TANZANIA’s main opposition party, Chadema, has implicated the police force and security organs in kidnapping Magufuli’s critic, Mdude Nyagali. The party’s director for protocol, communications and foreign affairs, John Mrema,...
Tag: Chadema
Awali, sikudhamiria kuandika kitabu. Hili ni zao la makala zangu za uchambuzi wa kisiasa, hasa katika gazeti RAI tangu 1997, na baadaye katika safu ya Maswali Magumu, ambazo zilichapishwa...
NIMEANDIKA ujumbe huu leo katika majadiliano na rafiki yangu mmoja ambaye alijiondoa kwenye kundi la Maswali Magumu, akanieleza kuwa amekata tamaa kwa sababu watu wawili aliokuwa anawaamini katika siasa...
CHAMA cha Mapinduzi (CCM) kimepoteza matumaini ya ushindi katika uchaguzi mdogo wa ubunge Jimbo la Buyungu mkoani Kigoma. Tathmini ya ndani ya chama hicho inaonyesha kuwa mgombea wao, Christopher...
MAKUMI ya vijana wahuni kutoka Burundi yameingizwa nchini kwa ajili ya kuongezea nguvu Chama cha Mapinduzi (CCM) katika mkakati wake wa kusaka ushindi kwa nguvu katika uchaguzi wa Jimbo...
Susana Kiwanga (Chadema – Mlimba), amesema serikali ya CCM inajali maendeleo ya vitu badala ya watu, ndege badala ya maji.
Susan Mgonokulima (Chadema – Iringa) amesema waziri wa maji amejipendelea kwa kujigawia visima vya maji 79 wilayani kwake, huku akibakiza idadi ambayo ikigawiwa kwa wilaya nyingine zote nchi nzima,...
Na Mwandishi Wetu JOHN Mnyika, mbunge wa Kibamba, amemwomba spika wa Bunge awe mkali ili Bunge likwamishe bajeti ya maji na serikali ijipange vema na kuileta upya ikiwa na...
WABUNGE 10 wa Chadema leo Jumamosi wametembelea gereza la Ruanda, Mbeya, kuwajulia hali Joseph Mbilinyi (Sugu), mbunge wa Mbeya Mjini, na Emmanuel Masonga, katibu wa Kanda ya Nyasa. Wabunge...