RAIS John Magufuli aliahidi neema kwa wafanyakazi. Leo amewageuka mchana kweupe. Kila mwaka ana visingizio vya kutowaongezea mshahara au kutolipa maslahi yao.
        
    Tag: wafanyakazi
            DUNIANI kote, siku ya wafanyakazi ni siku yao. Ni ya wafanyakazi. Siku hiyo ni siku ya kukumbushana majukumu yao na wajibu wao katika kutetea maslahi yao. Ni siku ya...
        
     
            
        
 
                