Saa 5:41 kwa saa za Afrika Mashariki Jaji ameshaingia mahakamani tayari kuanza kesi. Kesi inatajwa leo Novemba 10, 2021. Ni kesi namba 16 ya mwaka 2021 ya Jamhuri dhidi...
Tag: Tanzania
Jaji: "natazama muda, naona kama sitaweza kufanya maamuzi muda huu. Kwa maana hiyo, naomba tuahirishe mpaka kesho asubuhi."
Justice
Politics
Kesi ya Mbowe: Mawakili wa utetezi wawashika uchuku jaji na shahidi kwenye kumbukumbu halisi za mahakama
AWALI ILIKUWA HIVI:
Wakili wa Serikali: Wakati mnaenda Moshi Kutoka Arusha mlikuwa watu wangapi?
Shahidi: Wakati tunatoka Moshi tulikuwa watu sita ila wakati wa ukamataji tulikuwa watano. Mmoja alikuwa dereva
Mtobesya: OBJECTION...
Justice
Main
Politics
Kesi ya Mbowe: Pingamizi la Wakili Mtobesya latia majaribuni uadilifu wa Jaji Tiganga
Jaji ameshaingia mahakamani na kesi imeanza kwa kutajwa namba yake. Mawakili wa upande wa Jamhuri wanajitambulisha. Robert Kidando Pius Hilla Abdallah Chavula Jenitreza kitali Nassoro Katuga Esther Martin Ignasi...
Kama ilivyowasilishwa na ripota raia, BJ, kutoka mahakamani leo tarehe 01 Novemba 2021. Mawakili,watuhumiwa na Mawakili wa Serikali wameshaingia Mahakamani Muda wowote Kesi itaanza Jaji ameingia sasa Saa 4...
Literature
People and Events
Politics
Abdulrazak Gurnah’s Nobel Prize propels dual citizenship debates in Tanzania
WHEN the Nobel Prize Committee announced on 7th October 2021 that Tanzanian novelist Abdulrazak Gurnah was this year’s winner of the Nobel Prize in Literature, little did they know...
Literature
Media
People and Events
Politics
World
Tanzania shines as Zanzibar-born Gurnah wins Nobel Prize
TANZANIAN novelist Abdulrazak Gurnah has won the Nobel Prize in Literature (2021). He is the first Tanzanian and the latest non-western writer to win the prize following a decision...
Kutoka mahakamani kama ilivyoandikwa na ripota raia, BJ, leo Jumanne tarehe 28 Septemba 2021. Endelea. Jaji ameshaingia Sasa Watuhumiwa wanapandishwa Kuzimbani Mawakili wa Serikali wanatambulishwa Robert Kidando Abdallah Chavula...
Justice
Politics
Kesi ya Mbowe: Mshitakiwa na shahidi wa utetezi “anyukana” na mawakili kizimbani (5)
Kutoka mahakamani kama ilivyoripotiwa na ripota raia, BJ, leo Jumatatu 27.09.2021. Endelea. Jaji ameshaingia, amekaa na kesi imeshatajwa. Kesi inasomwa. Ni Kesi namba 16 ya mwaka 2021 Jamuhuri dhidi...
Kama ilivyoripotiwa na ripota raia, BJ, leo Ijumaa 24.09.2021. Jaji ameshakaa na kesi inatajwa. Ni namba 16 ya 2021. Naomba utulivu ili tuanze. Jaji: Wakili wa Serikali?Wakili wa Serikali...