidi: Umeulizwa Mambo Mengi sasa ni Muda Wa Kufanya Ufafanuzi
Wakili wa Serikali: Jana Wakati Uliulizwa Swali hapa Ukasema, Siyo Kweli Kwamba tulifanya Extraction Tupo wengi, Hebu Tufafanulie Ulikuwa na Maan a Gani
Shahidi: Si Kweli Kwamba tulikuwa wengi, Nilikuwa Nipo Peke Yangu
Wakili wa Serikali: Pia Ulisema Kuwa Wakati wa Uchunguzi Kuna Kuwa na Isolation, Maana Yake ni nini
Shahidi: Vifaa Vya Uchunguzi Unavitunza Peke yake Kusudi Ku Manta in Intergrity
Wakili wa Serikali: Shahidi pia Uliulizwa Kuhusiana na Destination, Ukasema Unafanyia Kwenye Computer ipi
Shahidi: Computer ambayo nilikuwa na fanyia Uchunguzi
Wakili wa Serikali: Pia Uliulizwa Kuhusiana Na Mashine Ukimaliza Extraction Inasema Finish
Shahidi: Kwamba Kwa level hiyo Ka Umeridhika I nakupa Option Ya Kusema Finish au Kama Unataka Kuendelea Una Endelea Kufanya Extraction
Wakili wa Serikali: Uliulizwa Pia Kuhusiana Na Extraction Data Ukasema Ulikuwa nazo wewe
Shahidi: Kama Nilivyosema Awali, Kwenye Hizo Mashine tunaingia kwa Akaunti na Username
Wakili wa Serikali: Uliulizwa Swali, Ukasema Kwenye Analysis, Ukajibu siyo Sahihi Kwenye Analysis
Kibatala: OBJECTION Mheshimiwa Jaji Napinga Namna ya Maswali Kwa Mr. Hilla
Jaji Kwa Maana anatakiwa Kuweka Swali na Jibu na Vipi Kama Aliweka Jibu Peke yake
Kibatala: Bado Nitapinga
Jaji: Nafikiri Sheria inasema kinachofafanuliwa ni Jibu
Wakili wa Serikali: Pius Hilla Mheshimiwa Basi tutafanya hivyo
Wakili wa Serikali: Shahidi: Uliulizwa na Wakili Msomi Nashon Nkungu Kuhusiana na Analysis, Ulieleza Vitu VITATU ikiwemo , Extraction na Analysis, Maan yake nini ,
Shahidi: Riport Yako Ita Include Kile ambacho Umekipata tuh Haito Include Kile ambacho haujakipata
Wakili wa Serikali: Uliulizwa Maswali Kwamba Kwakuwa umepata Kozi Kuhusiana Na Terrorism, Wewe Ukasema Unafahamu Kuhusu Terrorism Kwa Perspective Ya Kiuchunguzi, Maana yake nini
Shahidi: Software Yenyewe Ina Components ambazo Zina Jijaza Zenyenwe Kwa Pamoja
Nashon OBJECTION Mheshimiwa Jaji naomba Kupinga Jibu na Kinacho endelea, System Kwamba Yenyewe Ina Pick hizo Ingridients na Elements
Wakili wa Serikali: Tuache Shahidi: Ajibu Mheshimiwa Jaji kisha tupime Kama Linaendana na Jibu lake
Jaji: Shahidi atoe Ufafanuzi Kwa Kujizuia Bila Kuleta Vitu vipya
Wakili wa Serikali: Hebu Tufafanulie Ingridients za Terrorism
Shahidi: Software ina baadhi ya Features ambazo zinasaidia Kufanya Analysis
Wakili wa Serikali: Uliulizwa Iwapo Unafahamu Njia ya Kuchukua Vielelezo, Hebu Eleza
Shahidi: Majukumu yangu ya kazi ni Uchunguzi, Wapelelezi Ndiyo Wana husika na Ukamataji na Uchukuaji wa Vielelezo
Wakili wa Serikali: Shahidi: Uliulizwa Pia na Wakili Malya hapa, Mheshimiwa Jaji naomba P1, P23, P28
Wakili wa Serikali: Shahidi: Uliulizwa na Malya, Kwenye Riport ya Kingai akamwambia Usome Kwenye IMEI namba
Akaluonyesha Pia Su na Apia Kwenye Riport yako, Akakuuliza Swali Kuwa IMEI namba zinatofautiana, wewe Ukasema akuna Digits Mbili Zina Miss, Ulikuwa na Maana Gani
Shahidi: Kwenye Hicho KIELELEZO D Kielelezo P31 Zina Tally ila Kwa IMEI namba ya Pili Zina Miss Namba Mbili inaweza kana amesahau Namba Kadhaa
Kibatala: HAYO SIYO Majibu ya Re Examination
Your security code with +255 784 266 808 changed. Tap to learn more.
Shahidi: Katika Riport yangu Ipo ya Kwanza hii IMEI namba ya Kwanza ya Kingai 353736289120273 ila IMEI ya Pili Kwangu ni tofauti Inasomeka 3537289120273
Wakili wa Serikali: Je Zipo Namba Ngapi
Shahidi: Namba 15 au 13
Wakili wa Serikali: Uliulizwa Kuwa Kuna Uwezekano wa IMEI Namba Kufanana
Shahidi: Hazi fanani Sababu ni Unique Identification ya Kifaa Cha Mawasiliano
Wakili wa Serikali: Uliulizwa Kuhusu Owenership Za SimKadi
Shahidi: Taarifa Zote zinazo husika na Usajili au Taarifa Ya Simu Kadi Zinapatikana kwa toa huduma
Wakili wa Serikali: Uliulizwa Kuhusiana na Software Warr ambazo Ulizitumia Kufanya Extraction, Ukasema Zilikuwa Developed na Microsoft na Celebrite
Your security code with +255 784 266 808 changed. Tap to learn more.
Kibatala: OBJECTION Hakuna Swali wala Hapawwzi Kuwa na Jibu, Sababu Haiwezekani Microsoft a develop Software Za Celebrite
Wakili wa Serikali: Nimeachana na hilo swali
Wakili wa Serikali: Bado Nina Maswali Mengi Naomba Niletea Maombi Tumalizie Kesho
Wakili wa Serikali: Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji Kwa sasa ni Saa 11 Kasoro Tano, Tunaomba Hairisho Mpaka Kesho Tarehe 20 Mwenzi January
Wakili Peter Kibatala: Hatuna Pingamizi, Ila tunaomba Waje na Shahidi: Mwingine, Ili tulimalizane na Shahidi: huyu tuingie Kwa Mwingine
Jaji: Je kuna shida Katika Kumpata Shahidi: Kesho..?
Si amini Mtatumia Utaratibu Wa Utetezi wa a Kuuliza Maswali Siku Nzima
Wakili wa Serikali Robert Kidando Mheshimiwa Jaji tutajitahidi, Kulingana na Muda Wenyewe Huu
Jaji anaandika Kidogo
Mahakama Bado Ipo Kimyaaaa
Jaji: Basi Shauri linahailishwa hadi Kesho Tarehe 20 January 2022, Ambapo Shahidi: ataendelea Kutoa UShahidi: Wake
Upande wa Jamhuri Mnaelelezwa Kuja na Shahidi: Mwingine
Washitakiwa wataendelea Kuwa Rumande chini ya Magereza Mpaka Kesho Asubuhi Saa 3 Kamili
Jaji anatoka

Like