WATANZANIA wengi wamesikia malalamiko ya mgombea urais Zanzibar kupitia ACT-Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad, akidai kuwa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) imeongeza majina ya wapigakura hewa 117,000 ili kusaidia ushindi kwa mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Hussein Mwinyi. Pamoja na ukimya wa ZEC kuhusu tuhuma hizo,...
Tag: Tanzania
THE National Electoral Commission (NEC) of Tanzania and the police force have been colluding to threaten opposition candidates with systemic violence in a bid to rig the general election...
Na Venance Stephen, Dar es Salaam MGOMBEA Urais kwa tiketi ya ACT-Wazalendo, Bernard Membe, ameibuka na kutangaza mbele ya waandishi wa habari kwamba ataendelea kuwa mgombea, licha ya viongozi...
TUNDU Lissu, Tanzania’s phenomenal presidential candidate facing incumbent John Magufuli, has defied a temporary suspension of his campaign by the National Electoral Commission (NEC), saying it is unfair, unlawful...
TUME ta Taifa ya Uchaguzi imejiingiza katika kashfa, na umma wa Watanzania sasa unaiona kuwa inashabikia na kusaidia mgombea mmoja wa urais, badala kuwa mwamuzi na msimamzi wa haki...
KATIKA maeneo mbalimbali nchini, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeingiwa na hofu ya kushindwa, na sasa kimebuni mbinu ya kujinusuru kwa kununua vitambulisho vya kupigia kura. Katika uchaguzi mkuu wa...
TENS of hundreds of Bunda residents in Mara region yesterday braved heavy downpours to meet Tundu Lissu, the presidential candidate for the main opposition party, Chadema, in Tanzania. Chanting...
Mgombea urais kupitia tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu ameahidi kuwa akishinda nafasi hiyo katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 28, mwaka huu, Serikali atakayoiongoza itafuta...
Thursday 24 September: Twaweza’s Executive Director, Aidan Eyakuze, has been elected the Civil Society Co-Chair of the Open Government Partnership (OGP). His term as Lead Co-Chair alongside the Government of...