KATIKA miaka takribani mitatu mfululizo, Rais John Magufuli amedhihirika kuwa kiongozi mwenye ndimi mbili kama nyoka. Alianza na sura ya uadilifu, ukali, na umakini. Kuna watu walimwamini. Sasa uadilifu...
Politics
The High Court in Mtwara Region today has issued a temporary injunction restraining the use of the Online Content Regulation which was to be in effect on the 5th...
TAARIFA kutoka Mtwara zinasema Mahakama Kuu imezuia zinasema serikali kutumia kanuni mpya za mtandaoni ambazo zilipangwa kutumika kuanzia tarehe 4 Mei 2018. Hakama Kuu Kanda ya Mtwara leo imetoa...
JUKWAA la wahariri Tanzania (TEF) limemtaka Rais John Magufuli kuchukua hatua dhidi ya “watu wasiojulikana” wanaohatarisha uhuru na amani ya waandishi wa habari na raia wengine. Ujumbe wa wahariri...
SOPHIA Mwakagenda, mbunge wa viti maalumu (CHADEMA) – wa kwanza kushoto pichani – ametwaa tuzo ya heshima ya mwanamke bora katika muongo mmoja wa kusaidia jamii. Sophia amekabidhiwa tuzo...
Hakuna shaka kwamba mateso na mauaji ya raia yanayotokea ni utekelezaji wa amri ya Rais John Magufuli.
HATA Rais Jakaya Kikwete anajilaumu kuhusu Rais John Magufuli. Rais Mstaafu Benjamin Mkapa naye vile ile; alimjua kwa upande mmoja kama “askari wake wa mwavuli.” Katika mengine wanayojuana, waliamua...
Na Mwandishi Wetu NGUVU iliyosababisha usaliti wa Askofu Dk. Alex Malasusa wa Dayosisi ya Mashariki na Pwani (DMP), ambaye ametengwa na Baraza la Kuu la maaskofu wa Kanisa la...
Ndugu zangu watanzania nawasilimu sana! Ikumbukwe kwamba mpaka hapa ulimwengu ulipofikia ni juhudi za mwanadamu kuhakikisha dunia inakuwa ndogo hata kwa kiwango cha kijiji. Dhumuni likiwa ni kurahisisha mawasiliano...
NILISIKILIZA kauli ya Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Ashatu Kijaji, wakati alipokuwa akieleza Bungeni “zilipo Shs. trilioni 1.5,” nikajiuliza, kwanini serikali hii inataka kutuchanganya kwa hesabu...