Kesi ya Mbowe: Jaji akubali pingamizi la mawakili wa Jamhuri dhidi ya kielelezo cha shahidi

Kama ilivyowasilishwa na ripota raia BJ leo tarehe 29 Novemba 2021.

Jaji ameingia Mahakamani
Kesi namba 16 ya Mwaka 2021 Khalfani Bwire, Adam Kasekwa, Mohammed Ling’wenya na Freeman Mbowe inatajwa hapa Leo 29 November 2021

WAKALI WA SERIKALI Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji Ikupendeze nipo na,

Pius Hilla
Abdallah Chavula
Jenitreza Kitali
Nassoro Katuga
Esther Martin
Tulimanywa Majige

WAKALI PETER KIBATALA: Mheshimiwa Jaji Ikupendeza naomba Kuwatambulisha,

Nashon Nkungu
John Malya
Fredrick Kihwelo
Dickson Matata
Seleman Matauka
Hadija Aron

JAJI: i Washitakiwa namba 1,2,3 na 4..?

Wote wanaitika Wapo Mahakamani

WAKALI WA SERIKALI Robert Kidando:
Mheshimiwa Jaji Shauri limekuja kwa ajili ya Uamuzi Mdogo na tupo tayari Kusikiliza

WAKALI PETER KIBATALA: Nasisi pia kwa Ruhusa yako tupo tayari Kupokea Uamuzi Mdogo pamoja na Kuendelea

JAJI: anaandika Kidogo

Mahakama ipo Kimya Kidogo

JAJI: Siku ya Ijumaa tarehe 26 Mahakama ilihairisha Shauri Kwa ajili ya Kusoma Maamuzi Siku ya leo
Maamuzi ni Mrefu lakini nitasema Kwa Kifupi
Nitaskip Kusoma Hoja za a pande zote mbili lakini naomba mjue nimezingatia
Mtakumbuka Shahidi Namba Moja wa Utetezi wakati anatoa Ushahidi Wake
Alieleza Mahakama Kwamba alitaka Kutoa Kielelezo

Na Upande wa Mashitaka ulipiga na Sababu za Kupinga ilikuwa ni Shahidi Competence yake, Hakuweza Kuelekea Mnyororo Wa Kielelezo na hakuweza Kuelekea Relevance ya Kielelezo Chenyewe

Kwa Upande wa Mashitaka no Abdallah Chavula na Pius Hilla ndiyo wwalitoa Hoja kwa niaba na Mawakili Wote
Katika Kueleza Hoja Wali saiti Prison General Order
Na Sheria Mbalimbali pamoja n Sheria akesi Kwamba Sababu hizo Waliomba Mahakama Ikatae

Mawakili wa washitakiwa namba Moja, Mbili na Namba Nne walieleza Kuunga Mkono Kupokelewa kwa Kielelezo
Mr. Dickson Matata Na Fredrick Kihwelo na wao wwalitoa Hoja zao
Na baada ya Kumaliza Upande wa Mashitaka Walipata nafasi tena ya Kujibu Hoja za Utetezi
Naomba nisirejee Hoja Hizo lakini nimezizingatia

Mwisho katika Kuhitimisha walisema Kwamba Hoja walizo toa Hazikujibiwa na Kwamba Upande wa Utetezi Walishindwa Kuzitengua

Hizo Ndiyo Hoja za a pande zote Mbili
Eneo la Kwanza Lilikuwa Competence
Pili ilikuwa Mnyororo Wa a Kutunza Kielelezo, Tatu ilikuwa ni Relevance ya Kielelezo na Mwisho Upande wa Utetezi na Shahidi Kushindwa Kutengeneza Misingi

Katika Eneo hilo Mahakama na Mahakama Ya Juu Ilishatoa Maelekezo Nyingi
Ambapo ni Material, Relevance, Competence na Shahidi Kuelewa Kielelezo hicho
Na Kwamba Katika Kupokea Kielelezo Mambo Matatu yanapaswa Kuzingatiwa
Kesi za SHARIF ATHUMAN Vs DPP na CHARLES ABEL GEZILAHABO nimezipitia

Katika Kesi Ya CHARLES GAZILABO wameelezw Kwamba Kuna Kanuni ya Kupima Kielelezo ambayo ni Authentication
Unique*
Kwamba Katika Shahidi Kupima Kielelezo Chake anapaswa akupimwa kama Kielelezo akina Features ambazo ni Umique
Kama ambavyo Nimeeleza Kwenye Sheria Kesi hizo,
Kwamba Katika DPP Vs SHARIF MOHAMMED ATHUMAN Imeelezwa Kwamba Kielelezo Kiwe Kipo vilevile tangu Siku ya Kwanza

Maeneo haya Mawali ni Wazi yatajwe Wakati anaitambua Kielelezo na Wakati anakitambulisha, Na anapokuwa anatoa Kielelezo Lazima akionyeshe
Shahidi ambaye yupo Mahakamani aliweza Kuvitambua Vitu kadhaa Vitu hivyo ni Majina, Mihuri ya Mahakama Kuu Divisheni, Majina na Sahihi
Na Kwamba Kwa Upande Wa Utetezi wanasema Kwambaliweza Kutambua Kielelezo

Kwa Upande wa Mashitaka Wanasema Kwamba Hawa amino Kwamba alitaja Katika Vitu husika
Mahakama Ikaombwa a Irejee katika Maamuzi yake Kwamba Kushindwa Kutaja Kumbukumbu namba, Siyo Kigezo Pekee
Kwamba Kwa sababu Hiyo Basi Wa naomba Iamriwe Kwamba Shahidi ameshindwa Ku authenticate Kielelezo
Na. Mimi nakubaliana na Kwamba Kumbukumbu Nmab siyo Unique Feature pekeee

Kama ambavyo Kielelezo Kimelezwa Kwamba Barua ina sahihi ya wakili
Ni sahihi Kwamba Saini ya Wakili inaweza Kuandikwa Kwa Barua Nyingine, Jina linaweza Kuwa katika Barua Nyingine lakini Mahakama I aina Ni Vigumu Kukuta Barua Ina Vitu Vyote Vitatu
Kwa Maana hiyo basi Mahakama Inaona kwamba Shahidi ameweza Ku authenticate Kielelezo

Sasa Mahakama ainahamia kwenye Mnyororo Wa Kielelezo, Katika Eneo hili Mahakama imeelezwa Kwamba Chain of Custody Imeshindikana Kuthibitishwa Na Kwamba Upande Wa Mashitaka umeeleza Kwamba ili Uweze Kutoa Nyaraka ya Mshitakiwa lazima Kwamba Barua hiyo iwe Imehusishwa na Prison Officer Kwa Kuzingatia order 685 ya Prison General Order

Na Kwamba Kwa Sababu Afisa wa Magereza hajausishwa basi Kielelezo kimeshindwa kuonyesha Chain of Custody
Kwa Upande wa Utetezi walisema Kwamba Shahidi aliweza Kuonyeshwa Barua hiyo Wakati wa am amdaa Shahidi huyo

Po wakili wa Utetezi alisema Kwamba Kwa Mujibu wa Katiba, Wakili anayo Haki ya Kuwasiliana na Kumuonyesha Shahidi Barua
Hivyo basi Pande zote Mbili wanakubaliana Kwamba Mtu yoyote ambaye yupo Chini ya Magereza awezi Kufikishiwa Nyaraka Bila Kupitia Kwa Afisa wa Magefeza
Pia Kwamba Barua hiyo haijawahi Kuingia Magareza, Shahidi alionyeshwa Barua hiyo Mahakamani
Kwa namna hiyo basi Wakili napaswa awasiliane na Afisa Wa Magereza,
Isipokuwa tuh shahidi anapokuwa Kwenye Kizimba, Akiwa Mahakamami Wakili anaruhusiwa, KwaMaana hiyo basi ili wakili apate Ruhusa ya Kuwasiliana na Shahidi

Na Kwa namna hiyo ni wazi Kwamba wakili lazima akutane na Shahidi Wake wakati wa Kumauandaa kabla ya Kutoa Ushahidi Wake
Lakini kwa Bahati Mbaya Sana Maelezo haya yametolewa na Wakili na Siyo Shahidi,
Shahidi Hakusema ni wakati gani alipata nafasi ya Kuonana na Wakili
Shahidi amekuwa Mchumi sana Wa Meneno ameshindwa Kueleza Mahakama Alikutana na Kielelezo Wakati gani na Kuna nyesha Kwamba ana Uelewa na Kielelezo
Na hii imerejewa Katika Sheria Kesi ya CHARLES GAZILABO I’m eleza Kwamba Jambo Kubwa la Kufanya Shahidi Aweze Kutoa Kielelezo Mahakamani lazima Onyeshe Kwanza a akielezwa Kielelezo hicho anachotaka Kutoa Mahakamami
Pia imeelezwa katika kesi ya KHAMIS ADAM Vs JAMHURI
Katika Sheria Kesi hiyo Tajwa hapo Juu no Kwamba Shahidi aonyeshe kuwa a akielezwa Kielelezo hicho
Katika Hali hiyo nakubalina na Upande wa Jamhuri Kwamba Shahidi alipaswa aonyeshe Kwamba anaufahamu
Shahidi Kuona Pekee Ushahidi aitoshi Kuonyesha Kwamba alikuwa na Umiliki wa Kielelezo hichi
Ajaieleza Kwamba aliifanyia nini
Katika Mazingira haya basi Mahakama Inashindwa Kuaminika Kwamba Alikiona Kielelezo hicho
Na pia Ni kweli Kwamba Shahidi aliwaelekeza Barua hiyo Kuandikwa Kwa Kamanda wa Polisi Wa Mkoa wa Kipolisi Ilala, na Nakala kwa Shahidi na Naibu Msajili
Upande wa Mashitaka unasema Kwamba Pamoja na Shahidi Kupewa Nakala ya Barua hiyo inashangaza Kwamba Barua anayotaka Kutoa siyo Nakala yake
Wanajoukiza Je Barua hii ni Ile ambayo Shahidi alitaka Naibu Msajili Apokee au alitakiwa Apewe
Ni kweli Nyaraka iliyoombwa Kutolewa Hapa Mahakamani, Ni Barua iliyokuwa inatakiwa kwenda Kwa Kamanda wa Polisi Wa Mkoa wa Kipolisi
Kwenye Barua hiyo Shahidi alisema anataka Stationery Diary, Lakini Mahakama Inaona kwamba siyo Kila Mtu anaweza Kuwa Conversant
Kwa Maana hiyo basi Mahakama Ilisha Sema Kwamba Pale Mtu anapokuwa ametajwa kwenye Nakala, Basi Mahakama ainachukulia Kwamba Shahidi ana Nakala hiyo

Na huo Ndiyo Msimamo wa Mahakama
Lakini pia Kuna Vigezo Vya Kufikia hapo Kwamba Lazima Barua hiyo Ionyeshe Kwamba amepewa Nakala hiyo
Shahidi Kabla ajaonyeshwa Barua alisema Kwamba Barua ina Muhuri Wa Naibu Msajili, Ni Wazi Kwamba Barua hiyo siyo Nakala yake Bali ya Naibu Msajili
Kwa Maana hiyo haijasemwa Kwamba ni nani Aliyempelekea Naibu Msajili Barua
Ni wazi Kwa Namna Barua hii Ilivyo siyo Nakala yake Yeye, hayo yangeweza Kuthibitika Kwamba ni Barua Yake ambayo alimserve Naibu Msajili
Kama Nilivyo eleza Kwamba Shahidi Alikuwa Mchumi wa Maneno
Mahakama inajiuliza Je Nakala hii Ndiyo aliyompelekewa RPC ilala
Kwa namna hiyo Shahidi ameshindwa Kuonyesha Chain of Custody
Kwa Sababu hiyo Basi Mahakama inakataza Kupokea Kielelezo hicho, NATOA AMRI

Kwa sababu ya Kushindwa Kueleza Kwamba Ilikuwa je Kwamba Kielelezo alishindwa Kukitoa na akatoa Barua Iliyogongwa na Naibu Msajili

Mawakili wa pande zote mbili Wanasimama Kukubaliana na Jaji

WAKALI WA SERIKALI Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji Wenzetu Walikuwa wa naendelea na Examination inchief

WAKALI Fredrick Kihwelo: Mheshimiwa Jaji na sisi tupo tayari Kuendelea

JAJI: Shahidi Nakukumbusha Kwamba Upo Chini ya Kiapo?

WAKALI Dickson Matata: Shahidi Kuna Ushahidi Wa DC Msemwa Kwamba aliwapokea wewe na Mwenzao 07 August 2020 , Je Una Nini cha Kusema?

SHAHIDI: i Sijawahi Kufika Central

DICKSON MATATA: DC Msemwa alionyesha Detention Regester Kwamba aliwajaza Siku ya 07 August

SHAHIDI: Mimi Sijawahi Kufika Central ndiyo Maana Niliandika Barua Kwenda Kwa RPC Kuomba Taarifa Kuona Kama tarehe 07,08 na 09 hiyo alikuwa Central

DICKSON MATATA: Sasa Msemwa alionyesha Mahakama Detention Register, Je, Unalipi la Kuiambia Mahakama

SHAHIDI: Sijui yeye alitoa wapi hiyo Detention Register

DICKSON MATATA: huko Ulipokuwa Tazara Kuna kilo Kingine Cha Kujua Kama kweli ulikuwa Tazara

SHAHIDI: Kwenye Mahabusu Kukikuwa na Mahabusu wengi Kama nilivyokuwa naongea nao wakanieleza kuwa pale ni Tazara

SHAHIDI: Ni sahihi

NASHON NKUNGU: Nilisikia Kwamba Wakati Wote ulikuwa unachukuliwa Video
Nashon Nkungu Unaweza Kukumbuka ni nani alikuchukua Video?

SHAHIDI: Nili chukuliwa Video Kuanzia Moshi, Tazara, Mbweni

NASHON NKUNGU: Nani alikuchukua Video Tazara?

SHAHIDI: Simfahamu kwa sababu alikuwa mgeni Kwangu

NASHON NKUNGU: sehemu gani Nyingine ulichukuliwa video?

SHAHIDI: Nili chukuliwa Video Moshi wakati napigwa na Tazara Wa Kati wa Mahojiano na Mbweni pia wakati nahojiwa

NASHON NKUNGU: Je aliyekuwa
anakuchukua Video alikuwa anafahamiana nao au ni Mtu binafsi?

SHAHIDI: alikuwa anafahamiana nao

NASHON NKUNGU: Je unafahamu Kwamba Video ni sehemu ya Kuchukua Ushahidi

SHAHIDI: Nimefahamu baada ya Kufika Hapa Kwenye kesi

NASHON NKUNGU: Je Unafahamu ni Takwa la Kisheria Kufikishiwa Mahakamani Baada ya Kukamatwa

SHAHIDI: Ndiyo nafahamu

NASHON NKUNGU: Je Unafahamu Kwamba Kuku fikisha Mahakamani ni Takwa la Kisheria ili Kuzuia Kuteswa na Kadhalika

SHAHIDI: Ndiyo nafahamu

NASHON NKUNGU: Je Unafahamu Kwamba DPP mara Kadhaa ametoa Muongozo Kwamba Mtu asifikishwe Mahakamani Mpak Upelelezi Ukamilike?

SHAHIDI: Ndiyo nafahamu

NASHON NKUNGU: We Umekamatwa lini..?

SHAHIDI: Tarehe 05 August 2020

NASHON NKUNGU: Umefikishwa Mahakamani Tarehe Ngapi?

SHAHIDI: Tarehe 19 August 2020

NASHON NKUNGU: Zilikuwa zimepita Siku Ngapi Mpaka Unafikishwa Mahakamani?

SHAHIDI: Siku 14

NASHON NKUNGU: Ni hayo tu Mheshimiwa Jaji.

JOHN MALYA: Umesikia Uamuzi Wa Mahakama Kwamba wewe ni Mchumi wa Maneno?
Nataka utoa Maneno Mengi usibaniebanie
Je Ulipo fika Moshi Kitu gani Kilifanyika Cha Kwanza?

SHAHIDI: Nilipelekwa kwenye Chumba Cha Mateso

JOHN MALYA: Kitu gani Kilikufanya Ujue Upo Kwenye mateso?

SHAHIDI: Nilikutana na Bomba , Palikuwa na Rungu la Chuma, kamba iliyokwepo Kunifungia Miguu

JOHN MALYA: Wakati huo Mikono Yako ipo kwenye Hali gani?

SHAHIDI: Wakati huo Mikono nimefungwa Pingu
Nikafunga na Miguu na Kamba na Mikono nimefungwa Kamba, Mikono yangu ikaivaa Miguu na Lile Bomba Likapitishwa Katikati

JOHN MALYA: Katikati gani?

SHAHIDI: Kati ya Mikono na Miguu, Bomba Walikaliinua Nikabinuka Kichwa Chini Miguu Juu

JOHN MALYA: ukawa kwenye Hali gani?

SHAHIDI: Nikawa Kama popo nimening’inia

JOHN MALYA: Mambo haya ya Kufanywa hivyo alikuwa anafanya nani?

SHAHIDI: Upande Mmoja amekaa Jumanne na Upande Mwingine amekaa Goodluck, Mahita ndiye aliye chukua Rungu na Kuanza Kunipiga kwenye Nyayo

JOHN MALYA: Je Jumanne, Goodluck na Mahita Uliwahi Kuwaona Hapa Mahakamani?

SHAHIDI: Ndiyo Niliwaona hapa Mahakamani

JOHN MALYA: Wakija Kufanya nini

SHAHIDI: Kutoa ushahidi

JOHN MALYA: Wakati huo Kingai Yupo wapi

SHAHIDI: alikuwa pembeni na mwingine anachukua vide

JOHN MALYA: Tukio Lilichukua Muda gani?

SHAHIDI: Kama Nusu Saa

JOHN MALYA: Wakati hayo ya natokea walikuwa Wa nakuuliza nini?

JOHN MALYA: Ulikuwa Ukiwa Jibu nini

SHAHIDI: Walikuwa wananiuliza Nimefata nini Moshi

SHAHIDI: Kwamba Nimekuja Kufanya VIP protection Kwa Mheshimiwa Mbowe

JOHN MALYA: Hali ya Mazungumzo ilikuwa je, alikuwa anakuhoji Mtu Mmoja Mmoja au.?

SHAHIDI: Walikuwa Wananihoji wote, Wakiniuliza Mmoja anasema siyo hivyo

JOHN MALYA: Kitu gani Kilikuokoa na Mateso

SHAHIDI: Mmoja alikuwa ansema acheni kumpiga.

JOHN MALYA: Unamfahamu?

SHAHIDI: Hapana

JOHN MALYA: hebu tuchoree Chumba cha Mateso hapa Mahakamani, Kina kuwa Mbele au Nyuma ya Kituo?

SHAHIDI: Kipo sehemu Ya Nyuma ya Kituo

JOHN MALYA: Kwa hiyo ni Ndani ya eneo La Kituo?

SHAHIDI: Ndiyo eneo lile lile

JOHN MALYA: Kitu gani Kilifuata..?

SHAHIDI: Walinifungua Kamba wakanitoa Kwenye Bomba wakanirusha Mahabusu

JOHN MALYA: Wakati huo Pingu ipo wapi?

SHAHIDI: Tangu nikamatwe tarehe 05 August 2020 Pingu Nimekuja Kufungukiwa tarehe 19 August 2020

JOHN MALYA: Kuna Maneno Kwamba Mlipokamatwa Mlikuwa Mnazunguka nao Kuwasaidia Kumtafuta Mtu Mwingine, Je ni Uongo au Ukweli?

SHAHIDI: Ni Uongo nisjawahi Kutoka Tangu nifikishwe pale Moshi Central

JOHN MALYA: Siku ya Kwanza Na Siku ya Pili Ulipata Huduma Gani ya Kibinadamu?

SHAHIDI: Sikupata Chakula

JOHN MALYA: Sero ulitolew na nani?

SHAHIDI: Nilifuatwa na Goodluck na Mahita, Jumanne Tukamkuta Kwenye Gari

JOHN MALYA: Kwenye Gari walikiweka Sehemu gani

SHAHIDI: Wakiniweka Katikati

JOHN MALYA: nini kilifuata?

SHAHIDI: Nilimuacha na Adamoo akija, Nilipo nyanyua Kichwa Vizuri Wakanipiga Kitambaa

JOHN MALYA: Kitambaa Cha Nmna gani?

SHAHIDI: Kitambaa Kizito

JOHN MALYA: Kusudi lao lilikuwa nini?

SHAHIDI: nisiweze Kuona Yanayo endelea

JOHN MALYA: Safari Ilipoanza ilichuku Muda gani

SHAHIDI: Siwezi Kufahamu zaidi ya Kwamba Nimetoka Jioni na Huku nimefika Alfajiri

JOHN MALYA; Safari yako ilikuwa ya Mateso au Raha

SHAHIDI: Ilikuwa ya Mateso Kwa sababu sijui naenda wapi

JOHN MALYA: Kwa hiyo hawakukwambia Unaenda wapi?

SHAHIDI: Ndiyo hawakuniambia

JOHN MALYA: Kilichokuwa Kina Kufanya uone Safari yako ni ya Mateso ni nini?

JOHN MALYA: Kwa hiyo Kwa Takribani Masaa 10…

SHAHIDI: Matendo waliokuwa wananifanyia

WAKALI WA SERIKALI Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji hakusema Masaa 10,kasema Hakumbuki

JOHN MALYA: Mheshimiwa Jaji huyu ni shahidi na Mawakili wa Utetezi wapo awajauliza, Sijui Kwanini Kidando anampenda Shahidi Kuliko Mawakili wake

JOHN MALYA: Je Shahidi Umesema Umetoka Jioni ukafika Alfajiri Je Kuna Angalau Masaa 10 hapo Katikati?

SHAHIDI: Ni sahihi

JOHN MALYA: Je Kuna huduma ya Kibinadamu ulipata..?

SHAHIDI: Hakuna Huduma Yoyote ya Kibinadamu

JOHN MALYA: Ulijuaje Umefika Safari Yako?

SHAHIDI: Nilipo fika Nilisikia Mlango Ukifunguliwa na Baadae Wakanishusha kwa Kunishika Shingoni na Kuinamiahwa, Nikiwa na Kitambaa

JOHN MALYA: Uliandikishwa pale Tazara au Uliona Mtu anaandika

SHAHIDI: Sikuandikishwa Popote, Nilipofika ni Moja kwa Moja Mpaka Sero

JOHN MALYA: Wakati huo bado Ulikuwa na Pingu

SHAHIDI: Ndiyo Wakati wote nilikuwa na Pingu

Joh6n MALYA: Vipi Kuhusu Safari ya Kutoka pale Tazara Kwenda Mbweni?

SHAHIDI: Nilikuwa bado Nimepigwa Kitambaa, na Pingu Mkononi

JOHN MALYA Wakati huo Kwenye gari Mlikuwa mnaongea nini?

SHAHIDI: Alikuwa Goodluck ataniua Vitisho Kwamba watanitupa Wakati huo ananichomachoma na Kitu Kama Bastola Kwenye Mbavu

JOHN MALYA: Unaweza Kuhusianisha Swala La Goodluck Kuwa na Silaha na Kukuchoma Choma Mbavu na Bastola
John Malya Je ni sahihi Goodluck alikuwa anakutushia

SHAHIDI: ndiyo Goodluck alikuwa na silaha mida wote

SHAHIDI: Ndiyo alikuwa anakitishia akiwa na Bastola Mkononi, Kwamba Ukileta Janja Janja Tutakufanya kama tulichokufanya Moshi

SHAHIDI: Nilikuwa na Pingu Mkononi, Nikapatwa na hofu na Kwa sababu wameshanimiliki nikahisi wanaweza Kufanya lolote

JOHN MALYA: Wakati huo ulikuwa na hali gani

JOHN MALYA: Lolote pamoja na Kukuua

JOHN MALYA: Umekuja Ushahidi Hapa Kwamba Maelezo ulitoa Mwenyewe Kwa Kukitolea, Nikisema Jumanne ni Muongo nitakuwa Sahihi

SHAHIDI: Ndiyo

SHAHIDI: Ni Muongo

JOHN MALYA: Unasema Uliwaagiza Mawakili Wako Kuandika Barua Kwenda Kwa RPC ILALA
Je Uliomba Occurance Book..??

SHAHIDI: Ndiyo kwa Sababu nilitaka Kujua Kama DC Msemwa alikuwa Central na Siku hiyo anayosema ya Tukio

SHAHIDI: Na Mawakili Wako Wamekwambia Kwamba Wamepata Majibu au Lah Kuhusu hiyo Barua..?

SHAHIDI: Jibu la Nilichokiomba Sijapata Mpaka Leo hii

JOHN MALYA: Mimi Ndiyo Namuuliza hapa, Kwa Mara ya Kwanza

JAJI: Huo Ushahidi Unatokea Wapi….?

JAJI: Napata Shida Kuandika naona Kama wewe ndiyo Unatoa Ushahidi

JOHN MALYA: labda Niulize kwa Namna Nyingine

JOHN MALYA: Je Kuna Taarifa za Kwako Kama Jina na Sahihi zimo humu

JOHN MALYA: Naomba Kielelezo P2,
SHAHIDI: hakuna

JOHN MALYA: Asante Mheshimiwa Jaji

PETER KIBATALA: Wakati tunamuhoji DC Msemwa Kuhusu Detention Register Ulikwepo?

SHAHIDI: Ndiyo nilikwepo

PETER KIBATALA: Kwa ulivyoona Siku hiyo aliweza Kutaja H4353 Hump kwenye Detention Register

SHAHIDI: Hapana sikuona wala sikusikia

KIBATALA: Kwa Maelezo ya Msemwa alisema Kwamba palikuwa na Askari Wengine pale Central?

SHAHIDI: Ndiyo nakumbuka

KIBATALA: Je Kuna Askari Mwingine yoyote alikuja Kuthibitisha Maneno ya Msemwa?

SHAHIDI: Hapana Hakutoa

KIBATALA: Je Msemwa alitoa Mahakamani Movement Order Kwamba alitoka Central Dar es Salaam kwenda Oysterbay

KIBATALA: Shahidi Uliwahi Kumuona Mkuu wa Kituo, ambaye ndiye Mmiliki wa Kituo kuja kuthibitisha Kwamba DC Msemwa alikwepo Central?

SHAHIDI: Sijawahi Kumuona

KIBATALA: Ulishawahi Kumuona Mkuu wa Kituo Cha Polisi Central Dar es Salaam akija Kuunga Mkono Maelezo Ya DC Msemwa?

SHAHIDI: sikuwahi kumuona

KIBATALA: Kituo Cha Tazara na Cha Mbweni Kabla ya Tukio Kutokea ulikuwa Uvifahamu kabla, Nini sasa Chini ya Kiapo kinachothibitisha Kwamba Ulikuwa Tazara?

SHAHIDI: Kwanza Mahabusu, Pili ni Wale Maskani Walikuja Kuniona na Niliwahi Kufanya nao Kazi, Walikuwa hawana na Sababu ya Kunidanganya

KIBATALA: Ni Saa ngapi ulikuwa ulimbiwa na Askari Yoyote Kwamba Hapa ni Kituo cha Polisi Tazara?

SHAHIDI: Hakuwa Kuniambia Askari Yoyote Kwamba Hapa ni Tazara

SHAHIDI: Walisema Wameweka Kwenye Begi

KIBATALA: Wakati Wote huo Walikwambia Simu zako zipo wapi

KIBATALA: Kama Wangekupatia Simu Yako, Ungemjulisha Ndugu yako.?

SHAHIDI: Ndiyo ningemjumlisha Dada Yangu Athma, Wa Moshi

KIBATALA: Kuna Polisi Yoyote ambaye aliwahi Kukupa simu uwasiliane na Ndugu zako

SHAHIDI: Hapana Hakuna aliyenipa simu
Kibatala Wakati Mmpoa Kwenye gari Unasema Alikuwa anakuchoma Choma na Nini tena..?

SHAHIDI: na Bastola

KIBATALA: alikuwa anasemaje

SHAHIDI: alikuwa anasema Kwamba Watanipoteza au Kunitupa

KIBATALA: Kwani wewe ulikuwa unafahamu nini akisema Kwamba watakupoteza au kukutupa

SHAHIDI: Maana yake ni Kuniua

KIBATALA: Sijasikia Ukisema kwamba Mbweni Uliteswa ulikotolea Maelezo, Je Matishio yao yalikuwa bado Yanafanya A
Kazi hadi Mbweni

SHAHIDI: Ndiyo Kwa Sababu alisema Kwamba Watanipoteza

KIBATALA: Kuna Muda Umesema Kuna polisi Mmama Wa Kituo pale Mbweni, alijitambulisha kama nani au anaitwa Nani..?

SHAHIDI: alikuwa Mkuu wa Kituo na alikuwa anaitwa Vicky

KIBATALA: Je mpaka Mnaenda Mahakamani Baada ya Kuonana na Mkuu wa Kituo, Je alikupa Msada gani baada ya Kuona Ukiwa na Pingu Mkononi?

SHAHIDI: alisema tuh atanisaidia ila Haku fanya lolote

KIBATALA: Je Ungependa Kuendelea kukaa Mbweni Kama Kweli Umekiri

SHAHIDI: Hapana nisingependa na Kama nimekiri pia wangenifungulia pingu

KIBATALA: Je ni raha gani ulipata Kwa kukaa Mbweni Muda Mrefu

SHAHIDI: Hakuna Raha Zaidi ya Mateso

JAJI: naomba Kujua Watakao fanya Cross examination ni Wangapi

WAKALI WA SERIKALI Robert Kidando : Ataanza Mr. Hilla

WAKALI WA SERIKALI Robert Kidando: ni Watatu

WAKALI WA SERIKALI Pius Hilla: Hii ni Mara yako ya ngapi Kutoa Ushahidi

SHAHIDI: Mara ya Kwanza

WAKALI DICKSON MATATA: Samahani Mheshimiwa Jaji, Shahidi anaomba kwenda Washroom

JAJI: tukimruhusu tutakuwa tunafanya nini hapa..? Basi Tubreak kaa Dakika 10
Kesi namba 16 ya Mwaka 2021 Khalfani Bwire, Adam Kasekwa, Mohammed Ling’wenya na Freeman Mbowe inatajwa tena Hapa Muda huu Saa 6 Na Dakika 05

Jaji amerejea tena Mahakamani

WAKALI PETER KIBATALA: Tupo tayari

WAKALI WA SERIKALI Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji tupo tayari Kuendelea

WAKALI WA SERIKALI Pius Hilla: Mohammed Ling’wenya Umesema Unatoa Ushahidi Kwa Mara ya Ngapi?

SHAHIDI: Sijawahi Kutoa Kabla ila, Kesi hii ni Mara ya Pili

PIUS HILLA: umesema una Dada yako Yupo Moshi?

WAKALI WA SERIKALI: Kwa Muda gani

SHAHIDI: Sahihi

SHAHIDI: Sikumbuki

WAKALI WA SERIKALI: Zaidi ya Miaka Mitatu

SHAHIDI: Sahihi

WAKALI WA SERIKALI: ni sahihi Tarehe 04 August 2020 ulikuwa Moshi

SHAHIDI: Ni sahihi

WAKALI WA SERIKALI: Ni sahihi Tarehe 05 August 2020 ulikuwa Moshi

WAKALI WA SERIKALI: Ni sahihi Ulikamatwa na Kingai, Mahita, na Goodluck

SHAHIDI: Walikwepo

WAKALI WA SERIKALI: Ni sahihi Ulivyo jitetea hapa hukueleza Kwamba Ulikuwa uwafahamu kabla?

SHAHIDI: Siyo Sahihi nimeeleza hapa Kwamba Walipo ni kamata sikujua ni akina nani, Mpaka baada ya Kusikia Majina yao wakiitana

SHAHIDI: Ni sahihi

WAKALI WA SERIKALI: Ni sahihi hukueleza Kwamba Hawa watu Unaugomvi nao?

WAKALI WA SERIKALI: Tarehe 05 August 2020 mlikamatwa Majira ya Saa ngapi?

SHAHIDI: Ilikuwa ni Mchana
SHAHIDI: Ni sahihi

WAKALI WA SERIKALI: Ni sahihi Kwamba eneo mililokamatiwa ni Eneo la Wazi

WAKALI WA SERIKALI: Kwamba Wakati Mnamkamata Watu walishuhudia

SHAHIDI: Ndiyo Walishuhudia Sababu ni Eneo la Wazi

WAKALI WA SERIKALI: Ni Sahihi Kama Ulivyo eleza Mahakamani hapa Kwamba Moses Lijenje Pale alitekeka

SHAHIDI: Ni sahihi Moses Lijenje Haku kamatwa

WAKALI WA SERIKALI: Nani Umewasikianwakina Kingai Kwamba Lijenje Wanaeendelea Kumtafuta Mpaka Leo

SHAHIDI: Ni sahihi

WAKALI WA SERIKALI: Ni sahihi ya Kwamba Unaonyesha Mahakama Eneo la Mawili wako unalodai Kupigwa

SHAHIDI: Rudia Swali

WAKALI WA SERIKALI: Ni sahihi Kwamba Ujamuonyesha Mheshimiwa Jaji eneo la Mawili wako Unapodai Ulipigwa

SHAHIDI: Ni sahihi

WAKALI WA SERIKALI: Ni sahihi Kwamba Neno Kupigwa Kwenye Unyayo, Kingai, Jumanne na Mahita walipokuja hapa Hukuwa uliza badala yake Umekuja Kusema Leo?

WAKALI DICKSON MATATA: Mheshimiwa Jaji, Mahita hajaja kwenye Kesi Ndogo anapotosha

Wa5kili WA SERIKALI Pius Hilla: Mheshimiwa Jaji Mahita amekuja Kwenye Shauri Kubwa

JAJI: Kwenye Shauri Dogo

WAKALI WA SERIKALI: Hapana, Lakini Mambo ya Ushahidi kwa kesi Kubwa tunaweza Kuyatumia

JOHN MALYA: Mheshimiwa Jaji Wakati Shauri Dogo linaanza Mahakama ili agiza Kwamba tuielekeze Kuhusu Shauri Dogo tuh, Naomba tufuate Ushauri wa Mahakama kurahisisha Kazi ya Mahakama

KIBATALA: Mheshimiwa Jaji Siyo Sahihi Kwamba Mahakama Ilishatoa Maelekezo Kwemye Sheria Kesi Kwamba Hauwezi Mambo ya Kesi Kubwa Kuyaleta Kwenye kesi Ndogo

JAJI: Sawa wakili wa Serikali Rudia Upya Swali lako

WAKALI WA SERIKALI: Wakati Wamekuja akina Jumanne na Goodluck, Hukuwa uliza hapa Kuhusu Kukupiga Unyayo

WAKALI WA SERIKALI: Goodluck Wamekuja hapa na Hukuwa uliza kuhusu Kushikilia Bomba

SHAHIDI: Ni sahihi
SHAHIDI: Ni sahihi

WAKALI WA SERIKALI: Ni sahihi Kwamba Kwenye Ushahidi Wako, haujaja na Taarifa ya Kitabibu Kuonyesha ulipigwa

SHAHIDI: Ni sahihi

WAKALI WA SERIKALI: Ni sahihi Kwamba Kwenye Ushahidi wako Hukusema Mahakamani Kwamba Uliwahi Kuandika Barua kwenda Kwa Mtu yoyote yule Kulalamika Kipigo

SHAHIDI: Ni sahihi Sijawahi Kuandika Barua

WAKALI WA SERIKALI: Shahidi Isaidie Mahakama, Ni sahihi Kwamba Ulipofika Mahakamani hiyo tarehe 19 August 2020 Hukuwa hi Kumwambia Mheshimiwa Hakimu Kwamba Umeteswa

SHAHIDI: Siyo Sahihi

WAKALI WA SERIKALI: Unasema Siyo Sahihi Kwa sababu Ulikuja Kuongea Wakati Wa Commital

SHAHIDI: Mheshimiwa Simba nilimuelezea Kuhusu Mateso na Hata nilipokuwa Gerezani nilikuwa naendelea Kupata Mateso

WAKALI WA SERIKALI: Je Umesoma Nyaraka za Commital

SHAHIDI: Nimesoma Zote Ingawa siwezi Kuwa na Kumbukumbu

WAKALI WA SERIKALI: Umewahi Kulalamika Kuhusu Hakimu kutoandika Malalamiko yako

SHAHIDI: Sikuwahi Kuandika

WAKALI WA SERIKALI: Unataka Mahakama Ikuamini Kwamba Ulifungwa Pingu Siku 14

SHAHIDI: Ni sahihi

WAKALI WA SERIKALI: Na Hujaonyesha Mahakama hata Makovu

SHAHIDI: Ni sahihi

WAKALI WA SERIKALI: Na Unataka Mahakama Ikuamini Kwamba Ulikuwa Ukijisaidia Ukiwa na Pingu Mikononi

SHAHIDI: Ni sahihi iamini hivyo

WAKALI WA SERIKALI: Na Unataka Kuniambia Kwamba Ulikuwa unakula ukiwa na Pingu?

SHAHIDI: Nilisha eleza Mahakama Kwamba Nilikuwa na Pingu

WAKALI WA SERIKALI: Je Wakati anakuongoza Wakili Matata hayo huku yasema..? Kwamba Ulikuwa unajisaidia Ukiwa Umefungwa pingu?

SHAHIDI: Nilisha eleza Kwamba Maswala yote ya Kujisaidia na Kula Yote yalikuwa na Pingu

WAKALI WA SERIKALI: Ni kweli Kwamba Moshi, Dada yako Athma alikuwa anajua Uwepo wako Moshi?

SHAHIDI: Kumbuka nilisha iambia Mahakama wakati wa akesi ya Adamoo, Nilikuwa Nakaa kwa adada yangu Moshi

WAKALI WA SERIKALI: Lakini Katika Ushahidi wako hujaeleza kwamba Dada yako aliwahi Kulalamika

SHAHIDI: Ni sahihi

SHAHIDI: Hilo swala ni Mara ya Pili

WAKALI WA SERIKALI: Je umewahi Kumwambia Mheshimiwa Jaji Kwamba Moshi Kuna Chumba Cha Mateso. Umewahi Kulalamika Popote Kwa Maandishi Kwamba Central Police Moshi Kuna Chumba Cha Mateso?

SHAHIDI: Kwa maandishi Hapana, ila Mahakamani Hapa nimeshalalamika Kwamba nimeteswa Moshi

WAKALI WA SERIKALI: Ni sahihi Kwamba, ukiwasikia Mashahidi wa Mashitaka walisema Kwamba Mtuhumiwa alifikishwa Kituoni lazima aandike kwenye Register

WAKALI WA SERIKALI: Unasema Kwamba Moshi Walikurekodi Video wakati unateswa, Swali langu ni Sahihi Kwamba Hata Kumtajia Kwa Jina hujamtaja aliyekuwa anarekodi

SHAHIDI: Kwa Maandishi Sijawahi Kufanya hivyo

SHAHIDI: Ni sahihi Kwa Jina Nimesema Simfahamu

SHAHIDI: Sa hiihi sifahamu

WAKALI WA SERIKALI: Ni Sahihi Kwamba Wewe Ujui ni Sheria ipi inayo zungumzia Maswala ya Kurekodi

WAKALI WA SERIKALI: Hakuna Kitu Kilicho endelea Njiani

SHAHIDI: Hapana, Nilikuwa na teswa, Natishiwa Bastola, Nikiinua Kichwa nainamishwa

WAKALI WA SERIKALI: Ni sahihi Kwamba Jumanne na Goodluck Wote Maelezo Yao yamefanana Kwamba Mliondoka Tarehe 06 August 2020
Ni kweli Bwana Lijenje Mlikuwa naye kwa ajili ya Kumuona Mh Mbowe?

SHAHIDI: Nakumbuka Tuliondoka Jioni, Sikumbuki walichosema

SHAHIDI: Ndiyo

WAKALI WA SERIKALI: Na Ilikuwa ni Tarehe ngapi..?

SHAHIDI: Ilikuwa ni Tarehe 05 August 2020

WAKALI WA SERIKALI Pius HILLA: Mheshimiwa Jaji naomba Kuishia hapo

WAKALI WA SERIKALI Robert Kidando: Ling’wenya Siku ile ya tarehe 06 August 2020, Wakati Mnaanza Safari Ya Kuelekea Moshi, Uliweza Kumuona Adam Kasekwa aliletwa kwenye gari ileile

WAKALI WA SERIKALI: Ni sahihi wewe Ulifahamu kwamba Muda Ule ni Jioni?

SHAHIDI: Kabla Sijafungwa Kitambaa Niliweza Kumuona Adam Kasekwa

SHAHIDI: Ni sahihi

WAKALI WA SERIKALI: Ulisikia Ushahidi wa Adam Hassan Kasekwa Siku anajitetea Kwamba Ilikuwa ni Mchana

SHAHIDI: Sikumbuki

WAKALI WA SERIKALI: Kwamba MliondokaTarehw 06 Ushahidi Huo pia Ulisema na Jumanne

SHAHIDI: Ni sahihi

WAKALI WA SERIKALI: Na Dar es Salaam Ulifika Tarehe 07 August 2020

SHAHIDI: Ni sahihi

WAKALI WA SERIKALI: Mlifika Sasa ngapi?

SHAHIDI: Tulifika Alfajiri

WAKALI WA SERIKALI: Wakati unafika haukukifahamu Kituo hicho?

WAKALI WA SERIKALI: Na Kama Nilikusikia Vyema Wakati Uliulizwa Maswali na Wakili Kibatala, alisema Katika Vituo Vitatu, Central Dar es Salaam, Tazara Dar es Salaam na Mbweni Dar es Salaam ulikuwa huvifahamu

SHAHIDI: Sikukifahamu
SHAHIDI: Ni kweli

WAKALI WA SERIKALI: Hebu tueleze ni Kitu gani Kilichokufanya, mara tuh baada ya Kukamatwa

SHAHIDI: Tulikuwa hatujafungwa a Kitambaa Siku Hiyo, Tumeshushwa pale Nimeona kabisa Pameandikwa Central Moshi

WAKALI WA SERIKALI: Pale Rau Madukani Siku Mnakamatwa aliye kamatwa wa Kwanza alikuwa ni Adam Kasekwa
Je kwa Mazingira hayo inawezekana Dada yako Siku hiyo alijua?

WAKALI DICKSON; OBJECTION Matata Swali lina suggest Opinion

WAKALI WA SERIKALI: Labda Niulize kwa Namna Nyingine

WAKALI WA SERIKALI: Je Wakati Adama anakamatwa Dada yako alikuwa Dukani kwake?

SHAHIDI: Ni sahihi

WAKALI WA SERIKALI: Katika Watu waliosogea Kabla yeye Ulimuona

SHAHIDI: yeye Sikumuona, Ila Ilikuwa Dukani Kwake

WAKALI WA SERIKALI: Je alitoa Taarifa wapi na wapi?

SHAHIDI: Kwa Mujibu Wa Mtu Mmoja alikuja Kutoa Ushahidi Kwamba Dada Yangu ndiye aliyekuwa anaeleza Kwamba Nimeshapelekwa Mwanza

WAKALI WA SERIKALI Robert:Nimesikia Ukisema Kwamba Uliwa Umefungwa Pingu Miguu yako an Mikono Yako Ikawa imekutana na Miguu

SHAHIDI: Ndiyo nili fungwa Pingu Mikono Ikiwa hivi (ANAONYESHA KWA VITENDO)

SHAHIDI: Nakumbuka nilishawahi Kusema

WAKALI WA SERIKALI: Hilo Bomba umesema Kwa Amara ya Kwanza baada ya Kuhojiwa na Wakili MALYA.Ni wazi Kwamba Wakati Jumanne na Goodluck wanatoa Ushahidi Wao, Hawa kuulizwa na Swali lolote Juu ya Kupigwa?

SHAHIDI: Hawakutajwa Majina

WAKALI WA SERIKALI: Na Hukusema Kwamba Goodluck na Jamumanne Ndiyo waliokuwa Wameshikilia Bomba

SHAHIDI: Sikusema

WAKALI WA SERIKALI: Unakumbuka na wewe Ulitoa Ushahidi Wakati wa Shauri Dogo la Adam Kaseke, Na Unakumbuka Unatoa Ushahidi Wako, Huku zungumzia Swala la Kupelekwa Ghorofani

SHAHIDI: Sikumbuki

WAKALI WA SERIKALI: na Wala Huku zungumza Kwamba Ulikutana nao wadepo wako, Alex Ahadi na Chuma Chungulu

SHAHIDI: Nakumbuka Nilisema Kwamba Nilikutana nao Tazara

WAKALI WA SERIKALI: Ulisema Kwamba Ulikutana nao Ghorofani

SHAHIDI: Hapana Sikusema

Hapakuwa na Pingamizi Dhidi ya Kutolewa kwa Detention Register Ya Tazara

SHAHIDI: Ni sahihi

WAKALI WA SERIKALI: Unafahamu Matumizi ya Detention Register

SHAHIDI: Nimepata Uelewa Kidogo

WAKALI WA SERIKALI: Na Kwa namna Nyingine Umefahamu sasa Kila Kituo cha Polisi lazima Kiwe na Detention Register

SHAHIDI: Ndiyo nafahamu

WAKALI WA SERIKALI: Umesema hapa Mahakamani hapa Kwamba Wakati Upo Kituo cha Polisi Tazara, Ulikuwa Unarekodiwa Mahojiano yako na Polisi Je Ni kweli?

SHAHIDI: Ni kweli

WAKALI WA SERIKALI: Lakini hujasema Kwamba Katika Mahojiano yao walikuwa wanataka nini

SHAHIDI: Nimesema Hivyo

WAKALI WA SERIKALI: Sasa ile. Karatasi ambayo Unadaiwa ndiyo Maelezo Yako, Je Ulisaini?

SHAHIDI: Ndiyo Nilisaini Kwa Kulazimishwa

WAKALI WA SERIKALI: Ulisaini kwa Namna gani?

SHAHIDI: Sikumbuki ila nilisaini

WAKALI WA SERIKALI: Sahihi zaidi ya Moja

SHAHIDI: Sina Kumbukumbu

WAKALI WA SERIKALI: Na Kwenye Ushahidi Wako hapa Wakati wote Ulipokuwa Umefungwa Pingu, Hujasema Kwamba Ulisaini Wakati Ujafungukiwa Pingu

SHAHIDI: Nilisha eleza Kwamba Sijawahi Kufunguliwa Pingu, Nilisaini nikiwa na Pingu Mkononi

WAKALI WA SERIKALI: Kwa ufahamu, Unakumbuka Siku ya Commital Kisutu, Unakumbuka uliyasoma

SHAHIDI: Kukumbuka yangu nilisha Sema Sikuwahi Kusoma

WAKALI WA SERIKALI: Siku hiyo Kisutu hukutaja ASP jumanne

SHAHIDI: Sikumbuki

WAKALI WA SERIKALI: VIPI Kuhusu Goodluck.?

WAKALI WA SERIKALI: Na Siku hiyo hauku lala Mikoa Kwamba Ulipata Vitisho Vya Kisaikolojia

SHAHIDI: Sikumbuki

WAKALI WA SERIKALI: Kwa hiyo Hukumbuki Kama Ulisema Kuhusu Vitisho Vya Kisaikolojia?

SHAHIDI: Sikumbuki

WAKALI WA SERIKALI: Katika Mapingamizi yako, Kuna Pingamizi lako kinasema Kwamba umeteswa Dar es Salaam

WAKALI WA Ser6ikali Robert: Jibu swali Uliteswa.?

SHAHIDI: Nimesema Kwamba Nikiwa Natishiwa kuuliwa

SHAHIDI: Ndiyo Niliteswa

WAKALI WA SERIKALI: Kwa ufahamu wako, Vitisho Vya Kisaikolojia Unaifahamu.?

SHAHIDI: Nafahamu

WAKALI WA SERIKALI: Kwenye Ushahidi wako hapa Mahakamani, Wakati Unaongozwa, Ulikuwa Haujafafanukia Vitisho Vya Kisaikolojia ni Vitu gani

SHAHIDI: Vitisho hivyo ni Kupata hofu

WAKALI WA SERIKALI: Ulisema Neno Saikolojia
kwenye Ushahidi Wako

SHAHIDI: sikusema

WAKALI WA SERIKALI: Kwenye ile Barua ambayo Mpaka Leo hii Haujapatiwa Majibu, Je Unakubali namimi Kwamba ulimuelekeza Wakili wako Fredrick

SHAHIDI: Ndiyo nilimuelekeza

WAKALI WA SERIKALI: Na Hukutoa Ushahidi Wako hapa Mahakamani Kama Barua ile ilimfikia RPC wa Ilala

SHAHIDI: Sikusema

WAKALI WA SERIKALI: Na Hukutambua Kilichopo ndani ya hiyo Baruai na WALA Hukusema Katika Ushahidi Wako ni nani aliipeleka

JAJI: Sorry nafikiri Barua hiyo Haipo Mahakamani

WAKALI WA SERIKALI Robert Kidando: Samahani Mheshimiwa Jaji

WAKALI WA SERIKALI: Unasema Kule Mbweni Walikuwa Kikaratasi Kinachoonyesha Ulibadilishwa Jina na Kuitwa Johnson John

SHAHIDI: Ni sahihi

WAKALI WA SERIKALI: Wakati Wa Ushahidi Wako hukuleta hicho Kikaratasi

SHAHIDI: Si Kuleta
SHAHIDI: Sikueleza

WAKALI WA SERIKALI: Na Hukueleza pia Kikaratasi hicho Kikowapi
Wakili wa Serikali Wakati huo Hukusema Mahakamani Kama Ulikuwa na Tuhuma. Gani

SHAHIDI: Kwanza Sikuwa najua tuhuma zangu

WAKALI WA SERIKALI: Mheshimiwa Jaji, Naomba Kuishia hapo ni muite Wakili Abdallah Chavula

Mheshimiwa JAJI: unampango wa kutumia Muda gani

WAKALI WA Serik5ali Abdallah Chavula: Mheshimiwa Jaji Sijui kwa sababu inategemea Majibu ya Shahidi

KIBATALA: Mheshimiwa Jaji Nilikuwa napendekeza Amalie Kabisa Wakili Abdallah Chavula Kwa sababu tuna Shahidi wa Pili

JAJI: Sawa Wakili Abdallah Chavula Karibu

WAKALI WA SERIKALI Abdallah Chavula: Shahidi Nimesikia Kwamba Wakati Wa Commital Pale Mahakama Kisutu Ukisoma na Kuridhika

SHAHIDI: hakuna sehemu nimesema naridhia.

WAKALI WA SERIKALI: Tarehe 23 August 2021 Mlikuwa Mahakama ya Kisutu na Siku hiyo mlisomewa Ushahidi Wa Jamhuri ambao unaoanga kutumia Kwenye kesi hii

SHAHIDI: Sikumbuki Mpaka niangalie

WAKALI WA SERIKALI: Ama ni Kweli Mliwahi Kufikishiwa kwa Hakimu Simba, Juu ya Ushahidi wa Kesi hii

SHAHIDI: Ni kweli

WAKALI WA SERIKALI: Ni kweli Kwamba Mlipatiwa nafasi Juu ya Kusema Malalamiko yenu

SHAHIDI: Kweli

WAKALI WA SERIKALI: Na kweli Kwamba wewe Ukapatiwa nafasi ya Kusema a Malalamiko yako dhidi ya Polisi

SHAHIDI: Kweli

WAKALI WA SERIKALI: Na Ni Kweli Kwamba Malalamiko haya yalitoka Kwako na Siyo kwa Mtu Mwingine

SHAHIDI: Ni sahihi

WAKALI WA SERIKALI: Ni kweli Kwamba Wewe ulisaini Nyaraka za Commital bila Kusoma na Ukasaini

Wakili wa Serikali Naomba Kusoma ANASOMA

NASHON NKUNGU: Mheshimiwa Jaji Samahani Wakili atusomee kwanza, isije akawa anampotosha Shahidi Wetu
NASHON NKUNG: Hakuna kilicho sahihi hapo Katika Tafsiri

JAJI: Je Kuna tatizo..? Kwenye Tafsiri

WAKALI WA SERIKALI: Ngoja Nirudie tena

WAKALI John Malya… Shahidi alisema Kwa Kiswahili pale Kisutu, Wakati huo Simba Kaandika hizi Proceedings kwa Kingereza, Sasa Napata Shida hapa Wakili anavyomuuliza Shahidi Hapa

JAJI: Mahakama haikuwepo Kisutu, Iwe Hakimu Simba alikosea Kutafsiri Kiswahili cha Shahidi, Mimi na angalia Kilicho andikwa Hapo hapo na Hakimu Simba

JOHN MALYA: Hata Mimi sina shida na Kingereza cha Hakimu Simba, Hoja ipo Tafsiri ya Wakili hapa utaweza Kuwa Sawa na Tafisri ya Kila Mmoja wetu hapa

WAKALI WA SERIKALI: Je Shahidi Tuchukue Lipo la Kisutu Kwamba Ulilazimishwa Kutoa Maelezo au haya madai yako ya Leo hapa Kwamba Ulilazimishwa Kusaini

SHAHIDI: Yote ni Kitu Kimoja

WAKALI WA SERIKALI: Je Tuchukue Kipii Umesema Kwamba Ulipokuwa Tazara Ulitembelewa na nani?

SHAHIDI: Yote hayo, Kwamba Nilipigiwa Kutoa Maelezo na Kulazimishwa kusaini

SHAHIDI: Sikuwahi Kutembelewa na Mtu, Mimi Nilisema Kwamba Niliwaona watu ninao wa fahamu ambao ni Askari niliowahi Kufanya nao Kazi 92KJ

WAKALI WA SERIKALI: Uliwaona nani na nani?

SHAHIDI: Alex Ahadi na Chuma Chungulu

WAKALI WA SERIKALI: Wengine ni nani na nani?

SHAHIDI: Jumanne, Mahita na Goodluck

WAKALI WA SERIKALI: Ulisema Tarehe 09 Ulimuona nani na nani

SHAHIDI: Ni Alex Ahadi, Chuma Chungulu, Jumanne na Goodluck

WAKALI WA SERIKALI: Uliulizwa hapa na Wenzangu Kwamba hii ni Mara ya ngapi Kutoa Ushahidi, Ukasema ni Mara ya Pili
Nakumbuka Nilisema pia Kwenye Ushahidi wa Adamoo
Sasa Wakati wa Kesi ya Adamoo hukueleza Kwamba Uliwaona Alex Ahadi na Chuma Chungulu, Je Mahakama uchukue kipi

WAKALI WA SERIKALI: Shahidi Ieleze Mahakama ni kweli Kwamba Wakati Unatoa Ushahidi Wako hujui elezea Mahakama Kwamba Detention Register Hakuwa na Majina wala Sahihi ya Bwana Msemwa na Pia Ukasema Hakuna aliye kuja Kuunga Mkono Ushahidi Wa Bwana Msemwa
Na Kwamba haukutolewa Ushahidi Wa Movement Order, Occurance Book wala Hakuna Mkuu wa Kituo aliyekuja Kuthibitisha Maneno ya Msemwa

SHAHIDI: Nakumbuka Nilisema na Kulalalamikia

Hukuwahi Kuyatoa wakati Unatoa Ushahidi wako wa Msingi, Huku yasema
WAKALI WA SERIKALI: Hukusema Kwamba Katika Detention Register Hakuna Majina hayo wakati Bwana Matata anakuhoji

SHAHIDI: Ndiyo Sikusema

WAKALI WA SERIKALI: Na Wakati Bwana Matata anakuongoza Hukusema Kwamba Detention Register haiwezi Kuthibitisha Uwepo wa Msemwa Central
Wakati Bwana Matata anakuhoji Hukuiambia Mahakama Kama Bwana Msemwa hakutoa Ushahidi Wa Uhamisho wa Kutoka Central Kwenda Oysterbay. Hukusema Wakati Bwana Matata anakuhoji Kwamba Hakuna Mkuu wa Kituo aliyekuja Kuthibitisha Maneno ya Msemwa

SHAHIDI: Hilo Nakumbuka Niliongelea pale nilipo uliza Kuhusu Kutaja Kujua Uhamisho wake

SHAHIDI: Ni sahihi

WAKALI WA SERIKALI: Na Hukuwahi Kueleza Wakati Bwana Matata anakueleza Kwamba Hukuwahi Kumuona Mkuu wa a Kituo Kuja Kuunga Mkono Ushahidi Wa Jumanne

SHAHIDI: Ni sahihi

WAKALI WA SERIKALI: nitakuwa Sahihi Kwamba Nikisema kwamba Hukusema hayo wakati wa Ushahidi Wako wa Msingi

KIBATALA: OBJECTION Mheshimiwa Jaji Naona Swali hilo hakija kaa Sawa, Sababu Ushahidi Wa Msingi unaweza Kupatikana hata Kwenye Cross Examination

JAJI: Badili Swali wakili wa Serikali

WAKALI WA SERIKALI: Ni sahihi Tazara ndiyo Sehemu pekee Uliyo Kula Chakula, Ugali na Mboga za Majani.Ulikaa Siku Ngapi Ukiondoa Ile Siku Uliyopewa Ugali na Mboga za Majani

SHAHIDI: Ni sahihi

SHAHIDI: Nakumbuka nilieza Mahakama Kwamba Askari alikuwa ananisaidia kwa a Kunipa Maji na Biscuits ila Resheni ya mahabusu Tazara

WAKALI WA SERIKALI: Ilikuwa Siku Ngapi

SHAHIDI: Siku 12 baada ya Resheni ya
Mahabusu Tazara

WAKALI WA SERIKALI: Tangu tarehe 05 Mpaka Tarehe 07 pia Hukula

SHAHIDI: Ndiyo
SHAHIDI: Alikuwa ni Coplo ila Jina lake sikifahamu

WAKALI WA SERIKALI; Ni nani aliyekuwa anakuletea Biscuits Kituo Cha mbweni
Wakili wa Serikali Hukusema Siku Ngapi huyo Askari alikuletea Biscuits?

SHAHIDI: Sikusema Siku Ngapi

WAKALI WA SERIKALI: Na Ni sahihi Hukueleza Mahakama Biscuits aliokuwa anakuletea zilikuwa na Wingi kiasi gani

SHAHIDI: Sahihi

WAKALI WA SERIKALI: Ni sahihi Hukuiambia Mahakama alikuwa anakuletea Mara ngapi Biscuits hizo

SHAHIDI: Sahihi

SHAHIDI: Nilieleza kuwa Kila alipokuwa anaingia Kituoni

WAKALI WA SERIKALI: Hukuiambia Mahakama Kama Yule Askari aliyekuwa anakuletea Biscuits Kuanzia Lini Mpaka lini
Kwani Ulieleza alikuwa anaingia Kituoni Kila siku

SHAHIDI: Hapana sikusema

WAKALI WA SERIKALI: Nitakuwa Sahihi Kusema Kwamba Ile Detention Register ambayo imeletwa hapa, Haijaonyesha Kwamba Uliwahi Kufika Kituoni hata Mara Moja

SHAHIDI: Ni sahihi

WAKALI WA SERIKALI: Ile Detention Register Ya Central Dar es Salaam ni sahihi ina Majina yako wewe Mohammed Ling’wenya?
Ni sahihi Umeeleza Mahakama Kwamba Siku ile Imetolewa Kule Mbweni Kwenda Kuandika Maelezo Yako ilikuwa ni Tarehe 10 August 2020

SHAHIDI: Ni sahihi
SHAHIDI: sahihi

WAKALI WA SERIKALI: na Siku hiyo ndiyo Siku Mliokutana au Kumuona Mwenzao Adamoo
Sasa yeye alieleza Siku anayo toka ilikuwa Siku ya Tarehe 09 August 2020
Shahidi Sikumbuki Kama Adamoo alisema Tarehe 09.

WAKALI Dickson MATATA: OBJECTION Mheshimiwa Jaji Adamoo Hakusema Tarehe 9

JAJI: Kumbu Kumbukumbu zitaonyesha

WAKALI WA SERIKALI: Yeye siyo Shahidi, Amuache Shahidi ajibu Maswali

WAKALI WA SERIKALI: Shahidi Ulisema Kwamba Ulionana na Urio wapi?

SHAHIDI: Nilimuona Mbweni alitoka Kwenye Chumba Chake cha Mahabusu, Mimi Nikitolewa yeye a napelekwa Mahabusu

WAKALI WA SERIKALI: Kwenye Kesi Ya Adamoo Hukusema Hayo

SHAHIDI: Mimi nakumbuka niliyasema

WAKALI WA SERIKALI: Hebu Iambie Mahakama, Kwenye Chumba ambacho Ulikaa, Ulimuona Adam anatokea Chumba gani?

SHAHIDI: Nilisha eleza Mahakama Kwamba Katika Chumba nilichokuwa Mimi na Chumba alichokuwa Adamoo kipo Upande hui
Na Nilipoangalia alipo Jumanne na alipotokea Adam

WAKALI WA SERIKALI: Chumba alichotolea Adamoo kipo Upande gani
Shahidi Ni Mpaka nigeuke ndiyo naona Mtu akitoka?

SHAHIDI: Sahihi

WAKALI WA SERIKALI: Nitakuwa Sahihi Nikisema Kwamba Wakati Adam anatoka Mlango wa Hicho Chumba Ulikuwa Nyuma yako?

WAKALI WA SERIKALI: Nitakuwa Sahihi Nikisema Kwamba Wakati Adam anatoka Mlango wa Hicho Chumba Ulikuwa Nyuma yako
Ni sahihi Goodluck alikuwa kwenye huo Mlango

SHAHIDI: Sahihi
SHAHIDI: Ni sahihi

WAKALI WA SERIKALI: Kwa hiyo Goodluck alikuwa Kwenye Kisogo?

SHAHIDI: Ndiyo alikuwa kwenye Kisogo

WAKALI WA SERIKALI: Shahidi Ni sahihi Kwamba ujawahi Kueleza Kwamba Vile Ulivyo kuwa Umekaa Goodluck alikuwa amesimama Nyuma ya Kichogo Chako

SHAHIDI: Nilishaelezea Mahakama

WAKALI DICKSON MATATA: OBJECTION Mheshimiwa Jaji, Anamnyanyasa Shahidi, Wakati wa Examination inchief Shahidi alidemostrate Mpangilio huo na alisema Kwamba Goodluck alikuwa Nyuma yake

WAKALI WA SERIKALI: Unakumbuka Alipokuja Shahidi Wa Nne wa Jamhuri, Afande Maulid, Unakumbuka alipokuja Kutoa Ushahidi Wake?

SHAHIDI: Nakumbuka

WAKALI WA SERIKALI: Ni sahihi Kwamba wewe Hukuwahi Kuleta swali Juu ya Mtu anaitwa Sarjent Kidume, Badala yake Swala Ala Sargent Kidume Umelito wakati Unatoa Ushahidi wako

SHAHIDI: Ni sahihi

WAKALI WA SERIKALI Abdallah Chavula: Ni hayo tu Mheshimiwa Jaji.

Jaji anaandika Kidogo

JAJI: Tulikubaliana tuna Break Kidogo Mpaka Saa 9 Kamili
Tunachamoto tunapo break Haturudi Kwa wakati, Mimi nitarudi Hata Kama nitakuwa peke Yangu

Mawakili wa pande zote mbili wanakubaliana

JAJI: Sawa tuna Break, Tukutane Saa 9 Kamili.

Jaji anatoka

Jaji amerejea

WAKALI WA SERIKALI Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji Kwa Upande Jamhuri, Tupo Kama awali, Tupo tayari Kuendelea

Kesi namba 16 ya Mwaka 2021 Khalfani Bwire, Adam Kasekwa, Mohammed Ling’wenya na Freeman Mbowe inatajwa tena Hapa

WAKALI PETER KIBATALA: Mheshimiwa Jaji naomba Uridhie Kuwepo Kwa wakili Paul Kaunda, Otherwise tupo tayari Kuendelea.

WAKALI DICKSON MATATA: Shahidi Nitakuhoji Kwa Sauti Kidogo
Shahidi nitakuuliza Swali, Upande wa Mashitaka Wanasema Pamoja kuwa Umefungwa Pingu lakini Unaonyesha Makovu
Ifafanulie Mahakama

SHAHIDI: Kuhusu Kuonyesha Makovu ni Mwaka Sasa Umepita

WAKALI WA SERIKALI Pius Hilla: OBJECTION Mheshimiwa Jaji Hakuna Sehemu Wameongea hilo

WAKALI DICKSON MATATA: Wanasema Unaonyesha Makovu hebu tufafanulie hilo

SHAHIDI: Sijaonyesha Makovu Sababu Imepita Mwaka Sasa

WAKALI DICKSON MATATA: tufafanulie Kwanini Leo Umeeleza Kwa Details Zaidi Kuliko Siku ile Ulipokuwa unatoa Ushahidi Kama alivyo uliza Wakili wa Serikali Abdallah Chavula

SHAHIDI: Leo ni Kesi Inayonihusu Mimi zaidi, Mwanzo nilikuwa na elezea Machache kuhusu Damon

WAKALI DICKSON Matata: Kwanini ulikuwa unazungumzia Swala la Tazara Sana Kwa sasa Kuliko katika Kesi Ya Adamoo

SHAHIDI: Ni Kwa sababu hata wao Wameleta Shahidi Kutoka Tazara Safari hii, Kwa hiyo nilihitaji Kufafanua zaidi

WAKALI DICKSON MATATA: Shahidi Umeulizwa Mambo Mengi Kuhusu Mbweni hasa Maswala la pingu na Chakuka , Ifafanukie Mahakama Kuwepo Kwako Mbweni Juu ya Pingu

SHAHIDI: Nimesema Kwamba nilipo kuwa Mbweni Sikuwahi Kufunguliwa Pingu na Kuna Askari alikuwa ananisaidia Kunipa Chakula

WAKALI DICKSON: pale Mbweni Pamoja na Kuishiwa Bastola na akina Goodluck Mazingira ya Mbweni Yalikuwaje

SHAHIDI: Nilikuwa na Hofu Kupitia Vitisho nilivyokuwa Natishiwa

WAKALI DICKSON MATATA: Ulikuwa umeulizwa Kuhusu Detention Register, kwanini Majina yako hayapo kwenye Detention Register

WAKALI WA SERIKALI Robert Kidando: hakuna Sehemu ameulizwa Kuhusu Detention Register

JAJI: ni nacho Kukumbuka Mimi Mshitakiwa (shahidi) aliulizwa Kuhusu Detention Register Pale Tazara, Cha Msingi hapa Majibu yasilete Ushahidi mpya

WAKALI DICKSON MATATA: Ieleze Mahakama Kwanini Jina lako Halipo Kwenye Detention Register

SHAHIDI: Nakumbuka Nilishushwa Tazara nikainamishwa Shingo Moja kwa Moja Mpaka Mahabusu.

WAKALI Fredrick Kihwelo: Mheshimiwa Jaji Tumemaliza na Shahidi huyu tunashahidi Mwingine

JAJI: Sawa Shahidi Tunashukuru kwa Ushahidi Wako

Shahidi anaingia Hapa

Anachechemea, Ni Mrefu Kidogo na Mkono una P. O. P

JAJI: Majina yako

SHAHIDI: Lembrus Mchome

JAJI: umri

SHAHIDI: Miaka 34

Jaji Dini

SHAHIDI: Mkristo

JAJI: Kabila

SHAHIDI: Mpare

Shahidi Naapa Mbele ya Mahakama hii, Kuwa Ushahidi nitakao toa utakuwa wa kweli, kweli tupu Eehee Mwenyezi Mungu Nisaidie

WAKALI Fredrick Kihwelo: Mheshimiwa Jaji Nitamuongoza

JAJI: Unaweza Kukataa Sasa

WAKALI Fredrick: SHAHIDI Mkumbushe Mheshimiwa Jaji Majina yako

WAKALI Fredrick: Unaishi wapi

SHAHIDI: Naitwa Lembrus Mchome

SHAHIDI: Wilaya ya Mwanga, Mkoa Wa Kilimanjaro

WAKALI Fredrick: Kihwelo Mkumbushe Mheshimiwa Jaji siku ya 11 May 2020 kilitokea nini

SHAHIDI: Usiku wa wa Saa Saba Kuna watu Waliruka Ndani ya Geti Wa Kaingia Ndani

WAKALI Fredric:k Watu hao ni akina nani.?

SHAHIDI: Walikuwa ni Polisi na Watu wa USALAMA WA TAIFA

WAKALI Fredrick: Walikuwa wa nahitaji nini?

SHAHIDI: Walikuwa wananihitaji Mimi, Walinichujua na Kunipeleka Kituo Cha Polisi Wilaya Ya Mwanga

WAKALI Fredrick: Kihwelo Shahidi Naomba Nikurudishe tarehe 11 May 2020
Walikupeleka Wapi?

WAKALI Fredrick: Walikuhiji kwa Makosa gani?

SHAHIDI: Walinipeleka Ofisi ya OC CID walaya ya Mwanga, Walikuwa wananihoji ama Kunipiga niseme Kama Ni Kweli Nilikuwa Nimeoiga Picha Gari Moja ya Kiongozi wa Taasisi Hapa Nchini

SHAHIDI: Kwa Makosa ya Matumizi Mabaya ya Mtandao

WAKALI Fredrick: Baada ya Kukuhoji walikupeleka wapi?

SHAHIDI: Walinipeleka Kwenye Mahabusu ya polisi Mwanga

WAKALI Fredrick: Walikuwa fikisha Kwenye Nyaraka gani?

SHAHIDI: Sikuandikishwa Mahala popote

WAKALI Fredrick: Ulikaa kwa Muda gani

SHAHIDI: nilikaa Usiku huo tuh Kesho Asubuhi Nilipelekwa Kwenye Ofisi ya RCO Moshi
Baada ya hapo akaamuru nirudishwe Kwenye Gari.RCO wa Mkoa wa Kilimanjaro

WAKALI Fredrick: Ni RCO wa Kituo gani
kabla ya Kupelekwa Kwa RCO wa Mkoa wa Kilimanjaro Uliandikishwa Kwenye Kitu gani?

WAKALI Fredrick: Umetoka Ofisi za RCO Moshi Ukarudi Mwanga, Nini kilitokea

SHAHIDI: Sikuandikishwa Sehemu yoyote

WAKALI Fredrick: Kwanza Tulipofika Hawakunishusha Kwenye Gari, Palikuwa na RCO na Watu wa USALAMA, Ambapo Tulitoka Kwenda Kunifanya Upekuzi Nyumbani
Unaposema RCO Wa Kilimanjaro Unamaanisha NI RCO wa Kituo Kipi?

SHAHIDI: Naamanisha Kituo cha Central

WAKALI Fredrick: Baada Kukupeleka Nyumbani Kwa Upekuzi nini Walichukua. Baada ya Upekuzi na Kurudi Tena Kwenye Gari nini Kilitokea?

SHAHIDI: Hakuna Walichochukua nilirudishwa Moshi Mjini

WAKALI Fredrick: Kwenye Gari hiyo Ulikuwa Umeambatana na akina nani?

SHAHIDI: Ni RCO na Askari Wengine Watatu. Sikumbuki Majina yao ila Mmoja na kumbuka Kwa Jina la Inspector Victa

WAKALI Fredrick: Hao Wengine Wa naitwa akina nani Majina yao?
na Mlipofika Moshi Central ikikuwaje

SHAHIDI: Nilipelekwa Moja kwa
Moja Mahabusu

WAKALI Fredrick: Ulikaa Kwa Siku Ngapi Mahabusu

SHAHIDI: Nilikaa Kwa Siku 3

WAKALI Fredrick: Ulikaa Tarehe Ngapi hadi Tarehe Ngapi?
Kwanini Walikusafirisha Kuja Dar

SHAHIDI: Sijui ni Kwanini
Shahidi 11 Mpaka 14 Maya 2020 kisha nikasafirishwa kuja Dar

WAKALI Fredrick: Kwemye Gari Mlikuwa Kama wangapi?

SHAHIDI: Askari Watatu na Dereva Alikuwa wanne, Wakati Inspector Victor alikuwa ndiyo Kiongozi Wa Msafara
Wakili Fredrick Mlitoka lini Moshi Kuja Dar es Salaam

SHAHIDI: Tarehe 14 Mchana Maya 2020
Wakili Fredrick Mlifika Saa ngapi
Shahidi Tulifika Saa 4 Usiku Dar es Salaam

WAKALI Fredrick: Mlifika Wapi Dar es Salaam

SHAHIDI: Tulifika Kituo cha Polisi Oysterbay

WAKALI Fredrick: Wakati huo Walifanya nini pale Kituoni

SHAHIDI: Wakikabidhi Silaha na Wakanikabidhi kwa Askari

WAKALI Fredrick: Wakikabidhi Kwa Nani?

SHAHIDI: Kwa Askari ambaye alikuwa yupo Kaunta,aka chukua Maelezo Yangu akaja a Kwenye Kitabu Cha Kumbukumbu

WAKALI Fredrick: Askari huyo kwa Jina alikuwa anaitwa nani?

SHAHIDI: Nilikuja Kumfahamu Jina anaitwa Msemwa
Baada ya Kunipokea Nilipelekwa Mahabusu ambayo ni Underground

WAKALI Fredrick: Baada ya Kukupokea nini Kilitokea. Ulijuaje Kama Askari Yule ilikuwa anaitwa Msemwa?

SHAHIDI: Nilikaa naye akwa amuda Mrefu na hata hapa Kifuani Namba Yake Imeandikwa Msemwa

WAKALI FREDRICK: Ulikuja Kuonana naye tena Lini?

SHAHIDI: Alikuja Kule Mahabusu Kuniuliza Kama Nilikuwa na shida Yoyote
Nakamuomba aende a kwenye PPR yangu akachukue Chakula
Alienda Kuniletea Chakula na Kuanzia hapo tukawa marafiki

FREDRICK Na yeye alifanya nini kuanzia Hapo

WAKALI FREDRICK: Wale walikuleta Dar es Salaam Ulionana nao wapi tena

SHAHIDI: Sikuwahi Kuonana nao tena

WAKALI FREDRICK: umezungumzia Kuhusu PPR, Je nini hiyo?

SHAHIDI: Kwa ufahamu wangu ni Karatasi ambayo Mtu anakuwa nayo Akisha fikishwa Kituoni na kuandikishwa Vitu Vyake. Kwa Ujumla Siku 19 kwa Sababu Nilipelekwa Kwa Hakimu Mkazi Kisutu

WAKALI FREDRICK: Ukiwa Kituo Cha Polisi Oysterbay Kwa Ujumla Ulikaa Siku Ngapi?

SHAHIDI: Nikawa Nimenyimwa Dhamana, Mheshimiwa Hakimu akasema Kwamba nipelekwe Gereza la keko, Lakini Kwa Bahati Mbaya Magereza zilikuwa hazipokei Mahabusu kwa hiyo nikarudi Shwa Mwananyamala Kufanyiwa Vipimo Vya COVID 19

WAKALI FREDRICK: Kw a Siku zote ambazo Ulikuwa Umekaa Oysterbay Je ulipata Haki za Kuwasiliana na Ndugu zako

SHAHIDI: Hapana Sikupe a Haki hiyo yanaiuwasiliana na yeyote yule, Lakini Chakula Nilikuwa naletewa

WAKALI FREDRICK: Chakula Ulikuwa Umeletewa na nani?

SHAHIDI: Simfahamu Kwa sababu nilikuwa na letewa Kule Chini baada ya Kuitwa Majina

WAKALI FREDRICK: Kwa Siku 19 ulizo kuwa pale Ulikutana Mara ngapi na Afande Msemwa

WAKALI FREDRICK unasema Ulipelekwa Mahakamani Tarehe 19 Je ni Wakili gani alikuwa anakusimamia

SHAHIDI: Ni Wakili Peter Kibatala

WAKALI FREDRICK: Ni lini tena Ulirudi Mahakamani?
Ilikuwaje Ukajikuta upo hapa Mahakamani

SHAHIDI: Nilirudi tena Tarehe 02 lakini Hakimu aligima Kunipokea Kwa Sababu alielekeza nipelekwe Magereza a nashangaa natokea Mahabusu Oysterbay, Kwa hiyo akagoma Kunipokea
Nilikuwa na fuatilia Kesi hii katika Mahakama hii Tukufu nikaona Kwamba Msemwa anasema Kwamba alikuwa anafanya kazi Central na Kahamia Oysterbay Mwaka huu January

WAKALI FREDRICK: Kasema alihamia Central Mwaka huu Kaitokea Wapi

SHAHIDI: Akitokea Central

WAKALI FREDRICK: Ikawaje sasa

SHAHIDI: Nilimfahamisha Wakili Peter Kibatala Kwamba Huyo Mtu alikuwa Oysterbay tangu Mwaka Jana

WAKALI FREDRICK: Ulimpo Mjulisha ikawaje

SHAHIDI: nikamuomba wakili wangu Kibatala Kwenda Mahakama Ya Kisutu Kuomba Mwenendo Wa Kesi Yangu
Wakili Fredrick Nini Kilifuata

SHAHIDI: Ni kaja Dar es Salaam Tarehe 24 November 2021

WAKALI FREDRICK: Nini Kikatokea?

SHAHIDI: Nilionana na Wakili Peter Kibatala Tarehe 25 11 2021, akaniunganisha na Mtu kwenye Ofisi yake anaitwa FAITH
Akanipatia Barua Kutoka Ofisi ya Peter Kibatala Kwenda Mahakama Ya Kisutu Kuomba Mwenendo Wa Mashitaka

WAKALI FREDRICK: Baada ya Hapo..?

SHAHIDI: Nilienda na Faith Mahakama Hakimu Mkazi Kisutu, Tukaenda Chumba namba 5 ambapo nilimpa Barua akaonaisha na Barua ambayo alikuwa tayari ameipokea Kwa Dispatch akazilinganisha Barua zote Mbili

WAKALI FREDRICK: akaipokea Barua na Kuandika Kwenye Dispatch, Je nini Kikatokea

SHAHIDI: akalinganisha Barua na Ile aliyokuwa kaipokea na Akaandika kwenye Dispatch

WAKALI FREDRICK: Je Barua aliyokwisha Kupokea Alikuwa ametoa Wapi

SHAHIDI: Alikuwa Kapokea Kwa Wakili Peter Kibatala kwa Hiyo na Mimi akazilinganisha Kwa Wakili Peter Kibatala

WAKALI FREDRICK: Nini kikafuatia

SHAHIDI: Akatupatia Barua ya Mashtaka ambayo ilikuwa ni Copy

WAKALI FREDRICK: Kwanini Alikupatia Barua ambayo no Copy

SHAHIDI: Nilimuihoji pia Akasema Kwamba haina shida Kwa sababu Ndiyo pekee iliyokuwa Kwenye faili

WAKALI FREDRICK: Nini Kingine Mlipatiwa?

SHAHIDI: Tulipewa tena Mwenendo Wa
kesi na Barua ya Mashtaka

WAKALI FREDRICK: Je Baada ya Kupewa Kule Ikawaje?

SHAHIDI: Tukaileta hapa, Kwa Afisa wa Mahakama Akazikagua Barua zote mbili ile ya kwenda Kuomba na Ile Received kisha akagonga Muhuri Kwenye Nakala yangu

WAKALI FREDRICK: Kwanini Waliginga Muhuri Kwenye Copy yako wewe?

SHAHIDI: Ilikuonyesha Kwamba Mahakama Wameipokea Barua

WAKALI FREDRICK: Kwa Muda wote ulipoipokea Barua Yako, Barua Ya Kibatala, Hati ya Mashitaka na Mwenendo Wa Kesi,

SHAHIDI: Nilikuwa navyo Mimi ambavyo ni Barua, Hati ya Mashitaka, Mwenendo wa kesi vilevile na Dispatcher Ina Kumbukumbu namba, Tarehe Ya 23 November 2021, Ina anuani inapotakiwa Iende

WAKALI FREDRICK: Barua hiyo ambayo wewe Ulikuwa na Nakala yake iliyoenda Kisutu Inavitu gani hasa.
Vitu gani Vingine.. Endelea

SHAHIDI: Ina Muhuri Wa Mahakama hii

WAKALI FREDRICK: Muhuri Unaonyesha Vitu gani?

SHAHIDI: Barua Imepokelelewa na Naibu Msajili Wa Mahakama
Barua hiyo lilikuwa ni Ya Kwangu

WAKALI FREDRICK: Barua hiyo ilikuwa ya nani?
Vitu gani unavikumbuka katika Barua Hiyo, Jina langu, Case Namba ya Mwaka 2020,ina Sahihi Ya Wakili Wangu Peter Kibatala Pamoja na Muhuri Wa Wakili
Unakitu Kingine Unaweza Kukumbuka pia. Tutatoka hapo Tutaenda Kwenye Dispatch, Je Dispatch ina nini?

SHAHIDI: Kuna Pia Copy kwangu na Pia Copy kwa Naibu Msajili Wa Mahakama

SHAHIDI: Ni Dispatch Ya Pink, Juu Imeandikwa ” Classic Dispatch Book”

WAKALI FREDRICK: Kingine

SHAHIDI: Kuna Maneno Yameandikwa COURT 2

WAKALI FREDRICK: Vituvingime Kuhusiana na Dispatch,

SHAHIDI: Ni Ndani Kuna tarehe, Kuna Meneno ya Barua inakwenda Wapi na Pia Kuna Sahihi Ya Mpokeaji

WAKALI FREDRICK; Ilikuwa inakwenda Wapi

SHAHIDI: Ilikuwa inakwenda Kwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu

WAKALI FREDRICK: Kuna Kitu Kingine Unachokumbuka Kuhusiana na Dispatch

SHAHIDI: Ni hayo tu

WAKALI FREDRICK: Na Kutoa hapo nakupeleka Kwenye Hati Ya Mashitaka
Je ilikuwa na Vitu gani?
Huyu Vicky Mwaikambo ndiyo Nani
Jina la Mahakama, ambayo Ilikuwa ni HAKIMU MKAZI KISUTU
namba Ya Kesi ambayo ni 77 /3020
Mashitaka ambayo nina tuhumiwa nayo
Tarehe ambayo nimepelekwa Mahakamani ambayo ni Tarehe 19 May 2020
Kuna Sahihi Ya Wakili wa Serikali
Chini Kabisa imeandikwa “ASSIGNED TO VICKY MWAIKAMBO”

SHAHIDI: alikuwa Hakimu wa Kwanza Wa Kesi Yangu

WAKALI FREDRICK: Kuna Kingine Chochote Kuhusiana na Hati Ya Mashitaka

SHAHIDI: Ndiyo ni Particular za Mtuhumiwa ( Majina yangu, Umri, Dini Kabila na Ninakoishi)

SHAHIDI: LEMBRUS MCHOME

WAKALI FREDRICK: Ni Majina gani yapo Katika Particular Za Mtuhumiwa?

SHAHIDI: Walikosea Kuandika Spelling Za Jina Langu

WAKALI FREDRICK: spelling Zipi Zilikosewa. Kingine?

SHAHIDI: Waliweka LEMBURUCE MCHOME badala ya LEMBRUS MCHOME

WAKALI FREDRICK: Nitakupeleka Kwenye Mwenendo Wa Kesi

SHAHIDI: Kuna Jina La Mahakama
MAHAKAMA YA HAKIMU MKAZI KISUTU
Kuna Jina la Kesi
MWENENDO Mzima Wa Kesi Tangu Nifikishwe Mahakamani Mpaka kesi Ikaja Kufutwa
Lakini pia Kuna Sahihi Na Jina la La Hakimu Mahakama ya Hakimu Mkazi Zisuru
Pia kuna Tarehe
Pia kuna Tarehe
Lakini pia Kuna Sahihi Na Jina la La Hakimu Mahakama ya Hakimu Mkazi Zisuru

WAKALI FREDRICK: Kwa hiyo Shahidi Kwa Ujumla Palikuwa na Barua Ngapi zilizokuwa zimeandikwa na Kibatala?

SHAHIDI: Barua Nne,
Barua Ya Kwanza Ulienda Kwa Hakimu Mkazi Kisutu

Barua ya Pili ilibakia kwenye Faili na
Barua Ya tatu Ilikuwa inaenda Kwa Naibu Msajili

Na Barua ya nne ni Ya Kwangu
Shahidi Dispatch alikuja nayo Faith Kutoka Ofisi. Ya Kibatala

WAKALI FREDRICK: Mmesema Wakati Mnaenda Kisutu Mlikuwa na Dispatch, Je Mlitoka Wapi Dispatch hiyo?

SHAHIDI: Kwenda Kwa Hakimu Mkazi Kisutu

WAKALI FREDRICK: Na Barua ina anuani ya Kwenda Wapi?
Baada ya Kukabidhiwa Barua Kutoka Kwa Kibatala Ukafanya nini?

SHAHIDI: Nilipitia na Kujiridhisha pamoja na Barua ya Kwangu na Ile ya Kwenda Kwa Naibu Msajili Wa Mahakama, Kwa hiyo O
ZOTE zikawa zimefanana

WAKALI FREDRICK: Shahidi Nikurudishe Kituo Cha Polisi Oysterbay Wakati Msemwa anakupokea Palikuwa na Askari gani Wengine?

SHAHIDI: Kuna Afande Sam na Khadija

WAKALI FREDRICK Je Nikikuonyesha Nyaraka hizo Utazitambua..?

SHAHIDI: Ndiyo
SHAHIDI: Ndiyo

WAKALI FREDRICK: Mheshimiwa Jaji naomba Kumkabidhi kwa pamoja Barua, Hati ya Mashitaka, na Mwenendo Wa Kesi Pamoja na Dispatch.

WAKALI FREDRICK: Mheshimiwa Jaji naomba Kukabidhi Kimoja Kimoja
Jaji Mnataka Ku Tender Kwa Pamoja, Je Msimamo wa Sheria Unasemaje
Mheshimiwa Jaji naomba Kumkabidhi Barua

WAKALI FREDRICK: Shahidi Umeiona Barua hiyo? Unaifahamu Shahidi?

SHAHIDI: Ndiyo

SHAHIDI: Ndiyo naifahamu

WAKALI FREDRICK: Umeshawahi Kuwa nayo?

SHAHIDI: Ndiyo

WAKALI FREDRICK: Inavitu gani Vilivyokifanya Uitambue

SHAHIDI: Ina kumbukumbu namba
Ina Tarehe
Ina Muhuri Wa Mahakama hii, Ambao Ukigongwa Baada ya Msajili Wa Mahakama alimpokea, aliginga Muhuri Kama Kiashiria Kwamba tayari alishapokea
Ina sahihi ya Peter Kibatala
Ina namba ya Kesi
Na Pia Inajina langu
Pamoja na Muhuri Wa Ofisi ya wakili
Wakili Fredrick Je hiyo ndiyo Barua ukiyikabidhiwa na Peter Kibatala..?

WAKALI FREDRICK: Ungependa Barua hii Mahakama Ifanyie nini?

SHAHIDI: Ningependa Barua hii Ipokelewe Kama Kielelezo

WAKALI FREDRICK: Mheshimiwa JAJI,anaomba Barua Hii Ipokelewe Kama Kielelezo

WAKALI WA SERIKALI wameizunguka Barua Bado Kwa Ziadi Ya Dakika 5

WAKALI NASHON NKUNGU Anasoma anasema Yeye anaunga Mkono Kielelezo Kipokelewe.

JAJI: Subiri Kwanza Waseme Upande wa Mashitaka

WAKALI WA SERIKALI Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji Wajibu kwanza hao Mawakili Wote Wa Utetezi sisi tujibu Mwishoni

WAKALI FREDRICK: Shahidi Ukionyeshwa Dispatch Hii Unaweza Kuitambua

SHAHIDI: Ndiyo

JAJI: basi naomba iendelee Kuitoa Vyote Kwanza

WAKALI FREDRICK: Mheshimiwa Jaji Naomba Kumkabidhi Shahidi Dispatch

WAKALI FREDRICK: Shahidi Umetambua Dispatch hiyo.? Je inavitu gani

SHAHIDI: Ndiyo nimeitambua, Kwanza Inarangi ya Pinki, Juu ina a
Maneno Yameandikwa Classic Dispatch Book,
Inamaneno yameandikwa COUR 2
Ndani inatarehe ambayo Barua Ulipelekwa Mahakama Hakimu Mkazi Kisutu
Ina sahihi ya Mpokeaji

FREDRICK: Ungependa Mahakama ifanye nini Juu ya Dispatch hiyo?

SHAHIDI: Mahakama Ipokee Kama Kielelezo

WAKALI FREDRICK: Mheshimiwa Jaji, Shahidi anaomba Mahakama Ipokee Dispatch Kama Kielelezo.

WAKALI FREDRICK: Shahidi Sasa Nitakupeleka Kwenye Hati ya Mshitakiwa
Je Nikikuonyesha Utaweza Kuitambua

SHAHIDI: Ndiyo Naifahamu
Inatarehe niliyo fikishwa Mahakamani ambayo ni 19 May 2020
Kwanza Jina la Mahakama Hakimu Mkazi Dar es Salaam Kisutu
Namba ya Kesi 77/2020
Ina Mashataka ambayo Nilikuwa na nadaiwa nayo
Kuna Sahihi Ya Mwanasheria Wa Serikali
Kuna Maneno Yameandikwa “ASSIGNED to Honorable Vicky Mwaikambo
Pia kuna sahihi na Tarehe ambayo Nimefikishiwa Mahakamani
Kuna Particulars Of the accused
Ni hayo tu

WAKALI FREDRICK: Ungependa Nini?

SHAHIDI: Ningependa Mahakama Ipokee Kielelezo Hiki

WAKALI FREDRICK: Shahidi Nitakupeleka Kwenye Mwenendo Wa Mashitaka
Je unaitambua

SHAHIDI: Ndiyo Naifahamu,
Kuna Jina la Mahakama Hakimu Mkazi Kisutu
Kuna namba ya Kesi
Kuna Mwenendo Mzima Wa Kesi Tangu Tarehe 15 May 2020 Mpaka Tarehe 10 August 2021
Kuna Muhuri Wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na Sahihi

WAKALI FREDRICK: Ungependa Mahakama Ifanye nini kwenye Nyaraka hiyo?

SHAHIDI: Ningependa Ipokee Kama Kielelezo Kwenye kesi hii

WAKALI FREDRICK: Umeleta Barua, Hati ya Mashitaka na Mwenendo Wa Kesi, Je Vitu hivi vina Uhusiano gani?

SHAHIDI: Kuonyesha Kwamba Mimi nikikamatwa na Kuwa na Kesi
Na Kwamba Nilipitia Kituo cha Polisi Oysterbay Na Kukutana Na D/C Msemwa ambaye amakuja Kutoa Ushahidi Kwenye kesi hii na Kusema Kwamba Mwaka Jana alikuwa Kwenye Kituo cha Central Police Dar es Salaam Wakati Bw. Mohammed Ling’wenya alipofikishwa Dar es Salaam

WAKALI FREDRICK: Unataka Kuonyesha nini?

SHAHIDI: Nataka Kuonyesha Kwamba DC Msemwa Ushahidi alioutoa Siyo wa Kweli Kwa Sababu Mwaka Jana Tayari alikuwa Oysterbay

WAKALI FREDRICK: Hayo ukiyathibitisha Vipi Shahidi?

SHAHIDI: Nikita Thibitisha a baada ya Kufikishiwa Oysterbay Mwaka Jana 14 May 2020

WAKALI FREDRICK: Mheshimiwa Jaji Shahidi ameomba Kupokelewa Kwa Vielelezo Vya Barua,
Hati ya Mashitaka, Dispatch na Mwenendo Wa Kesi

Mahakama Ipo Kimyaaaaaaa

NASHON NKUNGU: Mheshimiwa Jaji Baada Ya Kuzipitia Kwa Sababu ambazo nitazieleza, SINA OBJECTION

JOHN MALYA: Mheshimiwa Jaji Kwa Niaba ya Mshitakiwa Wa Pili nakubaliana na Maombi ya Shahidi Ya Kupokea Barua, Dispatch, Charge sheet na Proceedings Na Kama ambavyo Nasema with Reasons ya Kwanini Tunakubali Maombi hayo

WAKALI PETER KIBATALA: Mheshimiwa

JAJI: na sisi Pia
kwa niaba ya Mshitakiwa Wa Nne tunakubaliana na Maombi Shahidi

JAJI: Saa 11 na Dakika 1 Je Muda wa Dakika 05 unatoaha Kupitia na Kutoa Msimamo wenu?

WAKALI WA SERIKALI Robert Kidando: Mheshimiwa Jaji Muda huo haututoshi

JAJI: Kwa Hiyo Leo tuna Ishia Hapa

JAJI: Kuzingatia Muda huu, Mahakama I nahairisha Shauri hili Mpaka Kesho Tarehe 30 Saa Tatu Asubuhi

Washitakiwa wataendelea Kuwa Rumande chini ya Magereza Mpaka Kesho Asubuhi

Jaji anatoka

Like