Kesi ya Mbowe: Shahidi muhimu ajipingapinga akidodoswa na Matata, Malya, Kibatala

MALYA: Adamoo na Ling’wenya mlipoachana Morogoro walikwenda wapi? SHAHIDI: Walikwenda Dar es Salaam. MALYA: Kielelezo D1, katika maelezo aliyoandika Kingai anasema alimuhoji Ling’wenya akakiri. Soma hapa. SHAHIDI: “Luteni Urio alitupa nauli TSh 87,000 nauli ya kwenda Moshi. MALYA: Na wewe umesema walipotoka kwako walikwenda wapi? SHAHIDI: Nimekwambia Dar es Salaam siyo Moshi. MALYA: Kwenye nauli uliwapa TSh ngapi? SHAHIDI: 199,000. MALYA: Hapo wao wameandika uliwapa shilingi ngapi? SHAHIDI: Nauli TSh 87,000. KIBATALA: Unaweza kutuisaidia kwanini Inspector Swila alifungua faili la kula njama tarehe 18 Julai 2020 wakati umekutana na hawa vijana tarehe 20 mpaka 24? SHAHIDI: Sijui sasa. KIBATALA: Je, wewe ulikula njama na Mbowe? SHAHIDI: Sijala njama na Mbowe. KIBATALA: Kwani shahidi suala hili kuna mtu zaidi yako alienda kutoa taarifa kwa DCI? SHAHIDI: Ni mimi peke yangu ndiye niliyemwambia DCI. KIBATALA: Kwani wewe ulimueleza Jaji kwamba Mbowe alikuwa tayari ana vijana wengine? SHAHIDI: Sikumwambia mheshimiwa jaji.

KIBATALA: Na ni simu ipi pia itaonyesha call records za simu ya Bwire tarehe 04 August 2020? SHAHIDI: Ni hiyo simu ya Samsung Duo.KIBATALA: Hivi ile simu yako ya jana uliikabidhi lini?SHAHIDI: Tarehe 11 August 2020. KIBATALA: Ulimfafanulia Jaji kwamba simu yako ina uwezo wa kukaa na chaji zaidi ya mwaka mmoja na nusu? SHAHIDI: Hapana. KIBATALA: Simu yako ilikuwa na kiasi gani cha charge wakati unamkabidhi? SHAHIDI: Ilikuwa chini kidogo ya nusu. KIBATALA: Ulimfafanulia Jaji kwanini simu hii ni tofauti na zile tatu, kwamba inakaa na chaji mwaka mmoja na nusu? SHAHIDI: Siku fafanua.

Kama ilivyowasilishwa na ripota raia, BJ, leo tarehe 28 Januari 2022.

Jaji ameingia mahakamani saa 4 na dakika 4

Kesi namba 16 ya Mwaka 2021 Jamuhuri Dhidi ya Khalfani Bwire, Adam Kasekwa, Mohammed Ling’wenya na Freeman Mbowe inatajwa

Wakili wa Serikali Robert Kidando: Ikupendeze Mheshimiwa Jaji naitwa Robert Kidando nipo pamoja na wakili

Pius Hilla

Abdallah Chavula

Jenitreza Kitali

Nassoro Katuga

Esther Martin

Ignasi Mwinuka

Mawakili wa Serikali Waandamizi na

Tulimanywa Majige Wakili wa Serikali

Wakili Peter Kibatala: Mheshimiwa Jaji ikikupendeza naitwa Peter Kibatala: nipo Pamoja na wakili

Seleman Matauka

Alex Massaba 

Paul Kisabo 

Sisty Aloyce 

Maria Mushi

Evaresta Kisanga

Khadija Aron

Michael Lugina

Evaresta Kisanga

John Mallya 

Nashon Nkungu

Dickson Matata: 

Jaji anaita Washtakiwa Wote wanne na wote wanaitika wapo Mahakamani

Wakili wa Serikali Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji Shauri limekuja kwa ajili ya Kusikilizwa na tupo Tayari Kuendelea

Wakili Peter Kibatala: Mheshimiwa Jaji Nasisi pia tupo tayari Kuendelea

Shahidi: anapanda Kizimbani, ana shati Jipya la Mikono Mirefu lenye weupe na Blue blue fulani ya mchongo.. 

Jaji: Shahidi Jana Ulikuwa Unatoa UShahidi: Wako, Unaulizwa Maswali Chini ya Kiapo na Leo Utaendelea Kuulizwa Maswali Chini ya Kiapo

Wakili John Mallya: Shahidi tunaendelea tulipo Ishia Jana, Mheshimiwa Jaji Naomba Jibu lake la Mwisho

Jaji: ni Kwamba Asipotumia Jina Namba zake Jina lake halitoonekana… 

Malya: hivi kazi ya VIP PROTECTION Inafanyikaje

Shahidi: Mheshimiwa Jaji kazi ya VIP PROTECTION Inafanyika kwa mtu yoyote, Kwa Kufuata Sheria na Kanuni za Nchi

Malya: Ni sahihi Kwamba kazi Wanazofanya VIP protection Ni lazima wawe naye Kwa Wajibu wa Kum’ protect

Shahidi: Ni sahihi

Malya: hawa VIP protection Ni sawa na Body guard?

Shahidi: Sijawahi Kusikia Body Guard mimi

Malya: Mheshimiwa Jaji naomba Kielelezo namba 26

Malya: Umesema kuwa hawa VIP protection Wanakuwa pamoja na Wanayem’ protect, Sasa Ni somee Meseji ya Tarehe 20 July 2020, Ya Saa Mbili Asubuhi

Shahidi: Hawa wawili Kuanzia Siyo Mbaya Hawawezi Kutelekezwa, Nitakuwa nao Full time

Malya: Kwa Kazi gani

Shahidi: Ulinzi Ndiyo

Malya: Je kuna meseji nyingine yoyote kwamba kuna mahali Mbowe anasema nitawatuma Kufanya kazi nyingine au uhalifu? 

Shahidi: kwenye meseji hazipoMalyaJe kuna meseji nyingine yoyote kwamba kuna mahali Mbowe anasema nitawatuma Kufanya kazi nyingine au uhalifu? 

Shahidi: kwenye meseji hazipo

Malya: Mheshimiwa Jaji naomba Kielelezo Namba 35

Hii ni Ile simu yake aliyowasha Jana ndugu homeboy.. M

Ni Kielelezo namba 34 kama sijasahau.. Mtanikumbusha wadau…

Malya: Tumeletewa report kule ulikopeleka simu , Je hii namba ina Jina gani? 

Shahidi: Imeandikwa FREE… Ambayo ni namba ya Freeman Aikael Mbowe

Malya: Very Good Shahidi: umeniongezea information nilikuwa sijui, sasa easha simu yako

Shahidi:anabonyeza simu, anasema tayari

MalyaUnasema Ulikuwa Unawasiliana na Mbowe Kupitia Mtandao Wa Telegram

Shahidi: Ndiyo Mtandao Wa Telegram

Malya: Naomba usogee kwa Mheshimiwa Jaji pale kamuonyeshe namba unayosema ume’ chat na Mbowe.. Je Hapa Kuna Jina FREE linaonekana, ukiwa umefungua meseji? 

Shahidi: Mheshimiwa Jaji HAKI YA MUNGU hii ni akaunti ya Mbowe siyo Group,, nafungua…

Malya: Jina Free Ukifungua Meseji linaonekana au halionekani? 

Shahidi: Halionekani lakini ni Akaunti ya Mbowe

Malya: Je ulitoa Ufafanuzi/Maelezo kuwa Jina FREE halionekani? 

Shahidi: Si nilimjibu mimi Bwana, Mimi siyo Mtaalamu Wa IT, Sasa nitoe Maelezo Ya nini

Malya: Mheshimiwa Jaji naomba atoe jibu

JajiUmeelewa Swali.? Kwamba Wakati Unasoma Ulitoa Ufafanuzi? Kuwa jina halionekani

ShahidiUfafanuzi huo sikutoa

Mahakama: Kichekooo

Malya: Haya Ulisema Kwamba Mbowe alikuwa nakupa Wishes za Christmas na Mwaka Mpya, Je Meseji zimeanza lini

Shahidi: Tarehe 20 July 2020

Malya: Alikuwa anakutakia Heri ya Mwaka Mpya Kupitia nini

Shahidi: alikuwa ananipigia Simu

Malya: Alikuwa anakupigia Simu Kwa Njia ipi

ShahidiKwa Telegram

Malya: Je unafahamu kwamba ukipiga Simu Telegram unabakia na Calls Record

Shahidi: Sina Utaalamu huo

Malya: Je Jana Wakati wa UShahidi: Wako Kama Ulituonyesha WhatsApp Calls na Meseji za Mbowe

Shahidi: aliyechunguza ndiye anafahamu

Malya: Kwa hiyo Mtaalamu anaweza Kuwa amepunguza au ameongeza?

Wakili wa Serikali Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji Shahidi: hajasema hivyo

Malya: Nitauliza Upya Kuokoa muda, Kilichokufanya Jana usitoe Calls za WhatsApp l

Shahidi: nilisema kwamba Mimi Nilikuwa na wasiliana na Mbowe Kwa WhatsApp, Meseji na Telegram

Malya: Sawa Jana Ulionyesha WhatsApp Call wakati wa UShahidi: Wako? 

Shahidi: Sikuonyesha

Malya: Ulionyesha namba zingine ambazo Ulikuwa Mbowe alikuwa anakupigia Simu

Shahidi: Sikuonyesha

Shahidi: (Ghafla) Sikuonyesha Kwa sababu..

Malyasitaki sababu hapa

Shahidi: Sikuonyesha Kwa sababu

Malya: Sijakuuliza kuhusu sababu 

Jaji: Shahidi sililiza swali ndiyo ujibu

Malya: Naomba Kielelezo Namba 28

Malya: Anam kabidhi shahidi

Malya: Jana ulishindwa Kuiwasha hii simu

Shahidi: Sikushindwa, haikuwaka

Malya: Ulitoa Explanation Kwanini ilishindwa Kuwaka

Shahidi: Nilieza Kwamba simu ina ibovu wa Display, Ukiwasha Hai Display Kitu chochote

Malya: Kama Kuna Taarifa ya Muhimu ambayo Mbowe anataka Kujitetea Kutumia hiyo Simu atafanyeje, Utampa akatengeneze

Shahidi: Mheshimiwa Jaji Wakati natoa UShahidi: Wangu Kuhusu Kukabidhi Simu, Nilisema, Nilienda na Simu moja, Sikujua Kama Nilitakiwa Kukabidhi Simu, Nikauliza kwa

sababu gani wakasema sababu ya Uchunguzi, Tarehe 10 nilipeleka simu zingine, na Mimi nilipeleka Simu Ikiwa imedondoka haifanyi kazi

Malya: Aliyechunguza hajasema Kwamba Simu Mbovu, Isipokuwa wewe unaogopa kwa sababu unajua Kilichopo humo hutaki kionekane

Shahidi: Washa wewe

Malya: Mimi siwezi Kuwasha Simu yako

Shahidi: basi awashe hata Mheshimiwa Jaji

Malyawewe Ndiyo Mwenye Simu

Shahidibasi hayo Mengine ni Maoni

Malya: Kuna report ya hii Simu, Je Jana Ulionyesha Call Logs za mbowe

Shahidi: Sikuonyesha

Malya: Calls za Khalfani Bwire Jana Ulionyesha

ShahidiSikuonyesha, Sababu sikuulizwa

Malya: Je Jana Ulionyesha Meseji za Ling’wenya Kuhusu Kuwasiliana nao wasikengeuke

Shahidi: Sikuonyesha sababu sikuziona

Malya: Ni sahihi unasema Kwamba a baada ya kuwapeleka Vijana Wanne Kwa Mbowe Mwisho wa Kuwasiliana naye ilikuwa Tarehe 24

Shahidi: Ndiyo

Malya: Wakati Mbowe anaacha Kupokea Simu yako alikuwa tayari na Vijana Wanne

Shahidi: Ndiyo

Malya: Soma hapa

Shahidi: Kaka Wale Mtu 3 au 4 Ni Muhimu

MalyaSasa Kama Umeshampa Mtu Nne ukitaka uwasiliane naye nini

Shahidi: Nilichokitaka Kwake baada ya kukikosa nikakipata kwa Bwire

Malya: Kwa hiyo Wakati anaacha Kuwasiliana na wewe Hitaji lake alikuwa ameshalimaliza

Shahidi: Ndiyo

Malya: Miji ya Arusha, Dar es Salaam, Mbeya na Mwanza ina masoko mangapi?

Shahidi: Mimi sifahamu anafahamu Mbowe

Malya: Miji niliyotaja ina vituo vya mafuta vingapi? 

Shahidi: Mheshimiwa Jaji najibu swali kama Ifuatavyo anayejua idadi ya vituo vya mafuta ambavyo alipanga kulipua ni Freeman Mbowe

Malya: Shahidi: Miji hiyo ina Mikusanyiko Mingapi

Shahidi: Mheshimiwa Jaji mimi sijui ina mikusanyiko mingapi, Ila Mheshimiwa Mbowe ndiye anajua kwa sababu alipanga kulipua

Malya: Ulifika Ofisi za DCI Je Ulifika ukiwa na Simu zako

Shahidi: Ndiyo

Malya: Je Ulieleza Jana Kama Ulikuwa na Simu zako

Shahidi: Mheshimiwa Jaji Nilifika Kwa DCI nikampa Taarifa, akasema endelea nao

Malya: Maelezo Yako Mazuri ila siyahitaji, Swali langu Ulieleza Kama Ulimuonyesha DCI Simu zako na Mawasiliano ya Mbowe? 

Shahidi: Sikueleza

Malya: Unafahamu kwamba DCI ana vifaa Vya Kurekodi? 

ShahidiMimi sifahamu

Malya: Je unafahamu kwamba DCI ana vifaa Vya Upelelezi

Shahidi: Mimi sifahamu Kwa sababu, Kazi yangu haikuwa Kufanya Upelelezi Bali Kutafuta Watu wa Kufanya Kazi

Malya: Wakati Khalfani Bwire, Je alikwambia Vifaa wanavyokwenda Kuvitumia

Shahidi: Hakuniambia

Malya: Wakati Unaingia Jeshini ulikuwa na Certificate ya Form Four na Certificate Ya Ufundi

Shahidi: Ni sahihi ya Diesel Engine

Malya: Bwire alikuja Nyuma yako

Shahidi: Ni sahihi

Malya: Ulikwenda South Africa Kufanya Mafunzo lini

Shahidi: 2010

Malya: Ukawa Mwanafunzi Bora

Shahidi: Hapana

Malya: Kwanini ulipewa zawadi ya Bunduki

Shahidi: Mheshimiwa Jaji, Inaonyesha Jinsi gani Wakili anataka Kuniweka Maneno Mdomoni, Labda yeye ndiyo alipewa Bunduki baada ya kufuzu Law School, anataka Kuficha Uhalifu

Malya: Ulipewa award gani

Shahidi: Sikupewa Award

Malya: Lakini wewe Ulifuzu

Shahidi: Ndiyo

Malya: Wakati Unakwenda Darfur Mara ya kwanza ulikuwa koplo? 

Shahidi: Ni sahihi

Malya: na kwenye Jeshi koplo siyo Afisa

Shahidi: Mheshimiwa Jaji Wakili ananitaka nieleze Kamisheni ya Kijeshi

Jaji: amekuuliza koplo ni Afisa siyo Afisa

Shahidi: Ni Afisa

Malya: Wakati Unakwenda Darfur ulikuwa na Ling’wenya kinachokufanya umkane Ni Kitu gani

Shahidi: Sijamkana, Siwezi Kukumbuka kama Nilikuwa naye

Malya: Shahidi: Wewe ni Luteni Wa Jeshi, Je una Degree?

Shahidi: Hapana

Malya: Huna Digrii lakini ni Luteni wa Jeshi

Shahidi: Ndiyo

Malya: Wakati Una kwenda Darfur Mara ya kwanza ulikuwa Coplo

Shahidi: Ni sahihi

Malya: na Kwenye Jeshi Coplo siyo Afisa

Shahidi: Mheshimiwa Jaji Shahidi: ananitaka nieleze Kamisheni ya Kijeshi

Shahidi: amekuuliza Coplo ni Afisa siyo Afisa

Shahidi: Ni Afisa

Malya: Wakati Una kwenda Darfur ulikuwa na Ling’wenya kinachokufanya umkane Ni Kitu gani

Shahidi: Sija kana, Siwezi Kukumbuka kama. Nilikuwa naye

Malya: Shahidi: Wewe ni Luteni Wa Jeshi, Je una Degree.?

Shahidi: Hapana

Malya: Huna Digrii lakini ni Luteni wa Jeshi

Shahidi: Ndiyo

Malya: Adamoo na Ling’wenya Mlipoachana Morogoro alikwenda Wapi

Shahidi: Walikwenda Dar es Salaam

Malya: Mheshimiwa Jaji naomba Kielelezo D 1

Ambapo ni Maelezo aliyo andika Kingai ambapo anasema alimuhoji Ling’wenya akakiri, Soma hapa.

Shahidi: Luteni Urio alitupa nauli TSh 87,000 nauli ya kwenda Moshi

Malya: na wewe Umesema Walitoka Kwako Walikwenda Wapi

Shahidi: Nimekwambia Dar es Salaam Siyo Moshi

Malya: Kwenye Nauli uliwapa TSh ngapi

Shahidi: TSh 199,000

Malya: hapo Wao Wameamdika uliwapa TSh Ngapi

Shahidi: Nauli TSh 87,000

Ndivyo walivyo andika wao

Malya: Ulielezea Shahidi: Kwenye UShahidi: Wako namba Uliyotumia Kuwasiliana na Bwire ni Namba gani

Shahidi: Sikueleza

Malya: Je Wakati Mnaenda Kuonana na Swila Mara ya Kwanza Ilikuwa lini

Shahidi: Tarehe 11 August 2020

Malya: Ndiyo Siku hiyo hiyo ulitoa Maelezo Yako

Shahidi: Ndiyo

Malya: nimesikia Siku Unakutana na DCI Mlikutana baadae akaja Kingai

Shahidi: Ni sahihi

Malya: Ulielezea Kwamba Kuna mtu Yoyote alikuja Kuwa Join Baadae

Shahidi: Kuwa Join Kwenye Nini

Malya: Kwenye Kikao cha Siku hiyo na DCI na Kingai

Shahidi: Hakuna Mtu yoyote alikuja Kutujoin Siku hiyo

Malya: Kwenye Meseji ya Mwisho ambayo Mbowe alikutumia, Ukasema Hukueleza, ni kwanimi hukutuma Meseji Nyingine Kuuliza Unamaana gani

Shahidi: Mheshimiwa Jaji Baada ya Kupita Muda Hakuna Mawasiliano, Nilimuuliza Bwire Boss wako anajua, Sasa ningejibu Meseji ya Nini

Malya: Na ni UShahidi: Wako Kwamba Ofisi za Swila ni Ghorofa ya Nane Makao Makuu

Shahidi: Ni sahihi

Malya: Mheshimiwa nafikiri Sina Swali la Ziada kwa Shahidi: huyu

Sasa anaingia wakili Dickson Matata:  

Anasimama Wakili Dickson Matata: 

Matata:  Shahidi: nitakuuliza Maswali Machache naomba Ushirikiano Wako Kuokoa muda

Matata:  Nikumbushe Ulionana na Mbowe Tarehe ngapi

Shahidi: Mwezi Wa Saba, 2020 Sikumbuki Tarehe gani

Matata:  Na Ulipo Onana naye ndiyo alikwambia anahitaji Vijana Wa Kuambatana naye wa Kuchukua dola

Shahidi: Ni sahihi

Matata:  Kwa Maelezo yako Ndiyo alikwambia anahitaji Vijana hao Vijana Kwa ajili ya Kumsaidia Kuwashambulia Viongozi ambao hawaupendi Upinzani

Shahidi: Ni sahihi

Matata:  Na Ndipo alipokwambia Kwamba anataka Kuhakikisha amachoma Masoko na Vituo Vya Mafuta

Shahidi: Naomba Nilifresh alisema Kwamba ataleta Taharuki Kwa Kufanya hayo Uliyo niambia

Matata:  Majuzi Ulisema Kwamba Ulifanya Kitu kinaitwa Tactical appreciation, na Mimi Leo nataka tufanye Tactical appreciation ya Kisheria

Wakati anakwambia Mlikuwa Wawili

Shahidi: Ndiyo

Matata:  Kwa Lugha Nyingine Hapakwepo na Watu wengine

Shahidi: Sahihi

Matata:  tofauti na Siku hiyo, Kuna Siku yoyote aliwahi Kukwambia Jambo hilo au kukuandikia Barua

Shahidi: Hakuna

Matata:  Kwa hiyo kwa Tafsiri Nyingine hatutopata UShahidi: Wa Maandishi au Wa Sauti au Meseji unaweza Kuthibitisha Kuwa alikwambia hayo Maneno

Shahidi: Hakuna Sauti.

Shahidi: Ni sahihi

Matata:  Baada ya Kukwambia Ukaona Inafaa ukatoe Taarifa, Ukaenda kwa DCI, Kwanza Ulimpigia Simu alafu akakupa appointment

Matata:  Na Kwamba Baada ya Kumueleza akamuita Kingai

Shahidi: Ni sahihi

Matata:  Utakubaliana na Mimi Kwamba DCI ni Mtu Mwenye Ujuzi Katika Upelelezi

Shahidi: Ni sahihi

Matata:  Kingai alikuwa Mkuu wa Upelelezi Mkoa wa Arusha, Unafahamu Kwamba anakuwa na uzoefu wa Upelelezi

Shahidi: Kwanza Nilikuwa sijui kuwa ni Mpelelezi

Matata:  Mtu akiwa Mpelelezi Wa Mkoa anauzoefu au hana Uzoefu

Shahidi: anakuwa na Uzoefu

Matata:  Wewe Kama Komamdo, Katika Kikao hicho na Baada ya Hapo, Hukuona wewe au DCI na Kingai, Hukuona Kuwa Kuna Umuhimu kuwa Msiridhike Kile ambacho umesema, Je Hukuona Kuwa Kuna Umuhimu Wa Kurekodi Voice Notes

Shahidi: Mamlaka labda Ndiyo haikuona Umuhimu,

Matata:  Wewe Uliona Kuna Umuhimu au Hakuna Umuhimu, Kwamba Usiridhike na Maneno Utengeneze Voice Record

Shahidi: Niliona Kuna Umuhimu

Matata:  kwenye huo Umuhimu hukuona Kuna Umuhimu Wa Vinasa Sauti na Meseji ambao Vita Sema Exactly Kuwa anataka Kulipua Masoko

Mheshimiwa Jaji Mbowe alikuwa alishaniambia Kwa Meneno, asingerudi

Matata:  Narudia Swali langu, kwenye huo Umuhimu hukuona Kuna Umuhimu Wa Vinasa Sauti na Meseji ambao Vita Sema Exactly Kuwa anataka Kulipua Masoko

Shahidi: Sikuwa na Vifaa Vya kunasa Sauti

Matata:  Mbowe akikataa Leo Hakusema, Ni UShahidi: gani Unao Mbele ya Mahakama Kwamba Mbowe Alisema hayo Maneno

Shahidi: Ni UShahidi: Wa Meseji ya Kusema “Muda Umeisha”

Matata:  hiyo Meseji inayosema Muda Umeisha Inasehemu Inasema Kulipua Masoko

Shahidi: Hakuna Mahali inasema

Matata:  hiyo Meseji Inasehemu Inasema Kushambulia Viongozi ambao awapendi Upinzani

Shahidi: Hakuna Mahali inasema hivyo

Matata:  Hiyo Meseji Kuna sehemu inasema Kulipua Vituo Vya Mafuta

Shahidi: Hakuna Mahali inasema hivyo

Matata:  Tutoke hapo, Unasema Ulienda Kwa DCI na Kabla ya kwenda Ulimpigia Simu,

Shahidi: Ni sahihi

Matata:  Ulielezea Mahakama Kwamba Ulikuwa Unafahamiana na DCI

Shahidi: Nilieleza, Kuna Mtu aliuliza Kama Nilienda Ofisi ya DCI Mara ngapi

Matata:  Sitaki Habari ya Kwenda Ofisini, DCI Anabadirika, nakuuliza Kama Ulielezea Kwamba Unafahamiana na DCI

Shahidi: Sikueleza

Matata:  Ulieleza Mahakamani hapa Kwamba Namba Yake Ulipata Wapi

Shahidi: Sikueleza

Matata:  Hata hiyo namba yenyewe Ulitaja

Shahidi: Sikutaja

Matata:  UShahidi: gani Unathibitisha Kwamba Ulimpigia Simu

Shahidi: UShahidi: ninao kwa sababu nina namba zake na Nilifika Ofisini Kwake

Shahidi: Je ulivitaja hivyo Vitu Wakati Unahojiwa na Upande wa Mashitaka

Shahidi: Siku vitaja.

Matata:  Unasema Kwamba Ulienda Kesho Ukasema Una Appointment naye Ukakutama na Secretary Wake

Shahidi: Ni sahihi

Matata:  Kwa Maana hiyo Ulifuata Utaratibu wa Umma Wa Jinsi ya Kuingia Ofisi Fulani

Shahidi: Ni sahihi

Matata:  Ulisema Kwamba Ulipofika Ulifuata taratibu za Ofisi za Umma

Shahidi: Nilieleza Kwamba, Nilionyesha Kitambulisho kama Askari

Matata:  Ulisema Kwamba Askari apaswi Kufuata Utaratibu Wa Kuingia Ofisi Za Umma

Shahidi: Mheshimiwa Jaji Mimi Nilieleza Kuwa ni Askari, yeye Ndiye alitakiwa aniambie Kufuata Utaratibu

Matata:  Wakati Unahojiwa na Wakili wa Serikali Abdallah Chavula, Ulisema Kwamba Nyie Askari hamfuati Utaratibu

Shahidi: Sikueleza

Matata:  Ulileta Visitors Book Kuonyesha Kweli Ulienda Ofisi Za DCI

Shahidi: Hapana Siku leta

Matata:  Shahidi Wewe ni Mwanajeshi, Ulitakiwa Kufuata Taratibu zote za Kijeshi

Shahidi: Ni sahihi.

Matata:  Unapotoka Mkoa Mmoja Kwenda Mkoa Mwingine, unatakiwa Kuwa na Movement Order

Shahidi: Inategemea na Siku Ngapi, Kama Chini ya Siku Tatu unaweza Kwenda bila Movement Order kama zaidi ya Siku Nne Unatakiwa Kuwa na Movement Order

Matata:  Wakati Unahojiwa na Wakili Abdallah Chavula Ukiyasema hayo

Shahidi: Sikuyasema

Matata:  Unapokuwa Askari Unapoenda Ofisi za Umma si lazima Uwe na Pass

Shahidi: Ni kwenye Kitabu Unachotaka,

Matata:  si lazima uonyeshe Pass

Shahidi: Ndiyo ni lazima

Matata:  Umeleta Mahakamani hapa Pass Kwamba Umeruhusiwa Kutoka kazini Kwako

Shahidi: Mheshimiwa Jaji Sijaleta Sikujua I nahitajika Mahakamani.

Matata:  Tarehe 11 ulienda kwa Inspector Swila na Tarehe 12 Ulimpelekea Simu

Shahidi: Ni sahihi

Matata:  Ulileta Mahakamani Hapa Pass za Umeruhusiwa

Shahidi: Siku leta, Sikupewa Maelezo

Matata:  Mheshimiwa Jaji naomba Kielelezo Namba 20

Matata:  Naomba Nikuonyesha Kielelezo namba 20 ambacho Kina Mihamala yako ya namba ya Airtel

Matata:  Jana Wakati a Unahojiwa ulisema Freeman Mbowe alikurushia Kwa Mara ya Kwanza TSh 500,000

Shahidi: Ni sahihi

Matata:  Na Ukatoa TSh 499,000

Shahidi: Kweli

Jaji Umeelewa Swali.? Anasema Umetumiwa TSh 500,000, Swali Ukatoa kwenye hiyo Fedha kiasi gani

Shahidi: Ni TSh 499,000

Matata:  Kwa Mantiki Nyingine Hukutoa yote Kwa sababu Kuna Makato kidogo

Shahidi: Ni sahihi

Matata:  Kwa hiyo Ulichukua TSh 500,000 Ukatoa TSh 499,000 Je Makato TSh ngapi

Shahidi: TSh 1000

Matata:  Naomba Nikuonyesha Kwa Siku hiyo,

Mheshimiwa Jaji Namuonyesha Mhamala Wa Siku hiyo ambapo anasema alitoa Mhamala Wa TSh 499,000

Matata:  Sasa Shahidi: angalia Tarehe 20 July 2020, Kwenye Mhamala sehemu ambayo Umeenda Kwa Wakala Ukatoa TSh 499,000

Jaji a nakuuliza Hapo Hapo hapo Kwenye hiyo Nyaraka

Shahidi: Hapa Kwenye Mhamala Haipo hiyo 499,000

Matata:  Mheshimiwa Jaji naomba ni Muonyeshe Hapo hapo, Kuna. Majedwali ambayo Yana onyesha Receiver Balance kabla ya a kutumiwa TSh 500,000 kutoka Kwa Mbowe.

Utakubaliana na Mimi Kwenye akaunti yako palikuwa na TSh 49646

Shahidi: Ni sahihi

Matata:  Baada ya Kuweka TSh 500,000 balance Ikawa TSh 549,646

Shahidi: Ni sahihi

Matata:  Na Tarehe hiyo hiyo Ukatoa TSh 300,000

Shahidi: Ni sahihi

Matata:  Na Balance Yako Ikabakia 243,646

Ni sahihi

Matata:  hebu chukua salio uliokuwa nalo la 549,646 Kutoa 300,000 ukabaki na 243,646 tuone Makato ni TSh ngapi

Wakili wa Serikali Robert Kidando: OBJECTION Mheshimiwa Jaji Naona Hajajengewa Misingi Kwamba wakili anauliza ikiwa hayo Makato yapo au hayapo

Matata:  Mheshimiwa Jaji Mimi Lengo langu nikutaka Kujua Kama kwanini atoe TSh 499,000 akatwe TSh 1000 na atoe TSh 300,000 akatwe Elfu Sita na.

Wakili wa Serikali Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji hicho ndicho alichopaswa Kuulizwa

Matata:  Je Shahidi: Utakubaliana na Mimi Kwamba Ukitoa TSh 300,000 ikibakia TSh 243,646 Je Elfu 6 inaenda Wapi

Shahidi: Siwezi Kujua Kama ni Makato au imeenda wapi..

Matata:  Kwani hiyo Tsh 1000 Mwanzo Ulijuaje Kama ni Makato

Jaji Swali lako la Mwisho kinasema Je Kwani, Kuhusu Elfu 6 nimesharekodi

Wakili John Malya: anasaidiana Kufafanua Kidogo

Matata:  Shahidi: Ulitoa Maelezo hii TSh 1000 Ilienda wapi

Shahidi: Sijawahi Kutoa

Matata:  Shahidi: Sasa ulitoa…. Sorry Mheshimiwa Jaji Kidogo

Wakili Matata:  anapekua Nyaraka

Matata:  Shahidi: Umesema Freeman Aikael Mbowe alikuwa na Mpango Wa Kulipua Vituo Vya Mafuta, Je Wakati Unahojiwa ulitaja Majina ya Vituo Vya Mafuta

Shahidi: Hakuniambia Vituo Vya mafuta anavyoenda Kulipua Bali alitaja Mikoa tuh

Matata:  Kwa hiyo ukiulizwa Alitaka Kulipua Vituo gani Morogoro hutakuwa na Majibu

Shahidi: Sitokuwa na Majibu

Matata: Tukisema Utaje Vituo Vya Mafuta alivyo taka Kulipua Mkoa wa Mwanza Utakuwa na Majibu au hutakuwa na Majibu

Shahidi: Mimi sina Majibu, Majibu atakuwa nayo Freeman Mbowe

Matata:  Ukiulizwa pia Kuhusu Mkoa wa Dar es Salaam Vituo Vipi Vya Mafuta alitaka Kulipua

Shahidi: Mimi sina Majibu, Majibu anayo Freeman Mbowe, Mimi anilificha

Matata:  Ukiulizwa ni eneo gani alipanga Kukata Miti kati ya Mkoa wa Morogoro na Iringa

Shahidi: Hakuniambia ni Eneo gani

Matata:  Ukiulizwa Swali Kwamba, Ukiachana Na Sabaya ni Viongozi gani wengine Walipanga Kuwashambulia

Shahidi: Sikutaja Jina la Kiongozi Yoyote, Hakuniambia Kiongozi Yupi

Matata:  Mpaka anakushirikisha bila Shaka alikuwa anakuamini

Shahidi: Ndiyo

Matata:  Ukiachana na Swala la Kumtafutia Vijana, Je alikueleza Kuhusu Kumtafutia Vilipuzi

Shahidi: Hakunieleza

Matata:  Kukwambia Kuhusu Kumtafutia Silaha za Kuwashambulia Viongozi

Shahidi: Hakunieleza

Matata:  Mheshimiwa Jaji ni hayo tuh

Matata:  Naomba Kurudisha Kielelezo

Naomba Pia Kurudisha na Kielelezo Cha simu

Malya: Mheshimiwa Jaji Samahani, lakini hata hivyo haiwaki

Kibatala: Shahidi: Nikikuita baba kareem ni sawa.?

Shahidi: Ni sawa

Kibatala: Baba Junior

Shahidi: Ni Sawa

Kibatala: Baba Jackson

Shahidi: Nisawa

Kibatala: Jackson amezaliwa Lini

Shahidi: 17 December 2020

Kibatala: Hospitali gani

Shahidi: Hospitali Ya Mkoa Morogoro

Kibatala: Nani na nani alikwepo

Shahidi: Mke wangu na Jirani

Kibatala: Wewe ni Mkristo

Shahidi: Ndiyo

Kibatala: nasali Kanisa lipi

Shahidi: Parokia Ya Ngerengere, Kigango cha Kizuka

Kibatala: Paroko wako Unamfahamu

Shahidi: Sikumbuki.

Kibatala: Kwani Kanisani Umeenda Mara ya Mwisho lini

Shahidi: Juzi juzi

Kibatala: Paroko anayehudumu Ngerengere Unamfahamu

Shahidi: Simfahamu

Kibatala: Katekista anaye Msadia Paroko

Shahidi: Sifahamu

Kibatala: narudia tena Mara ya Mwisho Kanisani Umeenda Lini

Shahidi: Sikumbuki Kusema Kweli

Kibatala: Una Gari ya silver

Shahidi: Ndiyo

Kibatala: Aina gani

Shahidi: Rav 4

Kibatala: Namba zake zipi

Shahidi: T 114 DHL

Kibatala: Toka Mwaka 16 August 2020 hiyo Gari ipo Wapi

Shahidi: Kazini Kwangu Ngerengere

Kibatala: Toka Tarehe 16 August 2020 Gari hii ilikuwa parked Wapi

Shahidi: Nilikuwa natumia, Kila Nilipo ipo

Kibatala: Baada Tarehe 16 August 2020 Gari hii umeitumia

Shahidi: Ndiyo

Kibatala: Umekuja Kutoka Morogoro Kuja kwenye Kutoa UShahidi: Kwenye Hii Kesi , Na Kwamba Umetoka Moja kwa Moja Kuja Hapa na kwamba siyo Kutoka Kambi fulani ya Jeshi ulikokuwa umetekwa

Shahidi: Mheshimiwa Jaji.

Kibatala: Shahidi: Relax.

Wakili wa Serikali Robert KidandoMheshimiwa Jaji Mawakili Uliwakataza Kutoa Mawazo yao Bali Kuulizwa maswal

Kibatala: Shahidi: hiyo Gari Ipo wapi

Shahidi: Kambini Kizuka

Kibatala: Umepeleka lini hiyo Gari

Shahidi: Ijumaa Wiki Iliyopita

Kibatala: Utaratibu gani Umetumika kupark hiyo gari

Shahidi: Park at Your Own Risk

Kibatala: Kwa hiyo wewe Ka afisa wa Jeshi unataka Kuniambia Kuwa Unapark Gari at Owner’s Risk Kambini, Upo serious

Shahidi: Lipo Katika Parking ya Staff

Kibatala: Bado Kwamba Unaendelea Kusema Gari ipo Parking Owner’s Risk

Shahidi: Hapana Nimeliondoa jibu la Owner’s Risk

Kibatala: Jibu lako la. Kwanza kwamba Ulipark Chini ya Owner’s Risk Ulilitoa Chini ya Kiapo

Shahidi: Ndiyo

Kibatala: haya, Turudi tena Kwamba Gari Umeipark Kwa Utaratibu gan

Shahidi: Pale Hakuna Ku Register, Nilitoka Kwenye 

Oparation Ni kaambiwa Nije 

kutoa Ushahidi

Kibatala: hapo Maana yake ni Owner’s Risk

Shahidi: Ndiyo

Kibatala: si Ndiyo umeliondoa hilo Jibu

Shahidi: Ndiyo

Kibatala: Naiachia Mahakama Twende Eneo Lingine

Kibatala: Mwanzo Ulisema Ulikuwa unapanda Tax huna Gari

Shahidi: Ndiyo

Kibatala: Basi Ujue kwanini Nimekuuliza Kuhusu gar.

Kibatala: Shahidi: Fungua Yohana Sura ya 8, Mstari wa 31 Mpaka 39

Shahidi

aliomwamini, Ninyi mkikaa katika neno langu, mmekuwa wanafunzi wangu kweli kweli; 32tena mtaifahamu kweli, nayo hiyo kweli itawaweka huru. 33 Wakamjibu, Sisi tu uzao wake Abrahamu, wala hatujawa watumwa wa mtu wakati wowote; nawe wasemaje, Mtawekwa huru? 34 Yesu akawajibu, Amin, amin, nawaambia, Kila atendaye dhambi ni mtumwa wa dhambi. 35 Wala mtumwa hakai nyumbani sikuzote; mwana hukaa sikuzote. 36 Basi Mwana akiwaweka huru, mtakuwa huru kweli kweli. 37Najua ya kuwa ninyi ni uzao wa Abrahamu lakini mnatafuta kuniua kwa sababu neno langu halimo ndani yenu. 38Niliyoyaona kwa Baba ndiyo niyanenayo; nanyi vivyo hivyo mliyoyasikia kwa baba yenu ndiyo myatendayo.

Yesu na Abrahamu

39 Wakajibu, wakamwambia, Baba yetu ndiye Abrahamu! Yesu akawaambia, Kama mngekuwa watoto wa Abrahamu, mngezitenda kazi zake Abrahamu

Kibatala: Unafahamu Maan ya hilo Neno

Shahidi: Ndiyo Nafahamu

Kibatala: Maana yake ni nini

Shahidi: Tusiogope, Tuseme Kweli

Kibatala: Soma pia Waefeso Sura ya 4 Mstari Wa 25 Mpaka 32

Shahidi

Waefeso 4:25-32 BHN

Kwa hiyo, acheni uongo. Kila mmoja anapaswa kumwambia mwenzake ukweli, maana kila mmoja wetu ni kiungo cha mwili wa Kristo. Kama mkikasirika, msikubali hasira yenu iwafanye mtende dhambi, na wala msikae na hasira kutwa nzima. Msimpe Ibilisi nafasi. Aliyekuwa akiiba, asiibe tena, bali na aanze kufanya kazi njema kwa mikono yake, apate kuwa na kitu cha kumsaidia mtu aliye maskini. Maneno mabaya hata yasisikike kamwe miongoni mwenu; kila mara maneno yenu yawe ya kufaa na ambayo hujenga na kuwasaidia wengine, ili yawaneemeshe wasikilizaji wenu. Msimhuzunishe Roho Mtakatifu wa Mungu, maana Roho huyo ni alama ya Mungu kwenu kwamba nyinyi ni watu wake, na thibitisho kwamba siku itakuja ambapo Mungu atawakomboeni. Basi, achaneni na uhasama, chuki, hasira, kelele na matusi. Acheni kila uovu! Muwe na moyo mwema na wenye kuhurumiana; kila mmoja na amsamehe mwenzake kama naye Mungu alivyowasamehe nyinyi kwa njia ya Kristo.

Kibatala: Je unafahamu Maana ya hilo Neno

Shahidi: Ndiyo nafahamu

Kibatala: Maama Yake ni nini

Shahidi: Tusiseme Uongo na Tupend.

Shahidi: Ndiyo

Kibatala: lakini Ukaenda Kumshirikisha nani

Shahidi: DCI na Kingai

Kibatala: Mwingine Je.?

Shahidi: Hakuna

Kibatala: Msemo wa Kwamba Askari awezi Kuwa Raia ila Raia anaweza Kuwa Askari Maan yake nini

Shahidi: Kwamba Ukishakuwa Askari Uwezi kuwa Raia, Ila Raia anaweza Kwenda kujifunza Kuwa Askari

Kibatala: Jeshi la Wananchi Tanzania Mnafundishwa Kuwa Jeshi la Polisi ni Jeshi Kweli au si Kweli

Shahidi: Kweli

Kibatala: Raia Akiona Uhalifu unatendeka anaweza Kuzuia Uhalifu

Shahidi: Ndiyo

Kibatala: Kwamba Mwajeshi Akiona Uhalifu Unatendeka anaweza Kuzuia au anaacha utokee alafu anariport Taarifa Polisi

Shahidi: Anazuia Uhalifu

Kibatala: ila wewe Ulikuwa na Mbowe anakwambia Mambo ya Kigaidi ukamuacha

Shahidi: Ndiyo Maana Nilienda Kuriport Polisi

Kibatala: Kwani Jeshini si Kuna sehemu ya kwenda Kutoa Taarifa za Kihalifu

Shahidi: Sifahamu

Kibatala: Jeshi la Wananchi Tanzania Kuna Kitengo Kina shughulika na Ugaidi

Shahidi: Hapana

Kibatala: Kuna Jeshi la Navy ambalo kazi yao Ni Kushughulika na Ugaidi

Shahidi: Sifahamu

Kibatala: na bado wewe ni Luteni wa Jeshi kabisa

Shahidi: Ndiyo

Kibatala: Kwani kwa ufahamu wako wewe Jeshi halishirikiani na Jeshi la Polisi

Shahidi: Kama ikihitajika

Kibatala: Kwani Shahidi: Kwa Mfano Mbowe amgelipua Kituo cha Mafuta Puma pale Mwenge, Jeshi Pale Jirani Wamgedhurika au Wasingedhurika

Shahidi: Wangedhurika

Kibatala: Bado Ukaona Usiwaambie Jeshi

Kibatala: unasema Kwamba Mbowe alikwambia Kukata Miti wapi

Shahidi: Kukata Miti Kwenye Barabara zote zinazo ingia Mjini

Kibatala: Kwa Hiyo Unafahamu Kwamba Maisha ya Khalfani Bwire, Adam Kasekwa na Mohamed Ling’wenya yapo Mikononi Mwako

Shahidi: Ndiyo najua

Kibatala: na Ulisema Kwamba Mara Ya Kwanza Ulikutana na Mbowe Lini

Shahidi: JULY 2020

Kibatala: Tarehe Ngapi

Shahidi: Sikumbuki ni Tarehe za Kati kati

Kibatala: zipi hizo

Shahidi: Tarehe 10 Mpaka 15

Kibatala: Hizo ndiyo Tarehe za Katikati

Shahidi: Ndiyo

Kibatala: na wewe ni. Luten wa Jeshi la Wananchi Tanzania tunaolipemda wote

Shahidi: Ndiyo

Kibatala: Elimu yako ni Form Four

Shahidi: Ndiyo

Kibatala: Ulipata Divisheni Ngapi

Shahidi: Three ya Point 25

Kibatala: unajua Division Four Inaanza point ngapi

Shahidi: Point 28 ila Sikumbuki Vizuri

Kibatala: Kwa hiyo Unakumbuka au Ukumbuki

Shahidi: Sikumbuki

Kibatala: Umesoma wapi.?

Shahidi: King’ori Sekondari

Kibatala: Headmaster Wako ni nani

Shahidi: Simkumbuki

Kibatala: Graduation Mlifanya lini

Shahidi: Hatukufanya Graduation

Kibatala: Ukimaliza Form Four lini

Shahidi: Mwaka 1999

Kibatala: Yule Mchungaji Wako anayefundisha Mzumbe Mara ya Mwisho Kuwasiliana naye ni Lini

Shahidi: Sina Mchungaji

Kibatala: Na Nabii Tito anayefundisha Mzumbe Umeacha Kusali Kwake lini

Shahidi: Simfahamu

Kibatala: Habari Nzito ya Mbowe Ulimshirikisha Paroko au Mchungaji

Shahidi: Sikumshirikisha Mtu

Kibatala: lakini Ulishindwa kulala.

Kibatala: pale Kambi ya Jeshi Lugalo Kuna Barabara ya Kuingia Mjini au Hakuna

Shahidi: Ipo

Kibatala: Kama Wangekata Miti pale Barabara ya Lugalo Jeshi lingedhurika au lisingedhurika

Shahidi: Lingedhurika

Kibatala: Lakini Bado wewe Ukaona Usiwaambie Jeshi

Shahidi: Nilipeleka Taarifa Polisi Kwa sababu wao Wana husika na Uchunguzi

Kibatala: Kati ya Wewe Ulipo pale Mgulani Kambini na Ofisi za DCI, Wapi Ilikuwa Rahisi Kwako Kuriport

Shahidi: Kambini Mgulani

Kibatala: Unafahamu Kitu kinaitwa Logic na Common sense

Shahidi: Ndiyo nafahamu

Kibatala: haya pale kwa DCI umesema Kwamba Kuna Scanner, Umejitambulisha Kuwa wewe ni Luteni na ukafanyeje

Shahidi: Nikatoa Kitambulisho

Kibatala: Baada ya Pale Ulimwambia Jaji Kwamba Jina lako liliingizwa Kwenye Register

Shahidi: Sikumwambia

Kibatala: Unafahamu Kwamba sisi tumefika Kwa DCI Mara ngapi

Shahidi: Hapa Sijui

Kibatala: Nikikukwambia Kwamba pale kwa DCI Nilifika Kimsindikiza Lowasa Mwaka 2017

Shahidi: Ndiyo nitakubali

Kibatala: Unafahamu Kuwa DCI ni Mwanajeshi

Shahidi: Nafahamu

Kibatala: Ulimwambia Jaji Kwamba Kuna Mtu alipiga Simu Kwanza Kuhakiki appointment Yako

Shahidi: Hapana Siku Mwambia

Kibatala: Unafahamu Kwamba Wanajeshi hasa DCI ambaye ndiye Kama. WAZIRI Mkuu wa Jeshi la Polisi ni watu wa tahadhari kwa sababu ni Watu naodili na Uhalifu Nchi Nzima

Shahidi: Ndiyo 

Kibatala: Je Umemwambia Jaji Kwamba Kuna Kitambulisho Ulipewa cha Kuvaa

Shahidi: Si kumwambia

Kibatala: Unafahamu Kwamba Kwa DCI Kuna Askari Kwa ajili ya Kimsindikiza Wanaenda Kwa DCI

Shahidi: Sikumwambia Jaji

Kibatala: Ulimwambia Mheshimiwa Jaji Kwamba Kuna Askari Wa Kukusindikoza Mpaka Kwa PS wa DCI

Shahidi: Si kumwambia

Kibatala: Waiting Area ya Ofisi za DCI Makochi ni Rangi gani

Shahidi: Ya Brown

Kibatala: Unauhakika Kwamba Siyo Mekundu

Kibatala: Ukifika kwenye Ofisi za DCI PS anakuwa Upande Upi

Shahidi: Upande huu, (anaonyesha Kushoto)

Kibatala: Umebadilsha Sasa hivi.

Shahidi: Ndiyo

Kibatala: lakini Ukaenda Kumshirikisha nani

Shahidi: DCI na Kingai

Kibatala: Mwingine Je.?

Shahidi: Hakuna

Kibatala: Msemo wa Kwamba Askari awezi Kuwa Raia ila Raia anaweza Kuwa Askari Maan yake nini

Shahidi: Kwamba Ukishakuwa Askari Uwezi kuwa Raia, Ila Raia anaweza Kwenda kujifunza Kuwa Askari

Kibatala: Jeshi la Wananchi Tanzania Mnafundishwa Kuwa Jeshi la Polisi ni Jeshi Kweli au si Kweli

Shahidi: Kweli

Kibatala: Raia Akiona Uhalifu unatendeka anaweza Kuzuia Uhalifu

Shahidi: Ndiyo

Kibatala: Kwamba Mwajeshi Akiona Uhalifu Unatendeka anaweza Kuzuia au anaacha utokee alafu anariport Taarifa Polisi

Shahidi: Anazuia Uhalifu

Kibatala: ila wewe Ulikuwa na Mbowe anakwambia Mambo ya Kigaidi ukamuacha

Shahidi: Ndiyo Maana Nilienda Kuriport Polisi

Kibatala: Kwani Jeshini si Kuna sehemu ya kwenda Kutoa Taarifa za Kihalifu

Shahidi: Sifahamu

Kibatala: Jeshi la Wananchi Tanzania Kuna Kitengo Kina shughulika na Ugaidi

Shahidi: Hapana.

Kibatala: Kuna Jeshi la Navy ambalo kazi yao Ni Kushughulika na Ugaidi

Shahidi: Sifahamu

Kibatala: na bado wewe ni Luteni wa Jeshi kabisa

Shahidi: Ndiyo

Kibatala: Kwani kwa ufahamu wako wewe Jeshi halishirikiani na Jeshi la Polisi

Shahidi: Kama ikihitajika

Kibatala: Kwani Shahidi: Kwa Mfano Mbowe amgelipua Kituo cha Mafuta Puma pale Mwenge, Jeshi Pale Jirani Wamgedhurika au Wasingedhurika

Shahidi: Wangedhurika

Kibatala: Bado Ukaona Usiwaambie Jeshi

Kibatala: unasema Kwamba Mbowe alikwambia Kukata Miti wapi

Shahidi: Kukata Miti Kwenye Barabara zote zinazo ingia Mjini

[1/28, 1:03 PM] Cdm Lucy ShayoKibatala: Je Ulimwambia Mheshimiwa Jaji Kwamba niilipokuwa Ulipokuwa wait Area Kwa DCI iwapo Body Guard Wake Ukiwa Una subiri Kuingia

Shahidi: Sikumwambia

Kibatala: Je Jana wakati wa UShahidi: Ulizungumzia Meza na Viti, Je Ulizungumzia DCI kuwa Ni Mnene, Mfupi, Mwembamba au Lah

Shahidi: Sikumwambia

Kibatala: Je Ukaona ni Muhimu tufahamu Viti na Meza na siyo DCI ambaye Ulimfuata

Shahidi: DCI SI anajulikana

Kibatala: anajulikana na nani

Shahidi: na Watanzania wote

Kibatala: Je Ulimwambia Jaji Kwamba Utaratibu gani Ulitumia Kutoka

Shahidi: Sija Mwambia

Kibatala: Ulimwambia Jaji Kuwa Ulipokuwa Unatoka Ulisaini Out

Shahidi: Sikumwambia

Kibatala: Unasema Ulifika Ofisi ya DCI Saa ngapi

Shahidi: Nimefika Majira ya Saa Mbili au Saa Tatu

Kibatala: Je Unafahamu Kwamba Huo Ndiyo Muda wa Kufika DCI

Shahidi: Ndiyo nafahamu

Kibatala: Kwamba Chini ya Kiapo hapo Luteni Kwamba Siku hiyo DCI alipanda Ngazi Kwa Mguu Mpaka Ghorofa Ya Saba

Shahidi: Sifahamu

Kibatala: Kwa hiyo ufahamu Kwamba DCI alikuwa na Umri Miaka zaidi ya 50 na Sasa amestaafu Kwamba alipanda Ngazi

Shahidi: Sifahamu alifika Je Juu

Kibatala: kwa hiyo Wewe Unasema Kwamba Jeshi la Polisi Kwa DCI Kiongozi Wao Kama. Waziri Mkuu, Kuwa Lift yake Ilikuwabovu

Shahidi: Hapana Sifahamu

Kibatala: Jana Ulionyeshwa Simu zako, na Moja ilikuwa na Display ya Mke Wako

Shahidi: Ndiyo

Kibatala: Wakati Simu zako zote Nne Umepewa, Je Ni wakati gani Uliomba nafasi ya Kungalia Simu yako Namba ya Kingai Kama. Kweli uliwasiliana naye

Shahidi: Hapana Siku Mwambia jaji

Kibatala: Je Kwa DCI pia Ilimuomba Jaji nafasi ya Kungalia namba ya DCI Kwenye Simu yako

Shahidi: Hapana

Kibatala: Mheshimiwa Jaji Sasa Ni saa Saba Kamili, Kama Wenzetu wataridhia Twende Health Break na naomba Niependekeza Kwako Dakika 45

Wakili wa Serikali Robert Kidand: oMheshimiwa Jaji hatuna Pingamizi

Jaji: Kwa Maana hiyo tutabreak Kwa Muda wa Dakika 45 na Saa Saba na Dakika 45 tutarudi

Jaji anatoka Mahakamani

Jaji Amerejea mahakamani muda huu saa 8 na dakika 8

Kibatala: Unafahamu Kwamba Utambulisho Wa su Moja dhidi ya Nyingine ni IMEI, Je unafahamu

Shahidi: Nafahamu

Kibatala: Wakati Unaongozwa na Mawakili Wenzetu wa MSomi walikuongoza Kutoa Nyaraka fulani hivi?

Shahidi: Ndiyo Nakumbuka

Kibatala: Kwahiyo Nyaraka Ile Ilikuwa ni Kuthibitisha Kuwa palikuwa na Makabidhiano kati yako wewe na Inspector Swila?

Shahidi: Ni sahihi

Kibatala: Inaitwa Techno nini Vile?

Shahidi: Techno CAMMO

Kibatala: Niambie Kama wakati Unaonyeshwa Simu zako zote Nne, Je ulitambua Simu Moja Moja Kwa kutumia IMEI namba?

Shahidi: Hapana

Kibatala: Kwa hiyo Ka tuna Simu Nne, Tatu hukuzitambua kwa IMEI namba ya Simu Moja Moja Nilitambua Moja tuh?

Shahidi: Ni sahihi

Kibatalakwa hiyo hii Techno CAMMO ulitambua Kwa IMEI namba 

ShahidiNdio

Kibatal: Kwa UShahidi: Wako wote hapa umesema Kwamba Unaishi Ngerengere, Je Kuna sehemu Umesema Kwamba unaishi kihonda?

Shahidi: Nilisema Nina makazi mawili ngerengere na Kihonda

Kibatala: Je Ulisema Jana na Leo Kabla Sijakuuliza?

Shahidi: Sikusema

KibatalaJe Kuna Mahala Popote Ulitambua Maneno CAMMO Kama Yapo?

ShahidiHakuna

KibatalaKuna Maneno gani badala yake?

ShahidiTechno tuh

KibatalaJe Wakati Unaongozwa na Wakili Wa Serikali Abdallah Chavula Ulimfafanulia Mheshimiwa Jaji Kwamba hiyo Techno ndiyo

Techno CAMMO?

ShahidiSiku fafanua

KibatalaWakati Wa UShahidi: Wako Wote Unaongozwa na Wakili Wa Serikali Abdallah Chavula, Kama Uliongozwa na kutoa Betri na Kusoma IMEI namba na Kumwambia Mheshimiwa Jaji Kama IMEI zinafafana na Inspector Swila Wakati wa Makabidhiano?

ShahidiSikumwambia 

KibatalaSoma Hapa Pameandikwa Kwamba wewe Luteni Urio unaishi Wapi?

ShahidiKihonda

KibatalaJe Ulimwambia Mheshimiwa Jaji Kwamba Kwenye Kielelezo Kuwa wewe Luteni Urio Unaishi Kihonda

Shahidi: Anatingisha Kichwa

Kibatala: Hapa Mahakamani, Usijibu kwa Kichwa

Shahidi: Sikumwambia Mheshimiwa Jaji

Kibatala: Soma hapa

Shahidi: CD/IR /2097 /2020

Kibatala: Ni nini hiyo

Shahidi: Sifahamu

Kibatala: Je Ulifafanua ni nini hicho

Shahidi: Siku fafanua

Kibatala: Kuna IMEI namba Ngapi hapo

Shahidi: ameshuka Kielelezo Cha Karatasi Moja anatetemeka Balaaaa

Shahidi: Sijui ni IMEI namba ngapi

Kibatala: Unafahamu Inspector Swila alikozitoa hizi IMEI namba au Ufahamu

Shahidi: Kwenye Simu yangu

Kibatala: Je Zipo ngapi hizo IMEI namba zipo ngapi

Shahidi: Sifaham

Kibatala: Hiyo ni Standard Form Document

Shahidi: Ndiyo

Kibatala: Soma Hapo Chini

Shahidi: Jina na Sahihi ya anayekabidhiwa

Kibatala: Wakati unatoa UShahidi: Jana Ulimwambia Mheshimiwa Jaji Kwamba hiyo ni sahihi yako

Shahidi: Niliwambia.

Kibatala: Soma Hapo Chini ya Mstari Uliochapwa

Shahidi: 11 August 2020 Imeandaliwa Chini ya

Kibatala: ulifafanua Kuwa Kwanini hayo Maelezo Yapo Chini ya Nyaraka

Shahidi: Siku fafanua

Kibatala: Ni sahihi Kwamba Nyaraka hii inasema Mimi Luteni Denis Urio Wa Kihonda Morogoro, Na mkabidhi Vitu ambavyo Vimekamatiwa Tarehe Deshi, Kutoka Kwa Mtuhumiwa Deshi, Vitu aina ya Deshi

Kibatala: Sasa Kwa UShahidi: Wako wewe Tukiangalia hapo Kwenye Deshi tunaweza Kujua ni nini

ahidi Sijui ni nini

Kibatala: Mkumbushe Mheshimiwa Jaji Ulisema Simu yako wewe Ulikabidhi sababu ya

Shahidi: Uchunguzi

Kibatala: ambapo Wewe Unaamini ilikuwa Mawasiliano ya wewe na nani

Shahidi: Mheshimiwa Mbowe

Kibatala: Tuache Simu, Turudi Ofisini Kwa DCI

Kibatala: Lengo la Kutaja Meza na Viti Kwa DCI Lengo ilikuwa Kuonyesha Kwamba Ulifika kwa DCI, Mwambie Mheshimiwa Jaji kama Ulimwambia kuwa Meza ni ya Rangi gani

Shahidi: Sikumwambia

Kibatala: Kwakuwa Lengo lako lilikuwa Kuonyesha Unaifahamu Ofisini ya DCI Je Ulisema Juu Palikuwa na nakshi gani

Shahidi: Sikusema

Kibatala: Kwakuwa Lengo lako lilikuwa Kuonyesha Unaifahamu Ofisini ya DCI Je Ulisema Juu ya Rangi ya Viti

Shahidi: Sikusema

Kibatala: Je Umwambia Jaji Details zingine Kuhusu ile Ofisi

Shahidi: Sikumwambia

Kibatala: Unafahamu Kama Ofisi Ya DCI Kuna Bendera ya Taifa

Shahidi: Nafahamu

Kibatala: Sasa Ulimwambia Detail hiyo Mheshimiwa Jaji

Shahidi: Sikumwambia

Kibatala: Unafahamu Kwamba Ofisini Kwa DCI kuwa Kuna Picha ambazo zinaonyesha Matukio Mbalimbali ya Utejelezaji Wa Majukumu Yake

Shahidi: Ndiyo nafahamu

Kibatala: Je Ulimwambia Mheshimiwa Jaji Kuhusu hilo

Shahidi: Sikumwambia

Kibatala: Je Ofisini Kwa DCI Kuna kalenda zaidi ya Tatu

Shahidi: Niliona Moja

Kibatala: Ulimwambia Kuhusu hiyo Kalenda Moja

Shahidi: Sikumwambia, na pembeni ya Kiti Chake Pia Kuna Kiti Kingine pia Sikumwambia Mheshimiwa Jaji

Mahakama Kichekoooooo

Kibatala: Asante kwa Taarifa

Kibatala: Ulimwambia Mheshimiwa Jaji Kuwa Ofisini Kuwa Kuna Beseni la Kunawa Mikono

Shahidi: Sikumwambia

Kibatala: Je Ulimwambia Mheshimiwa Jaji Kwamba Ofisini Kwa DCI palikuwa na Askari Wangapi Wa zamu

Shahidi: Walikuwa wawili Ila Sikumwambia

Kibatala: Kwamba Pale Reception Kuna Magari ya ya Viongozi Mazuri Mazuri, Ulimwambia Mheshimiwa Jaji

Shahidi: Hapana Siku Mwambia

Kibatala: Pale Nje Kuna Gari ya Rapid Response, Ulimwambia Mheshimiwa Jaji Kwamba Umeliona

Shahidi: Sikumwambia, Ila siku hiyo halikuwepo

Kibatala: Unakumbuka Juu ya somo letu la TRUTH SHALL SET YOU FREE

Shahidi: Ndiyo nalikumbuka

Kibatala: Je Ulimwambia Mheshimiwa Jaji Kwamba Kwanini ulishindwa Kuweka Mheshimiwa Mbowe Chini ya Ulinzi

Shahidi: Hapana Siku Mwambia

Kibatala: Ni nini cha Ziada Kilicho ongezeka kutoka Tarehe July 2020 Mpaka Leo hapa Mahakamani

Shahidi: Tuna Amani tuh Tanzania

Kibatala: Tarehe Katikati ya July 2020, Toka Kipindi Kile Mpaka Leo ni zaidi Ya Mwaka sasa, Je Kuna Kitu cha Ziada ambacho wewe Binafsi Moyoni Mwako ulipata Taarifa ya ziada

Wakili wa Serikali Robert KidandoMheshimiwa Jaji Swali hilo lime Ulizwa na kujibiwa Amani

Kibatala: Twende Eneo Lingine, Unasema Baada ya Kupata Taarifa hizo za Freeman Mbowe Kupanga Uhalifu, Bado Unasa Ukumbuki Tarehe

Kibatala: Swila anasa Kwamba alifungua Faili lake Tarehe 18 July 2020, Je Unaweza Kukumbuka Siku Uliyo enda Kwa DCI

Shahidi: Sikumbuki

Kibatala: sisi shida yetu ilikuwa ni Kutaka Kujua Kama Ulifika kwa DCI lini . Tujue kuwa Faili lilitungwa au lah

Shahidi: Siwezi Kukumbuka Tarehe.

Shahidi: Siwezi Kumsemea

Kibatala: Je Unakumbuka Tarehe Uliyokutana na Khalfani Bwire

Shahidi: Sikumbuki ila ilikuwa Mwenzi Wa Saba

Kibatala: Je Khalfani Bwire Uliwasiliana naye lini akiwa Tunduma

Shahidi: Sikumbuki ila Katikakati ya Mwezi Wa saba

Kibatala: Na Adam Kasekwa Uliwasiliana naye lini

Shahidi: Sikumbuki

Kibatala: Kwa Mujibu Wa Mohammed Ling’wenya katika Maelezo Yake anasema Kwamba Tarehe 24 July 2020 Mkakutana Morogoro

Shahidi: Ndiyo

Kibatala: Si Siku Sita Tangu Inspector Swila aseme alifungua Faili Tarehe 18

Shahidi: Sijui

Kibatala: Si Ipihe Hesabu Kutoka Tarehe 18 July 2020 Mpaka 24 July 2020 ni Siku ngapi

Shahidi: Sifahamu

Kibatala: Ni sahihi Kwamba Umeanza Kuwakusanya hawa baada ya Tarehe 20 July 2020

Shahidi: Ni sahihi

Kibatala: Nawewe ndiyo Ulikuwa Unawafahu hawa wala Siyo Mbowe

Shahidi: Ndiyo

Kibatala: Unaweza Ku tuisaidia Kuwa Kwanini Inspector Swila alifungua Faili la Kula Njama Tarehe 18 July 2020 Wakati Wakati Umekutana hawa Vijana Tarehe 20 Mpaka 24

Shahidi: Sijui sasa

Kibatala: Je wewe Ulikula Nja ma na Mbowe

Shahidi: Sijala Njama na Mbowe

Kibatala: Kwani Shahidi: Swala hili Kuna Mtu Zaidi Yako alienda Kutoa Taarifa Kwa DCI

Shahidi: Ni Mimi Peke Yangu ndiye niliye Mwambia DCI

Kibatala: Kwani wewe Ulimueleza Jaji Kwamba Mbowe alikuwa tayari anavijana Wengine

Shahidi: Sikumwambia Mheshimiwa Jaji

Kibatala: Baada ya Kutoka Kwa DCI ulienda Wapi

Shahidi: Morogoro

Kibatala: Ulimwambia Mheshimiwa Jaji Kwamba Ulitumia Usafiri gani Kurudi Morogoro

Shahidi: Sikumwambia

Kibatala: Je Baada ya Kutoka Kwa DCI Ulifika Nyumbani Kwako Usiku

Shahidi: Nilifika Jioni Jioni

Kibatala: Tuambie nani alikwepo Nyumbani Kwako ulimkuta Siku hiyo

Shahidi: Mke wangu

Kibatala: Ulimwambia Mheshimiwa Jaji Kwamba alikwepo Mtoto wako Careen Nyumbani kwako

Shahidi: alikwepo Mke wangu na Watoto

Kibatala: Inabdilisja Enheeeee

Kibatala: haya Ulitumia Basi gani Kurudi Morogoro

Shahidi: Abood bus Service

Kibatala: Je Unayo ticket

Shahidi: Hapana

Kibatalaimi na Malya: tunafahamu CASA Motel, na Kila Gari Inayoingia pale inasajiliwa

Shahidi: Sijui

Kibatala: Je Ulimwambia Mheshimiwa Jaji Kwamba Gari yako Tax ile Ilisajiliwa pale Mlangoni

Shahidi: Sikumwambia

Kibatala: Ulimwambia Mheshimiwa Jaji Kwamba CASA Motel ni Nyumba ya Chini au Ghorofa

Shahidi: Ni Ghorofa

Kibatala: Ndiyo hiyo si Taarifa Muhimu

Shahidi: Ndiyo

Kibatala: Ulimwambia Mheshimiwa Jaji sasa

Shahidi: Hapana Siku Mwambia

Kibatala: Ulimwambia Mheshimiwa Jaji Kwamba mlilaa sehemu gani, Nje au Ndani

Shahidi: Hapana Siku Mwambia

Kibatala: Ulimwambia Mheshimiwa Jaji Kwamba mlilaa kwenye Makochi ya namna gani

Shahidi: Sikumwambia

Kibatala: Ni UShahidi: Wako Kuwa Mbowe Mwenyekiti Wa Chadema Taifa, alikuwa CASA Motel Bila Dereva wala Mlinzi

Shahidi: Nilisema Kuwa Alitupokea Kijana Mmoja akasema Chairman Yule Pale

Kibatala: Sasa Ulimwambia Mheshimiwa Jaji

Shahidi: Hapana Siku Mwambia

Kibatala: Ulimwambia Mheshimiwa Jaji Kwamba aliyekuwa anaye wahudumia ni Mwanamke au Mwanamme

Shahidi: Hapa Sikumwambia

Kibatala: Je wewe Luteni Wa Jeshi Moja ya ulichojifunza ni Kufanya kazi Katika High Pressure, Si Ndiyo

Shahidi: Ndiyo

Kibatala: Moja ya Ulichojifunza ni Kuongeza umakini

Shahidi: Ndiyo.

Kibatala: Sasa Afisa wa Jeshi la Wananchi ambalo Miye Nimeamza Kulisoma tangu Wakati wa Willy Gamba , Luteni Unaitwa sehemu na Mtu ambaye umfahamu unaenda tuh

Shahidi: Nilikuwa Nasikia Kwenye Tv

Kibatala: Kwani Mtu akakupigia yeye ni Peter Kibatala: akakuita Goba Unakuja tuh

Shahidi: alikuwa a nawasiliana na Mimi Siku Nyingi

Kibatala: Ulipokuwa Pale Kwa Mheshimiwa Freeman Mbowe, Nani alilipa Chakula

Shahidi: Freeman Mbowe

Kibatala: Nani alilipa Tax Yako

Shahidi: Freeman Mbowe

Kibatala: kwa hiyo Pamoja na Kukwambia Taarifa za Ugaidi bado Ukapokea Fadhila zake

Shahidi: Siyo Taarifa za Ugaidi, Ni Uhalifu tuh

Kibatala: Kwa hiyo Baada ya Kukwambia Mipango hiyo ya Uhalifu, Bado alilipia Tax Yako

Shahidi: Ndiyo

Kibatala: Je Wewe Kama Luten wa Jeshi, Ulimwambia Mtu yoyote Kuhusu Swala hilo

Shahidi: Nilimwambia CEO wangu

Kibatala: Ulimwambia lini

Shahidi: Tarehe 05 August 2020

Kibatala: hayo Mambo Uliyo enda Kumwambia CEO wako, Yapo Katika Maelezo Yako Uliyo andika Kwa Inspector Swila

Shahidi: Hayapo Katika Maelezo yangu

Kibatala: hayo Unayosema Kwamba Ulienda Kuriport Kwa CEO wako, Ulimwambia Mheshimiwa Jaji

Shahidi: Sikumbuki Kama nilimwambia

Shahidi: No Sikumbuki nilitamka Kwenye situation gani.

Kibatala: Mlikaa na Mbowe pale CASA Motel akakwambia Maswala Kadhaa wa Kadhaa

Shahidi: CASA Motel Siyo Wakati wa hiyo Mipango, CASA Motel ni Wakati wa 2012

Kibatala: Baada ya Kujua Mbowe anamipango ya Kigaidi Uliendelea Kuwasiliana naye

Shahidi: Ndiyo nilikuwa naendelea Kuwasiliana naye ili Kumtafutia Watu wa Kwenda Kutekeleza Mipango yake

Kibatala: Ni kweli Kwamba Ulishiriki Mipango ya Kigaidi

Shahidi: Sikushiriki

Kibatala: Nani aliyemuwezesha Mbowe Kupata hao Vijana Kutekeleza Mipango ya Kigaidi

Shahidi: Ni Mimi

Kibatala: Shahidi: Wewe ni Afisa Wa Jeshi, Je Unafahamu Sheria yoyote Inayoruhusu wewe Kutafuta Vijana Kutekeleza Mipango ya Kigaidi

Shahidi: Sifahamu

Kibatala: Wewe si Ulikuwa Darfur

Shahidi: Ndiyo

Kibatala: Kilichokufanya Mpaka Muende Darfur ni Janja Weed na SPLM

Shahidi: Ndiyo

Kibatala: Je Ingewezekana Wewe Askari Umeenda Darfur Chini ya Chapter Seven Ukawa Unafanya Mawasiliano ya Simu na Kiongozi wa Janja Weed.?

Shahidi: Nisingeeleweka.

Kibatala: Ni Kwa Sababu Yule alikuwa Mhalifu wa Amani

Shahidi: Ndiyo alikuwa Mhalifu Wa Amani

Kibatala: lakini huku Tanzania ulikuwa Unawasiliana na Freeman Mbowe

Shahidi: Sahihi

Kibatala: Je Kule Darfur Ungemuita Kiongozi Wa Janja Weed Bro Ungeeleweka

Shahidi: Nisingeeleweka

Kibatala: Kwani Kule Darfur Si palikuwa na Askari Wengine Wa Chapter Six Wanaofanya Peace Keeping wapo armed na wanafanya Demining

Shahidi: Sijui

Kibatala: na Kwamba Wewe Kabla ya Tarehe 05 August 2020 Hakuna Uliyekuwa Umempa Taarifa Ndani ya Jeshi Kuwa Umepewa Kazi na DCI na Kingai

Shahidi: Sikumwambia Mtu

Kibatala: Je Ulimwambia Mheshimiwa Jaji Kwamba huyo Dogo Adam Kasekwa anajina lingine anaitwa Adamoo

Shahidi: Hapana

Kibatala: Je Ulimwambia Mheshimiwa Jaji Kwamba Mohammed Ling’wenya anajina Lingine anaitwa DOYI

Shahidi: Siku Mwambia

Kibatala: Unafahamu Moses Lijenje Yupo wapi

Shahidi: Nilimkabidhi Kwa Freeman Mbowe

Kibatala: Moses Lijenje Yupo Hai au amekufa

Shahidi: Nilimkabidhi Freeman Mbowe

Kibatala: ulimkabidhi Wapi

Shahidi: Nilimpigia Simu akasema Kwamba ameshafika

Kibatala: Nikuonyesha Meseji zako Uyanionyesha sehemu ambayo inameseji Kuwa Mbowe anasema Umemkabidhi

Shahidi: Hakuna

Alinipigia Simu

Kibatala: Jana Ulionyeshwa Sauti zako za Kukabidhiama Kwa Mbowe Moses Lijenje

Shahidi: Hapana

Kibatala: Wewe Mpaka Unaonana na Moses Lijenje, alikuwa anafahamu Maswala ya Ugaidi

Shahidi: Hapana, Maswala ya Ulinzi

Kibatala: Wewe Ulionana Lini tena na Moses Lijenje Baada ya Tarehe 21 August 2020

Shahidi: Sikuonana naye tena

Kibatala: Walicho ongea Na Mbowe Huko Hai au Popote unakifahamu

Shahidi: Sikifahamu

Kibatala: Unaweza Kuonyesha Chochote Kile au Sauti Ukionyeshwa kwa Mheshimiwa Jaji Kwamba Freeman Mbowe alimwambia Lijenje Wakafanye Ugaidi

Shahidi: Sijawahi Kusiki.

Kibatala: Ni sahihi Kwamba Hakuna Pesa iliyotoka Moja Kwa Moja kutoka kwa Mbowe Kwenda Kwa Moses Lijenje

Shahidi: Hakuna

Kibatala: badala yake Shahidi: Unasema Mbowe alituma Laki Tano ambayo Uliingia Kwenye Simu yako, alafu wewe Ukatoa ya kwako Mfukoni

Shahidi: Ni sahihi

Kibatala: Unafahamu Jinsi Fedha inavyotakatishwa

Shahidi: Sifahamu

Kibatala: Ile Fedha ulimpa Moses Lijenje, ilikuwa ya Kwako Mfukoni au ulitoa Kwenye Simu Ukampa

Shahidi: Nilitoa Pesa Mfukoni Kwangu

Kibatala: Nakuuliza tena, Kuna Pesa unazo Mfukoni Mwako, na Mbowe katima. Pesa za Kwenye Simu

Je pesa uliyompa Moses Lijenje, ulitoa Kwa Wakala Ukampa au Ulitoa za Kwako Mfukoni

Shahidi: Nilitoa Laki 3 kwenye Mhamala, Nika Changanya na za Kwangu Mfukoni

Kibatala: Unasema Kwamba Moses Lijenje Ulikutana naye Morogoro Tarehe ngapi

Shahidi: Tarehe 21 August 2020

Kibatala: na hiyo Fedha Ulipokea Lini Kwenye Mhamala

Shahidi: Tarehe 20 August 2020

Kibatala: Na hiyo 500,000 ulipokea Kutoka Mbowe Moja kwa Moja.?

Shahidi: Hapana Kwa Wakala

Kibatala: Wewe Ulitumiwa TSh ngapi

Shahidi: 500,000

Kibatala: Kwa Wakala Ulitoa TSh Ngapi

Shahidi: TSh 300,000, na Mfukoni nilikuwa na 199,000

Kibatala: Lijenje na Khalfani Bwire Uliwapa TSh ngapi

Shahidi: Niliwapa hiyo Tsh 300,000, Wagawane

Kibatala: Ile Laki 499,000 sasa Ilitoka Wapi

Shahidi: Siwezi Kutoa Pesa yote, Nilikata TSh 1000 la. Makato

Kibatala: Kwa hiyo Wewe Ulimkata Mbowe TSh 1000 katika ile TSh 500,000

Shahidi: Ndiyo Mbowe alikatwa Juu Kwa Juu, TSh 1000 nilijikata Mimi

Kibatala: Ulijikata wewe Kwa Sababu ipi

Shahidi: Ilienda Katika Deposit Ya Kampuni.

Kibatala: Kwa hiyo Ile TSh 1000 Ujui Imeenda Wapi

Jaji Kuna sehemu Mnashindwa Kuelewana, Wewe Ulitumiwa TSh 500,000, Ukaenda Kutoa 300,000, na Mfukoni Kwako Ukatoa 199,000

Anzieni hapo

Kibatala: Swali langu hiyo 499,000 Imetoka Wapi, ambayo Ulimwambia Malya: Ni Ip

Shahidi: Na assume Kuwa ile Laki Tano haiwezi Kutoka Yote, Laki 3 nilitoa Kwa sababu Nilikuwa na Balance Yangu

Kibatala: Kwakuwa Mfukoni Kwako Ulikuwa na Laki 2 ni nani aliye Kata TSh 1000, Ni wewe au Wakala

Shahidi: Sahihi

Kibatala: Ile Laki 2 Iliyobakia katika Simu yako Ulitoa lini.?

Shahidi: Ni Wakala

Kibatala: Mheshimiwa Jaji Naomba Nipewe Kielelezo namba 20

Shahidi: Nilitoa Walipo Kuja…… Sikumbuki

Wakili Tafuta Ile Laki Mbili ambayo ikibakia katika Su yako Ulitoa Tarehe Ngapi, Ukipata we tuambie

Shahidi ANATATUTA (Yupo Dirishani, Jua lina Mpiga Kwa Mgongoni, Shahidi: Natoka Jasho Sana).

Wakili wa Serikali Abdallah Chavula Mheshimiwa Jaji Shahidi: ile Nyaraka siyo yake, na Shahidi: hajajengewa uwezo Wa Kusoma Ile Nyaraka, Kuokoa Muda, Shahidi: aelekezwe Maeneo hayo wakil

Kibatala: Sawa Fair enough, Wacha Twende Kwa namna Nyingine

Kibatala: Shahidi Kwani Wewe Unakumbuka ulitoa lini hiyo pesa

Kibatala: anamfuata Shahidi, Na Kumueleza Kwenye Nyaraka ya Airtel, Ili Kuokoa muda

Shahidi anatuta tena

Shahidi: Kuna Laki Mbili na Nusu

Kibatala: Miye Nimekuuliza Laki Mbili

Shahidi: Laki 2 Hakuna

Kibatala: Baadae Unasema Freeman alikutumia Laki 2 na Tisini na Tisa Je Ilikuwa Tarehe Ngapi

Shahidi: Ilikuwa Tarehe 22 july 2020

Kibatala: Namba Iliyo Ingiza ni 0780900244

Hiyo namba ya nani

Shahidi: Sijui ya nani

Kibatala: Siyo namba ya Mbowe

Shahidi: Siyo Namba ya Mbowe

Kibatala: pesa Uliyompatia Ling’wenya na Adamoo ulitoa Mfukoni na yenyewe au Ulitoa kwa Wakala

Shahidi: Nilitoa Kwa Wakala

Kibatala: Ulitoa TSh Ngapi

Shahidi: TSh 170, 000

Kibatala: Tafuta Tarehe 24 July 2020 Mahala ambapo unasa Ulitoa TSh 170,000

Shahidi: Haipo Katika Kielelezo Namba 20

Kibatala: lakini wewe Unasisitiza ulitoa Kwa Wakala

Shahidi: Ndiyo Kwa sababu nilitoa Kwa Serial Namba

Kibatala: Lakini Haipo Katika Kielelezo namba 20.

Kibatala: Hiyo namba hapo 0782 237913 ni Namba ya nani

Shahidi: Siwezi Kukumbuka Mpaka niangalie Kwenye Note Book

Kibatala: Hiyo Notebook ipo wapi

Shahidi: Hotelini Kwangu

Kibatala: Hotel Yako Inaitwa Je Vile

Jaji Kuna ulazima Wa Kutaja Hotel aliyofikia.

Kibatala: Ndiyo Kwasababu Tangu Mwanzo Case Theory Yetu ni Kwamba Hatokei Nyumbani Wala Hotelini sababu amewekwa sehemu

jajiNdiyo Nauliza Kuna Ulazima Wa Kutaja Hotel ambayo anatoka Kuja Kutoa Ushahidi

Kibatala: Sawa Mheshimiwa Jaji acha niendelee

Shahidi: Ndiyo

Kibatala: Huo Mhamala unafahamu

Shahidi: Ndiyo lakini Sikumbuki

Kibatala: Hiyo namba Iliyotuma ni Ya Kwako

Shahidi: Ndiyo

Kibatala: Namba Unaye Mtumia Unaifahamu

Shahidi: Sifaham.

Kibatala: DCI alikwambia Umwambie Kingai Kila Kitu au Vingine Umfiche

Shahidi: Ni Mwambie Vyote

Kibatala: Taarifa Muhimu Ka hizo kwanini Hukumwambia Kingai

Shahidi: Taarifa za Muhimu Nilimwambia Kingai

Kibatala: Tarehe 11 August 2020 Ulikutana na Inspector Swila

Shahidi: Sikumwambia

Kibatala: Jeshini Kule Kuna Mtu yoyote Ulimwambia Kuwa Bwire ame Confess

Shahidi: Sikumwambia Mtu , Sababu siyo Mahala Sahihi.

Kibatala: Kwa hiyo wewe ulimruhusu Bwire Waendelee na Mipango yao, Mipango ipi

Shahidi: Waendelee na Mipango yao ya Kumdhuru Sabaya, Kama Wakiweza

Kibatala: kwa hiyo Baada ya Kumdhuru Sabaya Walitakiwa Kuriport Kwako tena

Shahidi: Ndiyo

Kibatala: Je Kingai alikwambia Kuwa Bwire amekamatwa

Shahidi: Hakuniambia

Kibatala: Je Maelezo yako si Uliandika Tarehe 12 August 2020

Shahidi: Ndiyo

Kibatala: Katika Maelezo Yako Uliandika Kwamba Bwire Ali Confess

Kibatala: Mimi bado nipo Tarehe 11 na Tarehe 12 August 2020

Kibatala: Wakili alikwambia Wakatinakabidhiana Simu mlisainiana Makaratasi Ma ngapi

Shahidi: Makaratasi Manne

Kibatala: Jana Ulitoa Makaratasi Mangapi.

Shahidi: Nilitoa Karatasi Moja

Kibatala: Ulitoa Ufafanuzi Kuhusu Makaratasi Matatu

Shahidi: Siku toa kwa sababu Sikupewa

Kibatala: hukupewa na nani

Shahidi: Na Wakili ambaye alikuwa akiniongoza

Kibatala: Unakumbuka ulikuwa Unafanya Mawasiliano na Simu ipi Mara kwa Mara kwa Mara

Shahidi: Kwa Samsung ya Torch

Kibatala: Hiyo Samsung ya Torch ndiyo Sumsumg Duo

Shahidi: Ndiyo 

Kibatala: Kuna Mahala Popote ambapo Umefafanua kwa Jaji Kuwa hiyo Samsung Duo

Shahidi: Hapana

Kibatala: Mara ya Mwisho Kufanya Mawasiliano na Kingai Ulifanya Mara ya Mwisho ni lini

Shahidi: 10 August 2020

Kibatala: Nikukuombea Upewe Samsung DUO utaweza Kuonyesha Call Record zako na Kingai

Shahidi: Ndiyo

Kibatala: Namba ya Kingai Unaifahamu

Shahidi: Mpaka Nisome Kwenye Notebook Yangu

Kibatala: Mbayo Ipo wapi

Shahidi: Ipo Hotelini

Kibatala: Sawa Nitakuombea Mahakamani Ruhusa Ya Kufuata Notebook yako

Kibatala: Je Unafahamu hata Basic za Intelligence

Shahidi: Ndiyo nafahamu.

Kibatala: Je Wakati Mbowe amajiachia Kuongea na wewe Kwenye simu Kuhusu Mipango hiyo ya Ugaidi

Kibatala: Na Ni simu ipi pia itaonyesha Call Record za Simu Ya Bwire Tarehe 04 August 2020

Shahidi: Ni hiyo Simu ya Samsung Duo

Kibatala: Hivi Ile simu Yako ya Jana Ulikabidhi Simu Lini

Shahidi: Tarehe 11 August 2020

Kibatala: Ulimfafanulia Jaji Kwamba Simu yako inauwezo Wa Kukaa na Chaji zaidi Ya Mwaka Mmoja na Nusu

Shahidi: Hapana

Kibatala: Simu Yako Ilikuwa na Kiasi gani Cha charge Wakati Unamkabidhi

Shahidi: Ilikuwa Chini Kidogo ya Nusu

Kibatala: Ulimfafanulia Jaji Kwanini Simu hii ni tofauti na zile Tatu Kwamba Ina Kaa Na Chaji Mwaka Mmoja na Nusu

Shahidi: Siku fafanua

Kibatala: Ulisema Kwamba Pia Mbowe alikuomba Makampuni yanayo Install Mawasiliano Ya Jeshi

Shahidi: Ndiyo

Kibatala: Hilo Ombi ni kwamba wewe Ulilichukuliaje, La Kawaida au

Shahidi: Niliona la kawaida

Kibatala: Hawa ni Watendaji Wa Chini

Shahidi: Ndiyo

Kibatala: na wewe ni Afisa wa Juu

Shahidi: Ndiyo 

Kibatala: Ni sahihi Kwa wewe Afisa Kuwa na Mahusiano na Mawasiliano na Watu Waliofukuzwa Jeshi Kwa Utovu Wa Nidhamu

Shahidi: Kuna Maisha Nje ya Jeshi, Siyo Hawa tuh wapo wengine Wengi tunaishi nao Mtaani

Kibatala: Kwa Kanuni za Kijeshi Inaruhusiwa Kuwa na Mahusiano na Junior officer kama haya ya kupeana pesa na Kumtafutiama kazi

Shahidi: Ukiwa Uraiani inaruhusiwa

Kibatala: Hawa Ka Wangekuwa Watu wabaya au Majambazi si usingekiwa na Mahusiano au Mawasiliano nao

Shahidi: Hawa siyo Majambazi, Ni watu Wazuri .

Kibatala: Baada ya Kubadilishana Pesa na Majunior Wako wewe Ka Prudent Officer, Ulikuwa na Jukumu la Kijeshi Kuriport hilo Jambo

Shahidi: Siku Riport Ila Kuna sehemu lilikuwa Lina fanyiwa Uchunguzi

Kibatala: Nilisikia Kuwa umefahamiana na Mbowe tangu 2008

Shahidi: Ni sahihi

Kibatala: Je Ulimwambia Mheshimiwa Jaji Kwamba wewe Ulishawahi Kutumiwa Pesa na Mbowe

Shahidi: Sikumwambia

Kibatala: Je ilikuwa Muhimu Kwa Jaji Kujua Kama Alikutumia au Haku kutumia

Shahidi: Haikuwa Muhimu

Kibatala: Hii Namba ya 0754612525 ni Namba ya nani

Shahidi: Ya kwangu

Kibatala: Walikwambia Upande wa Mashitaka Kwamba Riport inaonyesha Namba hii Katika Taarifa Ya Chunguzi

Shahidi: Sikuambiwa

Kibatala: Unasema Bwire Unamfahamu Vizuri, Je unajua Kuwa Bwire alishawahi Kuwa Body Guard Wa Kiongozi Fulani Jeshini

Shahidi: Sifahamu

Kibatala: unasema Ulionana na. MBOWE sehemu Nyingine zaidi ya CASA Motel, Je Ulimwambia Mheshimiwa Jaji hiyo sehemu Nyingine inaitwaje

Shahidi: Nilimwambia ni Mikocheni

Kibatala: Ni kweli Ulikuwa Ujui Identity ya Viongozi waliokuwa wanaenda Kuzuiwa

Shahidi: Nilikuwa siwajui

Kibatala: Hata Sabaya ulikuwa Umjui.

Shahidi: Nilikuwa simjui

Kibatala: Shahidi: CDF ni Kiongozi Wa Kitaifa au Siyo Kiongozi Wa Kitaifa

Shahidi: Kiongozi wa Kitaifa

Kibatala: lakini wewe Hukuona sababu Ya Kuriport Jeshini

Kibatala: Chief of staff Wa Jeshi ni Kiongozi Wa Kitaifa au siyo Kiongozi Wa Kitaifa

Shahidi: Ni Kiongozi Wa Kitaifa

Kibatala: Waziri Wa Ulinzi ni Kiongozi wa Kitaifa au Siyo

Shahidi: Ni Kiongozi Wa Kitaifa

Kibatala: Na Swala lake linaweza Kushughulikiwa M Jeshi.?

Shahidi: Ndiyo Linaweza Kushughulikiwa na Jeshi

Kibatala: Mheshimiwa Jaji naomba Kuhairisha Cross Examination Sababu Ya amuda Nitaendelea Jumatatu Kama Wenzangu Wataridhia

Wakili wa Serikali Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji hatuna Pingamizi

Jaji: Kufuatia Muda na Ombi la Wakili Kiongozi Wa Jopo LA Utetezi, Nahairisha Mpaka Jumatatu Tarehe 31 January ambapo Shahidi: Namba 12 ataendelea Kuwa Kizimbani Kutoa Ushahidi

Washitakiwa Wataendelea Kuwa Rumande chini ya Magereza Mpaka Jumatatu Saa 3 Asubuhi

Jaji anatoka

Like